< Tâconae 1 >

1 Izip ram vah Jakop hoi cungtalah, amamae imthungnaw ka phat awh e Isarelnaw teh;
Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli ambao walikwenda Misri na Yakobo, kila mmoja akiwa pamoja na jamaa yake:
2 Reuben, Simeon, Levih hoi Judah,
Reubeni, Simeoni, Lawi na Yuda;
3 Issakhar, Zebulun hoi Benjamin,
Isakari, Zabuloni na Benyamini;
4 Dan, Naphtali, Gad hoi Asher,
Dani na Naftali, Gadi na Asheri.
5 Jakop canaw abuemlah tami 70 touh a pha awh. Joseph teh Izip ram vah yo la ao toe.
Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini; Yosefu alikuwa tayari yuko Misri.
6 Joseph hoi a hmaunawnghanaw senae taminaw pueng teh koung a due awh toe.
Basi Yosefu na kaka zake wote na kizazi kile chote walikufa,
7 Isarelnaw teh ca moi a pungdaw awh, a thao awh teh ram pueng dawk kho a sak awh.
lakini Waisraeli walikuwa wamezaana na kuongezeka sana, idadi yao ikawa kubwa mno, kwa hiyo wakaijaza nchi.
8 Hathnukkhu, Izip ram dawk Joseph ka panuek hoeh e siangpahrang katha a tâco.
Kisha mfalme mpya ambaye hakufahamu habari za Yosefu akatawala Misri.
9 Hote siangpahrang ni hai Isarelnaw teh maimanaw hlak apap awh, a thasai awh.
Akawaambia watu wake, “Tazameni, Waisraeli wamekuwa wengi mno kwa idadi kutuliko sisi.
10 Tho awh, lungangcalah hoi ahnimouh lathueng hno sak awh sei. Nahoeh pawiteh, ahnimouh teh hoe pungdaw awh vaiteh, hmalah tarankâtuknae awm pawiteh, maimae tarannaw koe lah kambawng awh vaiteh, maimouh hah na tuk vaiteh ram dawk hoi a yawng awh han doeh telah a taminaw koe a dei pouh.
Njooni, ni lazima tuwashughulikie kwa uangalifu, la sivyo watazidi kuwa wengi zaidi, na ikiwa patatokea vita, watajiunga na adui zetu kupigana dhidi yetu na kuondoka katika nchi hii.”
11 Hatdawkvah, Izip bawinaw ni puenghoi rektap hanelah kaukkung a ta pouh. Isarel taminaw teh hno pâtung nahanlah Pithom khopui hoi Raameses khopui hah a sak awh.
Basi Wamisri wakaweka wasimamizi wa kuwasimamia na kuwatesa Waisraeli kwa kazi ngumu, nao wakajenga miji ya Pithomu na Ramesesi ya kuweka akiba ya Farao.
12 Hateiteh, rektapnae hoehoe a khang awh e patetlah hoehoe a pungdaw awh. Ahnimouh kecu dawk Izipnaw teh a lungpuen awh.
Lakini walivyozidi kuteswa ndivyo walivyozidi kuongezeka na kuenea katika nchi; Wamisri wakawaogopa Waisraeli,
13 Pueng hoi hoe a rektap awh.
kwa hiyo wakawatumikisha kwa ukatili.
14 Talung bonae hoi amhru saknae koe, law thawnaw pueng dawk puenghoi a tawk sak awh teh a tawk e tangkuem dawk nget ka tawn lah a tawk sak awh.
Wakafanya maisha ya Waisraeli kuwa machungu kwa kufanya kazi ngumu ya kutengeneza lami na kufyatua matofali, na kazi zote za mashambani; katika kazi zao zote ngumu, Wamisri waliwatumia Waisraeli kwa ukatili.
15 Izip siangpahrang ni Hebru tami, camo ka khe sak roi e kahni touh, Siphrah hoi Puah koevah,
Mfalme wa Misri akawaambia wakunga wa Kimisri waliowazalisha wanawake wa Kiebrania, ambao majina yao ni Shifra na Pua,
16 nangmouh roi ni Hebru napuinaw e camo khe sak roi nateh, a khenae hmuen koe na ring roi navah, ca tongpa khe pawiteh thet, napui khe pawiteh pâhlung roi haw telah atipouh.
“Mtakapowazalisha wanawake wa Kiebrania, chunguzeni wanapojifungua. Ikiwa ni mtoto wa kiume, muueni, lakini ikiwa ni msichana, mwacheni aishi.”
17 Camo kakhesak roi e ni Cathut a taki dawkvah, Izip siangpahrang e kâpoe e patetlah sak laipalah ca tongpa hah a pâhlung roi.
Lakini hao wakunga walimcha Mungu na hawakufanya kile mfalme wa Misri alichowaambia kufanya, bali wakawaacha watoto wa kiume waishi.
18 Izip siangpahrang ni hai camo kakhesak e roi a kaw teh, nangmouh roi ni bangkongmaw camo tongpanaw na pâhlung roi telah a pacei navah,
Ndipo mfalme wa Misri akawaita hao wakunga, akawauliza, “Kwa nini mmefanya hivi? Mbona mmeacha watoto wa kiume waishi?”
19 Ahnimouh roi ni Hebru napuinaw teh Izip napuinaw patetlah awm awh hoeh. Ahnimouh teh cao a yawi dawkvah, camo kakhesak e a tho hoeh nah camo yo a la khe toe telah atipouh roi.
Wakunga wakamjibu Farao, “Wanawake wa Kiebrania ni tofauti na wanawake wa Kimisri; wao wana nguvu, nao hujifungua watoto kabla wakunga hawajafika.”
20 Hatdawkvah, Cathut ni camo kakhesak roi e lathueng vah, hawinae a sak pouh. Hote miphun haiyah a pungdaw awh teh a thao awh.
Kwa hiyo Mungu akawatendea mema wakunga hao. Waisraeli wakaongezeka na kuendelea kuwa wengi zaidi.
21 Camo kakhesak e napui roi ni Cathut a taki roi dawkvah ahnimae imthungkhunaw hah a khetyawt roi.
Kwa vile hao wakunga walimcha Mungu, Mungu akawajalia kuwa na jamaa zao wenyewe.
22 Faro siangpahrang ni hai Isarelnaw dawk ca tongpa khe e pueng teh Nai palang dawk tâkhawng naseh, Napui pâhlung awh naseh, telah a taminaw pueng koe lawk a thui.
Kisha Farao akatoa agizo hili kwa watu wake wote: “Kila mtoto wa kiume atakayezaliwa kwa Waebrania lazima atupwe katika Mto Naili, bali kila mtoto wa kike aachwe aishi.”

< Tâconae 1 >