< 1 Samuel 2 >
1 Hannah ni a ratoum e teh, BAWIPA dawk ka lunghawi poung. Ka ki hah BAWIPA ni a tawm toe. Nange Rungngangnae dawk ka lung ahawi teh ka tarannaw hmalah ka minhmai a pan.
Kisha Hana akaomba na kusema: “Moyo wangu wamshangilia Bwana, katika Bwana pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya adui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
2 BAWIPA a thoung e patetlah apihai thoung hoeh. Nang patetlah e awm hoeh. Kaimae Cathut patetlah kângue hane talung awm hoeh.
“Hakuna yeyote aliye mtakatifu kama Bwana, hakuna mwingine zaidi yako; hakuna Mwamba kama Mungu wetu.
3 Hot patetlah e kâoupnae lawk dei hanh leih. Na pahni dawk hoi lunglennae lawk tâcawt hanh naseh. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA teh bangpueng ka panuek e Cathut lah ao teh, sak awh e pueng hah a khing.
“Msiendelee kusema kwa kiburi hivyo wala msiache vinywa vyenu kunena kwa kiburi, kwa kuwa Bwana ndiye Mungu ajuaye, na kwa yeye matendo hupimwa.
4 Athakaawme taminaw e licung a kâkhoe teh a thakayounnaw thaonae a poe.
“Pinde za mashujaa zimevunjika, lakini wale wanaojikwaa wamevikwa nguvu.
5 A von kapahanaw ca hane kawi a hmu nahan a tawng awh teh, a von kahlamnaw vonhlam awh hoeh toe. Napui cakaroe e ni vai sari touh ca a khe toe. A ca moikapap ka khe e napui a tha a tâwn toe.
Wale waliokuwa na chakula tele wamejikodisha wenyewe ili kupata chakula, lakini wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Mwanamke yule aliyekuwa tasa amezaa watoto saba, lakini yule ambaye alikuwa na wana wengi amedhoofika.
6 BAWIPA teh duesakthainae, hringsakthainae, phuen totouh duesaknae hoi thawsaknae kâ a tawn. (Sheol )
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol )
7 BAWIPA ni roedengsaknae, tawntasaknae, a pabo teh tawmthainae kâ a tawn.
Bwana humfanya mtu maskini naye hutajirisha, hushusha na hukweza.
8 A ma ni pabo e vaiphu dawk hoi a tawm teh, a tha kayoun e hraba dawk hoi a tawm teh, tami katawntanaw hoi rei tahungthainae bawilennae bawitungkhung a poe. Bangkongtetpawiteh, talai dupuinaw teh BAWIPA e lah ao. Hote adu pui dawk BAWIPA ni talaivan a kamtue sak.
Humwinua maskini kutoka mavumbini na humwinua mhitaji kutoka lundo la majivu; huwaketisha pamoja na wakuu na kuwafanya warithi kiti cha enzi cha heshima. “Kwa kuwa misingi ya dunia ni ya Bwana; juu yake ameuweka ulimwengu.
9 Ama ni a tami kathoungnaw e a khok a khetyawt han. Tamikathoutnaw teh a hmo thung dueng ao awh han. Ma e thasainae hoi apihai tâ mahoeh.
Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake, lakini waovu watanyamazishwa kwenye giza. “Si kwa nguvu mtu hushinda;
10 BAWIPA ka taran e pueng reppasei lah a ta han. Kalvan hoi khoparit lawk hoi a tuk han. BAWIPA ni talai apout totouh lawk a ceng han. Ama e siangpahrang hah thasainae a poe han. Satui a awi e hah tawmdawm han telah a ti.
wale wampingao Bwana wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni; Bwana ataihukumu miisho ya dunia. “Atampa nguvu mfalme wake, na kuitukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.”
