< Tâconae 6 >

1 BAWIPA ni Mosi koe, Kai ni Faro siangpahrang koe bangtelamaw ka sak han tie atu na panue han. Ahni ni thaonae kut a hmu vaiteh, ka taminaw a tâco sak han. Thaonae kut hmawt vaiteh ahnimouh teh a ram dawk hoi a pâlei han telah atipouh.
Kisha Bwana akamwambia Mose, “Sasa utaona kitu nitakachomfanyia Farao: Kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawaachia watu waende; kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawafukuza waondoke nchini mwake.”
2 Cathut ni Mosi koe bout a dei pouh e teh, Kai teh Jehovah doeh.
Pia Mungu akamwambia Mose, “Mimi ndimi Bwana.
3 Kai ni Abraham, Isak, Jakop tinaw koe, Athakasaipounge Cathut tie min lahoi ka kamnue pouh eiteh, ka min teh Jehovah lah ahnimouh ka panuek sak hoeh.
Nilimtokea Abrahamu, Isaki na Yakobo kama Mungu Mwenyezi, ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.
4 Ahnimouh ni a hmuen pueng koe a kâva awh teh, imyin lah onae Kanaan ram ahnimouh poe han ka tie lawkkam ka caksak toe.
Pia niliweka Agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, ambako waliishi kama wageni.
5 Izipnaw ni santoung sak e Isarelnaw e hramnae lawk ka thai toe. Ka lawkkam hah ka pahnim hoeh.
Zaidi ya hayo, nimesikia kilio cha huzuni cha Waisraeli ambao Wamisri wamewatia utumwani, nami nimelikumbuka Agano langu.
6 Hatdawkvah, Isarelnaw koe a dei pouh hane lawk teh; Kai teh BAWIPA doeh. Kai ni nangmouh, Izipnaw e kut dawk hoi na tâco sak vaiteh, ahnimae rektapnae dawk hoi na rasa han. Kutdawnae, ka patawpoung lah reknae lahoi nangmouh teh na ratang awh han.
“Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ndimi Bwana, nami nitawatoa mtoke katika kongwa la Wamisri. Nitawaweka huru mtoke kuwa watumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa pamoja na matendo makuu ya hukumu.
7 Ka tami hanlah na la han. Kai teh nangmae Cathut lah ka o han. Kai teh Izipnaw e kut dawk hoi na ka tâcawt sak e BAWIPA Cathut lah ka o e na panue awh han.
Nitawatwaa mwe watu wangu mwenyewe, nami nitakuwa Mungu wenu. Ndipo mtajua kuwa mimi ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisri.
8 Kai ni Abraham, Isak, Jakop ti koe poe hanlah lawk ka kam e ram dawk na hrawi awh vaiteh, râw lah na pang sak awh han. Kai teh BAWIPA doeh telah atipouh.
Nami nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi Bwana.’”
9 Hottelah, Mosi ni Isarelnaw koe patuen a dei pouh eiteh, ahnimouh teh a lungthin puenghoi a pata awh teh, puenghoi rektapnae a khang awh dawkvah Mosi e lawk ngâi laipalah ao awh.
Mose akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini hawakumsikiliza kwa sababu ya maumivu makuu ya moyoni na utumwa wa kikatili.
10 BAWIPA ni Izip siangpahrang Faro koe cet nateh,
Ndipo Bwana akamwambia Mose,
11 Ahni ni Isarelnaw hah a ram dawk hoi tâco sak hanlah dei pouh telah Mosi koe atipouh.
“Nenda, mwambie Farao mfalme wa Misri awaachie Waisraeli waondoke nchini mwake.”
12 Mosi ni hai Isarelnaw ni patenghai ka lawk hah ngâi laipalah ao awh teh, vuensoma hoeh naw e pahni dawk hoi dei e kaie lawk hah Faro siangpahrang ni a ngai han namaw telah BAWIPA hmalah atipouh.
