< Jawhan 13 >
1 Ceitakhai pawi a pha hoeh nah, Jisuh teh het talaivan heh ceitakhai vaiteh a na Pa koe cei hane tueng a pha toe tie a panue. Ahni ni het talaivan kaawm e a taminaw a lungpataw dawkvah, apout totouh a lungpataw.
Ilikuwa kabla ya sikukuu ya Pasaka. Yesu alijua kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa Baba ilikuwa imefika. Alikuwa amewapenda daima watu wake walioko duniani; naam, aliwapenda mpaka mwisho!
2 Tangmin bu a ca awh lahun nah kahraimathout ni Simon capa, Judah Isakarot e a lungthung vah Jisuh pahnawt hanelah pouknae yo a la poe toe.
Basi, Yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. Ibilisi alikwisha mtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, nia ya kumsaliti Yesu.
3 Pa ni bangpuengpa hai ama kut dawk koung a poe tie hoi ama teh Cathut koehoi ka tho ni teh Cathut koe bout ka cei han toe tie hai Jisuh ni a panue.
Yesu alijua kwamba Baba alikuwa amemkabidhi kila kitu, na kwamba alikuwa ametoka kwa Mungu na anarudi kwa Mungu.
4 Tangmin bu vennae koehoi a thaw teh, angkidung a rading, hnica hah a la teh a keng dawk a kâyeng.
Basi, Yesu aliondoka mezani, akaweka kando vazi lake, akachukua kitambaa na kujifunga kiunoni.
5 Hathnukkhu, tui kawlung dawk a hlun teh a hnukkâbangnaw e khok a pâsu pouh teh hnica hoi a hui pouh.
Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.
6 Telah hoi Simon Piter koe a pha toteh, ahni ni Bawipa nang ni kaie ka khok hah na pâsu han maw atipouh.
Basi, akamfikia Simoni Petro; naye Petro akasema, “Bwana, wewe utaniosha miguu mimi?”
7 Jisuh nihai, nang ni atu kai bangmaw ka sak tie na panuek hoeh, atototeh na panue han, atipouh.
Yesu akamjibu, “Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.”
8 Piter nihaiyah, Bawipa nang ni kaie ka khok pâsu hanh atipouh. Jisuh ni, kai ni ka pâsu hoehpawiteh nang teh kai hoi kâkuetnae awm mahoeh, atipouh. (aiōn )
Petro akamwambia, “Wewe hutaniosha miguu kamwe!” Yesu akamjibu, “Nisipokuosha hutakuwa na uhusiano nami tena.” (aiōn )
9 Simon Piter ni hai pawiteh ka khok dueng pâsu hanh, ka kut hoi ka lû pueng hai pâsu, atipouh.
Simoni Petro akamwambia, “Bwana, nioshe, si miguu tu, bali na mikono yangu na kichwa pia.”
10 Jisuh nihai, tui ka kamhluk tangcoung e ni teh a khok dueng doeh pâsu han a ngai. A tak teh a thoung. Nangmanaw teh na thoung awh ei, buet touh teh thoung hoeh, atipouh.
Yesu akamwambia, “Aliyekwisha oga hana lazima ya kunawa isipokuwa miguu, maana amekwisha takata mwili wote. Ninyi mmetakata, lakini si nyote.”
11 Bawipa ni ama ka pahnawt hane a panue dawkvah, nangmouh thung dawk buet buet touh na thoung hoeh ti a deingainae doeh.
(Yesu alimjua yule ambaye atamsaliti, ndiyo maana alisema: “Ninyi mmetakata, lakini si nyote.”)
12 Jisuh ni a khoknaw be a pâsu pouh hnukkhu, angkidung bout a kho teh a tahung. Kai ni ka sak e hah na thai panuek awh maw, telah a pacei.
Alipokwisha waosha miguu na kuvaa tena vazi lake, aliketi mezani, akawaambia, “Je, mmeelewa hayo niliyowatendeeni?
13 Kai teh nangmouh ni Bawipa, saya telah na kaw awh, hottelah ka o dawk atueng.
Ninyi mwaniita Mwalimu na Bwana, nanyi mwasema vyema, kwa kuwa ndimi.
14 Kai teh nangmae Bawipa hoi saya lah ka o eiteh nangmae na khok ka pâsu pawiteh nangmouh teh buet touh hoi buet touh na kâpasu van awh han.
Basi, ikiwa mimi niliye Bwana na Mwalimu, nimewaosha ninyi miguu, nanyi pia mnapaswa kuoshana miguu.
15 Kai ni nangmouh koe ka sak e patetlah nangmouh ni na out awh hanelah ka sak toe.
Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.
16 Atangcalah ka dei, bawi teh san hlak a talue, laicei hlak kapatounkung a talue.
Kweli nawaambieni, mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake, wala mtume si mkuu zaidi kuliko yule aliyemtuma.
17 Hetnaw nangmouh ni na panue awh hnukkhu na tarawi awh pawiteh, nangmouh teh a yawkahawi e tami lah na o awh han.
Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza.
18 Nangmouh abuemlah dei ngainae na hoeh. Ka rawi e tami teh ka panue. Hatei, kaie vaiyei ka hmawng khai e ni a khok hoi na pathui tie Cakathoung a kuep han.
“Haya nisemayo hayawahusu ninyi nyote. Mimi nawajua wale niliowachagua. Lakini lazima yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo: Yule aliyeshiriki chakula changu amegeuka kunishambulia.
19 Hete hno a tâco hoehnahlan sut ka dei. A pha na hnin toteh kai heh ahni doeh toe tie na panue awh han.
Mimi nimewaambieni mambo haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini kuwa mimi ndimi.
