< Jawhan 8 >

1 Jisuh teh Olive Mon lah a cei.
Lakini Yesu akaenda katika Mlima wa Mizeituni.
2 Amom vah bawkim vah bout a tho teh taminaw hai a teng vah a tho awh, hawvah a tahung teh a cangkhai.
Alfajiri na mapema Yesu akaja tena Hekaluni, watu wote wakakusanyika, akakaa akaanza kuwafundisha.
3 Hawvah cakathutkungnaw, hoi Farasinaw ni ka uicuk e napui a man awh teh a lungui a kangdue sak awh.
Walimu wa sheria na Mafarisayo wakamleta mwanamke mmoja aliyefumaniwa akizini. Wakamsimamisha katikati ya umati wa watu wote.
4 Ahnimouh ni Jisuh koe, Bawipa hete napui heh a uicuk lahun nah ka man awh.
Wakamwambia Yesu, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.
5 Mosi e kâlawk thung kaimouh kâ na poe e dawkvah het patet e napui heh talung hoi dêi hanlah ao. Hatei, nang ni teh bangtelamaw na dei han, atipouh awh.
Katika sheria, Mose alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake wa namna hii, mpaka wafe. Sasa wewe wasemaje?”
6 Hottelah a dei awh ngainae teh Bawipa tanouk nahanlah a dei awh e doeh. Yonpen han a ngai awh e doeh. Jisuh ni a tabut teh a kutdawn hoi talai dawk ca a thut.
Walimuuliza swali hili kama mtego ili wapate sababu ya kumshtaki. Lakini Yesu akainama akaanza kuandika ardhini kwa kidole chake.
7 Ahnimouh ni boutbout a pacei awh dawkvah Jisuh ni a kamlang sin teh nangmouh thung dawk kayonhoehe ni, talung hoi hmaloe dêi seh atipouh hnukkhu,
Walipoendelea kumuulizauliza akainuka, akawaambia, “Kama kuna mtu yeyote miongoni mwenu ambaye hana dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe.”
8 bout a tabut teh ca bout a thut.
Akainama tena na kuandika ardhini.
9 Ahnimouh ni hote lawk a thai awh navah a lungthung vah a yonae a kâpâpho awh dawkvah kacuepoung koehoi camo totouh buet touh hnukkhu buet touh koung a ban awh. Jisuh teh a madueng sut a ceitakhai awh.
Waliposikia haya, wakaanza kuondoka mmoja mmoja, wakianzia wazee, hadi Yesu akabaki peke yake na yule mwanamke akiwa amesimama mbele yake.
10 Jisuh ni a kamlang toteh napui a madueng sut a kangdue e a hmu navah, napui nang, nang yon ka pen e taminaw te na maw ao awh. Nang apinihai yon na hnei hoeh maw atipouh.
Yesu akainuka na kumwambia, “Wako wapi wale waliokuwa wanakuhukumu kuwa mwenye hatia?”
11 Apinihai yon na pen hoe Bawipa telah napui ni atipouh. Kai ni hai nang yon na hnei mahoeh, atu hoi law teh yonnae bout sak han lawih atipouh.
Yule mwanamke akajibu, “Hakuna hata mmoja Bwana.” Yesu akamwambia, “Hata mimi sikuhukumu. Nenda zako, kuanzia sasa usitende dhambi tena.”]
12 Jisuh ni, kai teh het talaivan angnae lah ka o. Kaie ka hnuk kâbang e pueng ni hmonae thung cet hoeh. Hring angnae teh a hmu han atipouh.
Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni nuru ya ulimwengu. Mtu yeyote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.”
13 Farasinaw ni, Jisuh hanlah nang ni nama e kong na kampangkhai. Na kampangkhainae teh cak hoeh atipouh awh.
Mafarisayo wakamwambia, “Ushuhuda wako haukubaliki kwa kuwa unajishuhudia mwenyewe.”
14 Jisuh nihai, kai ni kama e kong kampangkhai e teh a cak. Bangkongtetpawiteh kai teh na lahoi maw ka tho tie hoi na lah maw ka cei han tie hah ka panue. Hatei, nangmouh ni teh na panuek awh hoeh.
Yesu akawajibu, “Hata kama najishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu ni kweli kwa sababu najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda.
15 Nangmouh teh takngainae patetlah lawk na ceng awh. Kai ni teh apihai lawk ka ceng hoeh.
Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu, mimi simhukumu mtu yeyote.
16 Kai ni lawk ka ceng e teh a cak. Bangkongtetpawiteh kai teh ka madueng kaawm hoeh. Kapatounkung Pa teh kai koe ao.
Lakini hata kama nikihukumu, uamuzi wangu ni sahihi kwa sababu sitoi hukumu yangu peke yangu, bali niko pamoja na Baba, aliyenituma.
