< Joshua 7 >

1 Hateiteh, Judah miphun, Jerah, Zabdi, Karmi e capa Akhan ni thoebo e hno hah a la teh, hote hno dawk hoi Isarel miphunnaw ni payonnae yon lah ao dawkvah, BAWIPA teh, ahnimouh koe a lungkhuek.
Lakini Waisraeli hawakuwa waaminifu kuhusu vile vitu vilivyowekwa wakfu; Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alivichukua baadhi ya hivyo vitu. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Israeli.
2 Joshua ni Jeriko khopui hoi taminaw hah a patoun teh, nangmouh ni Bethel kho kanîtholah Bethaven kho teng kaawm e Ai kho cet awh nateh, hote ram hah tuet awh atipouh e patetlah ahnimouh ni a cei awh teh, Ai kho a tuet awh.
Basi Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko waende Ai, karibu na Beth-Aveni mashariki ya Betheli, akawaambia, “Pandeni mkaipeleleze nchi.” Basi wale watu wakapanda wakaipeleleza Ai.
3 Joshua koe bout a ban awh teh, hete taminaw abuemlah cetsak hanh tami 2000 hoehpawiteh 3000 tabang cei vaiteh, Ai kho tuk awh naseh. Hote kho dawk cei hane hah, hate tami pueng patang sak hanh. Kho thung e tami pap awh hoeh atipouh.
Waliporudi kwa Yoshua, wakasema, “Si lazima watu wote waende kupigana na Ai. Watume watu elfu mbili au tatu wakauteke huo mji. Usiwachoshe watu wote, kwa sababu huko kuna watu wachache tu.”
4 Hatdawkvah, tami 3,000 tabang a cei awh, hatei Ai kho e taminaw hmalah a yawng awh.
Basi wakapanda kama watu elfu tatu tu, lakini wakashambuliwa na watu wa Ai,
5 Ai kho e taminaw ni tami 36 touh a thei awh. Kho longkha koehoi Sebarim hmuen totouh a pâlei awh. Hote hmuen koe a kum awh navah a thei awh dawkvah, tami pueng e lungthin teh, tui lah a kamyawt teh, tui patetlah ao.
ambao waliwaua watu kama thelathini na sita miongoni mwao. Wakawafukuza Waisraeli kutoka lango la mji hadi Shebarimu, nao wakawauwa huko kwenye materemko. Kutokana na hili mioyo ya watu ikayeyuka ikawa kama maji.
6 Joshua ni amae khohna a phi teh, Isarel miphunnaw, kacue kanaw abuemlah a lû dawk vaiphu a kâphuen awh teh, BAWIPA e thingkong e hmalah karumsaning totouh a tabo awh.
Ndipo Yoshua akayararua mavazi yake, akaanguka kifudifudi mbele ya Sanduku la Bwana, na akabakia hapo mpaka jioni. Wazee wa Israeli nao wakafanya vivyo hivyo wakatia mavumbi vichwani mwao.
7 Joshua ni, oe BAWIPA nang ni hete tami pueng heh, Amor miphunnaw e kut dawkvah na poe vaiteh, raphoe sak hanelah Jordan palang namran lah bangkongmaw na hrawi awh. Kaimanaw ni lungkuepnae lungthin ka tawn awh dawkvah, Jordan palang kanîtholah na awm sak haw.
Yoshua akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, kwa nini umewavusha watu hawa ngʼambo ya Yordani ili kututia mikononi mwa Waamori watuangamize? Laiti tungeliridhika kukaa ngʼambo ile nyingine ya Yordani!
8 Oe BAWIPA, Isarel miphunnaw ni tarannaw hmalah hnuklah kamlang takhai toung dawkvah, kai ni bangtelamaw ka dei han toung.
Ee Bwana, niseme nini sasa, ikiwa sasa Israeli ameshafukuzwa na adui zake?
9 Kanaan taminaw a onae ram thung taminaw ni, hote kamthang a thai awh navah, kaimanaw na ven awh vaiteh, kaimae ka min teh, talai dawk hoi na takhoe awh han toe. Nange na min lentoe nahanelah bangtelamaw na ti han toung telah atipouh awh.