Lakini Mose akamwambia Bwana, “Ikiwa Waisraeli hawatanisikiliza, kwa nini yeye Farao anisikilize mimi, ambaye huzungumza kwa kigugumizi?”
13 Hatdawkvah, BAWIPA ni Mosi hoi Aron teh Isarelnaw Izip ram hoi tâcokhai hanelah, a kaw teh Isarelnaw koe thoseh, Izip siangpahrang Faro koe thoseh a patoun.
Ndipo Bwana akanena na Mose na Aroni kuhusu Waisraeli na Farao mfalme wa Misri, naye akawaamuru wawatoe Waisraeli kutoka Misri.
14 Isarel kacuenaw e a minnaw teh; Isarel e camin Reuben e canaw teh Enok, Pallu, Hezron hoi Karmi. Het teh Reuben miphun lah ao.
Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo za Reubeni.
15 Simeon e canaw teh Jemuel, Jamin, Ohad, Jakhin, Zohar hoi Kanaan napui e capa Saw, hetnaw teh Simeon miphun lah ao.
Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa walikuwa ndio koo za Simeoni.
16 Levih e canaw teh Gershon, Kohath hoi Merari. Levih teh a kum 137 touh a hring.
Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137.
17 Gershon e a ca roi teh Libni hoi Shimei lah ao.
Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa Libni na Shimei.
18 Kohath e a canaw teh Amram, Izhar, Hebron hoi Uzziel lah ao. Kohath teh a kum 133 touh a hring.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.
19 Merari e a ca roi teh Mahli hoi Mushi lah ao. Hetnaw heh Levih miphunnaw lah ao.
Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.
20 Amram ni a na pa e tawncanu Jokhebed a yu lah a la teh, Aron hoi Mosi a sak. Amram teh a kum 137 touh a hring.
Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137.
21 Izhar e a canaw teh Korah, Nepheg hoi Zikhri lah ao.
Wana wa Ishari walikuwa Kora, Nefegi na Zikri.
22 Uzziel e a canaw teh Mishael, Elzaphan hoi Sithri lah ao.
Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.
23 Aron ni Elisheba, Amminadab canu, Nahshon tawncanu, a yu lah a la teh, Nadab, Abihu, Eleazar, hoi Ithamar hah a sak.
Aroni akamwoa Elisheba binti wa Aminadabu ndugu yake Nashoni, naye akamzalia Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
24 Korah e a canaw teh Assir, Elkanah hoi Abiasaph lah ao. Hetnaw heh Korah miphunnaw lah ao.
Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za Kora.
25 Aron capa Eleazar ni Putiel canu a yu lah a la teh, hot hoi Phinehas a sak pouh. Hetnaw heh Levih miphun dawk hoi e kacuenaw lah ao awh.
Eleazari mwana wa Aroni akamwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi. Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa za Walawi, ukoo kwa ukoo.
26 BAWIPA ni Isarelnaw Izip ram dawk hoi tâcawtkhai leih telah atipouh.
Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale ambao Bwana aliwaambia, “Watoeni Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.”
27 Isarel miphunnaw Izip ram hoi ka tâcotakhai hanelah, Faro siangpahrang koevah ka dei pouh hane tami teh Mosi hoi Aron doeh.
Ndio hao hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Mose na huyo Aroni.
28 BAWIPA ni Izip ram vah Mosi koe a pâpho pouh e teh;
Bwana aliponena na Mose huko Misri,
29 Kai teh Jehovah doeh. Kai ni lawk na thui e pueng hah Izip siangpahrang Faro koe na dei pouh han telah Mosi koe atipouh.
akamwambia, “Mimi ndimi Bwana. Mwambie Farao mfalme wa Misri kila kitu nikuambiacho.”
30 Mosi ni, kai teh vuensoma hoeh e pahni ka tawn dawkvah, Faro siangpahrang ni ka lawk hah bangtelamaw a ngâi thai han telah BAWIPA hmalah atipouh.
Lakini Mose akamwambia Bwana, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?”

< Tâconae 6 >