< Isaiah 63 >
1 Edom ram, Bozrah kho hoi a tho teh, hni ka paling e kâkhu laihoi ka tho e hah apimaw. Ka sungren e hni, a thaonae bawilennae lahoi ka tho e teh apine. Kai teh lannae lahoi lawk ka dei niteh, rungngang hanelah athakaawme doeh.
Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.”
2 Bangkongmaw na kâkhu e hni hah a paling teh na hni teh misur katinnae koe tami ni a kho e hoi a kâvan.
Kwa nini mavazi yako ni mekundu, kama ya yule akanyagaye shinikizo la zabibu?
3 Misur paw hah kai kama dueng doeh katin toe. Tami moikapap e thung hoi kai koe buet touh hai awm awh hoeh. Bangkongtetpawiteh, lungkhuek laihoi katin toe. Lungkhuek lahoi ka coungroe teh, ahnimae a thi ni kaie hni dawk a tâcawn sin teh kaie hninaw hah kakhin sak toe.
“Nimekanyaga shinikizo la zabibu peke yangu; kutoka mataifa hakuna mtu aliyekuwa pamoja nami. Nimewaponda kwa miguu katika hasira yangu na kuwakanyaga chini katika ghadhabu yangu; damu yao ilitia matone kwenye mavazi yangu, na kutia madoa nguo zangu zote.
4 Moipathungnae hnin teh ka lung dawk ao. Ahnimanaw ka ratangnae kum ni a pha toe.
Kwa kuwa siku ya kisasi ilikuwa moyoni mwangu, mwaka wa ukombozi wangu umefika.
5 Ka khet navah kabawmkung apihai awm hoeh. Hmoung ka ti nahai kapathawkung apihai awm hoeh. Hatdawkvah, kamae kut ni kama hanelah rungngangnae a sak toe. Ka lungkhueknae ni kai heh na man toe.
Nilitazama, lakini hakuwepo yeyote wa kunisaidia, nilishangaa kwa kuwa hakuwepo yeyote aliyetoa msaada; hivyo mkono wangu wenyewe ndio ulionifanyia wokovu, na ghadhabu yangu mwenyewe ndiyo iliyonitegemeza.
6 Taminaw ka lungkhueknae lahoi ka coungroe toe. Ka lungkhueknae lahoi puenghoi ka kanawi toe. Ahnimae thi teh talai dawk ka rabawk toe.
Nilikanyaga mataifa kwa miguu katika hasira yangu, katika ghadhabu yangu niliwalewesha, na kumwaga damu yao juu ya ardhi.”
7 Pahren lungmanae patetlah BAWIPA ni lung na patawnae pueng thoseh, Isarelnaw koe a sak pouh e a lungmanae hai thoseh, BAWIPA e a lungmanae hoi, BAWIPA pahrennae teh ka pholen han.
Nitasimulia juu ya wema wa Bwana, kwa matendo ambayo apaswa kusifiwa, sawasawa na yote ambayo Bwana ametenda kwa ajili yetu: naam, mambo mengi mema aliyoyatenda kwa ajili ya nyumba ya Israeli, sawasawa na huruma zake na wema wake mwingi.
8 Hatdawkvah, BAWIPA ni a dei e teh, ahnimouh teh ka tami katang doeh. Laithoe ka dei hoeh e camo lah ao. Hatdawkvah, ahnimae rungngangkung lah ka o.
Alisema, “Hakika wao ni watu wangu, wana ambao hawatanidanganya”; hivyo akawa Mwokozi wao.
9 Kângairunae dawkvah, a hmalah kaawm e kalvantami ni, ahnimanaw a rungngang teh a lungpatawnae lahoi a ratang. Ayan e tueng pueng dawk hai ahnimouh hah a po teh a hrawi awh.
Katika taabu zao zote naye alitaabika, na malaika wa uso wake akawaokoa. Katika upendo wake na rehema zake aliwakomboa, akawainua na kuwachukua siku zote zilizopita.
