< Isaiah 1 >

1 Judah siangpahrang Uziah, Jotham, Ahaz, Hezekiah tinaw a bawi awh navah, Amos capa Isaiah ni Judahnaw hoi Jerusalem kho hoi kâkuen lah a hmu e vision,
Maono kuhusu Yuda na Yerusalemu ambayo Isaya mwana wa Amozi aliyaona wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.
2 Cathut ni lawk a dei dawkvah, Oe kalvannaw, thai awh haw. Oe talai, hnâpakeng haw. Ka kawk e catounnaw ni Kai na taran awh toe.
Sikieni, enyi mbingu! Sikilizeni, enyi dunia! Kwa maana Bwana amesema: “Nimewalisha watoto na kuwalea, lakini wameniasi mimi.
3 Maito ni kakhoumkung a panue. La ni hai kakawkkung e dokko a panue. Isarelnaw ni Kai na panuek awh hoeh toe. Ka taminaw ni pouk panuek awh hoeh toe a ti.
Ngʼombe anamjua bwana wake, naye punda anajua hori la mmiliki wake, lakini Israeli hajui, watu wangu hawaelewi.”
4 Miphun kathout, sak payonnae ka phawt e tamihu, kahawihoehe hno ka sak e catoun, rawknae canaw lah bo na o awh toung aw. BAWIPA hah na ceitakhai awh toe. Isarelnaw e kathounge Cathut hah na bari awh laipalah, hnamthun sin awh teh, na kamlang takhai awh toe.
Lo! Taifa lenye dhambi, watu waliolemewa na uovu, uzao wa watenda mabaya, watoto waliozoelea upotovu! Wamemwacha Bwana, Wamemkataa kwa dharau yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli na kumgeuzia kisogo.
5 Ahnimanaw hah bangtelamaw bout ka hem han vai. Bangtelamaw bout ka yue han vai. A lû teh hmâtan hoi king akawi, na lung hai tha khoeroe awm hoeh toe.
Kwa nini mzidi kupigwa? Kwa nini kudumu katika uasi? Kichwa chako chote kimejeruhiwa, moyo wako wote ni mgonjwa.
6 Khoktabei koehoi lû koe totouh, damnae awmhoeh. Hmâtan hoi, a phing teh, a hnai ka lawi e seng lah ao. Hote hmânaw hah pâsu hoeh, kawm hoeh, satui hai hluk pouh hoeh rah.
Kutoka wayo wako wa mguu hadi kwenye utosi wa kichwa chako hakuna uzima: ni majeraha matupu na makovu na vidonda vitokavyo damu, havikusafishwa au kufungwa wala kulainishwa kwa mafuta.
7 Nangmae ram teh tami kingkadi lah ao. Khonaw hai hmai a kak toe. Na talainaw hai ramlouknaw ni na hmaitung vah a ca awh vaiteh, taran ni a raphoe tangcoung e patetlah tami kingdi han.
Nchi yenu imekuwa ukiwa, miji yenu imeteketezwa kwa moto; nchi yenu imeachwa tupu na wageni mbele ya macho yenu, imeharibiwa kama vile imepinduliwa na wageni.
8 Zion canu hai misur takha ringnae patetlah payin takha dawk e rim patetlah taran ni a kalup e kho patetlah ceitakhai lah ao.
Binti Sayuni ameachwa kama kipenu katika shamba la mizabibu, kama kibanda katika shamba la matikitimaji, kama mji uliohusuriwa.
9 Rasahu BAWIPA ni mamouh hanelah younca hai cawi sak hoehpawiteh, maimouh teh Sodom kho patetlah o awh teh, Gomorrah kho hoi kâvan awh.
Kama Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asingelituachia walionusurika, tungelikuwa kama Sodoma, tungelifanana na Gomora.
10 Sodom kho ka uk e bawinaw, Cathut e lawk hah thai awh haw. Gomorrah khocanaw kaimae Cathut lawk hah hnâpakeng awh haw.
