< Job 22 >
1 Teman tami Eliphaz ni a pathung teh,
Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
2 Tami teh Cathut hanelah a cungkeinae a tawn thai han namaw, A lungkaang e hai ama hanelah doeh cungkeinae ao.
“Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kumfaidi?
3 Tamikalan lah na onae hah, Athakasaipounge, a lungkahawi sak e lah ao han namaw Toun han awm laipalah na sak e na lamthung hah ahni hanelah a meknae ao han namaw
Je, Mwenyezi angefurahia nini kama ungekuwa mwadilifu? Au je, yeye angepata faida gani kama njia zako zingekuwa kamilifu?
4 Ama na taki kecu dawk maw na toun teh, lawkcengnae dawk na kâenkhai.
“Je, ni kwa ajili ya utaua wako ndiyo maana anakukemea na kuleta mashtaka dhidi yako?
5 Na hawihoehnae hah a len poung teh, pout laipalah na payonnae kecu dawk nahoehmaw.
Je, uovu wako si mkuu? Dhambi zako si hazina mwisho?
6 A khuekhaw awm laipalah na hmaunawngha e hno hah na man pouh teh, caici lah kaawm e hnicu hah na la pouh.
Umedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu; umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.
7 Tha ka tawn e koe, nei hane tui hah na poe hoeh teh, von kahlamnaw hanelah vaiyei hah na pasoung pouh hoeh.
Hukumpa maji aliyechoka, nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,
8 Hateiteh, tami athakaawme ni ram a coe teh, a thung vah bari kaawm e tami ni kho a sak awh.
ingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi: mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.
9 Lahmainu hah kut caici lah na ceisak awh teh, manu ka tawn hoeh e naranaw e kut hah na khoe pouh awh.
Umewafukuza wajane mikono mitupu na kuzivunja nguvu za yatima.
10 Hatdawkvah na tengpam e karap ni na kalup teh, puennae ni rucatnae na poe awh.
Ndiyo sababu mitego imekuzunguka pande zote, hatari ya ghafula inakutia hofu,
11 Na hmu thai hoeh nahanelah, hmonae hoi tuikalen poung ni muen a khu awh.
ndiyo sababu ni giza sana huwezi kuona, tena ndiyo sababu mafuriko ya maji yamekufunika.
12 Kalvan arasang nah koe, Cathut awm hoeh namaw Karasangpoung e âsinaw hah khenhaw! banghloimaw arasang.
“Je, Mungu hayuko katika mbingu za juu? Juu kuliko nyota zilizo juu sana!
13 Nang ni, Cathut ni bangmaw a panue, Hmonae hloilah lawk a ceng thai maw.
Hivyo wewe wasema, ‘Mungu anajua nini?’ Je, yeye huhukumu katika giza kama hilo?
14 A hmu thai hoeh nahanelah, katha poung e tâmai ni a ramuk teh, kalvan lathueng lah a kâhlai, telah na ti.
Mawingu mazito ni pazia lake, hivyo hatuoni sisi atembeapo juu ya anga la dunia.
15 Tamikathoutnaw ni karawk e lam karuem dawk meng na cei han namaw
Je, utaifuata njia ya zamani, ambayo watu waovu waliikanyaga?
16 Apimaw atueng kuep hoehnahlan vah la e lah kaawm niteh, apini a ung e maw tuikalen ni a la.
Waliondolewa kabla ya wakati wao, misingi yao ikachukuliwa na mafuriko.
17 Cathut koe, na cettakhai yawkaw, Athakasaipounge ni ahnimouh hanelah bangmaw a sak thai telah ati awh.
Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
18 Hateiteh a imnaw hah hnokahawi hoi akawi sak. Hateiteh tamikathout e khokhangnae teh, kai koehoi kahlatpoung lah ao.
Lakini ndiye alizijaza nyumba zao na vitu vizuri, hivyo ninajitenga mbali na mashauri ya waovu.
19 Tamikalan ni a hmu teh, a lunghawi. Yonnae ka tawn hoeh e ni dudamkungnaw hah a panuikhai awh.
“Wenye haki wanaona maangamizi yao na kufurahi, nao wasio na hatia huwadhihaki, wakisema,
20 Ka tarannaw teh, raphoe katang lah ao teh, kacawie naw hah hmai ni a kak han.
‘Hakika adui zetu wameangamizwa, nao moto umeteketeza mali zao.’
21 Ama koe kâpanuek sak nateh, karoumcalah awm, haw hoi nang hanelah hnokahawi a tâco han.
“Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia.
22 Pahren lahoi amae kâko hoi ka tâcawt e hringnae na cangkhai e hah dâw haw. Na lungthin thungvah amae lawk hah kahawicalah kuem.
Uyapokee mafundisho toka kinywani mwake, na maneno yake uyaweke moyoni mwako.
23 Athakasaipounge, koevah na ban pawiteh, kangdout thai e lah o han. Na payonpakai e hah na im dawk hoi kahlatpoung lah na takhoe han.
Kama ukimrudia Mwenyezi, utarudishwa upya: Kama ukiuondoa uovu uwe mbali na hema lako,
24 Nange sui teh, vaiphu dawk na ta han. Ophir sui hah sawkca thung e, sadinaw patetlah na pâtung han.
kama dhahabu yako ukiihesabu kama mavumbi, dhahabu yako ya Ofiri kama miamba ya mabondeni,
25 Athakasaipounge teh, nange sui hoi aphu kaawm e ngun lah ao han.
ndipo Mwenyezi atakuwa dhahabu yako, naye atakuwa fedha yako iliyo bora.
26 Hottelah Athakasaipounge dawkvah na lunghawi han. Cathut koe lah na khet han toe.
Hakika ndipo utakapojifurahisha kwa Mwenyezi, nawe utamwinulia Mungu uso wako.
27 Ama koe na ratoum vaiteh, na thai pouh han. Na lawkkam hah na kuep sak han.
Utamwomba yeye, naye atakusikia, nawe utazitimiza nadhiri zako.
28 Hno buet touh na kâcai vaiteh, nama hanelah caksak lah ao han. Hot patetvanlah na lamthung dawk angnae ni a tue han.
Utakusudia jambo nalo litatendeka, nao mwanga utaangazia njia zako.
29 Na tâkhawng navah tawmrasang e lah na o han telah na ti han. Hottelah kârahnoum e hah ama ni a rungngang han.
Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’ ndipo atamwokoa aliyevunjika moyo.
30 Ka yon hoeh e hah a rungngang han. Na kut thoungnae hoi rungngang lah ao han, telah a ti.
Atamwokoa hata yule ambaye ana hatia, ataokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.”