< Bawknae 10 >

1 Aron e a capa Nadab hoi Abihu ni hmai sinnae tawngben a la roi teh, hmai a hruek roi. Hmai dawk hmuitui a phuen hnukkhu, BAWIPA ni kâ a poe hoeh e ka talue e hmai hoi thuengnae a sak roi.
Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua vyetezo vyao, wakaweka moto ndani yake na kuongeza uvumba; kisha wakamtolea Bwana moto usio halali, kinyume na agizo la Mungu.
2 Hatdawkvah, BAWIPA koehoi hmai a tâco teh, BAWIPA hmalah hmai a kak teh a due roi.
Hivyo moto ukaja kutoka kwa uwepo wa Bwana na kuwaramba, nao wakafa mbele za Bwana.
3 Mosi ni Aron a kaw teh BAWIPA ni KAI teh kathounge lah ka o dawkvah, KAI koe kâhnai han kangainaw ni a pâkuem hane teh tami pueng ni ka lentoenae a bari awh han telah ka dei navah, Hot patetlah e doeh ka dei ngai telah ati hnukkhu, Aron teh lawkkamuem lah ao.
Kisha Mose akamwambia Aroni, “Hili ndilo alilonena Bwana wakati aliposema: “‘Miongoni mwa wale watakaonikaribia nitajionyesha kuwa mtakatifu; machoni pa watu wote nitaheshimiwa.’” Aroni akanyamaza.
4 Mosi ni Aron e a na pa kanaw, Uzziel e capa Mishael hoi Elzaphan a kaw teh, tho roi haw, na hmaunawngha roi hah, hmuen kathoung koehoi alawilah kâkayawn roi ei telah atipouh e patetlah,
Mose akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjomba wake Aroni, akawaambia, “Njooni hapa. Ondoeni miili ya binamu zenu mbele ya mahali patakatifu, mkaipeleke nje ya kambi.”
5 Ahnimouh roi ni a tho roi teh, angki khohna khue hoi rim alawilah a kâkayawt roi.
Hivyo wakaja na kuwaondoa, wakiwa bado wamevalia makoti yao ya ibada, wakawapeleka nje ya kambi, kama Mose alivyoamuru.
6 Mosi ni Aron hoi a capa roi, Eleazar hoi Ithamar a kaw teh, nangmouh hai na due awh han. Taminaw pueng koe lungkhueknae phat payon vaih ti a ngaihri teh, na bawilakhung rading awh hanh, khohna phi awh hanh. Hmaunawngha Isarel miphun abuemlah Cathut ni hmai hoi a kak sak e duengma khuikapkhai awh.
Ndipo Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe, Eleazari na Ithamari, “Msifunue vichwa vyenu wala msirarue mavazi yenu, la sivyo mtakufa na Bwana ataikasirikia jumuiya nzima. Lakini ndugu zenu, nyumba yote ya Israeli, wanaweza kuwaombolezea wale ambao Bwana amewaangamiza kwa moto.
7 Nangmouh na due awh hoeh nahanelah, tamimaya kamkhuengnae takhang alawilah, tâcawt awh hanh. BAWIPA e satui awinae nangmouh koe ao telah, Mosi ni a dei e patetlah a sak awh.
Msitoke nje ya ingilio la Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa, kwa sababu mafuta ya Bwana ya upako yako juu yenu.” Hivyo wakafanya kama vile Mose alivyosema.
8 BAWIPA ni Aron koe bout a dei pouh e teh,
Kisha Bwana akamwambia Aroni,
9 Nang hoi na capanaw ni due awh hoeh nahanlah thoseh, kathoung hoi kathounghoehe, kakhin hoi
“Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
10 Kakhin hoeh e hnonaw, na kapek thai nahanlah thoseh,
Ni lazima mtenganishe kilicho kitakatifu na kile kilicho cha kawaida, kati ya yaliyo najisi na yaliyo safi,
11 BAWIPA ni Mosi koe a dei pouh e kâlawknaw hah, Isarel miphunnaw koe cangkhai thai nahanelah thoseh, kamkhuengnae lukkareiim dawk na kâen awh navah, Misurtui hoi paruithai e naw net awh hanh. Na miphun, catounnaw totouh na tarawi awh han e phung lah ao telah atipouh.
na lazima mwafundishe Waisraeli amri zote ambazo Bwana aliwapa kupitia Mose.”
