< 2 Setouknae 19 >

1 Judah siangpahrang Jehoshaphat teh, karoumcalah Jerusalem a im vah a ban.
Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.
2 Hatei Hanani capa Jehu ni a dawn teh, siangpahrang koevah, Tamikathoutnaw na kabawp teh, BAWIPA kamaithoenaw na pahren han na maw. Hatdawkvah, BAWIPA lungkhueknae teh nang dawk ao.
Yehu mwonaji, mwana wa Hanani, akapanda kwenda kuonana naye akamwambia Mfalme Yehoshafati, “Je, utawasaidia waovu na kuwapenda wale wanaomchukia Bwana? Kwa sababu ya jambo hili, ghadhabu ya Bwana iko juu yako.
3 Hatei, ram thung e thingmeikaphawknaw na raphoe teh, BAWIPA na tawng dawkvah, hawinae lamthung teh na tawn rah, telah atipouh.
Hata hivyo, kuna mema yaliyoonekana kwako, kwa kuwa umeondoa katika nchi nguzo za Ashera na umeukaza moyo wako katika kumtafuta Mungu.”
4 Jehoshaphat teh Jerusalem vah ao. Hahoi Beersheba teh Ephraim mon totouh a taminaw koe a cei teh, mintoenaw e BAWIPA Cathut koe a bankhai.
Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye akatoka akaenda tena miongoni mwa watu, kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya Efraimu na kuwageuza wakamrudia Bwana, Mungu wa baba zao.
5 Judah ram thung rapan ka tawn e kho tangkuem dawk, lawkcengkungnaw a hruek.
Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.
6 Lawkcengkungnaw koe, na sak e hno kahawicalah pouk laihoi sak awh. Bangkongtetpawiteh, taminaw koe lawk na ceng e nahoeh. BAWIPA hane doeh, lawk na ceng awh navah nangmouh koe ao van.
Akawaambia, “Angalieni kwa makini yale mtendayo, kwa kuwa hamkuhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Bwana ambaye yu pamoja nanyi kila mtoapo hukumu.
7 Hatdawkvah, BAWIPA takinae lungthin tawn awh nateh, kâhruetcuet laihoi sak awh. Bangkongtetpawiteh, maimae BAWIPA Cathut teh, payonpakainae, tami kapeknae hoi tadawnghno awm hoeh, atipouh.
Basi sasa hofu ya Bwana na iwe juu yenu. Hukumuni kwa uangalifu, kwa kuwa kwa Bwana Mungu wetu hakuna jambo lisilo la haki, upendeleo, wala rushwa.”
8 Hothloilah Jerusalem vah, BAWIPA e lawkcengnae hoi kâtoe nah lawkceng hanelah, Jehoshaphat ni Levihnaw, vaihmanaw hoi Isarel kahrawikungnaw a hruek.
Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi, makuhani na viongozi wa jamaa za Waisraeli ili kutoa hukumu kwa ajili ya Bwana na kuamua magomvi. Nao waliishi huko Yerusalemu.
9 Hahoi nangmouh ni lungthin katang hoi BAWIPA na taki awh teh, yuemkamcu lahoi lawkceng awh.
Akawapa maagizo haya: “Ni lazima mtumike kwa uaminifu na kwa moyo wote katika kicho cha Bwana.
10 Kho tangkuem koe kaawm e hmaunawnghanaw koe tami theinae, kâlawk hoi kâpoelawk dawk thoseh, phunglawk hoi lawkcengnae dawk thoseh, nangmouh koe a pha torei teh, kâhruetcuetnae na poe awh han. Hottelah nahoeh pawiteh, BAWIPA taran vaiteh, kâ a tapoe awh han. Nangmouh hoi hmaunawngha lathueng vah, lungkhueknae a pha payon han. Hettelah na sak awh pawiteh, yon pennae dawk hoi na hlout awh han.
Katika kila shauri lifikalo mbele yenu kutoka kwa ndugu zenu wale waishio katika miji, ikiwa ni la umwagaji wa damu au mambo mengine yahusuyo sheria, amri, hukumu au maagizo, inawapasa ninyi kuwaonya kwamba wasiingie katika hatia dhidi ya Bwana, la sivyo ghadhabu yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Tendeni hivyo, nanyi hamtatenda dhambi.
11 BAWIPA e hnocawngca pueng dawk, vaihma bawi Amariah hoi Isarel capa Zebadiah, Judah imthung kaukkung nangmouh koe ao. Hahoi siangpahrang hno pueng dawk Levihnaw hah nangmouh koe kahrawikung lah ao han. Taranhawi laihoi sak awh. BAWIPA teh hnokahawi kasaknaw koelah a kampang telah lawk a thui.
“Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu Bwana naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye Bwana atakuwa pamoja na wale watendao vyema.”

< 2 Setouknae 19 >