< Ezekiel 47 >
1 Hathnukkhu hoi bawkim kâennae takhang koe lah bout na bankhai, khenhaw! impui vaikhap rahim lae koehoi, kanîtholah kangvawi lahoi tui a lawng. Bangkongtetpawiteh, bawkim teh kanîtholah kangvawi e doeh. Hote tui teh khoungroe akalae bawkim, aranglae rahim hoi ka lawng e doeh.
Kisha yule mtu akanirudisha nyuma kwenye lango la kuingia la hekalu, na kulikuwa na maji yakitiririka nje kutoka chini ya hekalu kizingiti cha nyumba kuelekea masharikii-kwa mbele ya hekalu kulekea mashariki-na maji yalikuwa yakitiririka chini upande wa kusini mwa hekalu, kuelekea upande wa kuume wa madhabahu.
2 Hahoi atunglah kangvawi e takhang koe lahoi na tâcokhai teh, alawilah kanîtholah kangvawi e takhang hloilah, na ceikhai, khenhaw aranglah tui hah a lawng.
Hivyo akanileta kwenye lango la kaskazini na kuniongoza kuzunguka lango kuelekea mashariki, na hapo maji yalikuwa yakitiririka kutoka lango hili kwa upande wa kusini yake.
3 Ama ni bangnuenae a sin laihoi, kanîtholah kangvawi laihoi a cei teh, dong 1000 touh a bangnue, hahoi tui hah na raka sak teh, khoksaluem totouh doeh.
Yule mtu alipokuwa akienda mashariki, kulikuwa na kamba ya kupimia kwenye mkono wake; akapima dhiraa elfu moja akanivusha kwenye maji hata maji yakafika kwenye magoti.
4 Dong 1000 touh bout a bangnue teh, tui hah bout na raka sak, hote tui teh khokpakhu totouh a pha. Dong 1,000 touh bout a bangnue teh bout na raka sak navah hote tui teh keng totouh a pha.
Kisha akapima dhiraa elfu moja ten akanivusha kwenye yale maji yaliyofika kwenye magoti; akapima dhiraa elfu kumi nyingine na kunivusha maji yakafika hata kwenye nyonga.
5 Dong 1,000 touh bout a bangnue teh, ka raka thai hoeh totouh e tui lah a coung. Tui teh hoehoe a len teh raka lah raka thai hoeh e, kale lah kale hane totouh a rasang.
Tena akapima dhiraa elfu moja nyingine, lakini ulikuwa mto ambao sikuweza kuuvuka kwa sababu maji yalizidi na yalijaa maji ya kuogelea ndani-yalikuwa mto usiovukika
6 Hahoi kai koevah, tami capa hetheh na hmu ou, telah ati, tuipui koelah bout na ban sak.
Yule mtu akanambia, “Mwanadamu, unaona hii?” akanipeleka na kunirudisha karibu na ukingo wa mto.
7 Ka ban navah khenhaw! tuipui avangvanglah, thingkung moikapap lah ao.
Nilipokuwa nikirudi, hapo kwenye ukingo wa mto kulikuwa na miti mingi katika huu upande na upande mwingine pia.
8 Ahni ni, kai koevah, hete kanîtholah ka lawng e tui heh, kahrawng a raka vaiteh talî dawk a kâen han. Talî koe a pha toteh tui hah a thoung sak han.
Yule mtu akanambia, “Haya maji yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki na chini hata Araba; haya maji hutiririka kwenye Bahari ya Chumvi itaifanya kuwa mpya.
9 Tui a lawngnae hnintangkuem vah, saring pueng a hring awh han, tanga moikapap lah ao han, bangkongtetpawiteh, tuipui teh, a lawngnae tangkuem koe saring hah a hring thai nahanelah, hete tui heh ka lawng e doeh.
Itakuwa kwamba kila kiumbe hai kisongamanacho kitaishi mahali maji yanapoelekea; kutakuwa na samaki wengi, kwenye hayo maji yatiririkayo huko. Itafanya maji ya chumvi kuwa mapya. Kila kitu kitaishi popote mto utakapoelekea.
10 Hahoi, tui teng vah tangakamankungnaw a kangdue awh vaiteh, Engedi hoi Eglaim totouh tamlawk hengnae hmuen lah ao han, tanganaw teh mamae talîpui dawk e tanga patetlah apap katang han.
Kisha itatokea kwamba wavuvi wa En Gedi watasimama karibu na maji, na kutakuwa na sehemu ya kutandazia nyavu za samaki karibu na En Eglaimu. Kutakuwa na samaki nyingi za aina tofauti tofauti katika Bahari ya Chumvi, kama samaki kwenye Bahari Kuu kwa wingi wao.
11 Tangkom tui hoi tuiphueknaw teh, thoung awh mahoeh, palawi khu hanelah, ceitakhai han, pou a paan awh han.
Lakini Bahari ya Chumvi ikajaa maji na matope hayataachwa mapya; yataachwa yawe kwa ajili ya kutengeneza chumvi.
