< Tâconae 14 >

1 BAWIPA nihai,
Ndipo Bwana akamwambia Mose,
2 Isarelnaw ban teh Pihahiroth khopui teng, Migedan khopui hoi tuipui rahak, Baalazephon khopui hmalah rim tuk hanlah dei pouh.
“Waambie Waisraeli wageuke nyuma na wapige kambi karibu na Pi-Hahirothi, kati ya Migdoli na bahari. Watapiga kambi kando ya bahari, mkabala na Baal-Sefoni.
3 Bangkongtetpawiteh, Faro siangpahrang ni Isarelnaw teh khikpacu awh toe. Ramke um lam awm hoeh toe telah ati han.
Farao atafikiri kwamba, ‘Hao Waisraeli wanatangatanga katika nchi kwa kuchanganyikiwa, nalo jangwa limewafungia.’
4 Kai ni hai Faro e lungthin ka pata sak vaiteh, ahni ni Isarelnaw a pâlei han. Kai teh BAWIPA doeh tie Izipnaw ni a panue nahanlah hote siangpahrang hoi a ransanaw lahoi ka bawilennae a kamnue han telah Mosi koe atipouh e patetlah ahnimanaw ni a sak awh.
Nami nitaufanya moyo wa Farao mgumu, naye atawafuatilia. Lakini nitajipatia utukufu kwa ajili yangu mwenyewe kupitia Farao na jeshi lake lote, nao Wamisri watajua kuwa mimi ndimi Bwana.” Kwa hiyo Waisraeli wakafanya hivyo.
5 Hote taminaw a yawng e kong Izip siangpahrang koe a thai sak awh navah, ahni koehoi a sannaw e lungthin bout a kamlang teh, maimouh ni hettelah sak awh teh Isarelnaw hah maimae thawtawknae koehoi bangkongmaw a hlout awh han telah ati awh.
Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi wao!”
6 Hat navah, Siangpahrang ni rangleng coungkacoe a rakueng teh a taminaw hah akaw.
Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake.
7 Rangleng kahawi e cum taruk touh hoi Izip marangransanaw pueng hoi cungtalah, bawinaw pueng haiyah a ceikhai.
Akachukua magari bora mia sita, pamoja na magari mengine yote ya Misri, pamoja na maafisa wa magari hayo yote.
8 BAWIPA ni Faro e lungthin bout a pata sak dawkvah, ahni ni Isarelnaw hah a pâlei awh. Hat ei, Isarelnaw teh kut dâw laihoi a cei awh.
Bwana akaufanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, kwa hiyo akawafuatia Waisraeli, waliokuwa wakiondoka Misri kwa ujasiri.
9 Hottelah, Faro siangpahrang e marangransanaw, rangleng ransanaw hoi Izip taminaw ni a pâlei awh teh, Pihahuroth khopui teng, Baalazephon khopui hmalah tuipui rai lah rim ka tuk e Isarelnaw hah a pha awh.
Nao Wamisri, yaani farasi wote wa Farao na magari ya vita, wapanda farasi na vikosi vya askari, wakawafuatia Waisraeli, wakawakuta karibu na Pi-Hahirothi, mkabala na Baal-Sefoni walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari.
10 Faro ni a hnai nah Isarelnaw ni a khet awh teh Izipnaw ni pâlei e a hmu awh navah, pueng hoi a taki awh dawkvah BAWIPA koe a hramki awh.
Farao alipokaribia, Waisraeli wakainua macho yao, wakawaona Wamisri wakija nyuma yao. Wakashikwa na hofu, wakamlilia Bwana.
11 Mosi koe hai, Izip ram dawk phuenmon ao hoeh dawkvah maw, hi ramke um due hanlah kaimouh na hrawi awh. Kaimouh koe hettelah na sak teh, Izip ram hoi bangkong na hrawi awh.
Wakamwambia Mose, “Je, ni kwamba hayakuwako makaburi huko Misri hata umetuleta tufe huku jangwani? Umetufanyia nini kututoa Misri?
12 Kaimouh teh Izipnaw koe san lah kaawm awh yawkaw nei telah Izip ram vah ka dei awh navah, hete hno khet laihoi ka dei awh hoeh na maw. Kaimouh hete kahrawngum due hlak teh Izipnaw koe san lah o e heh ahawihnawn telah ati awh.
Hatukukuambia tulipokuwa huko Misri, tuache tuwatumikie Wamisri? Ingekuwa vyema zaidi kwetu kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani!”
13 Mosi ni taket awh hanh. Lungmawngcalah awm awh. BAWIPA ni sahnin nangmouh hanlah rungngangnae a sak hane hah khenhaw. Sahnin nangmouh ni na hmu e Izipnaw heh bout na hmawt awh mahoeh toe.
Mose akawajibu Waisraeli, “Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu Bwana atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena.
14 BAWIPA ni taran na tuk pouh han. Nangmanaw teh lungmawngcalah na o awh han telah taminaw koe a dei pouh.
Bwana atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu.”
15 BAWIPA ni bangkongmaw KAI na kaw awh. Isarelnaw hmalah cei hanlah dei pouh.
Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Kwa nini wewe unanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.
16 Nang ni sonron na kut hoi tuipui van lah dâw nateh tuipui kâphi sak. Isarelnaw ni tui lungui, talai kaphui dawk a cei awh han.
Inua fimbo yako na unyooshe mkono wako juu ya bahari ili kuyagawa maji, hivyo kwamba Waisraeli wapate kupita mahali pakavu baharini.
