< Guncei 19 >
1 Kawrin kho Apollos ao navah Pawl teh mon lam hoi Efisa kho a cei.
Apolo alipokuwa huko Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso. Huko akawakuta wanafunzi kadhaa,
2 A hnukkâbangnaw hoi a kâhmo toteh, nangmouh ni na yuem awh navah, Kathoung Muitha na coe awh toung maw telah a pacei. Ahnimouh ni Kathoung Muitha coe hoi coe hoeh e ka panuek awh hoeh atipouh awh.
akawauliza, “Je, mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini?” Wakajibu, “Hapana, hata hatukusikia kuwa kuna Roho Mtakatifu.”
3 Hattoteh Pawl niyah, bangpatet e baptisma maw na coe awh vaw, telah let a pacei navah, ahnimouh ni, Jawhan e baptisma doeh ka coe ati awh.
Ndipo Paulo akawauliza, “Je, mlibatizwa kwa ubatizo gani?” Wakajibu, “Kwa ubatizo wa Yohana.”
4 Pawl ni Jawhan teh amae a hnuklah ka tho hane Bawipa hah yuem awh haw titeh pankângainae baptisma doeh na poe awh. Hottelah a dei navah Jisuh Khrih doeh a dei ngai nah atipouh.
Paulo akasema, “Ubatizo wa Yohana ulikuwa wa toba, aliwaambia watu wamwamini yeye atakayekuja baada yake, yaani, Yesu.”
5 Ahnimouh ni a yuem awh toteh Jisuh min dawk baptisma a coe awh.
Waliposikia haya, wakabatizwa katika jina la Bwana Yesu.
6 Pawl ni ahnimouh lathueng kut a toung pouh toteh ahnimouh koe Kathoung Muitha a pha. Hatdawkvah ahnimanaw teh alouke lawknaw a dei awh teh, profet lawk a pâpho awh.
Paulo alipoweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifu akawashukia, nao wakanena kwa lugha mpya na kutabiri.
7 Ahnimanaw teh abuemlahoi hrahlaikahni touh a pha.
Walikuwa kama wanaume kumi na wawili.
8 Hathnukkhu Pawl teh thapa yung thum touh thung sinakok vah Cathut uknaeram kamthang hah taranhawi laihoi a pâpho.
Paulo akaingia katika sinagogi na kunena humo kwa ujasiri kwa muda wa miezi mitatu, akijadiliana na watu na kuwashawishi katika mambo ya Ufalme wa Mungu.
9 Hatei tami tangawn teh a lungpata awh dawkvah yuem laipalah tamimaya hmalah lamthung pathoe lawk a dei awh dawkvah, a hnukkâbangnaw hah a kaw teh ahnimouh koehoi a tâco teh, Tirannus sengim dawkvah hnintangkuem a cangkhai.
Lakini baadhi yao walikaidi. Walikataa kuamini, na wakakashifu ujumbe wake mbele ya umati wa watu. Basi Paulo aliachana nao. Akawachukua wanafunzi naye, akahojiana nao kila siku katika darasa la Tirano.
10 Kum hni touh thung hottelah a kâroe dawkvah Judahnaw, Griknaw hoi Asia ram kaawmnaw pueng ni Bawipa e lawkkatang teh a thai awh.
Jambo hili likaendelea kwa muda wa miaka miwili, kiasi kwamba Wayahudi na Wayunani wote walioishi huko Asia wakawa wamesikia neno la Bwana.
11 Cathut ni Pawl kut dawk hoi ka talue e kângairuhnonaw a sak.
Mungu akafanya miujiza mingi isiyo ya kawaida kwa mkono wa Paulo,
12 A tak dawk e hnica, hoehpawiteh a kâyeng e hnica a sin awh teh, ka dam hoeh e tak dawk a nep awh navah, ahnimae patawnae a kahma teh muitha kathoutnaw hai a tâco awh.
hivi kwamba leso au vitambaa vilivyokuwa vimegusa mwili wa Paulo viliwekwa juu ya wagonjwa, nao wakapona magonjwa yao, na pepo wachafu wakawatoka.
13 Hatnavah yuengyoe kâva e Judah miphun, camkathoumnaw ni, muithakathout ni a man e taminaw koevah, Pawl ni a pâpho e Jisuh min lahoi kâ na poe titeh, Jisuh min hah tanouknae lah a hno awh.
Basi baadhi ya Wayahudi wenye kutangatanga huku na huko wakitoa pepo wachafu wakajaribu kutumia jina la Bwana Yesu wale wenye pepo wakisema, “Kwa jina la Yesu, yule anayehubiriwa na Paulo, nakuamuru utoke.”
14 Hottelah ka tet e naw teh Judah tami vaihma bawi Skiva e capa sari touh hah doeh.
Wana saba wa Skewa, Myahudi aliyekuwa kiongozi wa makuhani, walikuwa wanafanya hivyo.
15 Hatnavah muitha kathoutnaw ni, Jisuh hai ka panue, Pawl hai ka panue, nangmanaw teh apinaw maw telah ati hnukkhu,
Lakini pepo mchafu akawajibu, “Yesu namjua na Paulo pia namjua, lakini ninyi ni nani?”