11 Hathnukkhu hoi Elkanah teh Ramah kho e a im vah a pha. Hatei camo teh vaihma Eli koe BAWIPA e thaw a tawk.
Kisha Elikana akaenda nyumbani Rama, lakini mtoto akahudumu mbele za Bwana chini ya kuhani Eli.
12 Eli capanaw teh a rawk teh BAWIPA panuek a hoeh.
Wana wa Eli walikuwa watu wabaya kabisa, hawakumheshimu Bwana.
13 Tamimaya koe vaihmanaw oangnae teh, thuengnae moi a thawng lahunnah, vaihma e a san buet touh hoi moi sonae sum kathum samphei e a sin teh a tho.
Basi ilikuwa desturi ya makuhani pamoja na watu kwamba kila mara yeyote anapotoa dhabihu na huku nyama ikiwa inachemshwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake.
14 Ukkang thung thoseh, hlaam dawk thoseh, thawngnae hlaam dawk thoseh a cuek awh teh moi sonae sum kathum samphei hoi a rasa e moinaw hah vaihma ni ouk a la, hot patetlah hawvah ka tho e Isarel tami pueng koe Shiloh vah a sak awh.
Angeutumbukiza huo uma kwenye sufuria au birika au sufuria kubwa au chungu, naye kuhani angalijichukulia mwenyewe chochote ambacho uma ungekileta. Hivi ndivyo walivyowatendea Waisraeli wote waliokuja Shilo.
15 Hatnavah, a thâw a karê hoehnahlan, vaihma san a tho teh thuengnae ka sak e koevah vaihma hanelah pahai e moi na poe haw. Bangkongtetpawiteh, nang koe e thawng e moi lat mahoeh. Thawng hoeh e doeh a ngai telah a dei.
Lakini hata kabla mafuta ya mnyama hayajachomwa, mtumishi wa kuhani angalikuja na kusema kwa mtu ambaye alikuwa akitoa dhabihu, “Mpe kuhani nyama akaoke, kwani hatapokea nyama iliyochemshwa kutoka kwako, ila iliyo mbichi tu.”
16 Ahni koevah ahrei hah hmaloe karê seh, hat hnukkhu vah na ngai yit touh na la han atipouh navah, ahni ni na hoeh bo atu roeroe na poe. Na poe hoehpawiteh, beng na lawp han ouk atipouh.
Kama mtu akimwambia, “Mafuta ya mnyama na yachomwe kwanza, ndipo uchukue chochote unachotaka,” mtumishi angalijibu, “Hapana, nipe sasa, kama huwezi nitaichukua kwa nguvu.”
17 Hatdawkvah, vaihma thoundounnaw teh a yonnae BAWIPA mithmu vah a lenpoung. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA e thuengnae noutna hoeh e lah a hno awh toe.
Hii Dhambi ya hawa vijana ilikuwa kubwa sana machoni pa Bwana, kwa kuwa waliitendea dhabihu ya Bwana kwa dharau.
18 Camo Samuel teh vaihma e angkidung a khohna teh BAWIPA hmalah thaw a tawk.
Lakini Samweli alikuwa akihudumu mbele za Bwana, kijana akivaa kisibau cha kitani.
19 Hothloilah, angkidung a manu ni a khui pouh teh, kumtangkuem thuengnae poe hanelah a vâ hoi a tho navah ouk a sin pouh.
Kila mwaka mama yake alimshonea joho dogo na kumchukulia wakati alipokwea pamoja na mumewe kutoa dhabihu ya mwaka.
20 Eli ni Elkanah hoi a yu teh yawhawi a poe teh, BAWIPA hanelah hno na poe e heh hete napui hno lahoi BAWIPA ni na patho naseh telah atipouh. Hottelah hoiyah im lah a ban awh.
Eli alikuwa akiwabariki Elikana na mkewe, akisema, “Bwana na akupe watoto kwa mwanamke huyu ili kuchukua nafasi ya yule aliyekuwa amemwomba na akamtoa kwa Bwana.” Kisha wakawa wanakwenda nyumbani.
