< Nehemiah 8 >

1 Thapa yung sari a pha hoi, hmuen tangkuem koe kaawm e Isarelnaw pueng teh, a tho awh teh Tui longkha koe a kamkhueng awh. Isarelnaw koe lawk a poe e teh, Mosi kâlawk cauk sin loe telah kâlawk kacangkhaie Ezra koe a hei e patetlah.
watu wote wakakusanyika kama mtu mmoja kwenye uwanja mbele ya Lango la Maji. Wakamwambia Ezra mwandishi alete Kitabu cha Sheria ya Mose, ambacho Bwana aliamuru kwa ajili ya Israeli.
2 Vaihma Ezra ni vah kâlawk teh, napui tongpa hoi ka thai panuek hane ka kamkhuengnaw e hmalah thapa yung sari, apasuek hnin vah a thokhai.
Basi katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba, kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kusanyiko, ambamo walikuwamo wanaume, wanawake na watu wote walioweza kufahamu.
3 Tui longkha hmalah kaawm e thongma lah kangvawi laihoi amom hoi tangmin totouh, ka thai panuek hane napui tongpa hmalah, kâlawk hah a touk pouh teh taminaw ni kahawicalah a thai awh.
Akaisoma kwa sauti kubwa tangu mapambazuko mpaka adhuhuri, akiwa ameuelekea uwanja uliokuwa mbele ya Lango la Maji mbele ya wanaume, wanawake na wengine ambao waliweza kufahamu. Watu wote wakasikiliza kwa makini kile Kitabu cha Sheria.
4 Ahnimouh ni a sak awh e lawkdeinae tungkhung van a kangdue teh ahnie atengvah aranglah, Mattithiah, Shema, Anaiah, Uriah, Hilkiah hoi Maaseiah, hahoi avoilah, Pedaiah, Mishael, Malkhijah, Hashum, Hashbaddanah, Zekhariah hoi, Meshullam a kangdue awh.
Mwandishi Ezra alikuwa amesimama juu ya jukwaa la miti lililojengwa kwa kusudi hilo. Karibu naye upande wa kuume alisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya. Upande wake wa kushoto walikuwepo Pedaya, Mishaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu.
5 Ezra ni cauk hah taminaw e mithmu vah a kadai. Ahni teh taminaw hlakvah hmuen rasang koe a kangdue. A kadai toteh tami pueng a kangdue awh.
Ezra akakifungua kile kitabu. Watu wote waliweza kumwona kwa sababu alikuwa amesimama juu zaidi, naye alipokifungua watu wote wakasimama.
6 Ezra ni BAWIPA a lentoenae a pholen teh, taminaw ni a kut a dâw awh teh, Amen, Amen, telah a dei awh teh, a lûsaling laihoi BAWIPA a bawk awh.
Ezra akamsifu Bwana, Mungu mkuu, nao watu wote wakainua mikono yao na kuitikia, “Amen! Amen!” Kisha wakasujudu na kumwabudu Bwana hali nyuso zao zikigusa ardhi.
7 Taminaw ni a onae hmuen koe be ao awh lahun navah, Levih tami Jeshua, Bani, Sherebiah, Jamin, Akkub, Shabbethai, Hodiah, Maaseiah, Kelita, Azariah, Jozabad, Hanan, Pelaiah naw ni hai taminaw kâlawk a panue awh nahanelah a thaisak awh.
Watu wakiwa wamesimama pale, Walawi wafuatao waliwafunza ile Sheria: Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya.
8 Cathut e kâlawk cauk thung e kamcengcalah a touk awh teh, a ngainae a dei pouh dawkvah, taminaw ni a touk awh e hah a thai panuek awh.
Walisoma kutoka kile Kitabu cha Sheria ya Mungu, wakiifafanua na kuwapa maelezo ili watu waweze kufahamu kile kilichokuwa kikisomwa.
9 Hahoi ukkung bawi lah kaawm e, Nehemiah hoi vaihma hoi kâlawk kacangkhaikung Ezra hoi taminaw kacangkhaie Levihnaw ni vah, taminaw koe sahnin heh, Bawipa na Cathut e hnin kathoung doeh. Na lung mathout hanh awh. Kap hai kap awh hanh atipouh awh. Bangkongtetpawiteh, kâlawk a thai awh navah taminaw teh a khuika awh.
Ndipo Nehemia aliyekuwa mtawala, Ezra kuhani na mwandishi, pamoja na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia wote, “Siku hii ni takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Msiomboleze wala msilie.” Kwa kuwa watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya ile Sheria.