17 Kapanuekkhaikung tami kahni touh e lawk teh a cak telah nangmae kâlawk dawk ao.
Imeandikwa katika Sheria yenu kwamba, ushahidi wa watu wawili ni thabiti.
18 Kai ni kama e kong ka dei, kai kapatounkung Pa ni hai kaie kong kampangkhai atipouh.
Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma hunishuhudia.”
19 Ahnimouh ni haiyah, nange na pa te na maw ao telah a pacei awh. Jisuh ni nangmouh ni kai heh na panuek awh hoeh. A Pa hai na panuek awh hoeh. Nangmouh ni kai na panuek pawiteh apa hai na panue awh han atipouh.
Ndipo wakamuuliza, “Huyo Baba yako yuko wapi?” Yesu akawajibu, “Ninyi hamnifahamu mimi ni nani, wala hammfahamu Baba yangu. Kama mngenifahamu mimi, mngemfahamu na Baba yangu.”
20 Jisuh ni hete kong heh, bawkim thung tangka kuemnae teng vah a cangkhai navah a dei. Hatei, amae atueng a pha hoe rah dawkvah apinihai ahni teh man awh hoeh.
Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika chumba cha hazina Hekaluni. Lakini hakuna mtu aliyemkamata kwa kuwa saa yake ilikuwa haijawadia.
21 Jisuh ni kai teh, ka cet vaiteh nangmouh ni na tawng awh han. Hatei, nangmouh teh namamae yon dawk na due awh han. Kai ka ceinae hmuen koe na tho thai awh mahoeh atipouh.
Yesu akawaambia tena, “Ninaenda zangu, nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi ninyi hamwezi kuja.”
22 Judahnaw ni, kai ka ceinae koe na tho a thai mahoeh ati e heh, amahoima kaithi han ati ngainae maw, ati awh.
Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?”
23 Jisuh ni nangmouh teh talaivan lahoi na tho awh, Kai teh kahlun lahoi ka tho. Nangmouh teh talai tami doeh. Kai teh talai tami na hoeh.
Akawaambia, “Ninyi mmetoka chini, mimi nimetoka juu. Ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
24 Hatdawkvah nangmouh teh namamae yon dawk na due awh han. Kai teh ka hring tie na yuem awh hoehpawiteh namamae yon dawk na due awh han atipouh.
Niliwaambia kuwa mtakufa katika dhambi zenu, kwa maana msipoamini ya kwamba ‘Mimi Ndiye,’ mtakufa katika dhambi zenu.”
25 Boipawiteh, nang apimaw, telah a pacei awh. Jisuh ni ahmaloe hoi yo ka dei tangcoung e patetlah kai doeh.
Wakamuuliza, “Wewe ni nani?” Naye Yesu akawajibu, “Mimi ndiye yule ambaye nimekuwa nikiwaambia tangu mwanzo.
26 Nangmae kong dawk dei han hoi toun han moi ao. Hatei, kai na kapatounkung teh lawkkatang lah ao. Ahni koe e ka thai e pueng doeh talaivan ka dei atipouh.
Nina mambo mengi ya kusema juu yenu na mengi ya kuwahukumu. Lakini yeye aliyenituma ni wa kweli, nami nanena na ulimwengu niliyoyasikia kutoka kwake.”
27 A na pa kong a dei e hah ahnimouh ni thai panuek awh hoeh.
Hawakuelewa kuwa alikuwa akiwaambia juu ya Baba yake wa Mbinguni.
28 Hatdawkvah Jisuh ni nangmouh ni tami Capa na pathout awh toteh kai teh ahni doeh tie hah na panue awh vaiteh kai ni ka mahmawk banghai ka sak hoeh, Pa ni na cangkhai e patetlah doeh ka dei tie na panue awh han.
Kisha Yesu akawaambia, “Mtakapokwisha kumwinua juu Mwana wa Adamu, ndipo mtakapojua kuwa, ‘Mimi ndiye yule niliyesema na kwamba mimi sitendi jambo lolote peke yangu bali ninasema yale tu ambayo Baba yangu amenifundisha.
29 Kai kapatounkung teh, kai hoi cungtalah ao. Kai ka madueng o sak hanlah a Pa ni na cettakhai hoeh. Bangkongtetpawiteh, ama ngainae hno dueng doeh pou ka sak pouh ati.
Yeye aliyenituma yu pamoja nami, hajaniacha, kwa kuwa siku zote nafanya mapenzi yake.’”
30 Hote lawknaw a dei navah, tami moikapap ni a yuem awh.
Wengi waliomsikia Yesu akisema maneno haya wakamwamini.
