< 1 Siangpahrang 2 >

1 Devit a due han a hnai toung dawkvah, a capa Solomon hah kâ a poe.
Siku zilipokaribia za Daudi kufa, akampa mwanawe Solomoni agizo.
2 Talai phung patetlah ka cei han toe. Hatdawkvah, thakâlat nateh tongpatang lah awm loe.
Akasema, “Mimi ninakaribia kwenda njia ya dunia yote. Hivyo uwe hodari, jionyeshe kuwa mwanaume,
3 Na sak e hno pueng hoi na ceinae naw pueng koe a lamcawn nahanlah Mosi e kâlawk dawk thut e patetlah BAWIPA na Cathut ni a lamthung dawn hane hoi a phunglam, kâpoelawk, lawkcengnae hoi na panuesaknae naw tarawi hanelah lawk na poe e naw hah tarawi haw.
shika lile Bwana Mungu wako analokuagiza: Enenda katika njia zake, ushike maagizo na amri zake, sheria zake na kanuni zake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, ili upate kustawi katika yote ufanyayo na popote uendako,
4 BAWIPA ni kaie kong dawk hoi na capanaw ni lungthin buemlahoi a hringnae buemlahoi a ceinae koe kâhruetcuet lahoi ka hmalah yuemkamcu lah awm pawiteh, Isarelnaw e bawitungkhung dawk ka tahung hane na vout awh mahoeh, telah a dei e hah a caksak han.
ili kwamba Bwana aweze kunitimizia ahadi yake: ‘Kama wazao wako wakiangalia sana wanavyoishi, na kama wakienenda kwa uaminifu mbele zangu kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote, kamwe hutakosa kuwa na mtu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’
5 Hathloilah, Zeruiah capa Joab ni kai dawk a sak e naw hah na panue. Isarel ransanaw kaukkung kahni touh, Ner capa Abner hoi Jether capa Amosa a theinae dawk a sak e naw hah, roumnae tueng nah tarantuknae thipaling a lawng sak teh a keng dawk a kâyeng e taisawm dawk hai thoseh, a khokkhawm dawk hai thoseh, tarantuknae koe kânep e naw hah pahnim hanh.
“Sasa wewe mwenyewe unafahamu lile Yoabu mwana wa Seruya alilonitendea, lile alilofanya kwa majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri mwana wa Neri, na Amasa mwana wa Yetheri. Aliwaua, akimwaga damu yao wakati wa amani kama vile ni kwenye vita, tena akaipaka damu ile kwenye mkanda uliokuwa kiunoni mwake na viatu alivyovaa miguuni mwake.
6 Hatdawkvah, na lungang e patetlah tawk haw, a sam kaponaw phuen vah karoumcalah loum sak hanh. (Sheol h7585)
Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani. (Sheol h7585)
7 Gilead tami Barzillai tinaw koe teh lungmanae kamnuek sak. Na caboi dawk rawca kavenkung lah sak. Bangkongtetpawiteh, na hmau Absalom koehoi ka yawng nah kai koe a tho awh.
“Lakini uwaonyeshe wema wana wa Barzilai wa Gileadi na uwaruhusu wawe miongoni mwa wale walao mezani pako. Walisimama nami nilipomkimbia ndugu yako Absalomu.
8 Hahoi, khenhaw! Bahurim kho e tami Benjamin catoun Gera capa Shimei heh nang koe ao. Ahni ni, Mahanaim hmuen koe ka cei navah, Atangcalah thoe na bo. Hatei, Jordan vah kai na dawn hanelah a tho teh, hote hmuen koe tahloi hoi thei hoeh hanelah Cathut min hno lahoi lawk yo ka kam toe.
“Ukumbuke, unaye Shimei mwana wa Gera, Mbenyamini kutoka Bahurimu, ambaye alinilaani kwa laana kali siku niliyokwenda Mahanaimu. Aliposhuka kunilaki huko Yordani, nilimwapia kwa Bwana: ‘Sitakuua kwa upanga!’
9 Hatdawkvah, yonnae ka tawn hoeh e patetlah pouk hanh. Bangkongtetpawiteh, nang teh tami lungkaang lah na o. A lathueng vah bangtelamaw ka sak han tie hah na panue han doeh. Phuen dawk a sam kaponaw teh thipaling hoi na ceisak han telah atipouh. (Sheol h7585)
Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.” (Sheol h7585)
10 Hahoi Devit teh a na mintoenaw koe a i teh, Devit khopui dawk a pakawp awh.
Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi.
11 Devit ni Isarel a uknae tueng kum 40 touh a pha. Hebron vah kum 7 touh a uk teh, Jerusalem vah kum 33 touh a uk.
Daudi alikuwa ametawala juu ya Israeli miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.
12 Hahoi, Solomon teh a na pa e bawitungkhung dawk a tahung teh a uknaeram teh hoe a caksak.
Kwa hiyo Solomoni akaketi katika kiti cha ufalme cha baba yake Daudi, nao utawala wake ukaimarika sana.
13 Haggith capa Adonijah teh Solomon e manu Bathsheba koe a tho. Manu ni roumnae hoi maw na tho telah a pacei. Roumnae hoi ka tho doeh telah atipouh.
