< Matthai 27 >
1 Amom vah vaihma bawinaw hoi tamimaya dawk e kacuenaw ni Jisuh thei hanelah a kâpankhai awh.
Asubuhi na mapema, viongozi wa makuhani wote na wazee wa watu wakafanya shauri pamoja dhidi ya Yesu ili kumuua.
2 Hahoi Bawipa hah a katek awh teh Pailat siangpahrang kut dawk tawngtang a poe awh.
Wakamfunga, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato, ambaye alikuwa mtawala wa Kirumi.
3 Hatnavah, Bawipa ka pahnawt e Judah Isakarot ni Bawipa a dum e hah a hmu navah, pan a kângai teh, tangka 30 touh hah vaihma bawinaw, bawknae koelah kacuenaw koevah bout a poe.
Yuda, ambaye alikuwa amemsaliti Yesu, alipoona kuwa Yesu amehukumiwa, akajuta na akarudisha vile vipande thelathini vya fedha alivyopewa na viongozi wa makuhani na wazee wa watu.
4 Ka payon toe, yon ka tawn hoeh e tami e a thi hah ka pahnawt payon toe telah ati. Ahnimouh van ni hai kaimouh hoi bangtelamaw kâkuet a vaw. Nama e hno hah nama ni khen lawih atipouh awh.
Akasema, “Nimetenda dhambi, kwa maana nimeisaliti damu isiyo na hatia.” Wakamjibu, “Hilo latuhusu nini sisi? Ni shauri yako.”
5 Ahni ni hote tangka hah Bawkim dawk vu a tâkhawng teh alouklah a cei hnukkhu a kaithi.
Basi Yuda akavitupa vile vipande vya fedha ndani ya Hekalu akaondoka akaenda kujinyonga.
6 Vaihma bawinaw ni hote tangka a la awh teh a thi phu doeh. Hno kuemnae dawk pâseng kawi nahoeh telah a kapan awh teh,
Wale viongozi wa makuhani wakazichukua zile fedha wakasema, “Si halali kuchanganya fedha hizi na sadaka kwa sababu hizi ni fedha zenye damu.”
7 Hlaam ka bo e talai hmuen hah Jentelnaw e phuen hanelah hote tangka hoi a ran awh.
Kwa hiyo baada ya kushauriana, waliamua kuzitumia kununulia shamba la mfinyanzi, liwe mahali pa kuzikia wageni.
8 Hote kecu dawkvah atu totouh hote talai hmuen hah ‘thi talai telah a kaw awh.
Hii ndiyo sababu lile shamba likaitwa Shamba la Damu hadi leo.
9 Profet Jeremiah ni a dei e teh, Isarelnaw ni aphu khoe e tami e aphu tangka 30 touh hah a la awh teh Cathut ni lawk na thui e van patetlah,
Ndipo likatimia lile lililonenwa na nabii Yeremia, kwamba, “Walichukua vile vipande thelathini vya fedha, thamani aliyopangiwa na watu wa Israeli,
10 Hlaam ka bo e talai hmuen hah ka ran awh tie lawk hah, hatnavah a kuep.
wakanunulia shamba la mfinyanzi, kama vile Bwana alivyoniagiza.”
11 Jisuh teh ram kaukkung hmalah a pha navah, ram kaukkung ni nang teh Judah siangpahrang katang maw telah a pacei. Jisuh ni na pacei e patetlah atang doeh atipouh.
Wakati huo Yesu akiwa amesimama mbele ya mtawala, mtawala akamuuliza, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Yesu akasema, “Wewe wasema hivyo.”
12 Vaihma bawinaw hoi kacuenaw ni yon a pen awh navah kam touh boehai pathung hoeh.
Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.
13 Pailat bawi ni nange avanglah moikapap ni a kampangkhai e hah na thai hoeh maw atipouh nakunghai,
Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”
14 Kam touh boehai a pathung hoeh e hah ram kaukkung ni a ka ngai lah a ru.
Lakini Yesu hakumjibu hata kwa shtaka moja, kiasi kwamba mtawala alishangaa sana.
15 Hote pawi dawkvah ram kaukkung ni thongkabawtnaw thung dawk hoi tami kapap ni a ngai e tami buetbuet touh hah ouk tha e lah ao.
Basi ilikuwa ni desturi ya mtawala kumfungua mfungwa mmoja aliyechaguliwa na umati wa watu wakati wa sikukuu.
16 Hatnavah paung e naw thung dawk Barabas tie min kamthang e tami buet touh ao.
Wakati huo alikuwepo mfungwa mmoja mwenye sifa mbaya, aliyeitwa Baraba.
17 Taminaw a kamkhueng awh toteh Pailat bawi ni nangmouh ni apimaw hlout sak hanlah na ngai awh, Barabas maw hoehpawiteh Khrih tie Jisuh hah maw, telah taminaw hah a pacei.
