< Lawkcengkung 17 >
1 Ephraim mon dawk tami buet touh ao. A min teh Mikah doeh.
Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu.
2 Ahni ni a manu koevah, tangka 1, 100 touh na la pouh e hah nang ni kama ka thainae koe roeroe vah thoe na bo haw. Khenhaw! hote tangka teh kai koe ao. Kai ni ka la payon toe ati. A manu ni, ka capa BAWIPA ni yawhawi poe naseh atipouh.
Akamwambia mama yake, “Zile shekeli 1,100 za fedha zilizochukuliwa kwako, ambazo nilisikia ukizinenea maneno ya laana, hizi hapa; mimi ndiye niliyezichukua, lakini sasa ninakurudishia.” Ndipo mama yake akamwambia, “Bwana na akubariki, mwanangu.”
3 Hahoi tangka 1, 100 touh a manu bout a poe toteh, a manu ni, hete tangka heh, kai kama e kut dawk roeroe hoi ka capa hanlah, meikaphawk sak nahan hoi meikaphawk dêi nahanelah, BAWIPA koe, atuvah bout na poe han atipouh.
Alipozirudisha zile shekeli 1,100 za fedha kwa mama yake, mama yake akamwambia, “Mimi nimeiweka fedha hii wakfu kwa Bwana kwa ajili ya mwanangu kutengenezea kinyago cha kuchonga na sanamu ya kusubu. Mimi nitakurudishia wewe.”
4 Hot patetlah tangka hah a manu koe a pâban. Hahoi, a manu ni tangka cumhni touh a la teh, nguntui ka hlun koe a poe. Ahnimouh ni meikaphawk a sak teh, a hlun pouh awh. Hot teh Mikah im vah ao.
Hivyo akamrudishia mama yake ile fedha, naye mama yake akachukua shekeli mia mbili za hiyo fedha na kumpa mfua fedha, ambaye aliifanyiza kinyago na sanamu. Navyo vikawekwa ndani ya nyumba ya Mika.
5 Mikah ni bawkim a tawn. Ephod hoi Terah cathut a sak teh, a capa buet touh hah vaihma thaw a tawk sak.
Basi Mika alikuwa na mahali pa kuabudia miungu, akatengeneza naivera, pamoja na vinyago, na kumweka mmoja wa wanawe kuwa kuhani wake.
6 Hote tueng nah, Isarel ram siangpahrang awm hoeh. Taminaw pueng ni ama ni ahawi ati e patetlah kho a sak awh.
Katika siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme, kila mmoja akafanya kama alivyoona vyema machoni pake mwenyewe.
7 Hahoi, Judah ram Bethlehem kho e Levih miphun thoundoun buet touh ao teh, Bethlehem khovah a roe teh,
Basi palikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu ya Yuda. Yeye alikuwa Mlawi aliyeishi miongoni mwa kabila la Yuda.
8 haw hoi, bout a cei teh, a roe nahane hmuen a tawng teh, Ephraim mon dawk Mikah im vah a pha.
Huyu kijana akatoka katika mji huo wa Bethlehemu ya Yuda na kutafuta mahali pengine ambapo angeweza kuishi. Alipokuwa akisafiri, akafika nyumbani kwa Mika katika vilima vya Efraimu.
9 Mikah ni, nâ lahoi maw na tho atipouh. Ahni ni, Judah ram Bethlehem e Levih tami doeh. O nahan hmuen tawng hoi ka kâva atipouh.
Mika akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?” Akamjibu, “Mimi ni Mlawi kutoka Bethlehemu ya Yuda, ninatafuta mahali pa kuishi.”
10 Mikah ni, kai koe ma awm lawih. Kai koe na pa lah, vaihma lah awm nateh, kum touh dawk ngun phen hra touh na poe han. Khohna yung touh hoi na cakawi hai na poe han atipouh. Hahoi, Levih tami teh a kâen toe.
Ndipo Mika akamwambia, “Ishi pamoja nami, uwe baba yangu na kuhani wangu, nami nitakupa shekeli kumi za fedha, nguo na chakula.”
11 Hahoi Levih tami ni hote tami koe o hanelah a hnâbo teh, hote thoundoun teh a capa buet touh patetlah ao.
Hivyo yule Mlawi akakubali kuishi pamoja naye, naye huyo kijana akawa kwake kama mmoja wa wanawe.
12 Mikah ni Levih tami thoundoun teh, vaihma lah a coung sak teh, Mikah im vah ao.
Hivyo Mika akamweka wakfu huyo kijana Mlawi, naye huyo akawa kuhani wake na kuishi nyumbani mwake.
13 Hahoi teh, Mikah ni, atuteh Levih tami teh kaie vaihma lah ka tawn toe. BAWIPA ni kai koe hawinae a sak han tie ka panue telah ati.
Ndipo Mika akasema, “Sasa najua Bwana atanitendea mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.”