Basi Adoniya, mwana wa Hagithi, akaenda kwa Bathsheba, mama yake Solomoni. Bathsheba akamuuliza, “Je, umekuja kwa amani?” Akajibu, “Ndiyo, kwa amani.”
14 Hahoi, ahni ni nang koe lawk dei hane ka tawn atipouh. Manu ni dei haw atipouh.
Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.” Akajibu, “Waweza kulisema.”
15 Ahni ni ram hateh kaie lah ao tie hoi Isarelnaw pueng ni hai kai ni uknaeram hanlah a pouknae naw kai dawk a bo tie hai na panue. Hatei, ram hateh, ka nawngha koe a pha toe. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA khokhangnae teh ahni hanelah doeh ao.
Akasema, “Kama unavyojua, ufalme ulikuwa wangu. Israeli wote waliniangalia mimi kama mfalme wao. Lakini mambo yalibadilika, ufalme umekwenda kwa ndugu yangu, kwa maana umemjia kutoka kwa Bwana.
16 Atuvah, hno buet touh hei hane ka tawn, na ek pouh hanh leih atipouh. Manu ni dei leih bout atipouh.
Sasa ninalo ombi moja ninalokuomba. Usinikatalie.” Bathsheba akasema, “Waweza kuliomba.”
17 Pahren lahoi siangpahrang Solomon na pato pouh. Bangkongtetpawiteh, na lawk teh ek mahoeh. Shunam tami Abishag hah yu lah na paluen sak haw naseh atipouh.
Kwa hiyo akaendelea kusema, “Tafadhali mwombe Mfalme Solomoni, anipatie Abishagi, Mshunami, awe mke wangu; hatakukatalia wewe.”
18 Bathsheba ni, oe siangpahrang koe ka dei pouh han atipouh.
Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”
19 Hahoi, Bathsheba teh Adonijah e lawk dei pouh hanelah, siangpahrang Solomon koe a cei. Siangpahrang teh a manu a dawn hanelah a thaw teh, a hmalah a tabo teh a bawitungkhung dawk bout a tahung. Siangpahrang e manu hanelah bawitungkhung hah a hruek pou teh, aranglah a tahung pouh.
Bathsheba alipokwenda kwa Mfalme Solomoni kuzungumza naye kwa ajili ya Adoniya, mfalme alisimama kumlaki mama yake, akamwinamia na kuketi kwenye kiti chake cha ufalme. Akaamuru kiti cha ufalme kuletwa kwa ajili ya mama yake mfalme, naye akaketi mkono wake wa kuume.
20 Hahoi, hno buet touh ka hei hane ao. Na lungkuepkhai loe atipouh. Siangpahrang ni het loe anu, ka ek mahoeh atipouh.
Bathsheba akamwambia mfalme, “Ninalo ombi moja dogo la kukuomba; usinikatalie.” Mfalme akajibu, “Omba, mama yangu; sitakukatalia.”
21 Ahni ni, Shunam tami Abishag he na hmau Adonijah e yu lah paluen sak loe atipouh.
Akasema, “Mruhusu Abishagi, Mshunami, aolewe na ndugu yako Adoniya.”
22 Siangpahrang Solomon ni, bangkongmaw Shunam napui Abishag hah Adonijah hanelah na hei. Uknaeram hai het pouh bokhe. Bangkongtetpawiteh, ahni teh ka hmau nahoehmaw. Ahni hane hoi vaihma Abiathar hoi Zeruiah capa Joab hane hai het pouh bokhe atipouh.
Mfalme Solomoni akamjibu mama yake, “Kwa nini uombe Abishagi, Mshunami, kwa ajili ya Adoniya? Ungeweza pia kuomba ufalme kwa ajili yake, kwani yeye ni ndugu yangu mkubwa: naam, kwa ajili yake, na kwa kuhani Abiathari na Yoabu mwana wa Seruya!”
23 Siangpahrang Solomon ni BAWIPA e min lahoi Adonijah ni a hei e heh ama due nahane nahoeh pawiteh, Cathut ni a ngai e patetlah kai dawk sak lawiseh, hothlak ka pataw lahai yah ati.
Mfalme Solomoni akaapa kwa Bwana, akasema: “Mungu na aniulie mbali, tena bila huruma, ikiwa Adoniya hatalipa kwa uhai wake kwa ajili ya ombi hili!
24 BAWIPA e lawkkam patetlah na caksak teh apa Devit e bawitungkhung dawk na tahung sak teh ka imthung kangdout sak e hringnae lahoi ka dei. Adonijah het sahnin roeroe thei e lah awm seh telah lawk a kam.
Basi sasa, hakika kama Bwana aishivyo, yeye ambaye ameniimarisha salama kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu, naye amenipa ufalme wa kudumu kama alivyoahidi, Adoniya atauawa leo!”
25 Hahoi teh, siangpahrang Solomon ni Jehoiada capa Benaiah a patoun teh ahni ni a hem teh a due.
Hivyo Mfalme Solomoni akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akampiga Adoniya akafa.