20 Lawkkatang na dei pouh awh, kai ni ka patoun e tami na dâw pawiteh kai na dâw e lah ao. Kai na ka dâw e tami teh kai na kapatounkung ka dâw e lah a o, atipouh.
Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma.”
21 Jisuh ni hete lawknaw be a dei hnukkhu vah, muitha dawk a reithai laihoi, atangcalah na dei pouh awh. Nangmouh thung dawk buet touh ni kai hah na pahnawt han telah atipouh.
Alipokwisha sema hayo, Yesu alifadhaika sana rohoni, akasema wazi, “Kweli nawaambieni, mmoja wenu atanisaliti!”
22 A hnukkâbangnaw ni apimaw a deingai vaiyoe a titeh buet touh hoi buet touh a kâkhet awh.
Wanafunzi wakatazama wasiweze kabisa kujua anasema nani.
23 Jisuh ni a lungpataw e a hnukkâbangnaw thung dawk buet touh teh Jisuh koe rek kahnai lah a tahung.
Mmoja wa wanafunzi, ambaye Yesu alikuwa anampenda sana, alikuwa ameketi karibu na Yesu.
24 Simon Piter ni, apimaw a deingainae pacei haw, telah hote ahnuk kâbang e koe minout a poe.
Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: “Mwulize anasema juu ya nani.”
25 Hatdawkvah, hote ahnuk kâbang e ni Jisuh koe rek a hnai teh, Bawipa apimaw atipouh.
Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, “Bwana, ni nani?”
26 Jisuh ni kai ni vaiyei ka raen vaiteh ka ranup hnukkhu ka poe e ni kai teh na man sak han ati teh, vaiyei raen e hah Simon capa Judah Isakarot teh a poe.
Yesu akajibu, “Yule nitakayempa kipande cha mkate nilichochovya katika sahani, ndiye.” Basi, akatwaa kipande cha mkate, akakichovya katika sahani, akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti.
27 Ahni teh vaiyei a ca hoi, Setan ni a thung a kâen. Jisuh ni hai na sak hane kawi hno karanglah sak leih, atipouh.
Yuda alipokwisha pokea kipande hicho, Shetani akamwingia. Basi Yesu akamwambia, “Unachotaka kufanya, kifanye haraka!”
28 Bangkongmaw Jisuh ni hottelah a dei ati e cungtalah caboi kavennaw buet touh ni hai panuek awh hoeh.
Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.
29 Bangpatet ni teh Judah Isakarot teh tangkabom ka kuen e lah ao dawkvah, pawi nah ca hane kawi ran hanlah a patoun mue ati awh. Hoeh pawiteh, karoedengnaw buetbuet touh poe hane mue Jisuh ni a dei telah a pouk awh.
Kwa kuwa Yuda alikuwa na wajibu wa kuutunza mfuko wa fedha, baadhi yao walidhani kwamba Yesu alikuwa amemwambia anunue vilivyohitajiwa kwa sikukuu, au kwamba alikuwa amemwambia akatoe chochote kwa maskini.
30 Judah Isakarot teh vaiyei a ca teh a tâco. Hahoi teh kho a hmo toe.
Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku.
31 Judah a cei hnukkhu, Jisuh ni atuvah tami Capa bawilen lah ao toe. Cathut teh tami Capa dawk hoi bawilen lah ao toe.
Baada ya Yuda kuondoka, Yesu akasema, “Sasa Mwana wa Mtu ametukuzwa, naye Mungu ametukuzwa ndani yake.
32 Cathut teh tami Capa koehoi a bawilennae awm pawiteh, Cathut ma roeroe ni bawilennae a kamnue sak han. Hote bawilennae teh tang a kamnue sak han.
Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara.
33 Ka canaw, kai teh nangmouh hoi dongdeng doeh kaawm ti toe. Nangmouh ni kai hah na tawng awh han. Judahnaw koe ka dei e patetlah atu hai ka dei, kai ka ceinae koe nangmouh na phat thai mahoeh.
“Watoto wangu, bado niko nanyi kwa muda mfupi tu. Mtanitafuta, lakini sasa nawaambieni yale niliyowaambia viongozi wa Wayahudi: Niendako ninyi hamwezi kwenda!
34 Nangmouh ni buet touh hoi buet touh lungkâpataw awh, kai ni lung na pataw awh e patetlah buet touh hoi buet touh lungkâpataw awh telah kâpoelawk katha na poe awh.
Nawapeni amri mpya: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
35 Nangmouh ni buet touh hoi buet touh lungkâpataw awh pawiteh, taminaw ni hote lungpatawnae hmawt awh vaiteh nangmouh teh ka hnuk kâbang katang lah na o tie a panue awh han, atipouh.
Mkipendana, watu wote watajua kwamba ninyi ni wanafunzi wangu.”
36 Simon Piter ni, Bawipa na lah maw na cei han telah a pacei. Jisuh ni kai ka cei nahane hmuen koe atu na kâbang thai mahoeh, hatei, atototeh na kâbang thai han, atipouh.
Simoni Petro akamwuliza, “Bwana, unakwenda wapi?” Yesu akajibu, “Niendako huwezi kunifuata sasa, lakini utanifuata baadaye.”
37 Piter ni, Bawipa nang koe atu bangkong kâbang thai hoeh han vaw, Bawipa, nang hanlah ka hringlu ka pasoung han atipouh.
Petro akamwambia “Bwana, kwa nini siwezi kukufuata sasa? Niko tayari kufa kwa ajili yako!”
38 Jisuh ni kai hanlah na hringlu na pasoung katang han maw. Lawkkatang na dei pouh. Ahlui a khawng hoehnahlan nang ni kai vai thum touh na pahnawt han.
Yesu akajibu, “Je, uko tayari kweli kufa kwa ajili yangu? Kweli nakwambia, kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu!”