Hivyo umati wa watu walipokusanyika, Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie nani, Baraba au Yesu yeye aitwaye Kristo?”
18 Hettelah a paceinae teh ahnimouh ni a ut awh dawkvah Jisuh a man sak ati e hah Pailat bawi ni a panue dawk doeh.
Kwa kuwa alitambua Yesu alikuwa amekabidhiwa kwake kwa ajili ya wivu.
19 Hothloilah, lawkcengnae tungkhung dawk a tahung navah a yu ni tami a patoun teh, hote tamikalan hah bang telah hai tet hanh. Sahnin roeroe vah kai ni ahni kecu dawk ka mang lah puenghoi ka khang toe, telah lawk a thui.
Pilato akiwa ameketi kwenye kiti cha hukumu, mkewe akampelekea ujumbe huu: “Usiwe na jambo lolote juu ya mtu huyu asiye na hatia, kwa kuwa leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake.”
20 Tami ka kamkhuengnaw ni Barabas hlout sak vaiteh Jisuh thei sak hanlah vaihma bawinaw hoi kacuenaw ni taminaw hah a uen awh.
Lakini viongozi wa makuhani na wazee wakaushawishi ule umati wa watu kwamba waombe Baraba afunguliwe, naye Yesu auawe.
21 Hatdawkvah ram ka uk bawi ni het tarawi thung dawk, nangmouh ni api hah maw hlout sak han na ngai awh telah bout a pacei navah; ‘Barabas doeh hlout sak ka ngai awh telah a dei awh.
Mtawala akawauliza tena, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka niwafungulie?” Wakajibu, “Baraba.”
22 Pailat bawi ni ‘hah pawiteh Khrih tie Jisuh hah te bangtelamaw ti han telah bout a pacei navah; ahnimouh pueng ni ‘ahni hateh thingpalam dawk hetnae khang seh telah ati awh.
Pilato akawaambia, “Basi nifanye nini na huyu Yesu aitwaye Kristo?” Wakajibu wote, “Msulubishe!”
23 Ram kaukkung bawi ni hai ‘bangkongmaw, bangmaw a sakpayon telah a pacei navah, ahni teh thingpalam dawk het lah awmseh telah hoe a hram awh.
Pilato akauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakazidi kupiga kelele, wakisema, “Msulubishe!”
24 Pailat bawi ni tâ laipalah taminaw ni hoehoe a coukdouk awh e hah a hmu toteh, tui a la teh taminaw e a hmalah a kut a kamsin teh, hete tamikalan e a thi hoi kai teh ka bet hoeh, na ngai e patetlah sak a lawih a ti.
Pilato alipoona kwamba hawezi kufanya lolote, lakini badala yake ghasia zilikuwa zinaanza, akachukua maji, akanawa mikono yake mbele ya ule umati wa watu, akasema, “Sina hatia juu ya damu ya mtu huyu, hili ni jukumu lenu!”
25 Hote tami pueng ni, ahni e a thi teh kaimae lû dawk, ka catounnaw e a lû dawk bawt lawiseh ati awh.
Watu wote wakajibu, “Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu!”
26 Pailat bawi ni hai Barabas hah a tha pouh. Jisuh hah a hem hnukkhu thingpalam dawk thei hanelah a poe.
Basi akawafungulia Baraba. Lakini baada ya kuamuru Yesu achapwe mijeledi, akamtoa ili asulubishwe.
27 Hat torei teh ram kaukkung e a ransanaw ni Jisuh hah bawi imthung lah a hrawi awh teh, ransahu abuemlah a kamkhueng sak.
Kisha askari wa mtawala wakampeleka Yesu kwenye Praitorio na wakakusanya kikosi kizima cha askari kumzunguka.
28 A khohna hah a rading pouh awh, hni paling a kâkhu sak awh.
Wakamvua nguo zake na kumvika vazi la rangi nyekundu, kisha
29 Pâkhinglukhung a kâmuk sak awh. Sonron buet touh aranglah a sin sak awh teh, a hmalah khokcuengkhuem sin awh teh, Judah siangpahrang, nang koe yawhawinae awm naseh ti hoi a pacekpahlek awh.
wakasokota taji ya miiba, wakaiweka kichwani pake. Wakamwekea fimbo katika mkono wake wa kuume, na wakapiga magoti mbele zake na kumdhihaki, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
30 Tamtui hoi a tamthawi awh sonron hah a la pouh awh teh a lû dawk a hem pouh awh.
Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.
31 Hottelah a pacekpahlek awh hnukkhu, a kâkhu e hah a rading pouh awh teh, amae kâkhu e hah bout a kâkhu sak awh teh, thingpalam dawk het hanlah a tâcokhai awh.
Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakampeleka ili wakamsulubishe.
