< Tâconae 34 >

1 BAWIPA ni Mosi koevah, lungphen kahni touh a hmaloe e patetlah sak nateh hote lungphen dawkvah ahmaloe e patetlah bout ka thut han.
Bwana akamwambia Mose, “Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, nami nitaandika juu yake maneno yale yaliyokuwa kwenye vile vibao vya kwanza, ulivyovivunja.
2 Tangtho vah coungkacoe lah awmh, amom Sinai mon dawk luen nateh, monsom ka hmalah kangdout.
Uwe tayari asubuhi, kisha upande juu ya Mlima Sinai. Uje mbele zangu kukutana nami huko juu ya mlima.
3 Nang koe apihai tho awh hanh naseh. Mon vah apihai kamnuek awh nahanh seh. Tuhu hoi maitohu naw hai mon teng vah pâ awh nahanh seh ati.
Mtu yeyote asije pamoja nawe, wala asionekane mtu popote juu ya mlima, wala kondoo na mbuzi au ngʼombe wasilishe karibu mbele ya huo mlima.”
4 Hottelah lungphen kahni touh hmaloe e patetlah a sak. Hahoi Mosi teh amom vah a thaw teh BAWIPA ni kâ a poe e patetlah lungphen kahni touh hah a sin teh, Sinai mon dawk a luen.
Kwa hiyo Mose akachonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, naye akapanda juu ya Mlima Sinai asubuhi na mapema, kama Bwana alivyokuwa amemwagiza, akachukua vile vibao viwili vya mawe mikononi mwake.
5 BAWIPA teh tâmai hoi a kum teh, a teng vah a kangdue teh BAWIPA e min hah a pathang.
Kisha Bwana akashuka katika wingu akasimama pamoja naye huko, akalitangaza jina lake, Bwana.
6 BAWIPA ni a ceihlawi teh Jehovah, Jehovah, lungmanae hoi kakawi e Cathut, pahrennae, lungsawnae lungmanae hoi lawkkatang hoi akawi.
Bwana akapita mbele ya Mose, akitangaza, “Bwana, Bwana, Mungu mwenye huruma na neema, asiye mwepesi wa hasira, mwingi wa upendo na uaminifu,
7 Tami a thongsang koe pahrennae kamnueksakkung, payonnae hoi lawkeknae hoi, hawihoehnae kangaithoumkung, yonpennae ka tâcawtkhai boihoeh e, napanaw payonnae dawk canaw catoun totouh, se thum se pali totouh karekkung doeh telah a pâpho.
akidumisha upendo kwa maelfu, pia akisamehe uovu, uasi na dhambi. Lakini haachi kuadhibu mwenye hatia; huwaadhibu watoto na watoto wao kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata katika kizazi cha tatu na cha nne.”
8 Mosi ni karanglah talai dawk a tabo teh a bawk.
Mara Mose akasujudu na kuabudu.
9 Ahni ni, Atuvah BAWIPA na mit dawk minhmai kahawi ka hmawt pawiteh, kai koevah kaie BAWIPA heh cet van naseh telah ka kâhei. A lung ka patak e miphun lah ka o awh nakunghai ka payonnae hoi ka yonnae hah na ngaithoum nateh, na râw lah na tawn lawih telah ati.
Mose akasema, “Ee Bwana, kama nimepata kibali mbele zako, basi Bwana uende pamoja nasi. Ingawa watu hawa ni wenye shingo ngumu, samehe uovu wetu na dhambi yetu, tuchukue kuwa urithi wako.”
10 Ahni ni, khenhaw! lawkkamnae ka sak. Talai pueng hoi miphun pueng dawk sak boihoeh e kângairu hno hah na taminaw pueng hmalah ka sak vaiteh, nangmouh kaawm e na taminaw pueng ni BAWIPA ni sak e hah a hmu awh han. Bangkongtetpawiteh, nangmouh koe ka sak hane heh takikathopounge lah ao han.
Kisha Bwana akasema: “Tazama ninafanya Agano mbele ya watu wako wote. Mbele ya watu wako wote nitafanya maajabu ambayo hayajafanyika katika taifa lolote katika ulimwengu wote. Watu wale mnaoishi miongoni mwao wataona jinsi ilivyo ya kushangaza ile kazi nitakayowafanyia mimi Bwana wenu.
11 Sahnin vah kâ na poe e naw heh pouk. Khenhaw! Amornaw, Kanaannaw, Hitnaw, Hivnaw, Periznaw hoi Jebusitnaw hah na hmalah hoi ka pâlei han.