31 Hatnavah nangmouh ni, kaie cangkhai e patetlah na yuem awh pawiteh, ka hnukkâbang katang lah na o awh.
Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli.
32 Lawkkatang hah na panue awh vaiteh, hote lawkkatang ni na hlout sak awh han, telah ka yuem e Judahnaw hanlah atipouh.
Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”
33 Judahnaw nihai, kaimouh teh Abraham e catoun lah ka o awh. Apie san lahai kaawm boi awh hoeh. Na hlout awh han tie hah bang na tingainae maw titeh a pacei awh.
Wao wakamjibu, “Sisi tu wazao wa Abrahamu, nasi hatujawa watumwa wa mtu yeyote. Wawezaje kusema kwamba tutawekwa huru?”
34 Atangcalah na dei pouh awh. Yonnae ka sak e tami pueng teh yonnae san lah ao awh.
Yesu akajibu, “Amin, amin nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
35 San ni im dawk pou awm hoeh. A capa doeh kaawm. (aiōn g165)
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn g165)
36 Hatdawkvah, a Capa ni nangmouh na hlout sak pawiteh nangmouh teh na hlout katang awh han.
Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.
37 Nangmouh teh Abraham catoun tie ka panue. Hateiteh, kaie cangkhainae ni nangmae lungthung hmuen a la hoeh dawkvah, nangmouh ni kai thei hanelah na panki awh.
Ninajua ya kuwa ninyi ni wazao wa Abrahamu, lakini mnatafuta wasaa wa kuniua kwa sababu ndani yenu hamna nafasi ya neno langu.
38 Kai ni a Pa koehoi ka hmu e patetlah na cangkhai awh. Nangmouh ni hai namamae na pa koe na hmu awh patetlah na sak awh, atipouh.
Ninasema yale niliyoyaona mbele za Baba yangu, nanyi inawapa kufanya yale mliyosikia kutoka kwa baba yenu.”
39 Ahnimouh nihai, Abraham teh kaimae na pa doeh atipouh awh. Jisuh ni hai nangmouh teh Abraham e a ca lah na awm awh pawiteh, Abraham a sak e patetlah na sak awh han.
Wakajibu, “Baba yetu ni Abrahamu.” Yesu akawaambia, “Kama mngekuwa wazao wa Abrahamu mngefanya mambo yale aliyofanya Abrahamu.
40 Cathut koe e lawkkatang na kacangkhaikung kai hah nangmouh ni thei hanlah na kâcai awh. Abraham teh hot patetlah sak hoeh.
Lakini sasa ninyi mnatafuta kuniua, mtu ambaye nimewaambia kweli ile niliyosikia kutoka kwa Mungu, Abrahamu hakufanya jambo la namna hii.
41 Nangmouh teh namamae na pa ni a sak e patetlah na sak awh atipouh. Ahnimouh nihai, Kaimouh teh cataca nahoeh. A Pa Cathut buet touh dueng doeh kaawm atipouh awh.
Ninyi mnafanya mambo afanyayo baba yenu.” Wakamjibu, “Sisi hatukuzaliwa kwa uzinzi. Tunaye Baba mmoja, Mungu pekee.”
42 Jisuh ni Cathut teh nangmae na Pa katang pawiteh kai na lungpataw awh han. Bangkongtetpawiteh kai heh Cathut koehoi ka kum e doeh. Ka mahmawk ka tho hoeh. Cathut ni kai na patoun.
Yesu akawaambia, “Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda, kwa maana nilitoka kwa Mungu na sasa niko hapa. Sikuja kwa ajili yangu mwenyewe, ila yeye alinituma.
43 Bangkongmaw kai ni ka dei e lawk na thai panuek awh hoeh vaw. Kaie lawk na dâw thai awh hoeh dawk doeh.
Kwa nini hamwelewi ninayowaambia? Ni kwa sababu hamwezi kusikia nisemacho.
44 Nangmouh teh nangmae na pa Kahraimathout koehoi doeh na tho awh. Na pa e a ngainae patetlah dueng doeh na sak awh. Kahraimathout teh apasuek hoi tami ka thet e doeh. Ahni dawk lawkkatang ao hoeh dawkvah, lawkkatang dawk awm hoeh. Laithoenae hoi kho a sak dawk laithoe e dueng a dei. Laithoe na pa lahai ao.
Ninyi ni watoto wa baba yenu ibilisi, nanyi mnataka kutimiza matakwa ya baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo, wala hakushikana na kweli maana hamna kweli ndani yake. Asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe kwa maana yeye ni mwongo na baba wa huo uongo.
