< 1 Samuel 11 >
1 Ammon tami Nahash a luen teh, Gilead ram, Jabesh kho teng a tungpup awh. Jabesh khocanaw ni Nahash koe kaimouh koe lawkkam nateh, nange na thaw ka tawk han telah a dei awh.
Nahashi yule Mwamoni, akakwea kuuzunguka kwa jeshi mji wa Yabeshi-Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia, “Fanya mkataba na sisi, na tutakuwa chini yako.”
2 Ammon phun Nahash ni nangmouh pueng e aranglae mit hah cawngkhawi vaiteh, Isarelnaw pueng hane min mathoenae hoi kaya sak torei doeh ahnimouh hoi lawkkam han telah bout atipouh.
Lakini Nahashi yule Mwamoni akajibu, “Nitafanya mkataba na ninyi tu kwa sharti kwamba nitangʼoa jicho la kulia la kila mmoja wenu, na hivyo kuleta aibu juu ya Israeli yote.”
3 Jabesh kho e kacuenaw ni ahni koe Isarel ram pueng dawk patounenaw patoun thai nahan, hnin 7 touh atueng na poe ei. Kaimouh ka rungngang hane buet touh boehai awm hoehpawiteh, hattorei doeh nang koe vah ka tâco awh han telah atipouh awh.
Viongozi wa Yabeshi wakamwambia, “Tupe siku saba ili tuweze kutuma wajumbe katika Israeli yote, kama hakuna hata mmoja anayekuja kutuokoa, tutajisalimisha kwako.”
4 Patounenaw teh Sawl a onae Gibeah kho a pha awh teh, taminaw a thai nahan hote akong a dei awh teh, taminaw teh a khuika awh.
Wajumbe walipofika Gibea ya Sauli na kutoa taarifa juu ya masharti haya kwa watu, wote walilia kwa sauti kubwa.
5 Hatnae tueng nah Sawl teh maito a khoumnae koehoi a tho. Taminaw a khuika awh e bangkongmaw telah a pacei navah, ahnimouh ni Jabeshnaw ni a dei e lawk hah a dei pouh awh.
Wakati huo huo Sauli alikuwa anarudi kutoka mashambani, akiwa nyuma ya maksai wake, naye akauliza, “Watu wana nini? Mbona wanalia?” Ndipo wakamweleza jinsi watu wa Yabeshi walivyokuwa wamesema.
6 Hote lawk Sawl ni a thai toteh Sawl e lathueng Cathut e Muitha a pha teh a lung puenghoi a khuek.
Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akawaka hasira.
7 Hahoi maito kahni touh a thei teh a moi koung a raban teh Isarel ram pueng dawk patounenaw a rei sak teh, taran tuknae koe Sawl hoi Samuel hnukkâbang hoeh e tami pueng e maito hah, hettelah sak han telah pathang pouh. BAWIPA takinae taminaw koe a pha teh cungtalah koung a tâco awh.
Akachukua jozi ya maksai na kuwakata vipande vipande, naye kuvituma hivyo vipande kupitia wajumbe katika Israeli yote, wakitangaza, “Hivi ndivyo itakavyofanyika kwa maksai wa kila mmoja ambaye hatamfuata Sauli na Samweli.” Kisha hofu ya Bwana ikawaangukia watu, nao wakatoka kama mtu mmoja.
8 Bezek kho dawk tami a pâkhueng teh, Isarelnaw 300000, Judahnaw 30000 touh a pha.
Sauli alipowakusanya huko Bezeki, watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa Yuda 30,000.
9 Hahoi ka tho awh e patounenaw koe, Jebesh Gilead taminaw koe, hettelah na dei pouh han. Tangtho khumbei a thoe lahun nah kabawpnae na hmu awh han, na ti pouh han atipouh. Patounenaw ni a cei awh teh, Jebesh khocanaw hah a dei pouh navah, a lung ahawipoung awh.
Wakawaambia wale wajumbe waliokuwa wamekuja, “Waambieni watu wa Yabeshi-Gileadi, ‘Kesho kabla jua halijawa kali, mtaokolewa.’” Wajumbe walipokwenda na kutoa taarifa hii kwa watu wa Yabeshi, wakafurahi.
10 Hatdawkvah, Jebesh taminaw ni, tangtho nangmouh koe ka tâco awh vaiteh, nangmouh ni ahawi na tie patetlah kaimae lathueng sak lawih telah atipouh awh.
Wakawaambia Waamoni, “Kesho tutajisalimisha kwenu, nanyi mtaweza kututendea chochote mnachoona chema kwenu.”
11 Atangtho vah Sawl ni taminaw hah ahu kathum touh lah a kapek. Tarannaw tumpupnae koe amom vah a pha awh teh, Ammonnaw teh kanîthun khumbeithoe lahun totouh a thei awh. Kahlout e tami buet touh hoi buet touh boehai cungtalah o thai hoeh totouh a kâkayei awh.
Kesho yake Sauli alitenganisha watu wake katika vikosi vitatu; wakati wa zamu ya mwisho ya usiku wakaingia katika kambi ya Waamoni na kuwachinja mpaka mchana. Wale walionusurika wakasambaa, kiasi kwamba hawakusalia watu wawili pamoja.
12 Hatnavah taminaw ni Samuel koe, Sawl ni na uk awh han namaw, ka tet e api nama. Thei thai nahan hi thokhai awh haw telah atipouh.
Kisha watu wakamwambia Samweli, “Ni nani yule aliyeuliza, ‘Je, Sauli atatawala juu yetu?’ Tuletee hawa watu, nasi tutawaua.”
13 Hatei Sawl ni sahnin dawk teh tami buet touh hai thet hanh sei. Bangkongtetpawiteh, sahnin BAWIPA ni Isarel taminaw koe rungngangnae akuepsak telah a ti.
Lakini Sauli akasema, “Hakuna hata mmoja atakayeuawa leo, kwa kuwa siku hii Bwana ameokoa Israeli.”
14 Hathnukkhu Samuel ni taminaw koe tho awh. Gilgal kho lah cet awh sei. Hote hmuen koe uknaeram hah bout kangdout sak awh sei telah atipouh.
Ndipo Samweli akawaambia watu, “Njooni, twendeni Gilgali na huko tuthibitishe ufalme.”
15 Taminaw pueng teh Gilgal kho lah a cei awh teh, haw vah BAWIPA e hmalah Sawl hah siangpahrang lah a tawm awh. Hote hmuen koe roum thuengnae BAWIPA koe a sak awh. Sawl hoi Isarelnaw teh puenghoi a lunghawi awh.
Kwa hiyo watu wote wakaenda Gilgali na kumthibitisha Sauli kuwa mfalme mbele za Bwana. Huko wakatoa dhabihu za sadaka za amani mbele za Bwana, naye Sauli na Waisraeli wote wakafanya karamu kubwa.