< Khuinae 3 >
1 Kai teh nama e lungkhueknae dawk reithai rucatnae ka kâhmo e tami lah ka o.
Mimi ndiye mtu aliyeona mateso kwa fimbo ya ghadhabu yake.
2 Kai hah na pâlei teh angnae dawk laipalah hmonae dawk na cei sak.
Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;
3 Atangcalah, kai hah hnin touh thung a kut hoiyah na pakhuppathan.
hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu tena na tena, mchana kutwa.
4 Ka tak hoi ka vuennaw a hmawn sak teh, ka hrunaw hah a khoe.
Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa na ameivunja mifupa yangu.
5 Kai koe lah na rakhan teh reithai rucatnae hoi na kalup.
Amenizingira na kunizunguka kwa uchungu na taabu.
6 Ka dout tangcoungnaw patetlah a hmonae thung na o sak.
Amenifanya niishi gizani kama wale waliokufa.
7 Na paung teh karipoung e rui hoi kahlout thai hoeh nahanlah na katek.
Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka, amenifunga kwa minyororo mizito.
8 Hramki hoi ka ka teh, pahrennae ka kâhei nakunghai, ka ratoumnae hah na coe pouh hoeh.
Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada, anakataa kupokea maombi yangu.
9 Ka lamthung hai talung a e hoi na khan pouh. Ka lamthung a longkawi sak.
Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe, amepotosha njia zangu.
10 Kai na ka pawm e tavom patetlah kâhronae dawk kaawm e sendek patetlah na o sak.
Kama dubu aviziaye, kama simba mafichoni,
11 Ka lamthung na phen sak teh, kai hah thawkthawk na raboung. Kângue han awm laipalah na o sak.
ameniburuta kutoka njia, akanirarua na kuniacha bila msaada.
12 Ahnie licung a sawn teh, pala hoi ka hanelah a nue e patetlah na ta.
Amevuta upinde wake na kunifanya mimi niwe lengo kwa ajili ya mishale yake.
13 Ahnie palacung teh ka kuen thung a kâen sak.
Alinichoma moyo wangu kwa mishale iliyotoka kwenye podo lake.
14 Kai teh ka taminaw e hmalah hnin touh thung dudamnae hoi la lah na sak awh hanelah ka o toe.
Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote, wananidhihaki kwa wimbo mchana kutwa.
15 Na min ni kakhat e kung hoi na kawi sak teh, lungkhueknae hoi na phum.
Amenijaza kwa majani machungu na kunishibisha kwa nyongo.
16 Ka hâ teh talung kate e hoi a khoe. Hraba hoi muen a ramuk.
Amevunja meno yangu kwa changarawe, amenikanyagia mavumbini.
17 Ka lungthin muitha teh roumnae thung hoi na takhoe toung dawkvah, bawinae tie teh ka pahnim toe.
Amani yangu imeondolewa, nimesahau kufanikiwa ni nini.
18 Ka ngaihawinae hoi ka lentoenae teh, BAWIPA ama koehoi a kahma toe telah ka ti.
Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka na yale yote niliyokuwa nimetarajia kutoka kwa Bwana.”
19 Kaie reithai rucat ka khangnae, lungkhueknae hoi kakhat e naw na pahnim pouh hanh.
Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu, uchungu na nyongo.
20 Ka hringnae ni hote hnonaw hah pahnim hoeh niteh, ka thungvah pou ao. Kaie lungthin muitha hah tha ayoun sak.
Ninayakumbuka vyema, nayo nafsi yangu imezimia ndani yangu.
21 Hettelah ka lungthin bout na pouk sak nah ka ngaihawinae bout ka tawn.
Hata hivyo najikumbusha neno hili na kwa hiyo ninalo tumaini.
22 Bangkongtetpawiteh, BAWIPA mae pahren lungmanae hoi ngaithoumnae teh nâtuek hai a poutnae ao hoeh dawkvah, maimouh teh rawk laipalah o awh.
Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii, kwa kuwa huruma zake hazikomi kamwe.
23 Amom tangkuem a tha lah pahren lungmanae na pang sak. Nama e yuemkamcunae teh a lenpoung.
Ni mpya kila asubuhi, uaminifu wako ni mkuu.
24 BAWIPA teh kai hanelah doeh ao. Hatdawkvah, ka lungthin muitha ni ama teh a ngaihawi.
Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu, kwa hiyo nitamngojea.”
25 BAWIPA teh ama ka tawng e hoi ama kâuepnaw hanelah, ahawinae a sak pouh.
Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake, kwa yule ambaye humtafuta;
26 BAWIPA e rungngangnae duem ka ring e teh, kahawi e hno doeh.
ni vyema kungojea kwa utulivu kwa ajili ya wokovu wa Bwana.
27 Nawsai nah kahnam phu hanelah ao.
Ni vyema mtu kuchukua nira bado angali kijana.
28 Cathut ni a van kahnam a toung dawkvah, amadueng a tahung vaiteh, duem awm naseh.
Na akae peke yake awe kimya, kwa maana Bwana ameiweka juu yake.
29 Hote hmuen koe ngaihawinae ao thai dawkvah, amae a pahni teh vaiphu dawk hrueng naseh.
Na azike uso wake mavumbini bado panawezekana kuwa na matumaini.
30 Ka tambei e tami hah hmaibei vang rek patueng pouh, a minhmai mathout naseh.
Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye, na ajazwe na aibu.
31 Bangkongtetpawiteh, Bawipa ni a yungyoe na pahnawt mahoeh.
Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali na Bwana milele.
32 Ama ni lung na mathoe sak nakunghai, a lentoe lungmanae hoi bout na pahren han doeh.
Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma, kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu.
33 Bangkongtetpawiteh, taminaw lungmathoe sak e hoi rucatnae pha sak hanelah ngai hoeh.
Kwa maana hapendi kuwaletea mateso au huzuni watoto wa wanadamu.
34 Talai dawkvah, thongkabawtnaw khok rahim coungroe e hai thoseh,
Kuwaponda chini ya nyayo wafungwa wote katika nchi,
35 A lathueng Poung Cathut hmalah tami e lannae pahnawtnae hai thoseh,
Kumnyima mtu haki zake mbele za Aliye Juu Sana,
36 Kayanae lahoi ayâ sungsaknae hai thoseh, Bawipa ni a ngai e nahoeh.
kumnyima mtu haki: Je, Bwana asione mambo kama haya?
37 Bawipa ni kâpoenae awm laipalah, tami ni dei e hah coung thai han namaw.
Nani awezaye kusema nalo likatendeka kama Bwana hajaamuru?
38 A lathueng Poung e Cathut e pahni dawk hoi yawhawinae yawthoenae teh ka tho e doeh.
Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana ndiko yatokako maafa na mambo mema?
39 Ama e yon dawk reknae a khang e hah tami ni bangkongmaw a phuenang awh vaw.
Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake?
40 Maimae lamthungnaw hah maimouh ni tanouknae hoi tawng awh sei. BAWIPA koe lah bout kamlang awh sei.
Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu, na tumrudie Bwana Mungu.
41 Kalvan kaawm e Cathut koe maimae lungthin hoi kutnaw dâw awh sei.
Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu mbinguni, na tuseme:
42 Kaimanaw ni ka payon teh na taran awh toe. Nama ni kayonnae na ngaithoum hoeh.
“Tumetenda dhambi na kuasi nawe hujasamehe.
43 Nama e lungkhueknae dawk minhmai na kamlang takhai teh, kaimouh koe lungmanae awm laipalah na thei toe.
“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia; umetuchinja bila huruma.
44 Kaimae ratoumnae teh nama koe a cei thai hoeh nahanelah, tâmai hoi na ramuk pouh toe.
Unajifunika mwenyewe kwa wingu, ili pasiwe na ombi litakaloweza kupenya.
