< Cingthuilawk 21 >
1 Siangpahrang lungthin teh tui ka lawng e patetlah ao teh, BAWIPA kut dawk ao dawkvah, a ngainae koe lah a lawng sak.
Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana; huuongoza kama mkondo wa maji, popote apendapo.
2 Ma e hmunae dawk teh mae hringnuen heh a lan telah pouk awh, hatei BAWIPA ni lungthin heh yawcu dawk a khing.
Njia zote za mwanadamu huonekana sawa kwake, bali Bwana huupima moyo.
3 Lannae hoi kânging lah sak e heh thuengnae hlak BAWIPA ni a ngaihnawn.
Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika zaidi kwa Bwana kuliko dhabihu.
4 Kâoupnae minhmai hoi lunglennae lungthin hoi tamikathoutnaw e hmaiim teh yon doeh.
Macho ya kudharau na moyo wa kiburi, ambavyo ni taa ya waovu, vyote ni dhambi!
5 Tami ka hratbat e pouknae ni tawntannae a tâcokhai, hatei kâhruetcuet hoeh e pouknae ni voutnae a tâcokhai.
Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye faida, kama vile kwa hakika pupa huelekeza kwenye umaskini.
6 Laithoe dei laihoi hmu e hnopai teh duenae ka tawng ni teh kahmat e patetlah ao.
Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.
7 Tamikathoutnaw e lawpnae ni amamouh a raphoe han, bangkongtetpawiteh kânginglah lawkcengnae hah a pahnawt awh.
Jeuri ya waovu itawaburuta mbali, kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.
8 Tamikayon e lamthung teh a longkawi, hatei tamikalan hanelah teh a tawk e hah kalan e doeh.
Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
9 Ka hrawang e yu hoi im kalen dawk o hlak teh, lemphu imtakin koe awm pawiteh bet ahawihnawn.
Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba, kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
10 Tamikathout hringnae ni hnokathout a ngai, a imrinaw ni ahnie pahrennae hmawt awh hoeh.
Mtu mwovu hutamani sana ubaya, jirani yake hapati huruma kutoka kwake.
11 Kadudame taminaw reknae dawkvah kamawngrame ni lungang a kâla awh, hatei tamilungkaangnaw cangkhai navah panuenae a hmu awh.
Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa, mjinga hupata hekima; wakati mtu mwenye hekima afundishwapo, hupata maarifa.
12 Tamikalan ni tamikathout imthung hah kahawicalah a pouk, hatei Cathut ni tamikathoutnaw teh amamae thoenae lahoi a tâkhawng.
Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu, naye atawaangamiza waovu.
13 Tamimathoe hramnae lawk thai ngai laipalah a hnâ ka tabuem e teh, ama hai a hram toteh apinihai thai pouh mahoeh.
Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini, yeye pia atalia, wala hatajibiwa.
14 Arulahoi poe e poehno ni lungphuennae, a lungtabue dawk poe e tadawnghno ni puenghoi lungkhueknae a roum sak.
Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira na rushwa iliyofichwa kwenye nguo hutuliza ghadhabu kali.
15 Kalan lah lawkcengnae e teh tamikalan hanelah konawmnae doeh, hatei yonnae kasaknaw teh rawknae koe a pha awh han.
Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki, bali kitisho kwa watenda mabaya.
16 Thaipanueknae lam kaphennaw teh tamikadoutnaw kamkhuengnae koe a kâhat van han.
Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu, hupumzika katika kundi la waliokufa.
17 Nawmnae dueng ka ngai e teh a mathoe han, misurtui hoi satui ka ngai poung e teh tawnta mahoeh.
Mtu apendaye anasa atakuwa maskini, yeyote apendaye mvinyo na mafuta kamwe hatakuwa tajiri.
18 Tamikathout teh tamikalan hanelah, Yuemkamcuhoeh e teh tamikalan ratangnae lah ao.
Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.
19 A lungkaduem ni teh ka hrawang e yu hoi o hlak teh, ramkenae koe awm pawiteh bet ahawihnawn.
Ni afadhali kuishi jangwani kuliko kuishi na mke mgomvi na mkorofi.
20 Tamilungkaang onae koe hno ngai kaawm hoi satui ao teh, tamipathu ni teh a kaseikasak.
Katika nyumba ya mwenye hekima kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo navyo.
21 Lannae hoi lungmanae katawngnaw ni hringnae hoi lannae hoi barinae ouk a hmu awh.
Yeye afuatiaye haki na upendo hupata uzima, mafanikio na heshima.
22 Tamilungkaang ni kacakpounge khopui dawk a kâen teh, khocanaw ni a kângue e rapanim hah a tip sak.
Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa wenye nguvu, na kuangusha ngome wanazozitegemea.
23 A laihoi a pahni ka ring e teh runae thung hoi a hringnae ouk a hlout.
Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake hujilinda na maafa.
24 Tami moikai hoi kâoup e teh a min patenghai dudamkung telah a phung awh teh, kâoup lungkhuek laihoi ouk a kâroe.
Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake; hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.
25 Tami ka pangak e teh thaw a tawk ngaihoeh dawkvah, a doun e ni ama a thei.
Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.
26 Hnintangkuem nôe laihoi ao, hatei tamikalan niteh pasai laipalah a poe.
Mchana kutwa hutamani zaidi, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.
27 Tamikathout e thuengnae teh panuet a tho, hnokathout ngainae lungthin hoi thuengnae teh panuet hoe a tho.
Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo, si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!
28 Kapanuekkhaikung kaphawk teh takhoe lah ao han, hatei kapanuekkhaikung katang ni a panue e patetlah a dei e teh dâw lah ao han.
Shahidi wa uongo ataangamia, bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.
29 Tamikathout ni a minhmai tamundun lah a ta, hatei tamikalan ni a lamthung a cak sak.
Mtu mwovu ana uso wa ushupavu, bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.
30 BAWIPA taranlahoi lungangnae, thaipanueknae, hoi kâpankhainae awm hoeh.
Hakuna hekima, wala akili, wala mpango unaoweza kufaulu dhidi ya Bwana.
31 Marangtan teh tarantuk hnin hanelah rakueng lah ao, tânae teh BAWIPA e doeh.
Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita, bali ushindi huwa kwa Bwana.