< Guncei 10 >
1 Kaisarea kho dawk Itali ransahu tie ransa cum touh kaukkung Konilias teh ao.
Katika mji wa Kaisaria palikuwa na mtu jina lake Kornelio, ambaye alikuwa jemadari wa kile kilichojulikana kama kikosi cha Kiitalia.
2 Ahni teh bawknae koe lah kâyawm poung e lah ao, a imthung ni Cathut ka bari e lah ao awh teh, Judah tami dawk e karoedengnaw a kabawp teh Cathut koe pou a ratoum,
Yeye alikuwa mcha Mungu pamoja na wote wa nyumbani mwake. Aliwapa watu sadaka nyingi na kumwomba Mungu daima.
3 Hnin touh teh tangmin lah suimilam kathum tapat navah vision kacaicalah a hmu. Hote vision a hmu e dawk, Cathut e kalvantami buet touh a kâen teh Konilias telah a pato.
Siku moja alasiri, yapata saa tisa, aliona maono waziwazi, malaika wa Mungu akimjia na kumwambia, “Kornelio!”
4 Kalvantami hah lungpuen lahoi khei a khet teh bangne Bawipa telah ati. Kalvantami ni yah Cathut ni na ratoumnae hoi karoedengnaw na kabawp e poehnonaw teh pâkuem hane kawi lah Cathut hmalah a pha toe.
Kornelio akamkazia macho kwa hofu akasema, “Kuna nini, Bwana?” Malaika akamwambia, “Sala zako na sadaka zako kwa maskini zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.
5 Hatdawkvah atu Joppa khovah tami patoun nateh a min Piter tie Simon hah kaw sak loe.
Sasa tuma watu waende Yafa wakamwite mtu mmoja jina lake Simoni aitwaye Petro.
6 Ahni teh tuipui teng kaawm e phaivuen ka sak e Simon im a luen telah ati.
Yeye anaishi na Simoni mtengenezaji ngozi ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.”
7 Hottelah ka dei e kalvantami a cei hnukkhu Konilias ni,
Yule malaika aliyekuwa akizungumza naye alipoondoka, Kornelio akawaita watumishi wake wawili pamoja na askari mmoja mcha Mungu aliyekuwa miongoni mwa wale waliomtumikia.
8 a vaica kahni touh hoi Cathut lawk dawk kaawm e ransa buet touh a kaw teh Joppa kho lah a patoun.
Akawaambia mambo yote yaliyotukia, kisha akawatuma waende Yafa.
9 Atangtho teh Joppa kho a pha tawmlei suimilam kahni kalekkalak nah Piter teh ratoum hanlah lemphu van a luen.
Siku ya pili yake, walipokuwa wameukaribia mji, wakati wa adhuhuri, Petro alipanda juu ya nyumba kuomba.
10 A vonhlam teh ayânaw ni coungkacoe lah rawca a lawng lahun nah, Piter ni kamnuenae a hmu.
Alipokuwa akiomba akahisi njaa, akatamani kupata chakula. Lakini wakati walikuwa wakiandaa chakula, akalala usingizi mzito sana.
11 Kalvan kamawng teh hni hoi ka kâvan e a takin pali touh e talai dawk ama koe ka bawt e hah a hmu.
Akaona mbingu zimefunguka na kitu kama nguo kubwa kikishushwa duniani kwa ncha zake nne.
12 Hote tangoung thungvah tava phunkuep, kâroe e phunkuep, saring phunkuep ao. Hathnukkhu Piter thaw nateh, thet nateh cat haw tie lawk a thai navah,
Ndani yake walikuwepo aina zote za wanyama wenye miguu minne, nao watambaao nchini, na ndege wa angani.
13 Piter ni coung thai hoeh Bawipa,
Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”
14 kathounghoehe hno, kakhin e hnonaw kai ni vai touh hai ka cat boihoeh atipouh.
Petro akajibu, “La hasha Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.”
15 Hathnukkhu apâhni lawk bout ka tho e teh Cathut ni a thoung tie hno hah thoung hoeh telah dei hanh atipouh.
Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”
16 Hettelah avaithumnae a kamnue hnukkhu, Cathut ma ni hote hno teh kalvan lah bout a tawm.
Jambo hili lilitokea mara tatu na ghafula ile nguo ikarudishwa mbinguni.
17 Piter ni a hmu e vision hah bang ngainae vaimoe titeh kângairu lahun nah, Konilias ni a patoun e naw ni Simon im pacei laihoi a tawng awh teh longkha koehoi,
Wakati Petro akiwa bado anajiuliza kuhusu maana ya maono haya, wale watu waliokuwa wametumwa na Kornelio wakaipata nyumba ya Simoni mtengenezaji wa ngozi wakawa wamesimama mbele ya lango.
18 Piter telah kaw e Simon hah hete im dawk a luen maw telah a pacei awh.
Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.
19 Piter ni vision kong a pouk lahun nah Muitha ni tami kathum touh ni nang na tawng awh. Thaw nateh kum haw ahnimouh teh,
Wakati Petro akiwa anafikiria juu ya yale maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Simoni, wako watu watatu wanaokutafuta.
