< Milu Pareinae 5 >
1 BAWIPA ni Mosi a pato teh,
Bwana akamwambia Mose,
2 Isarel catounnaw ka hrikbeinaw hoi moihnakathout hoi tami ro kâbet e hoi kakhin e napui tongpa naw hah roenae rim hloilah tâco sak hanelah kâ a poe.
“Waamuru Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu yeyote ambaye ana ugonjwa wa ngozi uambukizao, au anayetokwa na majimaji ya aina yoyote, au ambaye ni najisi kwa utaratibu wa ibada kwa sababu ya maiti.
3 A lungui vah, ka onae roenae hmuen hah a khin sak awh hoeh nahanelah, napui tongpa roenae hmuen lawilah na tâco sak han.
Hii itakuwa ni kwa wote, yaani, wanaume na wanawake; watoeni nje ya kambi ili wasije wakanajisi kambi yao, ambamo ninaishi miongoni mwao.”
4 Isarel catounnaw ni hot patetlah a sak awh teh, roenae hmuen alawilah ouk a tâco sak awh. BAWIPA ni Mosi koe a dei e patetlah Isarel catounnaw ni a sak awh.
Waisraeli wakafanya hivyo; wakawatoa nje ya kambi. Wakafanya kama vile Bwana alivyokuwa amemwelekeza Mose.
5 BAWIPA ni Mosi hah a pato teh,
Bwana akamwambia Mose,
6 Isarel catounnaw koe dei pouh loe. Tongpa thoseh, napui thoseh, BAWIPA taranlahoi yon bang patet e a sak awh teh yon pen e lah ao toteh,
“Waambie Waisraeli, ‘Wakati mwanaume au mwanamke akimkosea mwenzake kwa njia yoyote, na kwa hivyo akawa si mwaminifu kwa Bwana, mtu huyo ana hatia,
7 a sak awh e yonnae hah pankângai hoi a kâhei awh han. Hahoi a sakpayon e yonnae phu teh ka kuepcalah a patho han. Hahoi a tak dawk hawihoehnae a sak e hah pung panga touh dawk pueng touh a thap han.
na ni lazima atubu dhambi aliyoifanya. Ni lazima atoe malipo kamili kwa ajili ya kosa lake, aongeze sehemu ya tano juu ya malipo hayo na kutoa yote kwa mtu aliyemkosea.
8 Hatei, yon phu kacoekung ni a hmaunawngha tawn hoehpawiteh, BAWIPA koe thueng e yon phu teh vaihma koe a poe han. Yontha nahanlah tutan a thueng e touksin laipalah yonthanae alouke a sak han.
Lakini ikiwa mtu huyo hana jamaa ya karibu ambaye malipo yanaweza kufanywa kwa ajili ya kosa, malipo yatakuwa mali ya Bwana, nayo ni lazima apewe kuhani, pamoja na kondoo dume ambaye anatumika kufanyia upatanisho kwa ajili yake.
9 Hahoi Isarel catounnaw ni a poe awh e pueng Isarelnaw hno kathoung pueng vaihma koe a thokhai e pueng teh amae lah ao han.
Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake.
10 Tami tangkuem ni a poe awh e hno kathoung poung hah a ahnimae lah ao han. Tami pueng ni vaihma koe a poe awh e teh ahnimae lah ao han, telah a ti.
