< Ezra 10 >
1 Hahoi Cathut im koelah kangvawi teh, tabo teh, ka laihoi Ezra ni yon ngaithoumnae a kâhei. Hatnavah Isarelnaw tamihupui napui, tongpa, camonaw ahni koe a kâracut awh teh, tamihupui teh puenghoi a khuika awh.
Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana.
2 Elam catoun thung hoi Jehiel capa Shekaniah ni Ezra koevah, maimouh Cathut koevah yon sak awh tangngak toe, hahoi hete ram dawk e miphun alouke canunaw hah yu lah paluen awh toe. Hatei Isarelnaw hanelah ngaihawinae ao rah doeh.
Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli.
3 Hatdawkvah, bawipa ni pouknae na poe e patetlah Cathut e kâpoelawk ka bari e tami ni, yucanaw ceitakhai vaiteh maimae Cathut koe lawkkamnae sak awh vaiteh kâlawk patetlah tarawi awh sei.
Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria.
4 Thaw leih, bangkongtetpawiteh, hete heh nange thaw doeh, kaimouh hai nang koe lah doeh kampang awh. Lung kacakcalah awm nateh, tawk leih, telah ati awh.
Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”
5 Hahoi, Ezra a thaw teh, vaihma bawinaw, Levih miphunnaw hoi Isarel taminaw abuemlah, hote lawk patetlah lawkkamnae a sak sak teh, Hot patetlah lawkkamnae a sak awh.
Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa.
6 Hahoi, Ezra ni Cathut e im dawk hoi a thaw teh, Eliashib capa Jehohanan e imthung a kâen teh, hawvah rawca hai cat hoeh, tui hai net laipalah ao. Bangkongtetpawiteh, san dawk hoi ka hlout e taminaw yonnae kecu dawk khuika laihoi ao.
Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.
7 San dawk hoi ka hlout e taminaw pueng Jerusalem vah kamkhueng hanelah,
Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu.
8 Kahrawikungnaw hoi kacuenaw ni a dei e patetlah hnin 3 touh thung ka tho hoeh e tami teh, san hloutnae dawk hoi pâlei vaiteh, a tawnta e hnopai pueng lawp vaiteh, ama hai pâlei lah ao han telah, Jerusalem hoi kamtawng teh Judah ram totouh a pathang awh.
Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.
9 Hot patetvanlah Judahnaw hoi Benjamin miphun tongpanaw teh hnin 3 touh thung Jerusalem vah a kamkhueng awh. Thapa yung 9, hnin 21 nah kho puenghoi a rak dawkvah, taminaw teh Cathut e im hmalah sut a tahung awh teh a pâyaw awh.
Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa.
10 Hatnavah, vaihma Ezra ni a thaw teh ahnimouh koevah yonnae na sak awh toe, Isarel miphun dawk yonnae a len nahanelah miphun alouke napuinaw hoi na kâpaluen awh.
Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli.
11 Hatdawkvah, mintoenaw e BAWIPA Cathut koe yon ngaithoum het awh, a ngainae hah sak awh nateh, hete ram dawk e miphun alouke e na yunaw hoi kâkapek awh, telah ati.
Sasa tubuni kwa Bwana, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”
12 Hahoi, taminaw ni puenghoi kacailah a dei awh e teh, bokheiyah na dei e patetlah ka sak awh roeroe han.
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.
13 Hateiteh, tami moipap awh teh khoraknae tueng lahai bout ao, alawilah kaimouh pou kangdout thai mahoeh, hahoi hnin hnin touh hoi sak hane lahai tho hoeh, bangkongtetpawiteh, hete hno dawk tami moikapap ni yonnae sak awh toe.
Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili.
14 Tamimaya e yueng lah kahrawikungnaw ni mah na pouk pouh lawiseh. Kaimae lathueng vah kalenpounge BAWIPA lungkhueknae a roum nahanelah mae kho dawk Jentelnaw yu lah paluen e khonaw dawk e kahrawikungnaw hoi lawkcengkungnaw ni a tueng khoe e dawk rip tho awh naseh telah, ati awh.
Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.”
15 Asahel capa Jonathan hoi Tikvah capa Jahaziah ni hnâ bawt roi hoeh, hatei Levih miphun Meshullam hoi Shabbethai ni teh hnâ a bo roi.
Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.
