< Cingthuilawk 12 >
1 Cangkhainae ka ngai e teh panuenae hah a ngai toe, hatei yuenae ka hmuhma e teh tamipathu doeh.
Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa, bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.
2 Tami kahawi ni teh BAWIPA ni ngaikhai e hah ouk a hmu, hatei hawihoehnae sak hanelah kakâcainaw teh yonpen lah ao awh han.
Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Bwana, bali Bwana humhukumu mwenye hila.
3 Hawihoehnae ni tami caksak boi hoeh, hatei tamikalan e adu teh tahruet thai lah awm hoeh.
Mtu hathibitiki kutokana na uovu, bali mwenye haki hataondolewa.
4 Napui kahawi teh a vâ hanelah bawilukhung lah ao, hatei yeirai ka po sak e napui teh a vâ e hru ka hmawnsakkung doeh.
Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe, bali aaibishaye ni kama uozo katika mifupa ya mumewe.
5 Tamikalan pouknae teh a lan, hatei tamikathoutnaw e pouknae teh dumyennae doeh.
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
6 Tamikathoutnaw e lawk teh, thei hanelah pawm awh sei, tie hah doeh. Hatei tamikalan e pahni ni teh a rungngang han.
Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.
7 Tamikathout teh tâkhawng lah ao teh awm hoeh toe, hatei tamikalan e imthung teh a cak han.
Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
8 Tami a lung a ang awh e patetlah rip oup lah ao, hatei a lungthin ka longkawi e teh dudam lah ao han.
Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.
9 Amahoima a kâoup teh ca hane kaawm hoeh e tami hlak teh, apinihai oup laipalah mae thaw duem ka tawk e bet ahawihnawn.
Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.
10 Tamikalan ni teh amae saringnaw hah a pasai, hatei tamikathout teh a pahrennae dawk patenghai a moikai.
Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
11 Amae laikawk ka thawn e ni kaboumlah a ca han, hatei ayawmyin lah kho ka sak e tami teh thaipanueknae ka tawn hoeh e tami doeh.
Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.
12 Tamikathout ni tamikathoutnaw e tangkhek hah a doun awh, hatei tamikalannaw e kung ni teh apaw a paw sak.
Waovu hutamani mateka ya watu wabaya, bali shina la mwenye haki hustawi.
13 Tamikathout teh amae eknae dawk ouk a kâman, hatei tamikalan teh runae thung hoi ouk a hlout.
Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
14 Tami ni amae pahnipaw hah kaboumlah a ca han, amae a kut hoi a tawk e a paw hai poe lah ao han.
Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.
15 Tamipathu ni amae lamthung hah kalan poung e lah a pouk, hatei pouknae poe e ka ngâi e tami teh a lungkaang e doeh.
Njia ya mpumbavu huonekana sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.
16 Tamipathu e lungkhueknae teh tang a kamnue, hatei kahawicalah kho ka pouk e ni teh kayanae hah ouk a ramuk.
Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja, bali mtu wa busara hupuuza matukano.
17 Lawkkatang ka dei e ni lannae a kamnue sak, hatei kapanuekkhaikung kaphawk niteh kadumyennaw hah a kamnue sak.
Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.
18 Tahloi hoi thut e patetlah lawk ka dei e ao awh, hatei tami lungkaangnaw e lawk ni teh a dam sak.
Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
19 Lawkkatang pahni teh a yungyoe caksak lah ao han, hatei laithoe deinae lai teh dongdengca hanelah doeh.
Midomo isemayo kweli hudumu milele, bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.
20 Hawihoehnae pouknae lungthin dawk dumyennae ao, hatei roumnae kadeikungnaw ni konawmnae a tawn awh.
Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao hupanga mabaya, bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.
21 Tamikalan koe thoenae phat mahoeh, hatei tamikathout teh thoenae hoi a kawi han.
Hakuna dhara linalompata mwenye haki, bali waovu wana taabu nyingi.
22 Laithoe pahni teh BAWIPA ni a hmuhma e doeh, hatei kalan lah ka tawk e teh lunghawikhai e lah ao.
Bwana anachukia sana midomo idanganyayo, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.
23 Kho ka pouk thai e tami ni teh a panue e patenghai a hro rah, hatei tamipathu e lungthin ni teh pathunae dueng doeh a pâpho.
Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe, bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.
24 Tami ka hratbat e kut ni a uk han, hatei ka pangak e teh lawkceng vaiteh thama lahoi tawk sak lah ao han.
Mikono yenye bidii itatawala, bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
25 Khopouk papnae ni lungmathoenae a tâco sak, hatei lawkkahawi ni tami konawm sak.
Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali neno la huruma humfurahisha.
26 Tamikalan ni teh a imri hah lamthung a patue, tamikathout ni teh lam a phen sak.
Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali njia ya waovu huwapotosha.
27 Tami ka pangak niteh, kahrawng a cei ei, moi thokhai e boehai cat mahoeh.
Mtu mvivu haoki mawindo yake, bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.
28 Lannae lamthung dawk hringnae ao teh, hote lamthung dawk teh duenae awm hoe.
Katika njia ya haki kuna uzima; katika mapito hayo kuna maisha ya milele.