< Sam 123 >
1 Kathutkung: Panuekhoeh, tami tangawn ni Hezekiah a ti awh Kalvan kho a tungkhung kaawm e nang koe doeh ka ngaihawi.
Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
2 Sanpanaw ni a bawipa kut a ngaihawi e patetlah thoseh, Sannunaw ni a bawipa kut a ngaihawi e patetlah thoseh, kaimouh ni lungmanae ka coe awh hoehroukrak BAWIPA Cathut doeh na ngaihawi awh.
Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
3 Oe BAWIPA, kaimouh na lungma haw. Kaimouh na lungma haw. Bangkongtetpawiteh, banglah noutnahoehnae teh koung ka boum awh toe.
Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
4 Kaimae hringnae teh, ka kâoupnaw ni yeiraipo saknae hai thoseh, lunglenpansa lah kaawm naw ni banglah noutnahoehnae hai thoseh, koung ka boum awh toe.
Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.