21 BAWIPA ni Hannah teh a khetyawt teh camo a vawn teh ca tongpa kathum napui kahni touh a khe. Camo Samuel hai BAWIPA hmalah a roung.
Bwana akawa mwenye neema kwa Hana, naye akapata mimba akazaa wana watatu na binti wawili. Wakati huo, kijana Samweli akaendelea kukua mbele za Bwana.
22 Eli teh a matawng poung toe. Isarel pueng koe a canaw ni a sakyoe e pueng hoi kamkhuengnae lukkareiim takhang koe kamkhueng e napuinaw a ikhainae kong a thai a teh,
Basi Eli, ambaye alikuwa mzee sana, alisikia kuhusu kila kitu ambacho wanawe walikuwa wakiwafanyia Israeli wote na jinsi walivyokutana kimwili na wanawake waliohudumu kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
23 Ahnimouh koe bang kecu dawk maw het patetlah e hno hah na sak. Bangkongtetpawiteh, hetnaw koehoi e na sak awh e hnokahawi hoeh e kong hah ka thai.
Hivyo akawaambia, “Kwa nini mmefanya mambo kama haya? Nimesikia kutoka kwa watu wote juu ya haya matendo yenu maovu.
24 Hawi hoeh ka canaw, BAWIPA e taminaw ni a dei awh e kamthang teh kamthang kahawi nahoeh. BAWIPA e taminaw lawk na ek sak.
Sivyo, wanangu, hii si habari nzuri ambayo ninasikia ikienea miongoni mwa watu wa Bwana.
25 Tami reira hah Tami buet touh ni yonnae sak pawiteh, ahni teh, lawkcengkung ni lawk a ceng han. Tami buet touh ni BAWIPA dawk yon pawiteh, apinimaw a kâhei pouh han telah ati. Hatei a na pa e lawk ngai laipalah a onae teh BAWIPA ni thei han a ngai dawk doeh.
Kama mtu akifanya dhambi dhidi ya mtu mwenzake, mtu mwingine aweza kumwombea kwa Mungu, lakini kama mtu akimfanyia Mungu dhambi, ni nani atakayemwombea?” Hata hivyo wanawe hawakusikia maonyo ya baba yao, kwa sababu Bwana alitaka kuwaua.
26 Camo Samuel teh a roung takhang teh Cathut hoi tami e lungngai lah ao.
Naye kijana Samweli akaendelea kukua katika kimo, akimpendeza Bwana na wanadamu.
27 BAWIPA e tami buet touh Eli koe a tho teh, BAWIPA ni hettelah a dei. Izip ram Faro im ao awh navah na pa e na catoun koe kamcengcalah ka kamnue nahoehmaw.
Basi mtu wa Mungu akaja kwa Eli na kumwambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa huko Misri chini ya Farao?
28 Ka thuengnae khoungroe koe cei hane hmuitui sawi hane, ka hmalah vaihma angki kho hane, Isarel miphun dawk hoi ahni teh ka rawi e lah awm hoeh namaw Isarel miphunnaw e hmaisawi thuengnae hai na pa e miphun koe kai ni ka poe.
Nilimchagua baba yako kati ya makabila yote ya Israeli kuwa kuhani wangu, kukwea kwenye madhabahu yangu, kufukiza uvumba na kuvaa kisibau mbele yangu. Pia niliwapa nyumba ya baba yako sadaka zote zilizotolewa kwa moto na Waisraeli.
29 Ka im dawk, kâ na poe e thuengnae hnonaw bangkong na khok hoi na coungroe awh. Kai hlak vah na capanaw na barihnawn, nama na kâthaw saknae dawk ka tami Isarelnaw ni thuengnae kahawi kahawi e na hno, telah a ti.