16 Hote muitha kathoutnaw ni a man e tami ni, ahnimanaw hah a cu sin teh, a kathuek a kayak dawkvah caici lah hmâtan hoi a yawng awh.
Kisha yule mtu aliyekuwa na pepo mchafu akawarukia, akawashambulia vikali, akawashinda nguvu wote, wakatoka ndani ya ile nyumba wakikimbia wakiwa uchi na wenye majeraha.
17 Efisa kho kaawm e Judahnaw hoi Griknaw ni hote kamthang a thai awh navah, a taki awh teh Bawipa Jisuh min hah bari kaawm lah a pholen awh.
Habari hii ikajulikana kwa Wayahudi wote na Wayunani waliokaa Efeso, hofu ikawajaa wote, nalo jina la Bwana Yesu likaheshimiwa sana.
18 Ka yuem e tami moikapap a tho awh teh, amamae a tawksak awh e naw hah a pâpho awh.
Wengi wa wale waliokuwa wameamini wakati huu wakaja na kutubu waziwazi kuhusu matendo yao maovu.
19 Camkathoumnaw ni hai amamae hnopainaw hoi cauknaw hah tamimaya hmalah a tâcokhai awh teh, hmai a pau awh. Hote cauknaw phu to navah ngun tangka thong 50 touh phu a pha.
Idadi kubwa ya wale waliofanya mambo ya uganga wakaleta vitabu vyao na kuviteketeza kwa moto hadharani. Walipofanya hesabu ya thamani ya vitabu vilivyoteketezwa ilikuwa drakma 50,000 za fedha.
20 Hettelah hoiyah, Bawipa e lawkkatang teh thaonae hoi a roung teh tânae a hmu.
Hivyo neno la Bwana likaenea sana na kuwa na nguvu.
21 Hathnukkhu Pawl teh Masidonia ram hoi Akhaia ram lahoi Jerusalem cei hanelah Muitha patounnae lahoi lawk a tâtueng teh, Jerusalem ka cei hnukkhu Rom khopui hai ka hmu han a ti.
Baada ya mambo haya kutukia, Paulo akakusudia rohoni kwenda Yerusalemu kupitia Makedonia na Akaya. Akasema, “Baada ya kufika huko, yanipasa pia kwenda Rumi.”
22 Hatdawkvah ahni kabawmkung Timote hoi Erastas hah Masidonia ram lah a patoun. Ama teh Asia ram vah dongdeng ao.
Hivyo akatuma wasaidizi wake wawili, Timotheo na Erasto, waende Makedonia, wakati yeye mwenyewe alibaki kwa muda kidogo huko Asia.
23 Hatnavah kamthang lawk kecu dawk ruengrueng ati awh.
Wakati huo huo pakatokea dhiki kubwa kwa sababu ya Njia ile ya Bwana.
24 Bangkong nama tetpawiteh nguntui kahlun e Demetrias teh Atemis cathut napui e bawkimca hlun laihoi nguntui kahlunnaw hanlah tawntanae lah a coung sak.
Mtu mmoja jina lake Demetrio mfua fedha aliyekuwa akitengeneza vinyago vya fedha vya Artemi na kuwapatia mafundi wake biashara kubwa,
25 Demetrias ni ama patet e taminaw hah a pâkhueng teh, huikonaw, hete thaw hoi maimouh teh tawnta awh tie teh na panue awh.
aliwaita pamoja watu wengine waliofanya kazi ya ufundi kama yake na kusema, “Enyi watu, mnajua ya kuwa utajiri wetu unatokana na biashara hii!
26 Hatei, hete Pawl tie niyah, kut hoi sak e teh Cathut nahoeh ati teh Efisa kho e taminaw dueng laipalah Asia ram e tami pueng hai a dumyen teh lam a hmang sak toe.
Pia ninyi mmeona na kusikia jinsi ambavyo si huku Efeso peke yake lakini ni karibu Asia yote, huyu Paulo amewashawishi na kuvuta idadi kubwa ya watu kwa kusema kuwa miungu iliyotengenezwa na watu si miungu.
27 Hete lawk ni maimae min a mathoe sak dueng laipalah ka lentoe e Atemis cathut napui e bawkim hai banglah noutna hanlah awmhoeh toung vaiteh, Asia ram hoi talaivan pueng ni bawk awh e cathut napui e bahu teh a kahma han toe tie ngaihrinae ao telah a dei.
Kwa hiyo kuna hatari si kwa kazi yetu kudharauliwa tu, bali pia hata hekalu la mungu mke Artemi, aliye mkuu, anayeabudiwa Asia yote na ulimwengu wote, litakuwa limepokonywa fahari yake ya kiungu.”
28 Hote lawk hah ahnimouh ni a thai awh navah, a lung thouk a khuek awh teh, Efisanaw e Atemis teh a lentoe telah a hram awh.
Waliposikia maneno haya, wakaghadhibika, wakaanza kupiga kelele, “Artemi wa Waefeso ni mkuu!”
