< Tâconae 25 >

1 BAWIPA ni Mosi hah a pato teh,
Bwana akamwambia Mose,
2 kai koevah pasoumhno poe hanelah, Isarelnaw hah dei pouh. Lungthocalah hoi ka poe e pueng kaie pasoumhno lah na la han.
“Waambie Waisraeli waniletee sadaka. Utapokea sadaka kwa niaba yangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake wapenda kutoa.
3 Hetnaw heh ahnimouh koehoi na la hane pasoumhno lah ao han. Sui, ngun, rahum
Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao: dhahabu, fedha na shaba;
4 kamthim hni, âthi hni, hnipaling, loukloukkaang e lukkarei, hmae muen,
nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu, pamoja na kitani safi; singa za mbuzi;
5 tu pho âthi bu e, a pho kahawi phu kaawm e hoi, anri thing,
ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo; mbao za mshita;
6 paang hane satui, kâhluk e satui hoi hmuitui,
mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri;
7 vaihma angki hoi lungtabue bet hanelah onyx talung phu kaawm,
na vito vya shohamu na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.
8 hahoi ahnimouh koe ka o thai nahanlah hmuen kathoung na sak pouh awh naseh.
“Kisha uwaamuru wanitengenezee mahali patakatifu, nami nitakaa miongoni mwao.
9 Lukkareiim e mei hoi a puengcangnaw e mei pueng kai ni na hmu sak e patetlah na sak han.
Tengeneza hema hili na vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo nitakachokuonyesha.
10 Hahoi anri thing e thingkong ayung dong hni tangawn, adangka dong touh hoi a tangawn, arasang dong touh hoi tangawn hoi na sak han.
“Nao watatengeneza Sanduku la mbao za mshita, lenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, upana wa dhiraa moja na nusu, na kimo cha dhiraa moja na nusu.
11 Athung avan suikathoung hoi na hluk vaiteh, sui hoi pangkhek na sak han.
Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.
12 Laikaw pali touh sui hoi na sak vaiteh, a khok dawk na mahrawk han. Laikaw kahni touh hah avanglae a khok dawk, alouke kahni touh hah avanglae a khok dawk na mahrawk han.
Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.
13 Kâkayawtnae acung hah anri thing e na sak vaiteh, sui koung na hluk han.
Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.
14 Thingkong kâkayawt thai nahanelah, tapang dawk e laikaw dawk kâkayawtnae acung hah na hrawt han.
Utaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.
15 Thingkong e laikaw dawkvah kâkayawtnae acung teh pou na hrawt vaiteh, na rayu mahoeh.
Hiyo mipiko itabakia daima katika hizo pete za hilo Sanduku; haitaondolewa.
16 Thingkong thung vah lawkpanuesaknae kai ni na poe hane hah na ta han.
Kisha weka ndani ya hilo Sanduku ule Ushuhuda nitakaokupa.
17 Lungmanae tungkhung hah ayung dong hni tangawn, adangka dong hni tangawn hoi na sak han.
“Tengeneza kifuniko cha upatanisho cha dhahabu safi, chenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, na upana wa dhiraa moja na nusu.
18 Lungmanae tungkhung apoutnae reira dawk cherubim kahni touh dei lah dei e sui hoi na sak han.
Tengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko.
19 Avang lae apoutnae dawk cherubim buet touh, avanglae apoutnae dawk hoi cherubim buet touh na sak han. Lungmanae tungkhung hoi kâkuen lah apoutnae roi koe cherubim kahni touh na sak han.
Tengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; watengeneze makerubi hao wawe kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili.
20 Hottelah cherubim kahni touh minhmai kadangka lahoi lungmanae tungkhung hah a rathei kadai hoi a khu vaiteh, lungmanae tungkhung koe lah cherubim ni a khet han.
Makerubi hao watakuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, yakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao wataelekeana, wakitazama hicho kifuniko.
21 Hote thingkong van vah lungmanae tungkhung teh na ta awh vaiteh, na poe hane lawkpanuesaknae hah thingkong thung vah na ta han.
Weka huo Ushuhuda nitakaokupa ndani ya hilo Sanduku la Agano, na uweke hicho kifuniko juu ya hilo Sanduku.
22 Hote hmuen dawk nang koe ka tho vaiteh, cherubim kahni touh rahak e lawkpanuesaknae thingkong van lungmanae tungkhung lahoi Isarel taminaw koevah kâ na poe hane pueng dawk lawk ka dei han.