32 A cei awh lahun nah Simon tie Sairen tami, buet touh a hmu awh teh, thingpalam hah hmatara a hrawm sak awh.
Walipokuwa wakienda, wakakutana na mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni, nao wakamlazimisha kuubeba ule msalaba.
33 Luhru hmuen tie Galgotha a pha awh toteh,
Wakafika mahali palipoitwa Golgotha (maana yake ni Mahali pa Fuvu la Kichwa).
34 tâsi kakhat hoi a kalawt awh e misurtui kathut poung e hah nei sak hanlah a poe awh. A patek teh nei han ngai hoeh.
Hapo wakampa Yesu divai iliyochanganywa na nyongo ili anywe; lakini alipoionja, akakataa kuinywa.
35 Thingpalam dawk a pathout awh hnukkhu cungpam a rayu awh teh a kâkhu e hni hah a kâravei awh.
Walipokwisha kumsulubisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. [Hili lilifanyika ili litimie lile neno lililonenwa na nabii, “Waligawa nguo zangu miongoni mwao na vazi langu wakalipigia kura.”]
36 Hote hmuen koe tahung laihoi a ring awh.
Kisha wakaketi, wakamchunga.
37 Yon pâphonae ca a vo pouh e teh, ‘het e tami teh Judah siangpahrang Jisuh doeh, telah a thut awh teh a lû lathueng a vo pouh awh.
Juu ya kichwa chake, kwenye msalaba, wakaandika shtaka lake hivi: Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.
38 Hatnavah Bawipa hoi cungtalah dingca kahni touh aranglah buet touh, avoilah buet touh thingpalamnae dawk a pathout awh.
Wanyangʼanyi wawili walisulubiwa pamoja naye, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wa kushoto.
39 Lam dawk ka cet kaawm e naw ni Bawkim hah ka raphoe vaiteh hnin thum touh hoi bout ka sak han e, namahoima kâhloutsak haw.
Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao
40 Cathut e Capa katang lah na awm pawiteh namahoima rungngang nateh, thingpalamnae dawk hoi kum leih telah a lû kahek awh teh pacekpahleknae lawk a dei awh.
na kusema, “Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe mwenyewe basi! Kama wewe ni Mwana wa Mungu, shuka kutoka msalabani.”
41 Hot patetvanlah vaihma bawinaw, cakathutkungnaw, tami kacuenaw niyah ayânaw teh a rungngang thai,
Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani, walimu wa sheria pamoja na wazee wakamdhihaki wakisema,
42 Amahoima teh kârungngang thai hoeh bo. Judah siangpahrang katang na tetpawiteh thingpalamnae dawk hoi atu kum naseh. Kum pawiteh ka yuem awh han.
“Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni Mfalme wa Israeli! Ashuke sasa kutoka msalabani, nasi tutamwamini.
43 Ahni teh Cathut a kâuep toe. Kai teh Cathut Capa doeh ati toe. Hatdawkvah Cathut ni ahni dawk a ngainae awm pawiteh atu roeroe vah kârungngang na seh telah a dudam awh teh a dei awh.
Anamwamini Mungu, basi Mungu na amwokoe sasa kama anamtaka, kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’”
44 Hot patetlah Bawipa hoi cungtalah thingpalamnae dawk a het awh e dingcanaw ni hai a pathoe awh teh yon a pen awh.
Hata wale wanyangʼanyi waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana vivyo hivyo.
45 Kanî tuengtalueng a thunnae koehoi suimilam kathum totouh talai van pueng dawk kho a hmo.
Tangu saa sita hadi saa tisa giza liliifunika nchi yote.
46 Tangmin lah suimilam kathum navah Jisuh ni ‘Eli, Eli, Lama Sabakhthani. telah a hram. Hot hateh, Ka Cathut, ka Cathut bangkongmaw na pahnawt tinae doeh.
Ilipofika saa tisa, Yesu akapaza sauti akalia, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?” (maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”)
47 Hote hmuen koe kangdout e a tangawn ni a thai awh navah Elijah doeh a kaw ati awh.
Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama pale waliposikia hayo, wakasema, “Anamwita Eliya.”
48 Tami buet touh ni tang a yawng teh, napon a sin teh, misurtui kathut e hoi a kalawt hnukkhu rayung dawk a takei teh nei sak hanlah a poe.
Ghafula mmoja wao akaenda mbio na kuleta sifongo, akaichovya kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Yesu ili anywe.
49 Alouknaw ni tat yawkaw, Elijah ni ahni rungngang hanlah a tho ou, tho hoeh ou tie heh khen a haw sei ati awh.
Wengine wakasema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Eliya atakuja kumwokoa.”
50 Jisuh ni tha hoi bout a hram teh hringnae a thouk.
Yesu alipolia tena kwa sauti kuu, akaitoa roho yake.