Kila kitu cha mtu kilichowekwa wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’”
11 BAWIPA ni Mosi hah a pato teh,
Kisha Bwana akamwambia Mose,
12 Isarel catounnaw koe dei pouh loe. Ahnimouh koe, apipatet e a yu nakunghai, a vâ koe yuemkamcu lah awm laipalah alouke a ngai e awm pawiteh,
“Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe,
13 a payon lahun nah ayâ ni hmawt hoeh, kapanuekkhaikung awm hoeh eiteh, hote hah a pâpha teh, a vâ ni panue hoeh nakunghai thoseh,
kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine, tendo hili likafichika kwa mumewe na unajisi wake usigundulike (kwa kuwa hakuna ushahidi dhidi yake, naye hakukamatwa katika tendo hilo),
14 ahni lathueng dipmanae muitha a pha hai thoseh, a yu a dipma nakunghai thoseh, hahoi napui a kamhnawng teh dipmanae muitha tongpa koe a tho hai thoseh, a yu hah a dipma ei, a yu kamhnawng hoeh pawiteh,
nazo hisia za wivu zikamjia mumewe na kumshuku mkewe, naye mke yule ni najisi, au mumewe ana wivu na akamshuku ingawa si najisi,
15 tongpa ni a yu hah vaihma koe a thokhai han, napui hanlah a panki e poehno catun ephah pung hra pung touh dawk buet touh, satui awi mahoeh, hmuitui hai kalawt mahoeh. Bangkongtetpawiteh, hethateh dipmanae canei thuengnae, pahnim hoeh nahan canei thuengnae, payonnae panue nahanelah pahnim hoeh nahane doeh.
basi atampeleka mkewe kwa kuhani. Huyo mume itampasa apeleke pia sadaka ya unga wa shayiri kiasi cha sehemu ya kumi ya efa kwa niaba ya mkewe. Huyo mwanaume kamwe asimimine mafuta juu ya huo unga wala asiweke uvumba juu yake, kwa sababu ni sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu, sadaka ya ukumbusho ili kukumbushia uovu.
16 Vaihma ni napui hah a thokhai vaiteh, BAWIPA hmalah a kangdue sak han.
“‘Kuhani atamleta huyo mwanamke na kumsimamisha mbele za Bwana.
17 Vaihma ni talai hlaam dawk hoi tui kathoung a la vaiteh, lukkareiim khom koe e vaiphu a la vaiteh tui dawk a phuen han.
Kisha kuhani atachukua sehemu ya maji matakatifu ndani ya gudulia la udongo na kuchanganya na baadhi ya vumbi kutoka sakafu ya Maskani.
18 Vaihma ni napui hah BAWIPA hmalah a kangdue sak vaiteh, a sam a rathap sak han. Yu dipmanae tavai thuengnae kâhruetcuet poe nahanelah thuengnae hah a kut dawk a sin sak han. Hahoi vaihma ni thoebonae tui kakhat e hah a sin han.
Baada ya kuhani kumsimamisha huyo mwanamke mbele za Bwana, atazifungua nywele za huyo mwanamke na kuweka sadaka ya ukumbusho mikononi mwake, ile sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu, huku kuhani mwenyewe akishikilia yale maji machungu yaletayo laana.
19 Vaihma ni napui hah lawk a kam sak vaiteh, napui koe na vâ e kâtawnnae dawk na 0 navah, ayâ ni na ipkhai hoehpawiteh, na kamhnawngnae lam dawk na dawn hoeh boum teh hete thoebonae kaphawtkung kakhat e tui dawk hoi na hlout han.
Kisha kuhani atamwapiza huyo mwanamke, akimwambia, “Ikiwa hakuna mwanaume mwingine aliyekutana kimwili nawe, wala hujapotoka na kuwa najisi wakati ukiwa umeolewa na mumeo, maji haya machungu yaletayo laana na yasikudhuru.
20 Hatei, na vâ e kâtawnnae dawk na o navah, nama na kamhnawng teh ayâ ni na ipkhai boipawiteh telah na ti vaiteh,
Lakini ikiwa umepotoka wakati ukiwa umeolewa na mume wako na umejinajisi mwenyewe kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine asiyekuwa mumeo”;
21 vaihma ni napui hah thoebonae lawkkam rahim vah ao sak vaiteh, napui koe BAWIPA ni na phai a kamsoe sak teh na von a phing sak toteh, BAWIPA ni na miphunnaw thung dawk thoebonae kaphawtkung lah na awm naseh.
hapa kuhani atamweka huyo mwanamke chini ya laana ya kiapo akisema: “Bwana na awafanye watu wako wakulaani na kukukataa, wakati Bwana atakapolifanya paja lako kupooza na tumbo lako kuvimba.