20 kai ni ka patoun e doeh. Lung kâounnae awm laipalah kâbang lawih atipouh.
Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”
21 Hatdawkvah Piter ni a kum teh na tawng awh e teh kai doeh. Bang panki lahoi maw na tho awh, atipouh.
Petro akashuka na kuwaambia wale watu waliokuwa wametumwa kutoka kwa Kornelio, “Mimi ndiye mnayenitafuta. Mmekuja kwa sababu gani?”
22 Ahnimouh ni hettelah atipouh, ransabawi Kornilias ni na patoun awh e doeh. Ahni teh Cathut ka taket e hoi tami kahawi lah ao teh Judah taminaw ni a baripoung e doeh. Ahni ni na lawk a thai panuek nahan Cathut e kalvantami buet touh ni nang hah coun loe atipouh.
Wale watu wakamjibu, “Tumetumwa na Kornelio yule jemadari. Yeye ni mtu mwema anayemcha Mungu, na anaheshimiwa na Wayahudi wote. Yeye ameagizwa na malaika mtakatifu akukaribishe nyumbani kwake, ili asikilize maneno utakayomwambia.”
23 Piter ni taminaw teh imthungkhu kâen awh atipouh teh hote tangmin teh hawvah a roe awh. A tangtho a kârasoup awh teh ahnimouh koe a cei. Joppa kho e hmaunawngha a tangawn hai a cei van.
Basi Petro akawakaribisha wakafuatana naye ndani, akawapa pa kulala. Kesho yake akaondoka pamoja nao, na baadhi ya ndugu kutoka Yafa wakafuatana naye.
24 Tawkkahnin Kaisarea a pha awh teh hawvah Kornilias hoi avaica a huikonaw a coun e naw ni a ring awh.
Siku iliyofuata wakawasili Kaisaria. Kornelio alikuwa akiwangoja pamoja na jamaa yake na marafiki zake wa karibu.
25 Piter a kâen tahma Konilias ni a dawn teh a hmalah a tabo.
Petro alipokuwa akiingia ndani, Kornelio alikuja kumlaki, akaanguka miguuni pake kwa heshima.
26 Piter ni kangdout atipouh, kai hai tami van doeh atipouh.
Lakini Petro akamwinua akamwambia, “Simama, mimi ni mwanadamu tu.”
27 Piter ni Konilias pato laihoi imthungkhu a kâen nah, tami moikapap a kamkhueng e hah a hmu.
Petro alipokuwa akizungumza naye akaingia ndani na kukuta watu wengi wamekusanyika.
28 Ahnimouh koe, Judahnaw teh Jentelnaw hoi kamyawng phung nahoeh, ahnimouh koe kahlawng hai cei phung na hoeh tie nangmouh ni kacaicalah na panue awh. Hateiteh tami bang patet hai kakhin hoi kathoung hoeh lah ka pouk hoeh nahan Cathut ni na patue toe.
Akawaambia, “Mnajua kabisa kwamba ni kinyume cha sheria yetu Myahudi kuchangamana na mtu wa Mataifa au kumtembelea. Lakini Mungu amenionyesha kwamba nisimwite mtu yeyote kuwa najisi au asiye safi.
29 Hatdawkvah na kaw awh navah banghai oun han awm laipalah ka tho. Hatdawkvah bangkongmaw na kaw awh, dei a haw telah atipouh.
Ndiyo sababu ulipotuma niitwe nilikuja bila kupinga lolote. Basi sasa naomba unieleze kwa nini umeniita?”
30 Konilias ni hettelah ati. Atu totouh rawca ka hai, suimilam kathum nah im vah ka ratoum. Atu hnin pali a pha toe. Hnipangaw a kâkhu teh kaie hmalah a kangdue.
Kornelio akajibu, “Siku nne zilizopita, nilikuwa nyumbani nikisali saa kama hii, saa tisa alasiri. Ghafula mtu aliyevaa nguo zilizongʼaa akasimama mbele yangu,
31 Kornilias na ratoum pawlawk kai ni ka thai toe. Nange poehnonaw haiyah Cathut hmalah pahnim hoeh hanelah ao.
akasema, ‘Kornelio, maombi yako yamesikiwa na sadaka zako kwa maskini zimekumbukwa mbele za Mungu.
32 Hatdawkvah Joppa kho kaawm Piter tie Simon hah kaw hanlah patoun leih. Tuipui teng phaivuen thaw ka tawk e Simon im doeh a luen. Ahni a tho torei teh nang koe a dei han doeh na ti pouh.
Basi tuma watu waende Yafa wakaulize mtu mmoja Simoni aitwaye Petro, yeye ni mgeni katika nyumba ya Simoni mtengenezaji ngozi, ambaye nyumba yake iko kando ya bahari.’
33 Hatdawkvah kai ni nang koevah tami tang ka patoun. Tang na tho thai dawk ka lung hroung ahawi. Atu kaimanaw pueng ni nang koe Cathut ni a dei e thai thai hanelah na hmalah ka o awh telah Kornilias ni a dei pouh.
