< Ezekiel 15 >

1 BAWIPA e lawk kai koe a pha teh,
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 tami capa, ratu thung e misurkung hah thing alouke hlak bang alânae maw kaawm.
“Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wowote ndani ya msitu?
3 A thing hah hnopai sak nahanelah ouk hno boimaw. Ailo tongben bang nahanelah hai apinimaw ouk a hno boi.
Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza chochote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuningʼinizia vitu kutokana na huo mti wake?
4 Khenhaw! hmai patawi nahanelah doeh ouk hno awh. A som hoi a kung koe totouh hmai ni koung a kak. A langboung a kak teh, patopatangnae ao boimaw.
Nao baada ya kutiwa motoni kama nishati na moto ukateketeza ncha zote mbili na kuunguza sehemu ya kati, je, unafaa kwa lolote?
5 Hmai a kak hoehnahlan pato patang han awm hoehpawiteh, hmai a kak hnukkhu patopatangnae bangmaw hoe kaawm han.
Kama haukufaa kitu chochote ulipokuwa mzima, je, si zaidi sana sasa ambapo hauwezekani kufanyishwa chochote cha kufaa baada ya moto kuuchoma na kuuunguza?
6 Hatdawkvah, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei. Ratu thung e thingnaw thung dawk misurkung hah hmai patawi nahanelah ka ta e patetlah Jerusalem khocanaw hai ka hruek han.
“Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kama nilivyoutoa mti wa mzabibu miongoni mwa miti ya msituni kuwa nishati kwa ajili ya moto, hivyo ndivyo nitakavyowatendea watu waishio Yerusalemu.
7 Ahnimouh koe lah ka kangdue sin vaiteh, hmaithung hoi ka tâcawt awh nakunghai, hmai dawk a kak awh mingming han. Ahnimouh koelah ka kangdue sin toteh, BAWIPA la ka o tie a panue awh han.
Nitaukaza uso wangu dhidi yao. Ingawa watakuwa wameokoka kwenye moto, bado moto utawateketeza. Nami nitakapoukaza uso wangu dhidi yao, ninyi mtajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
8 Ahnimouh ni payonnae bout a sak awh dawkvah, a ramnaw ka pâmit roeroe han telah Bawipa Jehovah ni a dei telah a ti.
Nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekuwa si waaminifu, asema Bwana Mwenyezi.”

< Ezekiel 15 >