< 2 Setouknae 27 >

1 Jotham teh siangpahrang a tawk navah, kum 25 touh a pha. Jerusalem vah kum 16 touh a bawi. A manu min teh Jerusha, Zadok e canu doeh.
Yothamu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Mama yake aliitwa Yerusha binti Sadoki.
2 A na pa Uzziah ni a sak e hno a sak van teh, BAWIPA e mithmu vah hawinae ouk a sak. BAWIPA e im dawk teh kâen hoeh. Hatei khocanaw ni teh thoenae a sak pouh awh rah.
Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana kama Uzia baba yake alivyokuwa amefanya, lakini tofauti na yeye, hakuingilia huduma za hekaluni mwa Bwana. Lakini hata hivyo, watu wakaendelea na desturi zao mbaya.
3 BAWIPA im dawk lathueng lae longkha a sak. Hahoi Ophel rapan thung vah im moikapap a sak.
Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la Bwana na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.
4 Judah ram monrui dawk khopui moikapap hoi ratu dawk im kalennaw hoi imrasangnaw a sak.
Akajenga miji katika vilima vya Yuda pamoja na ngome na minara mwituni.
5 Ammonnaw e siangpahrang a tuk teh a tâ. Hahoi Ammonnaw ni hote kum dawk ngun tangka talen 100 touh hoi cakang tangthung 10, 000 touh hoi, catun tangthung 10, 000 touh a poe awh. Hottelah Ammonnaw ni kum pahni hoi kum pâthum nah hai a poe awh.
Yothamu akafanya vita na mfalme wa Waamoni na kumshinda. Mwaka ule Waamoni wakamlipa talanta 100 za fedha, kori 10,000 za ngano na kori 10,000 za shayiri. Waamoni wakamletea kiasi hicho hicho mwaka wa pili na wa tatu.
6 Jotham ni BAWIPA Cathut hmalah, lamthung kahawicalah a pouk dawkvah a thao.
Yothamu akaendelea kuwa na nguvu kwa sababu alienenda kwa ukamilifu mbele za Bwana Mungu wake.
7 Hottelah Jotham tawksaknae dawk e kaawm rae pueng hoi taran a tuknae naw pueng hoi khosaknae naw pueng teh, khenhaw! Isarel hoi Judah siangpahrangnaw e kong thutnae dawkvah thut lah ao.
Matukio mengine ya utawala wa Yothamu, pamoja na vita vyake vyote na vitu vingine alivyofanya, vimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.
8 Siangpahrang a tawk navah, kum 25 touh a pha teh, Jerusalem vah kum 16 touh a bawi.
Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita.
9 Jotham teh mintoenaw koe a i teh Devit khopui dawk a pakawp awh. Hahoi a capa Ahaz ni a yueng lah a bawi.
Yothamu akalala na baba zake na akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Ahazi mwanawe akawa mfalme baada yake.

< 2 Setouknae 27 >