10 Hatei taran a thaw awh teh, Kathoung Muitha hah a lungmathoe sak awh. Hatdawkvah ahnimanaw hah a taran teh a tuk.
Lakini waliasi, na kumhuzunisha Roho Mtakatifu wake. Hivyo aligeuka na kuwa adui yao, na yeye mwenyewe akapigana dhidi yao.
11 Hat toteh, ayan e Mosi hoi a taminaw hah pahnim awh hoeh, hateh hettelah ati awh, ' talî thung hoi a tuhu kakhoumkungnaw hoi rei ka tâcawkhaikung Cathut te nâne ao. Kathoung Muitha ahnimanaw koe kapoekung nâne ao.
Ndipo watu wake wakazikumbuka siku zilizopita, siku za Mose na watu wake: yuko wapi yeye aliyewaleta kupitia katikati ya bahari, pamoja na wachungaji wa kundi lake? Yuko wapi yule aliyeweka Roho wake Mtakatifu katikati yao,
12 Ka bawilen poung e, Mosi e aranglae kut hoi kahrawikung te nâne ao. Ama hanelah a yungyoe min a kâsai nahanelah ahnimae hmalah tui kâbawng sakkung te nâne ao.
aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu kuwa katika mkono wa kuume wa Mose, aliyegawa maji ya bahari mbele yao, ili kujipatia jina milele,
13 Ayawn dawk marang yawng sak e patetlah kangangkung awm laipalah, ka dungpoung e tui dawk hoi ahnimanaw kahrawikung te nâne ao.
aliyewaongoza kupitia kwenye vilindi? Kama farasi katika nchi iliyo wazi, wao hawakujikwaa,
14 Ayawn dawk saringnaw ka cet e patetlah BAWIPA e Muitha ni a kangdue sak teh, hottelah a min sungren sak nahanelah namae na taminaw hah na hrawi toe ati awh.
kama ngʼombe washukao bondeni kwenye malisho, walipewa pumziko na Roho wa Bwana. Hivi ndivyo ulivyowaongoza watu wako ili kujipatia mwenyewe jina tukufu.
15 Kalvan hoi khen cathuk haw. Nange thoungnae hoi na bawilennae hoi na onae hmuen koehoi khenhaw! Na thaonae hnosakenaw hoi na lungthahmeinae nâne ao. Na lungthin hoi na dounnae hoi na pahrennae teh yout koe a roum toung boma.
Tazama chini kutoka mbinguni ukaone kutoka kiti chako cha enzi kilichoinuliwa juu, kitakatifu na kitukufu. Uko wapi wivu wako na uweza wako? Umetuzuilia wema wako na huruma zako.
16 Abraham ni kaimanaw na panuek awh hoeh. Isarelnaw hah na coe hoeh nakunghai, atangcalah, kaimae na pa lah nang teh na o. Ayan hoi kamtawng teh, kaimanaw na ka ratang e Jehovah nama doeh.
Lakini wewe ni Baba yetu, ingawa Abrahamu hatufahamu sisi wala Israeli hatutambui; wewe, Ee Bwana, ndiwe Baba yetu, Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako.
17 Oe, BAWIPA, bangkongmaw na lamthung dawk hoi kaimanaw hah lam na phen sak vaiteh nang takihoehnae lungthin hoi na pata sak han vaw. Na san, râw kacoekungnaw kecu dawk bout ban haw.
Ee Bwana, kwa nini unatuacha twende mbali na njia zako, na kuifanya mioyo yetu migumu hata hatukukuheshimu? Rudi kwa ajili ya watumishi wako, yale makabila ambayo ni urithi wako.
18 Na tamikathoungnaw ni tueng kaduemca dueng a coe awh teh, na katarankungnaw ni na hmuen kathoung hah koung ka rawk lah rep a coungroe awh.
Kwa maana kwa muda mfupi watu wako walimiliki mahali pako patakatifu, lakini sasa adui zetu wamepakanyaga mahali patakatifu pako.
19 Na uk boihoeh e hoi na min ka phawt boihoeh e ayan e tami patetlah doeh ka o awh toe.
Sisi tumekuwa kama wale ambao hujawatawala kamwe, kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.