Wakanaani na watu wengine wa nchi watasikia habari hii, nao watatuzunguka na kutufutilia jina letu duniani. Utafanya nini basi kwa ajili ya jina lako mwenyewe lililo kuu?”
10 BAWIPA ni thaw haw, bangkong sut na tahung,
Bwana akamwambia Yoshua, “Simama! Unafanya nini hapo chini kifudifudi?
11 Isarel miphunnaw na yon awh toe. Kai ni lawk na thui awh e lawkkam hah na raphoe awh toe. Thoe ka bo e hno na paru awh teh, dumyennae na sak awh teh, namamae hno thung na hruek awh toe.
Israeli ametenda dhambi. Wamekiuka agano langu nililowaamuru kulishika. Wamechukua baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu, wameiba, wamesema uongo, wameviweka pamoja na mali zao.
12 Hottelah Isarel miphunnaw ni thoebo e tami lah na o dawkvah, na tarannaw e hmalah na kangdout thai awh hoeh. Hnuklah na kamlang takhai awh. Thoebo kawi lah kaawm hane tami hah nangmouh thung dawk hoi na takhoe hoehpawiteh kai teh nangmouh hoi rei kaawm mahoeh.
Ndiyo sababu Waisraeli hawawezi kusimama dhidi ya adui zao. Wanawapa visogo na kukimbia kwa kuwa wanastahili maangamizi. Sitakuwa pamoja nanyi tena mpaka mwangamize kila kitu miongoni mwenu kilichotengwa kwa maangamizi.
13 Thaw nateh, na taminaw hah thoung sak haw. Tangtho e hnin hanlah namahoima thoung sak haw atipouh. Isarel miphunnaw e BAWIPA ni kâ na poe e teh, oe Isarel miphunnaw, thoebo e hno teh, nangmae thung vah ao. Hote hno hah nangmouh koehoi na takhoe awh hoehroukrak na tarannaw hmalah na kangdout thai awh mahoeh.
“Nenda, ukawatakase watu. Waambie, ‘Jitakaseni mjiandae kwa kesho; kwa sababu hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Kitu kilichowekwa wakfu kipo katikati yenu, ee Israeli. Hamwezi kusimama dhidi ya adui zenu mpaka mtakapokiondoa.
14 Tangtho amom miphun miphun lahoi kai koe ka hnai lah na tho awh han. BAWIPA ni a la e miphun teh, a miphun lahoi na hnai awh han. BAWIPA ni a la e imthungkhu kuep lahoi na hnai awh han. BAWIPA ni a la e imthungkhu teh, tami buetbuet touh hoi na hnai awh han.
“‘Asubuhi, mjihudhurishe kabila kwa kabila. Itakuwa kabila lile atakalolitwaa Bwana litakuja mbele ukoo kwa ukoo, ukoo ule atakaoutwaa Bwana utakuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa ile atakayoitwaa Bwana itakuja mbele mtu kwa mtu.
15 Thoebo e hno ka sin e teh, a la e tami hoi a tawn e hno pueng hoi hmaisawi han. Bangkongtetpawiteh, ahni ni BAWIPA e lawkkam hah a raphoe teh, Isarel miphun thung dawk kaya ka tho e hno a sak toe telah Joshua koe atipouh.
Yule atakayekutwa na vitu vilivyowekwa wakfu, atateketezwa kwa moto, pamoja na vitu vyote alivyo navyo. Kwa kuwa amelivunja agano la Bwana na kufanya kitu cha aibu katika Israeli!’”
16 Amom lah Joshua a thaw teh, Isarel miphunnaw a miphun lahoi a thokhai teh, Judah miphunnaw hah a la.
Kesho yake asubuhi na mapema Yoshua akawaamuru Israeli kuja mbele kabila kwa kabila; na Yuda akatwaliwa.
17 Judah miphunnaw a thokhai teh, Zerahnaw hah a la. Zerah imthungkhu pueng hah a thokhai teh, Zebdi imthungnaw hah a la.