Kwa nini unadharau dhabihu zangu na sadaka zile nilizoziamuru kwa ajili ya makao yangu? Kwa nini unawaheshimu wanao kuliko mimi kwa kujinenepesha wenyewe kwa kula sehemu zilizo bora za kila sadaka zinazotolewa na watu wangu wa Israeli?’
30 Hatdawkvah, BAWIPA Isarelnaw e Cathut ni kai ni na imthung hoi na pa imthung hah, a yungyoe ka hmalah ka thaw na tawk awh han telah kai ni na dei pouh ei, sahnin BAWIPA ni a dei e teh ka lawkkam teh kai hoi hlat naseh. Kai ka tawm e naw teh, kai ni ka tawm van han, kai bang lah ka noutna hoeh e naw teh bang lah ka noutna van mahoeh.
“Kwa hiyo, Bwana, Mungu wa Israeli asema: ‘Niliahidi kuwa nyumba yako na nyumba ya baba yako wangehudumu mbele zangu milele.’ Lakini sasa Bwana anasema: ‘Jambo hili na liwe mbali nami! Wale wanaoniheshimu nitawaheshimu, wale wanaonidharau mimi watadharauliwa.
31 Na imthung dawk matawng ka phat hoeh lah na kut hoi na miphun e a kut hah a tâtuengnae tueng a pha han.
Wakati unakuja nitakapozipunguza nguvu zenu na nguvu ya nyumba ya baba yenu, ili pasiwepo mtu katika mbari yenu atakayeishi kuuona uzee
32 Ka im dawk e a rucatnae nang ni na hmu han. Isarel miphun lathueng kahawi hno ka sak e pueng kai ni ka poe nakunghai nange miphun dawk nâtuek hai a kum kacue matawng ka phat sak mahoeh.
nanyi mtaona huzuni katika makao yangu. Ingawa Israeli watafanyiwa mema, katika mbari yenu kamwe hapatakuwepo mtu atakayeishi hadi kuwa mzee.
33 Kaie thuengnae khoungroe dawk hoi ka raphoe hoeh e nange miphun teh na mit a ro vaiteh, lungthin kamathoesakkung lah ka o sak han. Na catounnaw ni a thoundoun lahun nah a due han.
Kila mmoja wenu ambaye sitamkatilia mbali kutoka madhabahuni pangu atabakizwa tu kupofusha macho yenu kwa machozi na kuihuzunisha mioyo yenu, nao wazao wenu wote watakufa watakapokuwa wamefikia umri wa kustawi.
34 Na ca roi hnin touh dawk rei a due roi han. Hethateh na ca Hophni hoi Phinehas dawk ka phat hane hno doeh.
“‘Kile kitakachotokea kwa wanao wawili, Hofni na Finehasi, kitakuwa ishara kwako. Wote wawili watakufa katika siku moja.
35 Yuemkamcu vaihma ka lungthin hoi ka pouknae dawk kaawm e ka sak e tami hah ka kangdue sak han. Kacakpounge imthung lah ka kangdue sak vaiteh a yungyoe hoi satui ka awi e hmalah ao han.
Mimi mwenyewe nitajiinulia kuhani mwaminifu, ambaye atafanya sawasawa na kile kilichoko moyoni mwangu na akilini mwangu. Nitaifanya nyumba yake kuwa imara, naye atahudumu mbele ya mpakwa mafuta wangu daima.
36 Na im vah ka cawi rae pueng tangka hoi vaiyei a hei lahoi a cei awh han. A hmalah tabut awh vaiteh, vaiyei youn touh ka ca hanelah ka hmu thai nahan, pahren lahoi vaihma thaw na tawk sak yawkaw ati awh han telah a ti.
Kisha kila mmoja aliyeachwa katika mbari yenu atakuja na kusujudu mbele yake kwa ajili ya kipande cha fedha na ganda la mkate akisema, “Niteue katika baadhi ya ofisi ya ukuhani ili niweze kupata chakula.”’”