< Sam 26 >
1 Kathutkung: Devit BAWIPA, nang ni kai lawk na ceng haw, lungcaknae hoi ka cei teh BAWIPA nang na kâuep dawkvah ka kâhuen mahoeh.
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nithibitishe katika haki, maana nimeishi maisha yasiyo na lawama; nimemtumainia Bwana bila kusitasita.
2 Kai hah na noumcai nateh, oe BAWIPA, ka lung ni a ngai e naw hoi ka pouknae hah na khen pouh haw.
Ee Bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;
3 Ka cak e na lungpatawnae lamthung kai na patue haw, yuemkamcunae ni pou na hrawi.
kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.
4 Dumyennae hoi cungtalah ka hmawng hoeh. Tami kahawihoehnaw hai ka hmawng hoeh.
Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,
5 Tami kahawihoehnaw e kamkhuengnae hah ka hmuhma, Tamikathoutnaw hoi reirei ka tahung hoeh.
ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
6 Ka kut heh thoungnae hoi ka pâsu teh BAWIPA namae thuengnae ka lawngven.
Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7 Lunghawilawkdeinae la ka sak teh kângairu hno na sak e hah ka dei.
nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
8 BAWIPA na onae im hah kai lungpataw teh na bawilennae hmuen hah kai ni ka ngai.
Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.
9 Tamikayonnaw koe kai mek thei sin hanlah tami kathetnaw koe kai na tâkhawng sin hanh.
Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
10 Ahnimouh teh hawihoehnae yungyoe a sak awh. Tadawnghno ka ngai e taminaw doeh.
ambao mikononi mwao kuna mipango miovu, ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
11 Kai teh hnokahawi hoeh e ka sak, na pahren nateh na rungngang haw.
Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
12 Hnâroumcalah tanghling dawk ka kangdue teh maya a kamkhuengnae koe BAWIPA nang na pholen.
Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.