22 Hahoi, thoebonae kaphawtkung hete tui ni na ruen dawk a kâen vaiteh, na von a phing sak vaiteh, na phai a kamsoe sak han, telah ati han. Hahoi napui ni teh, Amen, hot patetlah thoseh ati han.
Maji haya yaletayo laana na yaingie ndani ya mwili wako ili tumbo lako livimbe na paja lako lipooze.” “‘Kisha mwanamke atasema, “Amen. Iwe hivyo.”
23 Vaihma ni thoebonae lawk hah cauk dawk a thut vaiteh, kakhat e tui dawk a phum han.
“‘Kuhani ataandika laana hizi kwenye kitabu, kisha atazioshea laana hizo kwenye yale maji machungu.
24 Hahoi thoebonae kaphawtkung kakhat e tui hah, napui hah a pânei han. Hot patetlah thoebonae kaphawtkung a von thung a kâen vaiteh a kha han.
Kuhani atamnywesha yule mwanamke yale maji machungu yaletayo laana, nayo maji haya yatamwingia na kumsababishia maumivu makali.
25 Hot patetlah vaihma ni dipmanae canei thuengnae a kahek vaiteh, a poe e napui e kut dawk hoi a la vaiteh, BAWIPA hmalah tavai thuengnae a sin pouh vaiteh, thuengnae khoungroe koe a ceikhai han.
Kuhani atachukua sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu kutoka mikononi mwa huyo mwanamke, naye ataipunga mbele za Bwana na kuileta madhabahuni.
26 Vaihma ni panuenae tavai thuengnae hah kutvang touh a la vaiteh, khoungroe dawk a sawi han. Hathnukkhu, kakhat e tui hah napui a pânei han.
Kisha kuhani atachota sadaka ya nafaka mkono uliojaa kama sehemu ya kumbukumbu na kuiteketeza juu ya madhabahu, baada ya hayo, atamtaka huyo mwanamke anywe yale maji.
27 Tui a nei sak toteh, hettelah han doeh. A la kamhnawng teh a vâ koe yonnae sak boipawiteh, thoebonae kaphawtkung lah ao dawk kakhat e tui teh a von thung a kâen vaiteh a kha han. A von a phing vaiteh, a phai hah a kamsoe han. Hahoi teh, hote napui teh a miphunnaw thung dawkvah, thoebo e lah ao han.
Kama amejitia unajisi na kukosa uaminifu kwa mumewe, wakati anapotakiwa anywe maji yale yaletayo laana, yatamwingia na kusababisha maumivu makali; tumbo lake litavimba na paja lake litapooza, naye atakuwa amelaaniwa miongoni mwa watu wake.
28 Hatei, napui teh kamhnawng hoeh lah thoung boipawiteh, a hlout vaiteh, camo ka vawn thai e lah ao han.
Hata hivyo, ikiwa huyo mwanamke hakujitia unajisi, naye ni safi, atasafishwa hatia na ataweza kuzaa watoto.
29 Hete napui ni a vâ e kâtawnnae rahim ao navah, kho louk lah radoung hoi a vâ hoeh e tami alouke hoi koe ka kamhnawng e thoseh,
“‘Basi, hii ndiyo sheria ya wivu mwanamke anapopotoka na kujitia unajisi akiwa ameolewa na mumewe,
30 tongpa ni dipmanae lungthin ueue tawn pawiteh, a yu a dipma dawkvah, dipmanae kâlawk lah ao han. Hahoi teh napui hah BAWIPA hmalah a ceikhai vaiteh, vaihma ni hete kâlawknaw pueng a tak dawk a sak pouh han.
au hisia za wivu zinapomjia mwanaume kwa sababu ya kumshuku mkewe. Kuhani atamfanya huyo mwanamke kusimama mbele za Bwana na atatumia sheria hii yote kwa huyo mwanamke.
31 Hottelah, tongpa teh payonpakainae koehoi a hlout han. Hatei, hete napui ni yonpennae naw heh a khang han, atipouh.
Mume atakuwa hana hatia ya kosa lolote, bali mwanamke atayachukua matokeo ya dhambi yake.’”