17 KAI ni Izipnaw e a lungthin ka pata sak vaiteh, ahnimouh ni na pâlei awh han. Faro siangpahrang hoi a bawinaw, marang, marangransanaw lahoi ka lentoenae a kamnue han.
Nitaifanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu kusudi waingie baharini wakiwafuatia. Nami nitajipatia utukufu kupitia Farao pamoja na jeshi lake lote, kupitia magari yake ya vita na wapanda farasi wake.
18 Hottelah, Faro siangpahrang hoi a marang, marangransanaw lahoi ka lentoenae a kamnue toteh, kai teh BAWIPA doeh tie hah Izipnaw ni a panue awh han telah Mosi koe a dei pouh.
Nao Wamisri watajua kwamba Mimi ndimi Bwana nitakapojipatia utukufu kupitia Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake.”
19 Hat navah, Isarelnaw e hmalah ka cet e Cathut e kalvantami ni a hnuk a pâlei teh, tâmai khom teh ahnimae hmalah hoi hnuklah a kampuen teh a kangdue.
Ndipo malaika wa Mungu, aliyekuwa akisafiri mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akakaa nyuma yao. Pia ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao na kusimama nyuma,
20 Hottelah, Izip ransanaw hoi Isarel ransanaw rahak a pha nah, Izipnaw koe kahmawt sak e tâmai lah ao teh, Isarelnaw koe teh angnae ka poe dawkvah karum tuettuet buet touh hoi buet touh kâhnai thai awh hoeh.
ikakaa kati ya majeshi ya Misri na Israeli. Usiku kucha wingu likaleta giza upande mmoja na nuru kwa upande mwingine, kwa hiyo hakuna aliyemkaribia mwenzake usiku kucha.
21 Mosi ni tuipui lathueng a kut a dâw nah karum tuettuet BAWIPA ni Kanîtholae kahlî katang hoi tuipui hah hnuklah a pâban teh talai rem a phui sak.
Ndipo Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, naye Bwana akayasukuma maji ya bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku ule wote na kupafanya nchi kavu. Maji yakagawanyika,
22 Isarelnaw ni tuipui lungui talai dawk a cei awh teh, tui teh ahnimae avoilah aranglah talung tapang patetlah ao.
nao Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, maji yakiwa ukuta upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.
23 Izipnaw, Faro siangpahrang ni a hrawi e marang, marangransanaw teh tuipui lungui a kâen awh.
Wamisri wakawafuatia ndani ya bahari, pamoja na farasi wote wa Farao, magari ya vita na wapanda farasi.
24 Amom vah BAWIPA ni Izip ransanaw hah hmaikhom hoi tâmai dawk hoi a khet teh a tarawk.
Karibia mapambazuko, Bwana akaliangalia jeshi la Wamisri kutoka ile nguzo ya moto na ya wingu, akalifadhaisha.
25 Ahnimae rangleng cei a ru nahanlah a khok a kâhlehlawk sak. Izipnaw ni hai Isarelnaw koehoi yawng awh leih sei, BAWIPA ni Isarelnaw koe lahoi Izip taminaw a tuk, telah ati awh.
Mungu akayaondoa magurudumu ya magari yao, kwa hivyo wakayaendesha kwa shida. Nao Wamisri wakasema, “Tuachane na Waisraeli! Bwana anawapigania dhidi ya Misri.”
26 BAWIPA nihai, tuipui ni Izip taminaw, ranglengnaw, marangransanaw e lathueng vah tip sin hanelah, tupui lathueng na kut dâw atipouh e patetlah,
Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya bahari ili maji yarudiane yawafunike Wamisri, magari yao ya vita na wapanda farasi wao.”
27 Khodai toteh Mosi ni tuipui lathueng a kut a dâw teh, tuipui tui teh a thao teh bout a lawng. Izipnaw ni a yawng takhai ei, BAWIPA ni ahnimouh teh tuipui lungui vah a tâkhawng.
Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, wakati wa mapambazuko bahari ikarudiana na kuwa kama kawaida. Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji, lakini Bwana akawasukumia ndani ya bahari.
28 Hottelah, tuipui tui teh bout a lawng teh tuipui dawk a bo toteh, Faro siangpahrang e rangleng, marangransanaw pueng teh muen a ramuk dawkvah buet touh hai hlout awh hoeh.
Maji yakarudiana na kuyafunika magari ya vita na wapanda farasi pamoja na jeshi lote la Farao lililokuwa limewafuata Waisraeli ndani ya bahari. Hakuna hata mmoja wao aliyenusurika.
29 Isarelnaw teh tuipui lungui talai kaphui dawk hoi a cei awh teh, tui teh ahnimae avoilah aranglah talung tapang patetlah ao.
Lakini Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, ukiwepo ukuta wa maji upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.
30 Hottelah, BAWIPA ni Isarelnaw teh Izipnaw e kut dawk hoi a rungngang teh tuipui rai lah Izipnaw e ronaw teh a hmu awh.
Siku ile Bwana akawaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wamisri, nao Waisraeli wakawaona Wamisri wamelala ufuoni mwa bahari wakiwa wamekufa.
31 Hottelah, BAWIPA ni Izipnaw koe hno ka len poung a sak e hah Isarelnaw ni a hmu awh navah, BAWIPA hah a taki awh. BAWIPA hoi a san Mosi hah a yuem awh.
Basi Waisraeli walipoona uwezo mkubwa Bwana aliodhihirisha dhidi ya Wamisri, watu wakamwogopa Bwana na wakaweka tumaini lao kwake na kwa Mose mtumishi wake.

< Tâconae 14 >