Tii yale ninayokuamuru leo. Tazama nawafukuza mbele yako Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.
12 Kâhruetcuet, hoehpawiteh na cei nahane ram dawk kaawmnaw hoi lawkkamnae na sak awh vaiteh, nangmouh hanlah karap lah awm payon vaih.
Uwe mwangalifu, usifanye agano na wale wanaokaa katika nchi ile unayoiendea, la sivyo watakuwa mtego katikati yako.
13 Hateiteh ahnimae khoungroe hah, koung na raphoe pouh han. Talung a ung awh e hai rekrek dei awh nateh, thing meikaphawk hah koung tâtueng pouh awh.
Bomoa madhabahu yao, vunja mawe yao ya kuabudia na ukatekate nguzo zao za Ashera.
14 A min patenghai dipma Jehovah lah ao, Cathut teh a dipma thai dawkvah Cathut alouke roeroe na bawk awh mahoeh.
Usiabudu mungu mwingine, kwa kuwa Bwana, ambaye jina lake ni Wivu, ni Mungu mwenye wivu.
15 Hoehpawiteh hote ram dawk e taminaw hoi lawk na kam awh vaiteh, ahnimae cathut koe kâyo laihoi ahnimae cathut koe thueng laihoi buetbuet touh coun vaiteh, thuengnae moi hah ca hoi,
“Uwe mwangalifu usifanye agano na wale watu wanaoishi katika nchi, kwa maana wakati wanapojifanyia ukahaba kwa miungu yao na kuwatolea kafara, watakualika wewe nawe utakula sadaka za matambiko yao.
16 na capanaw hanelah ahnimae canunaw hah na paluen vaiteh, a canunaw ni a cathutnaw koe a kâyo awhnae koe, na capanaw hai kâyawt payon awh langvaih.
Unapowachagua baadhi ya binti zao kuwa wake wa wana wenu na binti hao wakajifanyia ukahaba kwa miungu yao, watawaongoza wana wenu kufanya vivyo hivyo.
17 Thuk e meikaphawk cathut hah na sak awh mahoeh.
“Usijifanyie sanamu za kusubu.
18 Tonphuenhoehe vaiyei pawi na sak han. Kâ na poe awh e patetlah, hnin sari touh thung tonphuenhoehe hah Abib thapa dawk khoe e tueng nah na ca han. Bangkongtetpawiteh, Abib thapa dawkvah Izip ram hoi na tâco awh.
“Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu, kama nilivyokuamuru. Fanya hivi kwa wakati ulioamriwa, katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa kuwa katika mwezi huo ndipo wewe ulipotoka Misri.
19 Camoim ka paawng e pueng kaie doeh. Na saring pueng maito hoi tu camin teh kaie doeh.
“Mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo ni mali yangu, pamoja na wazaliwa wa kwanza wote wa kiume wa mifugo yako, ikiwa ni wa ngʼombe au wa kondoo au mbuzi.
20 Hatei la camin teh tuca hoi na ratang han. Na ratang ngaihoeh pawiteh, a lahuen na kapai pouh han. Na capa camin teh na ratang han. Ka hmaitung vah apihai kuthrawng hoi na tâcawt awh mahoeh.
Utakomboa mzaliwa wa kwanza wa punda kwa mwana-kondoo, lakini kama humkomboi, utavunja shingo yake. Utakomboa wazaliwa wako wa kwanza wote wa kiume. “Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.
21 Hnin taruk touh thung thaw na tawk han. Asari hnin dawk na kâhat han. Laikawk na tawk tue nah hoi canga tue nahai na kâhat han.
“Kwa siku sita utafanya kazi, lakini siku ya saba utapumzika, hata ikiwa ni majira ya kulima au ya kuvuna lazima upumzike.
22 Yat pawi, takhawk pawi, cavanca pawi na to han.
“Utaadhimisha Sikukuu ya Majuma kwa malimbuko ya mavuno ya ngano, na Sikukuu ya Mavuno mwishoni mwa mwaka.
23 Tongpa pueng kum touh dawk vai thum touh Bawipa Jehovah Isarel Cathut hmalah a tâco awh han.
Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote watakuja mbele za Bwana Mwenyezi, Mungu wa Israeli.
24 Bangkongtetpawiteh, na hmalah miphunnaw ka pâlei vaiteh na ramri hah ka kaw sak han, kum touh dawk vai thum touh BAWIPA na Cathut hmalah na tâco awh nahanlah na cei toteh apinihai na ram hah noe awh mahoeh.