Koo za Yuda zikaja mbele, naye akawatwaa Wazera. Akaamuru ukoo wa Wazera kuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa ya Zabdi ikatwaliwa.
18 Hote imthung dawk hoi tami buet touh hoi a thokhai teh, Judah miphun Zerah, Zabdi, Karminaw dawk hoi ka tho e Akhan hah a la.
Yoshua akaamuru watu wa jamaa ya Zabdi kuja mbele mtu kwa mtu, naye Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, akatwaliwa.
19 Joshua ni ka ca Isarel miphunnaw e BAWIPA pholen nateh, a hmalah na yonnae pâpho haw. Nang ni na sakpayon e hno hah, kai koe na dei pouh haw, hrawk hanh telah Akhan hah atipouh.
Ndipo Yoshua akamwambia Akani, “Mwanangu, mtukuze Bwana, Mungu wa Israeli, nawe ukiri kwake. Niambie ni nini ulichotenda; usinifiche.”
20 Akhan ni ka payon toe. Isarel miphunnaw e BAWIPA koe ka yon toe.
Akani akamjibu Yoshua, “Ni kweli! Nimetenda dhambi dhidi ya Bwana, Mungu wa Israeli. Hili ndilo nililofanya:
21 Kai ni ka yon e hno teh, Lawp awh e hno thung dawk a phu kaawm poung e Babilon hnicu, ngun shekel cum hni, Sui shekel 50, kai ni ka noe teh, ka kuem toe. Kama e rim thung talai dawk ka pakawp teh, ngun teh, athungpoung lah ao telah Joshua koe a dei poeh.
Nilipoona katika nyara joho zuri la kutoka Babeli, shekeli mia mbili za fedha, na kabari ya dhahabu ya uzito wa shekeli hamsini, nikavitamani na nikavichukua. Tazama, vimefichwa ardhini ndani ya hema langu, pamoja na hiyo fedha chini yake.”
22 Hahoi Joshua e patounenaw ni rim koe lah a yawng awh teh, hote hnonaw rim thung talai dawk a pakawp e ngun hah a hmu awh toteh,
Kwa hiyo Yoshua akatuma wajumbe, nao wakapiga mbio mpaka hemani, tazama, vile vitu vilikuwa vimefichwa hemani mwake, pamoja na ile fedha chini yake.
23 rim thung e a la awh teh, Joshua koe, Isarel miphunnaw hmalah a sin awh teh, BAWIPA e hmalah a ta awh.
Wakavichukua vile vitu toka mle hemani, wakamletea Yoshua pamoja na Waisraeli wote, na wakavitandaza mbele za Bwana.
24 Joshua hoi Isarel miphunnaw abuemlah ni Zerah e capa Akhan koehoi, ngun, hnicu, suitueng, a canaw, tu, maito, la, rim khuehoi a ma koe kaawm e pueng, Akhor tanghling dawk a ceikhai awh teh,
Basi Yoshua, pamoja na Israeli yote, wakamchukua Akani mwana wa Zera, pamoja na ile fedha, lile joho, ile kabari ya dhahabu, wanawe na binti zake, ngʼombe, punda na kondoo wake, hema yake pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta katika Bonde la Akori.
25 Joshua ni kaimanaw han bangkongmaw runae na poe, sahnin BAWIPA ni nang teh runae na poe van han atipouh teh, Isarel miphunnaw abuemlah ni talung hoi a dei awh. A dei awh hnukkhu hmai a sawi awh.
Yoshua akasema, “Kwa nini umeleta taabu hii juu yetu? Bwana ataleta taabu juu yako leo hii.” Ndipo Israeli yote ikampiga Akani kwa mawe, na baada ya kuwapiga jamaa yake yote kwa mawe, wakawateketeza kwa moto.
26 Ahni e a van vah talung a pum awh teh, sahnin totouh ao. BAWIPA e a lungkhueknae a roum. Hote hmuen teh sahnin totouh Akhor tanghling telah a phung awh.
Wakakusanya lundo la mawe juu ya Akani, ambalo lipo mpaka leo. Naye Bwana akageuka kutoka hasira yake kali. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Bonde la Akori tangu siku hiyo.

< Joshua 7 >