Nilituma watu kwako mara moja, nawe umefanya vyema kuja. Basi sasa sisi sote tuko hapa mbele za Mungu kuyasikiliza yote ambayo Bwana amekuamuru kutuambia.”
34 Hatnavah Piter ni a kâko a paawng teh, lawkkatang lah Cathut teh tami minhmai khen hoeh ati.
Ndipo Petro akafungua kinywa chake akasema, “Mungu hana upendeleo,
35 Alouklouk e taminaw hai Cathut taki laihoi thaw kathoungrouk lah ka tawk e tami teh minhmai kahawi a hmu tie kai ni ka panue.
Lakini katika kila taifa, kila mtu amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa naye.
36 Tami pueng e Cathut ni Jisuh Khrih lahoi roumnae kamthang kahawi a dei e hah, Isarel miphunnaw koe poe e lawk nangmouh ni na panue awh.
Ninyi mnajua ule ujumbe uliotumwa kwa Israeli, ukitangaza habari njema za amani kwa Yesu Kristo. Yeye ni Bwana wa wote.
37 Jawhan teh baptisma kong hah a dei hnukkhu Galilee ram hoi a kamtawng teh, Judah ram hmuen tangkuem dawk kaawm e hnonaw nangmouh ni na panue awh.
Mnajua yale yaliyotukia katika Uyahudi wote kuanzia Galilaya baada ya mahubiri ya Yohana Mbatizaji:
38 Cathut ni Kathoung Muitha e bahu hoi Nazareth tami Jisuh hah satui a awi. Ahni teh Cathut e kâ lahoi hnokahawi a sak teh kahraimathout ni a rektap e naw damnae a poe.
Jinsi Mungu alivyomtia Yesu wa Nazareti mafuta katika Roho Mtakatifu na jinsi alivyokwenda huku na huko akitenda mema na kuponya wote waliokuwa wameonewa na nguvu za ibilisi, kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.
39 Kaimouh haiyah, Jerusalem kho hoi kamtawng teh, Judah ram thung a sak e hnonaw hah kapanuekkhaikung lah ka o awh. Hote tami teh, thingpalam dawk a pathout awh teh a thei awh.
“Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyoyafanya katika Uyahudi na Yerusalemu. Wakamuua kwa kumtundika msalabani.
40 Apâthum hnin Cathut ni bout a thaw sak teh tak kamnuenae kâ a poe.
Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu.
41 Tami pueng koe koung kamnuek pouh hoeh. Cathut ni a rawi tangcoung e kapanuekkhaikung kaimouh koe a kamnue, duenae koehoi bout a thaw hnukkhu, hote Bawipa hoi kaimouh teh rei ka canei awh.
Hakuonekana kwa watu wote, lakini kwetu sisi tuliochaguliwa na Mungu kuwa mashahidi, ambao tulikula na kunywa naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
42 Hote Bawipa ni kahringnaw hoi kadoutnaw lawkcengkung lah, Cathut ni a rawi e lah ao tie tami pueng koe dei pouh hane hoi kampangkhai hanelah kaimouh koe kâ na poe awh.
Naye alituamuru kuhubiri kwa watu wote na kushuhudia kwamba ndiye alitiwa mafuta na Mungu kuwa hakimu wa walio hai na wafu.
43 Hote Bawipa ka yuem e pueng a min lahoi lungmanae lahoi yonthanae a coe awh han telah profetnaw pueng teh hote Bawipa kapanuekkhaikung lah ka o awh telah Piter ni a dei.
Manabii wote walishuhudia juu yake kwamba kila mtu amwaminiye hupokea msamaha wa dhambi katika Jina lake.”
44 Hote lawk a dei lahun navah ka thai pueng koe Kathoung Muitha teh a pha.
Wakati Petro alikuwa akisema maneno haya, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wakisikiliza ule ujumbe.
45 Jentel miphunnaw ni Kathoung Muitha e lungmanae a coe awh dawk, vuensom ka a e, Piter hoi a hnukkâbangnaw a kângairu awh.
Wale wa tohara walioamini waliokuja na Petro walishangaa kwa kuona kuwa kipawa cha Roho Mtakatifu kimemwagwa juu ya watu wa Mataifa.
46 Bangkongtetpawiteh, ahnimouh ni alouklouk lae lawk lahoi Cathut a pholen awh.
Kwa kuwa waliwasikia wakinena kwa lugha mpya na kumwadhimisha Mungu. Ndipo Petro akasema,
47 Hathnukkhu Piter ni kaimouh patetlah Kathoung Muitha ka coe e hetnaw heh baptisma poe sak hoeh hanlah apipatet maw na ka ngang thai han ati hnukkhu
“Je, kuna mtu yeyote anayeweza kuzuia watu hawa wasibatizwe kwa maji? Wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi tulivyompokea.”
48 Jisuh Khrih e min lahoi baptisma coe sak hanlah kâ a poe. Hathnukkhu teh Piter hah ahnimanaw ni atueng ka saw hnawn lah okhai hane a kâhei awh.
Kwa hiyo akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Wakamsihi Petro akae nao kwa siku chache.