< Ezra 2 >
1 Babilon siangpahrang Nebukhadnezar ni san lah Babilon vah a hrawi teh amamouh onae khonaw dawk, Judah hoi Jerusalem lah san thung hoi a ram thung lah bout kabannaw doeh.
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 Zerubbabel koe kabannaw teh, Jeshua, Nehemiah, Seriah, Reelaiah, Mordekai Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum hoi Baanah tinaw doeh. Isarel tongpa touk e naw teh,
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
6 Pahathmoabnaw, Jeshua hoi Joab totouh 2812.
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
16 Hezekiah hoi Aternaw 98.
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
25 Kiriathjearim, Kephirah hoi Beerothnaw 743.
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 Ramah hoi Gebanaw 621.
wazao wa Rama na Geba 621
watu wa Betheli na Ai 223
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
33 Lod, Hadid hoi Ononaw 725.
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
36 Vaihmanaw, Jeshua imthung dawk hoi Jedaiahnaw 973.
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40 Levih miphun. Hodaiah capa, Jeshua hoi Kadrielnaw 74.
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 La kasaknaw, Asaph capanaw 128.
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 Longkha karingnaw, Shallum capanaw, Ater capanaw, Talmon capanaw, Akkub capanaw, Hatita capanaw, Shobai capanaw abuemlah 139 touh a pha awh.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 Nethinimnaw: Ziha capanaw, Husupha capanaw, Tabbaoth capanaw,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 Keros capanaw, Siaha capanaw, Padon capanaw.
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 Lebana capanaw, Shalmai capanaw, Hanan capanaw.
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 Hagab capanaw, Shalmai capanaw, Hanan capanaw.
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 Giddel capanaw, Gahar capanaw. Reaiahnaw:
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 Rezin capanaw, Nekoda capanaw, Gazzam capanaw.
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 Uzzah capanaw, Paseah capanaw, Besai capanaw.
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 Asnah capanaw, Mehunim capanaw, Nephusim capanaw.
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 Bakbuk capanaw, Hakupha capanaw, Harhur capanaw.
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 Bazluth capanaw, Mehida capanaw, Harsha capanaw.
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 Barkos capanaw, Sisera capanaw, Temah capanaw.
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 Neziah capanaw, Hatipha capanaw.
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 Solomon koe kaawmnaw, Sotai capanaw, Sophereth capanaw, Peruda capanaw.
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 Jaala capa naw, Darken capanaw, Giddel capanaw.
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 Shephatiah capanaw, Hattil capanaw, Hazzebaim hoi Pokhereth capanaw, Ami capanaw.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 Nethinim tami abuemlah Solomon koe kaawm e 392 touh a pha.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 Hahoi, Telmelah, Telharsha, Kherub, Addon hoi Immer, koehoi katâcawtnaw doeh, Hatei Isarel miphun hoi catoun hoeh e hah a na mintoenaw hoi a imthungkhunaw, kacaicalah kamnuek sak thai awh hoeh.
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 Delaiah capanaw, Tobiah capanaw hoi Nekoda capanaw 652 touh a pha awh.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 Hahoi, Vaihma miphun thung hoi e, Habaiah capanaw, Hakkoz capanaw, Koz capanaw, Gilead tami Barzillai canu thung e yu lah a la teh a minkhang min ka kâphung e Barzillai capanaw.
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 Mintoenaw e min thutnae dawk amamae min a hmu awh hoeh dawkvah vaihma lah touksin lah awm hoeh toe.
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 Ram kaukkung ni Urim hoi thummim koe e vaihma a tho hoehnahlan teh rawca kathounge cat thai mahoeh atipouh.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 Tamihupui abuemlah 42, 360 touh a pha awh.
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 Hahoi san napui tongpa 7, 337 touh hoi la kasakkung napui tongpa 200 touh a tawn.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 Marang 736 touh hoi la 245 touh a pha.
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 Kalauk 435 touh hoi la canaw 6, 720 touh a pha.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 Jerusalem BAWIPA e im dawk a pha awh toteh, imthung kahrawikung tangawn ni Cathut e im teh amae hmuen koe, bout sak hanelah hno a poe awh.
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 A poe thai totouh pasoumhno hoi im sak nahanelah sui darik 61, 000, tangka 5, 000 touh hoi vaihma e khona 100 touh a poe awh.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 Hahoi vaihma, Levih miphun, alouke tami tangawn, la kasaknaw, longkha karingkungnaw hoi Nethinimnaw teh amamae khonaw dawk ao awh teh, Isarelnaw pueng hai amamae khonaw dawk lengkaleng ao awh.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.