Sikieni neno la Bwana, ninyi watawala wa Sodoma; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora!
11 Cathut ni a dei e teh, nangmouh ni na thueng awh e satheinaw teh kai hoi bangtelamaw a kâkuet vaw. Thuengnae tu, ka phuekuek lah na paca e saring thawnaw hoi ka boum toe. Maito, tuca hoi hmaenaw e thi hah ka ngai hoeh.
Bwana anasema, “Wingi wa sadaka zenu, ni kitu gani kwangu? Ninazo sadaka za kuteketezwa nyingi kupita kiasi, za kondoo dume na mafuta ya wanyama walionona. Sipendezwi na damu za mafahali wala za wana-kondoo na mbuzi.
12 Ka hmalah minhmai patue han na tho awh navah, Kaie thongma coungroe hanlah apinimaw na patoun awh.
Mnapokuja kujihudhurisha mbele zangu, ni nani aliyewataka ninyi mfanye hivyo, huku kuzikanyaga nyua zangu?
13 Ayawmyin e pasoum hno hah bout thokhai awh hanh lawih. Hmai na sawi awh e hmuitui hah ka panuet. Thapa rei hnin, kamhluem hnin, kamkhueng hnin naw hai ka panuet. Hawihoehnae hoi kâkalawt e kathoung kamkhuengnae hah ka panguep thai hoeh.
Acheni kuniletea sadaka zisizokuwa na maana! Uvumba wenu ni chukizo kwangu. Miandamo ya Mwezi, Sabato na makusanyiko ya ibada: siwezi kuvumilia makusanyiko yenu maovu.
14 Ka muitha ni nangmae thapa rei hnin hoi nangmae pawinaw hah ka hmuhma. Kai katarawk e lah ao teh ka panguep lawi ngawt ka tawn toe.
Sikukuu zenu za Miandamo ya Mwezi, na sikukuu zenu zilizoamriwa: moyo wangu unazichukia. Zimekuwa mzigo kwangu, nimechoka kuzivumilia.
15 Nangmouh ni, na kut na kadai awh toteh, alouklah na kangvawi takhai awh han. Avai moikapap na ratoum awh nakunghai, ka thai mahoeh. Na kutnaw teh thi hoi akawi.
Mnaponyoosha mikono yenu katika maombi, nitaficha macho yangu nisiwaone; hata mkiomba maombi mengi sitasikiliza. Mikono yenu imejaa damu;
16 Kâpasu awh, kamthoung awh. Na payonnae hah ka hmaitung hoi takhoe awh. Kahawihoehe nuencang hah kâhat awh leih.
jiosheni na mkajitakase. Yaondoeni matendo yenu maovu mbele zangu! Acheni kutenda mabaya,
17 Kahawi hno sak hanelah kamtu awh. Lannae hah tawng awh. Ka lawngkoi e hah palan awh. Naranaw hanelah kalan lah sak awh. Lahmainunaw hanelah kalan lah sak awh. Lahmainunaw hah pahren awh.
jifunzeni kutenda mema! Tafuteni haki, watieni moyo walioonewa. Teteeni shauri la yatima, wateteeni wajane.
18 BAWIPA ni a dei e teh, tho awh. Cungtalah pouk awh haw sei. Nangmae yonnae teh ka paling nakunghai tadamtui patetlah a pangaw han. Âthi patetlah ka paling nakunghai tumuen patetlah ao han.
“Njooni basi tuhojiane,” asema Bwana. “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu, zitakuwa nyeupe kama theluji; ingawa ni nyekundu sana kama damu, zitakuwa nyeupe kama sufu.
19 Nangmouh ni ngainae lahoi lawk na ngâi awh pawiteh, ram thung e hnokahawi e a pawnaw hah na ca awh han.
Kama mkikubali na kutii, mtakula mema ya nchi,
20 Hatei na taran awh pawiteh, tahloi hoi na due awh han telah BAWIPA e pahni ni a dei toe a ti.
lakini kama mkikataa na kuasi, mtaangamizwa kwa upanga.” Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena.