51 Hattoteh Bawkim thung e yaphni a lû hoi a khok totouh a kâphi. Talai a kâhuet. Lungsongnaw a kâbawng.
Wakati huo huo pazia la Hekalu likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka.
52 Tangkom pueng a kamawng teh, ka ip tangcoung e tami kathoungnaw moikapap a thaw awh teh,
Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu waliokuwa wamekufa ikafufuliwa.
53 Bawipa a thaw hnukkhu, ahnimanaw teh tangkom thung hoi a tâco awh teh khopui kathoung thungvah a kâen awh, tami moikapap koe a kamnue awh.
Wakatoka makaburini, na baada ya Yesu kufufuka, waliingia kwenye Mji Mtakatifu na kuwatokea watu wengi.
54 Jisuh ka ring e ransabawi hoi ransahu ni talai a kâhuet e a hmu awh toteh a taki awh dawkvah Cathut e Capa tangngak doeh ati awh.
Basi yule jemadari na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu walipoona lile tetemeko na yale yote yaliyokuwa yametukia, waliogopa, wakasema, “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
55 Galilee kho e Jisuh khetyawt hanlah a hnukkâbang e napuinaw ni hote hmuen koevah ahlanae koehoi a khet awh.
Walikuwako wanawake huko wakiangalia kwa mbali. Hawa walikuwa wamemfuata Yesu tangu Galilaya ili kushughulikia mahitaji yake.
56 Hote napuinaw dawkvah Meri Magdalin, Jem hoi Joseph e a manu Meri hoi Zebedee e capanaw e manu tinaw a bawk awh.
Miongoni mwao walikuwepo Maria Magdalene, na Maria mama yao Yakobo na Yosefu, na mama yao wana wa Zebedayo.
57 Tangmin lah a pha toteh Arimathea kho e kabawipounge Joseph, a hnukkâbang van e buet touh a tho teh,
Ilipofika jioni, alifika mtu mmoja tajiri kutoka Arimathaya aitwaye Yosefu, ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
58 Pailat bawi koe a kâen teh Jisuh e ro hah a hei. Pailat ni a ro hah poe lah awmseh telah kâ a poe.
Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Yesu. Pilato akaamuru apewe.
59 Joseph ni a ro hah a la teh lukkarei ka pangaw e hoi a kayo hnukkhu,
Yosefu akauchukua mwili wa Yesu, akaufunga katika kitambaa cha kitani safi,
60 ama hanelah lungsong dawk thuk e tangkom katha thung vah a ta. Lungphenpui hoi takhang a teng teh a ceitakhai.
na kuuweka katika kaburi lake mwenyewe jipya, alilokuwa amelichonga kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa katika ingilio la kaburi, akaenda zake.
61 Meri Magdalin hoi alouke Meri teh hote tangkom hmalah a tahung roi.
Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwepo mahali pale, wakiwa wameketi mkabala na kaburi.
62 Atangtho toteh vaihma bawinaw hoi Farasinaw ni Pailat bawi koe a kamkhueng awh teh,
Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya Maandalizi ya Sabato, viongozi wa makuhani na Mafarisayo wakamwendea Pilato
63 ‘hot e kadumyenkung ni kai teh apâthum hnin kathâw han telah a due hoehnahlan a dei e hah ka panue awh rah.
na kusema, “Bwana, tumekumbuka kwamba yule mdanganyifu wakati alikuwa bado hai alisema, ‘Baada ya siku tatu nitafufuka.’
64 Hatdawkvah a hnukkâbangnaw ni tangmin vah a ro hah a la awh teh, ahni teh duenae koehoi a thaw toe telah tami pueng koe dei awh pawiteh ahmaloe e payon e hlak a hnukkhu e payon e hoe kalen han telah ngaihrinae a tawn awh dawkvah, tangkom hah hnin thum touh thung ring hanlah kâ na poe haw atipouh awh.
Kwa hiyo uamuru kaburi lilindwe kwa uthabiti mpaka baada ya siku tatu. La sivyo, wanafunzi wake wanaweza kuja kuuiba mwili wake na kuwaambia watu kwamba amefufuliwa kutoka kwa wafu. Udanganyifu huu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa kwanza.”
65 Pailat ni ‘nangmouh koe ka ring e tamihu touh ao. Cet awh nateh a coung thai totouh a uep thai nahanlah ring awh atipouh.
Pilato akawaambia, “Ninyi mnao askari walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadri mwezavyo.”
66 Ahnimouh ni a cei awh teh talung hah mitnoutnae tacik a kin awh hnukkhu ka ring e naw a ta awh teh, tangkom hah kahawicalah a ring awh.
Kwa hiyo wakaenda na walinzi ili kulilinda kaburi kwa uthabiti, wakatia muhuri kwenye lile jiwe na kuweka ulinzi.