Hapo juu ya hicho kifuniko, kati ya hao makerubi wawili walioko juu ya hilo Sanduku la Ushuhuda, hapo ndipo nitakapokutana nawe na kukupa maagizo yangu kwa ajili ya Waisraeli.
23 Hahoi anri thing hoi caboi ayung dong hni, adangka dong touh, a rasang dong touh hoi tangawn hoi na sak han.
“Tengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili, upana wa dhiraa moja, na kimo cha dhiraa moja na nusu.
24 Kathounge sui hoi na hluk vaiteh, pangkhek hah sui hoi na pacawp sin han.
Ifunike kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
25 A phen kuttabei tittouh e hoi petkâkalup lah a hna na bet vaiteh, sui hoi na pacawp sin han.
Kisha tengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne, na ufanyie ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote.
26 Caboi hanlah sui laikaw pali touh na sak vaiteh, a khok pali touh onae takin pali touh dawk na ta han.
Tengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na uzifungie kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne.
27 Caboi hah kâkayawt thai nahan, acung hrawt thai nahanelah, laikaw hah a hna hoi kamtawm lah na mawp han.
Pete hizo zitakuwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko itakayotumika kuibebea hiyo meza.
28 Caboi hah kâkayawt thai nahanlah anri thing e acung na sak vaiteh, sui tui hoi na hluk han.
Tengeneza mipiko hiyo kwa mbao za mshita, uifunike na dhahabu, uitumie kubeba hiyo meza.
29 Hote hno hanlah, tongben, pacen, kawlung hoi awi nahane manang haiyah sui hoi na sak han.
Tengeneza sahani zake na masinia yake kwa dhahabu safi, pamoja na bilauri na bakuli zake kwa ajili ya kumiminia sadaka.
30 Caboi van vah vaiyei hah ka hmaitung vah pou na pâhung han.
Utaweka mikate ya Wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu daima.
31 Hahoi hmaiimkhok hah sui hoi na sak vaiteh dei lah dei e han. Hmaikhom patet e kutnaw, manangnaw, a peimuemnaw, lili peinaw hah buet touh lah na dei han.
“Tengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vinavyofanana na ua, matovu yake na maua yake viwe kitu kimoja.
32 Hmaiimkhok avoivang lahoi kathum kathum touh a tâco vaiteh, a kut taruk touh ao han.
Matawi sita yatatokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine.
33 Hmaiimkhok dawk hoi ka tâcawt e a kut kathum touh dawk, a kut buet buet touh dawk a peimuem, lili pei, almond paw hoi mei kâvan e manang kathum touh ao han.
Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vitakuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yanayotokeza kwenye kile kinara cha taa.
34 Hmaiimkhok dawk hai a peimuemnaw, lili peinaw, almond paw, mei kalmond paw hoi mei kâvan evan e manang pali touh ao han.
Juu ya kinara chenyewe vitakuwepo vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake.
35 Hmaiimkhok dawk hoi ka tâcawt e a kut taruk touh ao e patetlah a kut kahni touh e rahim haiyah a peimuem buet touh rip ao han. Hmaikhom abuemlah suikathoung hoi na dei han.
Tovu moja litakuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani matawi sita kwa jumla.
36 A peimuemnaw a kutnaw hah buet touh lah koung na kâkuetsak han. Abuemlah suikathoung hoi na dêi han.
Matovu na matawi yote yatakuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakifuliwa kwa dhahabu safi.
37 Hote hno hanlah hmaiim sari touh na sak vaiteh, a hmalah a ang thai nahanlah hmaiim hah na paang han.
“Kisha tengeneza taa zake saba na uziweke juu ya kinara hicho ili ziangaze mbele yake.
38 Paitei hoi padounnae haiyah suikathoung lah ao han.
Mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote zitakuwa za dhahabu safi.
39 Hmaiim tanae hoi a hnopai pueng saknae dawk suikathoung pong 100 touh na hno han.
Utatumia talanta moja ya dhahabu safi kutengeneza hicho kinara na vifaa vyake vyote.
40 Mon vah meilam na patue e patetlah bangpueng sak hanelah pahnim hanh.
Hakikisha kuwa umevitengeneza sawasawa na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.

< Tâconae 25 >