21 Yuemkamcu e kho teh bangtelamaw ka kâyawt e kho lah a kangcoung vaw. Ahmaloe teh, kângingnae hoi ka kawi e, a thung lannae ni hmuen a la e lah ao ei, atuteh tamikathetnaw ni hmuen lanae lah ao toe.
Tazama jinsi mji uliokuwa mwaminifu umekuwa kahaba! Mwanzoni ulikuwa umejaa unyofu, haki ilikuwa inakaa ndani yake, lakini sasa ni wauaji!
22 Na tangka hai a ei lah ao toe. Na misurtui hai tui hoi a kâkalawt toe.
Fedha yenu imekuwa takataka, divai yenu nzuri imechanganywa na maji.
23 Na khobawinaw teh, taran lah a thaw toe. Tamrunaw e hui lah ao awh toe. Hote bawinaw pueng ni tadawnghno a ngai awh teh, tawknae phu dueng a pâlei awh. Naranaw hah khenyawn awh hoeh. Lahmainunaw teh banglahai ngâi awh hoeh.
Watawala wenu ni waasi, rafiki wa wevi, wote wanapenda rushwa na kukimbilia hongo. Hawatetei yatima, shauri la mjane haliletwi mbele yao lisikilizwe.
24 Hatdawkvah, Isarelnaw e Athakaawme, ransahu Bawipa Jehovah ni a dei e teh, Aya! Kai na ka taran e naw hah bat ka takhoe vaiteh, ka tarannaw koe moi ka pathung han.
Kwa hiyo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mwenye Nguvu wa Israeli, asema hivi: “Lo, nitapata faraja kutoka kwa adui zangu na kujilipizia kisasi juu ya watesi wangu.
25 Nang hah na kuet vaiteh, a ei hoi khoeroe na thoungsak vaiteh, thounghoehnae pueng ka takhoe han.
Nitauelekeza mkono wangu dhidi yenu, nitawasafisha takataka zenu zote na kuwaondolea unajisi wenu wote.
26 Lawkcengkungnaw hoi pouknae kapoekung naw hah, ahmaloe ka ta e patetlah bout ka ta han. Hathnukkhu lannae khopui, yuemkamcu e khopui ati awh han.
Nitawarudishia waamuzi wenu kama ilivyokuwa siku za zamani, nao washauri wenu kama ilivyokuwa mwanzoni. Baadaye utaitwa, Mji wa Haki, Mji Mwaminifu.”
27 Zion teh kângingnae hoi thoseh, lannae hoi thoseh ratang lah ao han.
Sayuni itakombolewa kwa haki, wale waliomo ndani yake waliotubu kwa uaminifu.
28 Kâtapoe e hoi ka yon e tami teh reirei raphoe lah ao han. Cathut ka cettakhai e teh hraba mueng ka yawng lah hmaisawi han.
Lakini waasi na wenye dhambi wote wataangamizwa, nao wanaomwacha Bwana wataangamia.
29 Na doun e kathenkungnaw hah na kayakkhai awh toung vaiteh, na kârawi e takha ni kângai lah a ru sak awh han. Minhmai mathoe na poe awh han.
“Mtaaibika kwa sababu ya hiyo mialoni ambayo mlifurahia, mtafadhaika kwa sababu ya bustani mlizozichagua.
30 Bangkongtetpawiteh, a hna kamyai e kathen kung hoi tui kahak e takha patetlah lah na o awh han.
Mtakuwa kama mwaloni wenye majani yanayonyauka, kama bustani isiyokuwa na maji.
31 Athakaawme taminaw teh ngun ei patetlah awm vaiteh, a tawksak e teh hmaitali patetlah ao han. Hottaroi teh reirei kang vaiteh, hote hmai hah apinihai padout mahoeh.
Mtu mwenye nguvu atatoweka kama majani makavu yawakayo moto, na kazi yake kama cheche ya moto; vyote vitaungua pamoja, wala hakuna wa kuuzima huo moto.”

< Isaiah 1 >