12 Mosi ni hai Aron hoi kahring rae capa Eleazar hoi Ithamar a kaw teh, BAWIPA koe hmaisawi thuengnae tavai kacawie lat nateh, tonphuenhoehe, khoungroe teng cat awh. Kathoung poung e lah ao.
Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe waliosalia, Eleazari na Ithamari, “Chukueni sadaka ya nafaka iliyobaki kutoka sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, muile hapo kando ya madhabahu ikiwa imeandaliwa bila chachu, kwa sababu ni takatifu sana.
13 Cathut koe hmai hoi thuengnae teh nang hoi na capanaw ni coe hane kawi lah ao dawkvah, hmuen kathoung koe na ca awh han. Bangkongtetpawiteh, Hottelah kâpoe e lah ao dawk doeh.
Mtaila katika mahali patakatifu kwa sababu ni fungu lenu na fungu la wana wenu la sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.
14 Kahek e takuep hoi dâw e kahek e aphai teh, nama hoi cungtalah, na canaw hoi hmuen kathoung koe na ca awh han. Isarel miphunnaw ni roum thuengnae sathei thung dawk e nang hoi na capanaw ni ham hane kawi lah ao.
Lakini wewe na wanao na binti zako mwaweza kula kidari kile kilichoinuliwa na paja lile lililotolewa. Mtavila mahali safi pa kawaida ya ibada; mmepewa wewe na watoto wako kuwa fungu lenu la sadaka za amani za Waisraeli.
15 Hmaisawi thuengnae sathei thaw hoi cungtalah dâw e aphai, kahek e takuep, BAWIPA hmalah a kahek vaiteh, BAWIPA ni kâ a poe e patetlah nama hoi na capanaw ni yungyoe a ham han kawi phung lah ao han telah ati.
Paja lile lililotolewa na kidari kile kilichoinuliwa lazima viletwe pamoja na sehemu za mafuta ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, ili kuinuliwa mbele za Bwana kama sadaka ya kuinuliwa. Hili litakuwa fungu lako la kawaida na wanao, kama Bwana alivyoagiza.”
16 Mosi ni yon thuengnae hmae panki laihoi a tawng eiteh, pâphawng hoeh. Hmaisawi thuengnae lah oun a sak toe. Hatdawkvah, Aron e a capa Eleazar hoi Ithamar koe a lungkhuek teh,
Mose alipouliza kuhusu mbuzi atolewaye kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kukuta kwamba ameteketezwa, aliwakasirikia Eleazari na Ithamari, wana wa Aroni waliobaki, akawauliza,
17 Bangkongmaw, yon thuengnae sathei moi teh, a thoungpoung. Hatei, nangmouh ni rangpuinaw e yon na ham teh, BAWIPA hmalah ahnimouh hanelah yon thuengnae sak hanelah, hote sathei moi na poe a eiteh, bangkongmaw hmuen kathoung koe na ca awh hoeh vaw.
“Kwa nini hamkula sadaka ya dhambi katika eneo la mahali patakatifu? Ni takatifu sana. Mlipewa ninyi ili kuondoa hatia ya jumuiya kwa ajili ya kuwafanyia upatanisho mbele za Bwana.
18 Hote sathei thi haiyah, hmuen kathoung koe na thokhai awh hoeh vaw. Kai ni lawk na thui e patetlah hmuen kathoung koe sathei moi ca han na tet awh pawiteh,
Kwa kuwa damu yake haikuletwa ndani ya Mahali Patakatifu, mngemla mbuzi huyo katika sehemu ya mahali patakatifu kama nilivyoagiza.”
19 Aron ni sahnin ahnimouh ni taminaw hanlah, yon thuengnae sathei, hmaisawi thuengnae sathei, yo a thueng awh han toe. Kai koe hot patetlah e hno a tho dawkvah, sahnin yon thuengnae sathei moi ka cat pawiteh, Cathut lungyouk han na maw telah Mosi koe atipouh.
Aroni akamjibu Mose, “Leo wanangu wametoa sadaka zao za dhambi na sadaka zao za kuteketezwa mbele za Bwana, lakini mambo kama haya yamenitokea mimi. Je, Bwana angependezwa kama ningekuwa nimekula sadaka ya dhambi leo?”
20 Mosi ni hote lawk a thai navah a lungkuep.
Mose aliposikia haya, akaridhika.

< Bawknae 10 >