29 Hattoteh khobuem ruengrueng ati awh. Taminaw niyah Pawl hnukkâbang e Masidonia tami Gaius hoi Aristarkas hah a man awh teh, pawi thungvah vai touh lahoi a kâen awh.
Mara mji wote ukajaa ghasia. Wakawakamata Gayo na Aristarko, watu wa Makedonia waliokuwa wakisafiri pamoja na Paulo, na watu wakakimbilia katika ukumbi wa michezo kama mtu mmoja.
30 Hote taminaw koe Pawl ni kâen hane a ngai ei a hnukkâbangnaw ni a ngang awh.
Paulo akataka kuingia katikati ya umati huo, lakini wanafunzi hawakumruhusu.
31 Pawl e a hui, Asia ram e khobawinaw ni hai pawi thung kâen hoeh hanelah a kahei awh.
Hata baadhi ya viongozi wa sehemu ile, waliokuwa rafiki zake Paulo, wakatuma watu wakitamani asiingie katika ule ukumbi.
32 Taminaw teh ruengrueng ati awh dawkvah alouklouk lah a hram awh. Bangpatet ni teh bangdawkmaw kamkhueng a aw tie hai kamceng lah panuek awh hoeh.
Ule umati ulikuwa na taharuki. Wengine walikuwa wakipiga kelele, hawa wakisema hili na wengine lile. Idadi kubwa ya watu hawakujua hata ni kwa nini walikuwa wamekusanyika huko.
33 Judahnaw ni Alexander hah hmalah a tâco sak awh teh tami tangawn ni a lungkuep awh dawkvah, Alexander ni a kut a kahek teh kamkhuengnaw koe a dei pouh hanelah a kâcai.
Wayahudi wakamsukumia Aleksanda mbele na baadhi ya watu kwenye ule umati wakampa maelekezo. Akawaashiria kwa mkono ili watulie aweze kujitetea mbele ya watu.
34 Hatei ahni teh Judah tami doeh tie a panue awh navah, tami pueng ni, Efisanaw e Atemis teh a lentoe, telah suimilam kahni touh hane lawk suetalah a hram awh.
Lakini walipotambua kwamba alikuwa Myahudi, wote wakapiga kelele kwa sauti moja kwa karibu muda wa saa mbili, wakisema, “Artemi wa Efeso ni mkuu!”
35 Hathnukkhu khothung e cakathutkung ni kamkhueng e taminaw cing ati sak teh, Efisa taminaw voi Efisa kho teh lentoe Atemis cathut napui e bawkim hoi, kalvan hoi kabawt e meikaphawk hah ka pâkuem e kho lah ao tie hah ka panuek hoeh e tami apimaw kaawm.
Baadaye karani wa mji akaunyamazisha ule umati wa watu na kusema, “Enyi watu wa Efeso, je, ulimwengu wote haujui ya kuwa mji wa Efeso ndio unaotunza hekalu la Artemi aliye mkuu na ile sanamu yake iliyoanguka kutoka mbinguni?
36 Het hateh oun thai hoeh e lah ao dawkvah bangcahai pouk laipalah, hrumhram sak laipalah duem o hanelah ao.
Kwa hiyo, kwa kuwa mambo haya hayakanushiki, inawapasa mnyamaze na wala msifanye lolote kwa haraka.
37 Bangkongtetpawiteh nangmouh ni na man awh e hete taminaw ni nangmae bawkim na lawm awh hoeh, maimae cathut napui hah pacekpahlek awh hoeh.
Kwa kuwa mmewaleta hawa watu hapa, ingawa hawajaiba hekaluni wala kumkufuru huyu mungu wetu wa kike.
38 Hatdawkvah Demetrias hoi nguntui kahlun e naw, nangmouh ni buetbuet touh toe hane awm pawiteh toeim paawng lah ao na yoe. Khobawinaw hai ao dawkvah ama maroi kâhmo na nei.
Basi, ikiwa Demetrio na mafundi wenzake wana jambo zito dhidi ya mtu yeyote, mahakama ziko wazi na wasaidizi wa mwakilishi wa mtawala. Wanaweza kufungua mashtaka.
39 Hatei alouke kong dawk pawiteh kamceng lah kamkhuengnae koe lawk tâtueng hanlah ao.
Lakini kama kuna jambo jingine lolote zaidi mnalotaka kulileta, itabidi lisuluhishwe katika kusanyiko halali.
40 Sahnin e hno ka tâcawt e dawkvah kamceng e banghai awmhoeh. Hettelah ruengruengtinae dawkvah maimouh letlang na toe awh pawiteh, kaimouh ni hete kambawngnae dawkvah ka dei thai a mahoeh atipouh teh,
Kama ilivyo sasa, tuko hatarini kushtakiwa kwa kufanya ghasia kwa sababu ya tukio la leo. Kwa kuwa hakuna sababu tutakayoweza kutoa kuhalalisha msukosuko huu.”
41 kamkhuengnaw hah koung a kâkayaw sak.
Baada ya kusema haya akavunja mkutano.