10 Cet awh haw. Bu katuicalah cat awh nateh, misurtui karadip e net awh. Banghai ka tawn hoeh e koe kâreikhai awh. Bangkongtetpawiteh, sahnin heh Bawipa e hnin kathoung doeh. BAWIPA dawk na lunghawinae teh na thayung lah ao dawkvah, na lungmathout hanh awh atipouh.
Nehemia akasema, “Nendeni mkafurahie chakula kizuri na vinywaji vitamu, na mpeleke sehemu kwa wale ambao hawana chochote cha kula. Siku hii ni takatifu kwa Bwana. Msihuzunike, kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu.”
11 Hatdawkvah, Levihnaw ni taminaw sairasuep lah ao sak. Sahnin teh hnin kathounge lah ao dawkvah, sairasuepcalah awm awh. Na lungmathout awh hanh atipouh.
Walawi wakawatuliza watu wote wakisema, “Kuweni watulivu, kwa kuwa hii ni siku takatifu. Msihuzunike.”
12 Taminaw ni a dei e lawknaw a thai panuek awh dawkvah, canei kawi sak hane hoi alouknaw hai kâreikhai hane hoi lunghawi nawmnae kalen poung sak hanelah be a cei awh.
Kisha watu wote wakaondoka kwenda kula na kunywa, na kupeana sehemu ya chakula, na wakaadhimisha kwa furaha kubwa, kwa sababu sasa walifahamu maneno yale waliyokuwa wameelezwa.
13 Apâhni hnin navah, a imthungkhu dawk e kacue lah kaawm e hah vaihmanaw hoi, Levihnaw teh phunglawk kamtu hanelah, cungtalah kâlawk kacangkhaikung Ezra koe a kamkhueng awh.
Katika siku ya pili ya mwezi, wakuu wa mbari zote, pamoja na makuhani na Walawi, walikusanyika wakimzunguka Ezra mwandishi ili wapate kusikiliza kwa makini maneno ya Sheria.
14 Phunglawk thung vah BAWIPA ni Mosi koe kâlawk a poe teh, a thut e hah a hmu awh. Hote thung vah Isarelnaw teh, thapa yung sarinae pawi dawk teh im ao awh hane doeh.
Wakakuta imeandikwa katika ile Sheria, ambayo Bwana aliiamuru kupitia kwa Mose, kwamba Waisraeli walipaswa kukaa katika vibanda wakati wa sikukuu ya mwezi wa saba,
15 Kho tangkuem hoi Jerusalem khopui vah pathang pouh hane hoi, mon vah cet awh nateh, olivekungnaw hoi kahrawng e olive hna, tuihan hna, samtue hna hoi, a hna kahawi e a kang pueng rim sak nahanelah lat awh. Hahoi rim teh hettelah na sak awh han tie patetlah na sak awh han tie hah ca a thut.
na kwamba walipaswa kutangaza neno hili na kulieneza katika miji yao na katika Yerusalemu wakisema: “Enendeni katika nchi ya mlima na kuleta matawi kutoka miti ya mizeituni, mizeituni mwitu, mihadasi, mitende na miti ya kivuli, ili kutengeneza vibanda,” kama ilivyoandikwa.
16 Hatdawkvah, a cei awh teh, a la awh. A im dawk thoseh, thongma dawk thoseh, Cathut e im thoseh, Tui longkha lawilah thoseh, Ephraim longkha alawilah thoseh, rim lengkaleng a sak awh.
Basi watu wakaenda na kuleta matawi, nao wakajijengea vibanda juu ya paa za nyumba zao, katika nyua zao, katika nyua za nyumba ya Mungu, na katika uwanja karibu na Lango la Maji na uwanja wa Lango la Efraimu.
17 San dawk hoi kahlout pueng ni rim lengkaleng a sak awh teh, rim thungvah ao awh. Hothateh, Nun capa Joshua tueng hoi hot hnin totouh, Isarelnaw ni a sak awh boihoeh e lunghawinae kalen poung a tawn awh.
Jamii yote ya watu waliorudi kutoka utumwani wakajenga vibanda na kuishi ndani yake. Tangu wakati wa Yoshua mwana wa Nuni mpaka siku ile, Waisraeli hawakuwahi kuiadhimisha namna hii. Furaha yao ilikuwa kubwa sana.
18 Kamtawng hnin koehoi apoutnae hnin totouh, Cathut e kâlawk cauk hah pou a touk awh. Pawi teh hnin sari touh a sak awh teh, ataroe hnin vah amamae singyoe patetlah kamkhuengnae pawi hai a sak awh.
Siku baada ya siku, kuanzia siku ya kwanza hadi ya mwisho, Ezra alisoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria ya Mungu. Wakaiadhimisha sikukuu ile kwa siku saba, nayo siku ya nane, kufuatana na maagizo, kulikuwa na kusanyiko maalum.

< Nehemiah 8 >