Nitawafukuza mataifa mbele yako na kupanua mipaka ya nchi yako, wala hakuna mtu yeyote atakayeitamani nchi yako wakati unapokwenda mara tatu kila mwaka kuonana na Bwana Mungu wako.
25 Kai hanelah thuengnae thipaling teh ton phuen e vaiyei hoi na poe mahoeh. Ceitakhai pawi thuengnae haiyah atangtho totouh na awm sak mahoeh.
“Usinitolee damu ya dhabihu pamoja na kitu chochote chenye chachu, wala usibakize dhabihu yoyote ya Sikukuu ya Pasaka mpaka asubuhi.
26 Na law dawk e aluepaw teh BAWIPA im dawk na thokhai han. Hmaeca e moi hah a manu e sanutui hoi mek na thawng mahoeh.
“Leta matunda ya kwanza yaliyo bora zaidi ya ardhi yako katika nyumba ya Bwana Mungu wako. “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.”
27 BAWIPA ni Mosi koe, hete lawknaw heh thun haw, bangkongtetpawiteh, hete lawknaw tarawi lahoi nang koehoi Isarel koevah lawkkamnae ka sak, telah ati.
Kisha Bwana akamwambia Mose, “Andika maneno haya, kwa maana kulingana na maneno haya, nimefanya Agano na wewe pamoja na Israeli.”
28 Hawvah BAWIPA koe hnin 40 rum 40 touh ao teh, rawca cat laipalah ao teh, tui hai net hoeh. Hahoi lungphen dawk lawkkam kâpoelawknaw hra touh a thut.
Mose alikuwa huko pamoja na Bwana kwa siku arobaini usiku na mchana bila kula chakula wala kunywa maji. Naye akaandika juu ya vibao maneno ya Agano, yaani zile Amri Kumi.
29 Hahoi, Mosi teh lawkpanuesaknae lungphen kahni touh hah a kut hoi a sin teh Sinai mon hoi a kum navah, Mosi ni hottelah a kâpato dawkvah, ka minhmai vuen a ang tie hah panuek hoeh.
Mose alipoteremka kutoka Mlima Sinai akiwa na vile vibao viwili vya Ushuhuda mikononi mwake, hakujua kuwa uso wake ulikuwa ukingʼaa, kwa sababu alikuwa amezungumza na Bwana.
30 Aron hoi Isarelnaw pueng ni Mosi a hmu awh toteh, khenhaw! minhmai vuen a ang teh hnai ngam awh hoeh.
Aroni na Waisraeli wote walipomwona Mose, kuwa uso wake unangʼaa, waliogopa kumkaribia.
31 Mosi ni ahnimouh teh a kaw teh, Aron hoi kamkhueng e lawkcengkungnaw pueng hah ahni koe a ban awh teh Mosi ni ahnimouh teh a pato.
Lakini Mose akawaita, kwa hiyo Aroni na viongozi wote wa jumuiya wakarudi, naye akazungumza nao.
32 Isarelnaw pueng ni a hnai awh hnukkhu Sinai mon vah BAWIPA hoi lawk a kâpato roi e naw pueng patetlah ahnimanaw hah kâ a poe.
Baadaye Waisraeli wote wakamkaribia, naye akawapa amri zote Bwana alizompa katika Mlima wa Sinai.
33 Mosi ni lawk be a dei toteh, a minhmai teh minhmai ramuknae hoi a ramuk.
Mose alipomaliza kuzungumza nao, akaweka utaji kwenye uso wake.
34 Hatei ahni hoi lawk kâpato hanelah BAWIPA hmalah Mosi a luen nah tangkuem vah, bout a pato hoehroukrak a minhmai ramuknae hah ouk a hawng. Hahoi a pato teh kâ a poe e naw hah Isarelnaw koe ouk a dei pouh.
Lakini kila wakati Mose alipoingia mbele za Bwana kuzungumza naye, aliondoa ule utaji mpaka alipotoka nje. Naye alipotoka nje na kuwaambia Waisraeli lile ambalo ameagizwa,
35 Isarelnaw ni Mosi minhmai a khet awh nah tangkuem vah, Mosi minhmai vuen teh a ang. Hahoi Mosi teh Cathut hoi kâpato hanelah a kâen hoehroukrak a minhmai ramuknae hoi a minhmai teh ouk a ramuk.
waliona kuwa uso wake unangʼaa. Kisha Mose angeliweka tena utaji juu ya uso wake mpaka alipokwenda kuzungumza na Bwana.

< Tâconae 34 >