45 Nama ni kaimanaw teh miphunnaw e rahak vah, kakhin e hoi panuettho e eitaboung lah na o sak.
Umetufanya takataka na uchafu miongoni mwa mataifa.
46 Tarannaw ni kaimouh koe lah a pahni a ang awh.
“Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao wazi dhidi yetu.
47 Kaimouh koe takinae hoi karap teh a pha toe.
Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”
48 Kaie tami tanglanaw a rawk dawkvah, ka mit teh palang tui patetlah a lawng.
Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu, kwa sababu watu wangu wameangamizwa.
49 Ka mitphi teh palang tui ka lawng e patetlah poutnae awm laipalah a lawng.
Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma, bila kupata nafuu,
50 BAWIPA ni kalvan hoi a khetcathuk teh a hmu.
hadi Bwana atazame chini kutoka mbinguni na kuona.
51 Ka khopui thung e canu tanglanaw abuemlae kecu dawk, ka mit ni ka lungthin dawk a pataw sak.
Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini kwa sababu ya wanawake wote wa mji wangu.
52 Bang hoeh e dawk ka tarannaw ni, tava patetlah na pâyuep awh.
Wale waliokuwa adui zangu bila sababu wameniwinda kama ndege.
53 Ahnimouh ni ka hringo tangkom dawk na pabo teh, talungnaw hoi na ratet sin awh.
Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo na kunitupia mawe;
54 Ka lû dawk hoi tui ni muen na licung teh, ka due han toe telah ka pouk.
maji yalifunika juu ya kichwa changu, nami nikafikiri nilikuwa karibu kukatiliwa mbali.
55 Oe BAWIPA, kai ni tangkom thung hoi nama e na min teh ka kaw.
Nililiitia jina lako, Ee Bwana, kutoka vina vya shimo.
56 Kaie ka kâheinae lawk na thai teh ka ka navah, na hnâpakeng laipalah awm hanh.
Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako kilio changu nikuombapo msaada.”
57 Kai ni nama na kawnae hnin nah ka teng na tho teh, taket hanh na ti pouh.
Ulikuja karibu nilipokuita, nawe ukasema, “Usiogope.”
58 Oe BAWIPA nama ni ka lungthin na rungngang pouh teh, ka hringnae na ratang.
Ee Bwana, ulichukua shauri langu, ukaukomboa uhai wangu.
59 Oe BAWIPA nama ni kapayonnaw na hmu toe. Kai hanlah lawk na ceng pouh haw.
Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa. Tetea shauri langu!
60 Nama ni kai ka tak dawk thoe ka sak e taminaw e kahawihoehe pouknae hah na hmu pouh.
Umeona kina cha kisasi chao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu.
61 Oe BAWIPA kai ka tak dawk thoe ka sak e pathoenae hoi khokhannae pueng teh, nama ni na thai.
Ee Bwana, umesikia matukano yao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:
62 Ka tarannaw ni a dei e hoi a pouk e naw pueng teh, hnin touh thung a sak awh.
kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia dhidi yangu mchana kutwa.
63 Ahnimae tahungnae kangduenae hah khenhaw! Kai teh ahnimouh e pathoe hanelah ka o.
Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama, wananidhihaki katika nyimbo zao.
64 Oe BAWIPA amamae kut hoi a sak e pueng dawk aphu teh bout poe haw.
Uwalipe kile wanachostahili, Ee Bwana, kwa yale ambayo mikono yao imetenda.
65 Ahnimae lungthin patak sak nateh, nama e thoebonae ahnimae lathueng phat naseh.
Weka pazia juu ya mioyo yao, laana yako na iwe juu yao!
66 BAWIPA e kalvan rahim hoi na lungkhueknae hoi ahnimanaw teh be raphoe haw.
Wafuatilie katika hasira na uwaangamize kutoka chini ya mbingu za Bwana.