12 Tuipui teng vah avangvanglah thingkung phunkuep a paw vaiteh, hotnaw teh a hna kamyai boi mahoeh, a paw hai pou a paw awh han, hmuen kathoung koehoi ka lawng e tui dawk hoi kawk e lah ao dawkvah, thapa tangkuem a paw han, a paw teh ca hane kawi lah ao vaiteh, a hna teh damnae lah ao han.
Karibu na huo mto juu ya ukingo wake, pande zote, aina zote za miti utazaa chakula. Majani yake hayatanyauka na matunda yake hayataacha kukua. Kila mwezi miti itazaa matunda, kwa sababu maji kutoka patakatifu yatatirirka kwenda kwenye hiyo miti. Matunda yake yatakuwa kwa ajili ya chakula, na majani yake yatakuwa kwa ajili ya dawa.
13 Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, hetheh Isarel miphun 12 touh thung dawk hoi e, râw a kârei awh hane talai lah ao han, Joseph ni hmuen kahni touh a coe han.
Bwana Yahwe asema hivi: Hii itakuwa njia ambayo mtaigawanya nchi kwa ajili ya kabila kumi na mbili za Israeli: Yusufu atakuwa na mafungu mawili.
14 Lengkaleng kâvan lah na coe awh han. Na mintoenaw koe thoebo lahoi poe lah kaawm e hete ram heh na coe awh e ram lah ao han.
Mtaigawa kila mtu sawa sawa ambayo niliinua mkono wangu na kuapa kuwapa baba zenu. Hii nchi itakuja kuwa urithi kwenu.
15 Heteheh ram buem lae khori lah ao han, atunglah tuipui hoi Hethlon a raka vaiteh, Hamath a kâennae tanghling Zebad vah a pha han.
Huu utakuwa mpaka wa nchi upande wa kaskazini kutoka Bahari Kubwa kwa njia ya Hethloni, na kisha kuelekea Zedada.
16 Hamath, Berothah, Damaskas hoi Hamath ramri dawk kaawm e Sibraim hoi Hauran ramri teng vah kaawm e Hazarhattikon totouh,
Kisha mpaka utaenda hata Berotha, hadi Sibraimu, iliyopo kati ya Damaskasi na Hamathi, na kisha hata Hazer-hatikoni, iliyopo karibu na mpaka wa Haurani.
17 Hottelah hoi ramri teh tuipui hoi Damaskas ramri teng e Hazarenan totouh han, atunglah Hamath ramri dawk a kâri han, hetheh atunglae ramri doeh.
Hivyo mpaka utaenda kutoka kwenye bahari hadi Hazar-enoni kwenye mpaka wa Damaskasi na Hamathi hata kaskazini. Huu utakuwa upande wa kaskazini.
18 Kanîtholah, Hauran hoi Damaskas rahak dawk, Gilead hoi Isarel ram rahak e Jordan tui a pâlei han, Kanîtholae ramri hoi Kanîtholae talî dawk Tamar a pha han, hetheh Kanîtholae ramri lah ao han.
Kwa upande wa mashariki, kati ya Haurani na Damaskasi na kati ya Geliadi na nchi ya Israeli kutakuwa na mto Yordani. Mtapima kutoka kwenye mpaka hata kwenye bahari ya mashariki; huo wote utakuwa mpaka wa mashariki.
19 Akalah Tamar hoi Meribah Kadesh palang totouh, Izip tui a pâlei laihoi tuipui dawk a pha han, hetheh akalae ramri lah ao han.
Kisha upande wa kusini: kusini mwa Tamari hadi kwenye maji ya Meriba Kadeshi, kijito cha Misri hata Bahari Kuu, na upande wa kusini kuelekea kusini.
20 Kanîloumlae ramri teh, talîpui, akalae ramri hoi Hamath a kâennae tanghling totouh, hetheh kanîloumlae ramri lah ao han.
Kisha mpaka wa magharibi utakuwa Bahari Kuu utaelekea hata nyuma ya Hamathi. Huu utakuwa upande wa mgharibi.
21 Hottelah hete ram heh Isarel miphun lahoi lengkaleng na kâkhuen awh han.
Kwa njia hii mtaigawanya hii nchi kwa ajili yenu wenyewe, kwa kabila za Israeli.
22 Hahoi, na coe awh hane ram hoi nangmouh thung dawk miphun alouklah kho ka sak e, yucanaw katawnnaw a coe awh hane ram na kârei sak han. Ahnimouh teh Isarel dawk hoi katâcawtnaw patetlah ao awh han. Isarel miphunnaw thung dawk nangmouh patetlah râw a tawn awh van han.
Hivyo mtagawana urithi kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya wageni walio kati yenu, wale watakaozaa watoto kati yenu na waliokuwa, kati yenu, kama wazaliwa wa watu wa Israeli. Mtapewa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.
23 Hahoi, bangpatet e miphun dawkvah miphun alouke hah khosak boipawiteh, hawvah a coe hane kawi ram na khuen pouh han, telah Bawipa Jehovah ni a dei.
Kisha itatokea kwamba wageni watakuwa pamoja na kabila miongoni mwa yule anayeishi. Mtapatia urithi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”