< Ezra 4 >

1 Hat toteh, Isarel BAWIPA Cathut e bawkim hah san lah kaawmnaw ni a sak awh tie hah Judah hoi Benjamin katarankungnaw ni a thai awh toteh,
Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli,
2 Zerubbabel hoi imthung kahrawikungnaw koe a tho awh teh, im na sak khai awh van han, Bangkongtetpawiteh, nangmouh ni na tawng awh e Cathut doeh ka tawng van awh. Hi na ka hrawi e Assiria siangpahrang Esarhaddon a bawi tahma vah thuengnae ouk ka sak awh telah ati awh.
wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-Hadoni mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”
3 Hatei Zerubbabel, Jeshua hoi Isarel imthung kahrawikungnaw ni ahnimouh koevah, kaimae Cathut im saknae dawk nangmouh na bawk hane lamthung awm hoeh, Persia siangpahrang Sairus hanelah ka sak awh han, telah atipouh awh.
Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa jamaa ya Israeli wakawajibu, “Ninyi hamna sehemu nasi katika kujenga Hekalu la Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli, kama Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi alivyotuagiza.”
4 Hatnavah, khocanaw ni Judahnaw hah a lungkhuek sak awh teh im sak hane dawk runae a poe awh.
Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga kuwakatisha tamaa watu wa Yuda na kuwafanya waogope walipokuwa wakiendelea na ujenzi.
5 Persia siangpahrang Sairus a bawinae kum hoi Persia siangpahrang Darius a bawi kum toteh sak hanelah, kâcai awh e naw hah a coung thai hoeh nahanelah lawk laicei a ta awh.
Wakaajiri washauri kuwapinga katika kazi yao, nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
6 Hat toteh, Ahasuerus ni a uk pasuek nah Judah ram hoi Jerusalem kaawmnaw kâtarannae ca a thut pouh.
Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero, hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu.
7 Artaxerxes e tueng nahai Bishlam, Mithredath, Tabeel, hoi alouke a huinaw hoi Persia siangpahrang Artaxerxes koe ca a patawn awh, hote ca teh Aramaih lawk, Aramaih ca lahoi a thut awh.
Pia katika siku za utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli pamoja na wenzao waliandika barua kwa Artashasta. Barua hiyo iliandikwa kwa mwandiko wa Kiaramu na katika lugha ya Kiaramu.
8 Kaukkung Rehum hoi cakathutkung Shimshai ni Jerusalem e taminaw tarannae lah Persia siangpahrang Artaxerxes teh hettelah ca a patawn.
Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai waliandika barua kwa Mfalme Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama ifuatavyo:
9 Ca kapatawnkungnaw teh, kaukkung Rehum hoi cakathutkung Shimshai hoi alouke a huinaw Dinai tami, Afasatkhi tami, Tarpelit tami, Persia tami, Erek, Babilon hoi Shushan tami, Dehaites tami hoi Elam tami.
Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,
10 Kaawm rae miphun thung e kacuenaw hoi ka talue e Osnapper ni san lah a hrawi teh Samaria kho dawk kaawmnaw hoi tui namran lah kaawmnaw ni,
na watu wengine ambao mheshimiwa Asur-Banipali aliwahamisha na kuwakalisha katika mji wa Samaria na mahali pengine Ngʼambo ya Mto Frati.
11 Siangpahrang Artaxerxes koe ca a patawn awh e teh, ka bawi poung e Artaxerxes, tui namran lah kaawm e na sannaw ni kut na man awh.
(Hii ndiyo nakala ya barua waliyompelekea.) Kwa Mfalme Artashasta, Kutoka kwa watumishi wako, watu wa Ngʼambo ya Mto Frati:
12 Nang koehoi ka tho e Judahnaw ni kaimouh koe Jerusalem vah a pha awh teh, ka rawk e hoi tarankathaw e khopui hah bout a pathoup awh teh rapannaw hai a cum awh teh, a dunaw a sak awh lahun tie hah siangpahrang ni panuek na seh.
Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga upya ule mji wa uasi na uovu. Wanajenga kuta upya na kukarabati misingi yake.
13 Hete khopui a pathoup awh teh rapan he a cum awh toteh, tamuknaw hoi hnopai phu naw, laikawk phu naw poe han na ngai awh hoeh vaiteh, a hnukkhu toteh siangpahrang hanelah rawknae koe a pha han tie hah siangpahrang ni panuek naseh.
Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikafanywa upya, hakutakuwa na ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo hazina za mfalme zitaathirika.
14 Siangpahrang im e palawi ka palem e lah o awh dawkvah, siangpahrang ni banghai ngai hoeh e kâhmo han ka ngai awh hoeh.
Sisi sasa kwa kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na kwamba siyo sawasawa kwetu kuona mfalme akidharauliwa, basi tunatuma ujumbe huu kumtaarifu mfalme,
15 Hatdawkvah, mintoenaw ni hno pâkhuengnae noutnae cauk dawk a tawng awh nakunghai, hote cauk dawk a hmu toteh, hete kho heh tarankathaw kho doeh tie hai, siangpahrang ni a uk nahanelah a thakasai e doeh tie hoi, taran poe a thaw awh kecu dawkvah, ka rawk e doeh tie panue thai nahanelah, hete ca na patawn awh teh, siangpahrang na na thaisak awh e doeh.
ili kwamba ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu ya maandishi ya waliokutangulia. Katika kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme na majimbo, ni mahali pa maasi tangu zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa.
16 Hete kho pathoup awh teh na cum awh pawiteh, tui namran lah uk thainae kâ na tawn thai mahoeh toe tie siangpahrang nang koe na thaisak awh, telah atipouh awh.
Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa upya, hutabakiwa na chochote Ngʼambo ya Mto Frati.
17 Hattoteh siangpahrang ni ca let a patawn, kaukkung Rehum, cakathutkung Shimshai hoi alouke a huinaw hoi Samaria ram hoi tui namran lah kaawm e nangmouh koe roumnae awm naseh.
Mfalme alirudisha jibu hili: Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika Samaria na penginepo Ngʼambo ya Mto Frati: Salamu.
18 Kaimouh ca na patawn e teh ka hmalah kahawicalah a touk awh.
Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.
19 Hahoi kâ ka poe e patetlah a tawng awh. Hete kho heh yampa vah siangpahrang koe taran a thaw awh teh hatnae tueng dawk taranthawnae hoi runae ouk ao bawi tie hah ka panue.
Nilitoa amri na uchunguzi ukafanyika na imegundulika kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa maasi na uchochezi.
20 Jerusalem vah, athakaawme siangpahrang, tui namran totouh ka uk thai e siangpahrang hai la ao bawi toe, tamuk hoi hnopai phu hoi laikawk phunaw hai a canei awh.
Yerusalemu umepata kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala nchi yote iliyo Ngʼambo ya Mto Frati, wakitoza kodi, ada na ushuru huko.
21 Ahnimanaw hah kâhat sak awh, kâ ka poe hoe roukrak teh kho hah pathoup awh na hanh naseh.
Kwa hiyo toeni amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi nitakapoagiza.
22 Bangkongmaw siangpahrang hanelah rawknae koe ka phat sak hane hno hah a sak awh han vaw, telah a ti.
Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?
23 Hattoteh siangpahrang Artaxerxes e ca hah Rehum hoi cakathutkung Shimshai hoi a huinaw ni a touk awh hnukkhu, karang poung lah Jerusalem Judahnaw onae koe a cei awh teh a thawnaw hah thama lahoi a ngang pouh awh.
Mara waliposomewa nakala ya barua ya Mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.
24 Hat toteh, Jerusalem e BAWIPA im saknae a kâhat awh. Persia siangpahrang Darius a bawinae kum hni totouh sak thai awh hoeh.
Hivyo kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.

< Ezra 4 >