45 Kai ni lawkkatang ka dei dawkvah, nangmouh ni kai na yuem awh hoeh.
Lakini kwa sababu nimewaambia kweli hamkuniamini!
46 Nangmouh thung dawk ka yonnae ka pâpho thai e apimaw kaawm. Kai ni Lawkkatang ka dei nahlangva bangkongmaw na yuem awh hoeh.
Je, kuna yeyote miongoni mwenu awezaye kunithibitisha kuwa mwenye dhambi? Kama nawaambia yaliyo kweli, mbona hamniamini?
47 Cathut hoi kâkuen e tami teh, Cathut e lawk a ngâi, nangmouh teh Cathut hoi na kâkuet awh hoeh dawk lawk na ngâi awh hoeh.
Yeye atokaye kwa Mungu husikia kile Mungu asemacho. Sababu ya ninyi kutosikia ni kwa kuwa hamtokani na Mungu.”
48 Judahnaw nihai, nang teh samaria tami doeh. Na thung kahraikathout ao ka tie hah atang nahoehmaw telah a pacei awh.
Wayahudi wakamjibu Yesu, “Je, hatuko sahihi tunaposema ya kwamba wewe ni Msamaria na ya kwamba una pepo mchafu?”
49 Jisuh ni kai kahrai ka tawn hoeh. A Pa doeh ka bari. Nangmouh ni kai hah na bari awh hoeh.
Yesu akawajibu, “Mimi sina pepo mchafu, bali ninamheshimu Baba yangu, nanyi mnanidharau.
50 Hatei, kama e lentoe nahane ka tawng hoeh. Kaie lentoe nahan ka tawng ni teh lawkcengkung buet touh ao.
Lakini mimi sitafuti utukufu wangu mwenyewe, bali yuko anayetaka kunitukuza, naye ndiye mwamuzi.
51 Atangcalah na dei pouh awh. Kaie lawk ka thai ni teh ka tarawi pueng ni duenae koehoi a hlout han atipouh. (aiōn g165)
Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn g165)
52 Judahnaw ni hai na thung kahrai kathoute ao tie atu ka panue awh. Abraham hoi profet pueng ni be a due awh toe. Nang ni teh kaie ka lawk ka tarawi e pueng ni duenae koe phat mahoeh na ti. (aiōn g165)
Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn g165)
53 Kaimae na pa Abraham hlak nang hoe na cue maw. Ahni teh a due toe. Profetnaw hai a due awh toe. Nang ni namahoima banglah maw na kâpouk.
Je, wewe ni mkuu kuliko baba yetu Abrahamu ambaye alikufa na manabii ambao nao pia walikufa? Hivi wewe unajifanya kuwa nani?”
54 Jisuh ni kamahoima kârasang sak pawiteh ayawmlah doeh ao. A Pa ni kai hah na rasang sak. Hote Cathut teh nangmouh ni kaimae Cathut doeh na ti awh.
Yesu akawajibu, “Kama nikijitukuza utukufu wangu hauna maana. Baba yangu, huyo ambaye ninyi mnadai kuwa ni Mungu wenu, ndiye anitukuzaye mimi.
55 Hatei, teh hote Cathut hah nangmouh ni na panuek awh hoeh. Kai ni teh ka panue. Ka panuek hoeh ka tetpawiteh nangmouh patet van lah laithoe ka dei e lah kaawm han. Hote Cathut teh kai ni ka panue, Cathut e a lawk hai ka ngâi.
Ingawa hamkumjua, mimi ninamjua. Kama ningesema simjui, ningekuwa mwongo kama ninyi, lakini mimi ninamjua na ninalitii neno lake.
56 Nangmae na pa Abraham ni kai ka tho nahane hnin hmu hanlah a konawm, a hmu toteh a lunghawi atipouh.
Baba yenu Abrahamu alishangilia kwamba angaliiona siku yangu, naye akaiona na akafurahi.”
57 Judahnaw nihai, na kum 50 touh patenghai ka phat hoeh rae nang ni Abraham teh ka hmu toe ngangngang na ka tet atipouh awh.
Wayahudi wakamwambia, “Wewe hujatimiza hata miaka hamsini, wewe wasema umemwona Abrahamu?”
58 Jisuh nihai, lawkkatang na dei pouh awh. Abraham ao hoehnahlan kai teh yo ka o toe, atipouh.
Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, kabla Abrahamu hajakuwako, ‘Mimi niko.’”
59 Hah navah Bawipa talung hoi dêi hanlah talungnaw a racawng awh. Hatei, Jisuh teh bawkim thung hoi alawilah a cei teh ahnimouh a roun.
Ndipo wakaokota mawe ili kumpiga, lakini Yesu akajificha, naye akatoka Hekaluni.

< Jawhan 8 >