16 Hahoi san dawk hoi kahloutnaw ni hottelah a sak awh. Vaihma Ezra ni imthung kahrawikungnaw thung hoi minnaw a la e patetlah thapa ayung 10 nae, apasuek hnin navah hote kong kâdei hanelah a kamkhueng awh.
Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.
17 Hahoi Thapa yung pasuek, apasuek hnin nah, miphun alouke yu lah ka lat e kong kâdei e teh a cum awh.
Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.
18 Hahoi, vaihma capanaw thung dawk hoi miphun alouke yu lah ka lat e taminaw teh, Jeshua hoi a hmaunawngha thung e Jozadak capa hoi a hmaunawngha Maaseiah, Eliezer, Jarib hoi Gedaliah tinaw doeh.
Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.
19 Ahnimanaw ni a yunaw kapek hanelah lawk a kam awh. Yon pâphonae dawk ngaithoum lah o nahanelah, tutan buet touh hoi thuengnae a sak awh.
(Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)
20 Immer catoun thung hoi Hanani hoi Zebadiah.
Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.
21 Harim catoun thung hoi Maaseiah, Elijah, Shemaiah, Jehiel hoi Uzziah.
Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.
22 Pashhur catoun thung hoi Elioenai, Maaseiah, Ishmael, Nethanel, Jozabad hoi Eleasah tinaw doeh.
Kutoka wazao wa Pashuri: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.
23 Levih miphunnaw thung hoi Jozabad, Shimei, Kalaiah, Pethahiah, Judah hoi Eliezer tinaw doeh.
Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
24 La kasaknaw thung hoi Eliashib, longkha karingkungnaw thung hoi Telem hoi Uri tinaw doeh.
Kutoka waimbaji: Eliashibu. Kutoka mabawabu: Shalumu, Telemu na Uri.
25 Isarelnaw thung hoi Parosh capa thung hoi Ramiah, Jeriah, Malkhijah hoi Benaiah.
Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.
26 Elam capa thung hoi Mattaniah, Zekhariah, Jehiel, Abdi, Jerimoth hoi Elijah tinaw doeh.
Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.
27 Zattu capanaw thung hoi Elioenai, Eliashib, Mattaniah Jerimoth, Zabad hoi Aziza tinaw doeh.
Kutoka wazao wa Zatu: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.
28 Bebai capanaw thung hoi Jehohanan, Hananiah, Zabai hoi Athlai.
Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
29 Bani capanaw thung hoi Meshullam, Malluck, Adaiah, Joshub, Sheal hoi Jerimoth tinaw doeh.
Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.
30 Phathmoab capanaw thung hoi Adna, Khelal, Benaiah, Maaseiah, Mattaniah, Bezalel, Binnui, hoi Manasseh tinaw doeh.
Kutoka wazao wa Pahath-Moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.
31 Harim capanaw thung hoi Eliezer, Isshijah, Malkhijah, Shemaiah, Simeon.
Kutoka wazao wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,
32 Benjamin, Malluck hoi Shemariah tinaw doeh.
Benyamini, Maluki, na Shemaria.
33 Hashum capanaw thung hoi Mattenai, Mattattah, Zabad, Eliphelet, Jeremai, Manasseh hoi Shimei tinaw doeh.
Kutoka wazao wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.
34 Bani capanaw thung hoi Maadai, Amram, Uel.
Kutoka wazao wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,
35 Benaiah, Bedeiah, Kheluh.
Benaya, Bedeya, Keluhi,
36 Vaniah, Meremoth, Eliashib.
Vania, Meremothi, Eliashibu,
37 Mattaniah, Mattenai, Jaasu.
Matania, Matenai na Yaasu.
Kutoka wazao wa Binui: Shimei,
39 Shelemiah, Nathan, Adaiah.
Shelemia, Nathani, Adaya,
40 Maknadebai, shashai, Sharai.
Maknadebai, Shashai, Sharai,
41 Azarel, Shelemiah, Shemariah.
Azareli, Shelemia, Shemaria,
42 Shallum, Amariah, hoi Joseph tinaw doeh.
Shalumu, Amaria na Yosefu.
43 Nebo capanaw thung hoi Jeiel, Mattithiah, Zabad, Zebina, Iddo, Joel hoi Benaiah tinaw doeh.
Kutoka wazao wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.
44 Hetnaw pueng teh miphun alouke yu lah ka lat e taminaw doeh, tami tangawn ni a yunaw koehoi ca catoun a hmu awh.
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.