< Tâconae 27 >

1 Anri thing hoi khoungroe ayung dong panga, adangka dong panga, arasang dong thum, a takin pali touh lah na sak han.
“Jenga madhabahu ya mbao za mti wa mshita, kimo chake kiwe dhiraa tatu; itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano.
2 Khoungroe hoi kâkuen lah a takin pali touh dawk a ki na sak vaiteh, rahum tui koung na hluk han.
Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.
3 Hraba kawnnae ampaikei, tawkso, ailo, cingco, hoi tawngben naw hah rahum e na sak han.
Tengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama, na vyombo vya kuchukulia moto.
4 Hote khoungroe teh, rahum cuekkarue na sak vaiteh, a takin pali touh dawk rahum laikaw pali touh na sak han.
Kisha tengenezea hayo madhabahu wavu wa shaba, na utengeneze pete za shaba kwenye kila moja ya hizo pembe nne za huo wavu.
5 Tamlawk ni khoungroe tangawn a pha thai nahanlah, a lungui totouh khoungroe hna a rahim lah na ta han.
Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.
6 Khoungroe kâkayawtnae acung anri thing hoi na sak vaiteh, rahum tui na hluk han.
Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba.
7 Hote kâkayawtnae acung teh, laikaw dawk na hrawt vaiteh, kâkayawtnae acung hoi kâkayawt thai nahanelah, khoungroe teng vah, reirei ta han.
Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa.
8 Hote khoungroe teh thingphek hoi athunglah vukkâko lah na sak han. Athung avan kâpicalah na sak han. Mon vah na patue e patetlah na sak han.
Tengeneza madhabahu yawe na uvungu ndani yake ukitumia mbao. Utaitengeneza sawasawa na vile ulivyoonyeshwa mlimani.
9 Lukkareiim thongma hai na sak han. Akalah kalup nahanelah loukloukkaang e hni kawng e dong 100 touh kasaw na sak han.
“Tengeneza ua kwa ajili ya Hema la Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, na utakuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,
10 Hote yaphni yap nahanelah khom 20, khokpacawp 20 touh hah rahum hoi na sak vaiteh, hetnae hoi pangkheknaw teh ngun hoi na sak han.
pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
11 Hot patetlah, atunglae kalup nahanelah, ayung dong 100 touh ka phat e yaphni hoi cungtalah, ngun hetnae, ngun pangkhek, rahum khom 20, rahum khokpacawp 20 touh ao han.
Upande wa kaskazini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, nao utakuwa na mapazia, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
12 Kalupnae a hnuklah kalup nahanelah ayung dong 50 touh e yaphni hoi khom hra touh, khokpacawp hra touh ao han.
“Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini, nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi.
13 Kalupnae a hma lae hai adangka dong 50 touh ao han.
Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, ua pia utakuwa na upana wa dhiraa hamsini.
14 Longkha avangvanglah yap hane ayung dong hlaipanga touh kasawe yaphni hoi, khom kathum touh,
Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yatakuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.
15 khokpacawp kathum touh ao han.
Kutakuwepo tena na mapazia ya dhiraa kumi na tano kwa upande mwingine wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.
16 Kalupnae longkha koe yap hane dong 20 touh kasawe yaphni teh kamthim hni, âthi hni, hnipaling, loukloukkaang e lukkarei carouk e hoi, khom pali touh, khokpacawp pali touh ao han.
“Kuhusu ingilio la ua, weka pazia lenye urefu wa dhiraa ishirini la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo litashikiliwa na nguzo nne na vitako vinne.
17 Kalupnae petkâkalup lah kaawm e pueng teh, hetnae hah ngun, pangkhek hah ngun, khokpacawp hah rahum han.
Nguzo zote zinazozunguka ua zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako vya shaba.
18 Kalupnae teh ayung dong cum, adangka dong 50, arasang dong panga touh a pha vaiteh, loukloukkaang e lukkarei hoi rahum khokpacawp lah ao han.
Ua wa kukutania utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini, ukiwa na mapazia ya kitani yaliyosokotwa vizuri yenye urefu wa dhiraa tano kwenda juu na vitako vya shaba.
19 Lukkareiim dawk hnopai e naw pueng hoi lukkareiim dawk hno e hetnae hoi, kalupnae dawk hno e hetnae pueng teh rahum hoi sak e lah ao han.
Vyombo vingine vyote vinavyotumika katika maskani kwa shughuli yoyote, pamoja na vigingi vyote na hata vile vya ua, vitakuwa vya shaba.
20 Hmaiim pou paang thai nahanelah, Olive paw phawm laihoi raci e olive satui kathoung hah, Isarelnaw ni a thokhai awh nahanlah kâ na poe han.
“Utawaamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili zile taa ziwake mfululizo.
21 Lawkpanuesaknae yaphni yap e alawilah kamkhuengnae hmuen koe, Aron hoi a canaw ni tangmin hoi amom ditouh BAWIPA hmalah, hote thaw hah a tawk awh han. Hetheh, Isarel catounnaw ni catounnaw totouh a tarawi awh hane phunglam lah ao han.
Katika Hema la Kukutania, nje ya pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, Aroni na wanawe watahakikisha kuwa taa hizo zinawaka kuanzia jioni mpaka asubuhi mbele za Bwana. Hili litakuwa agizo la milele miongoni mwa Waisraeli kwa vizazi vyote vijavyo.

< Tâconae 27 >