26 Hahoi, vaihma Abiathar koevah, siangpahrang ni, Anathoth kho e nang nama im ban leih. Due hanlah na kamcu, hatei apa Devit hmalah Bawipa Jehovah e thingkong na hrawm teh apa ni a khang e runae naw hai na khangkhai van dawkvah, atu teh na thet mahoeh rah atipouh.
Mfalme akamwambia kuhani Abiathari, “Nenda huko Anathothi katika mashamba yako. Wewe unastahili kufa, lakini sitakuua sasa, kwa sababu ulilichukua Sanduku la Bwana Mwenyezi mbele ya Daudi baba yangu na ulishiriki taabu zote za baba yangu.”
27 Hahoi teh, Cathut ni Shiloh kho vah Eli imthungnaw hno lahoi a dei e a kuep nahanelah, Solomon ni Abiathar teh BAWIPA e vaihma thaw dawk hoi a takhoe.
Hivyo Solomoni akamwondoa Abiathari kwenye ukuhani wa Bwana, akilitimiza neno la Bwana alilokuwa amenena huko Shilo kuhusu nyumba ya Eli.
28 Hote lawk hah Joab ni a thai. Bangkongtetpawiteh, Joab teh Absalom koelah bawk hoeh eiteh, Adonijah koelah ka bawk e tami lah ao. Hahoi Joab teh BAWIPA e lukkareiim dawk a yawng teh thuengnae khoungroe ki hah a kuet.
Habari zilipomfikia Yoabu, ambaye alikuwa amefanya shauri baya na Adoniya, lakini sio na Absalomu, alikimbilia kwenye hema la Bwana na kushika pembe za madhabahu.
29 Hahoi, BAWIPA e lukkareiim dawk Joab a yawng, thuengnae khoungroe koe ao telah Solomon koe a dei pouh awh. Hahoi siangpahrang Solomon ni Jehoiada capa Benaiah koe cet nateh, thet atipouh.
Mfalme Solomoni akaambiwa kuwa Yoabu amekimbilia kwenye hema la Bwana naye alikuwa kando ya madhabahu. Basi Solomoni akamwagiza Benaya mwana wa Yehoyada: “Nenda ukamuue!”
30 Benaiah teh BAWIPA lukkareiim koe lah a ceitakhang teh ahni koevah siangpahrang ni tâcawt loe ati atipouh. Ahni ni nahoeh hete hmuen koe doeh ka due han atipouh. Benaiah ni Joab ni hettelah a dei, hettelah na pato telah siangpahrang koe a thai sak.
Ndipo Benaya akaingia kwenye hema la Bwana na kumwambia Yoabu, “Mfalme anasema, ‘Toka nje!’” Lakini akajibu, “La! Nitafia hapa hapa.” Benaya akamwarifu mfalme, “Hivi ndivyo Yoabu alivyonijibu.”
31 Siangpahrang ni hai yon ka tawn hoeh e tami Joab ni a thei e yonnae teh kai hoi apa imthungnaw kâbet hoeh hanelah a dei e patetlah thet nateh pakawm awh atipouh.
Kisha mfalme akamwamuru Benaya, “Fanya kama asemavyo. Muue na kumzika, ili uniondolee mimi na nyumba ya baba yangu dhambi ya damu isiyokuwa na hatia ile Yoabu aliyoimwaga.
32 Hat toteh, ama hlak kalan e kahawi e tami kahni touh Ner capa Abner Isarel ransanaw kaukkung hoi Jether capa Amsa Judah ransanaw kaukkung hah apa Devit ni panuek laipalah a tuk teh, tahloi hoi a thei dawkvah, BAWIPA ni a thipaling teh amae a lû dawk a pha sak han.
Bwana atamlipiza kwa ajili ya damu aliyoimwaga, kwa sababu pasipo Daudi baba yangu kujua, aliwashambulia watu wawili na kuwaua kwa upanga. Wote wawili, Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda, walikuwa watu wazuri na wanyofu kuliko yeye.
33 Hottelah, thipaling teh Joab e lû dawk hoi a catounnaw e lû dawk yuengyoe ban vaiteh, Devit e lathueng thoseh, a ca catounnaw e lathueng thoseh, a imthungnaw e lathueng thoseh, a bawitungkhung dawk BAWIPA koehoi roumnae yungyoe ao han atipouh.
Hatia ya damu yao na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na wazao wake milele. Lakini kwa Daudi na uzao wake, nyumba yake na kiti chake cha ufalme, iwepo amani ya Bwana milele.”
34 Jehoiada capa Benaiah ni a cei teh a thei. Hahoi kahrawngum amae im dawk a pakawp.
Basi Benaya mwana wa Yehoyada akakwea, akampiga na kumuua Yoabu, naye akazikwa katika nchi yake mwenyewe katika jangwa.
35 Hahoi siangpahrang ni Jehoiada capa Benaiah teh, ransabawi lah a hruek teh, vaihma Zadok hah siangpahrang ni Abiathar e a yueng lah a hruek.
Mfalme akamweka Benaya mwana wa Yehoyada juu ya jeshi kwenye nafasi ya Yoabu na kumweka kuhani Sadoki badala ya Abiathari.
36 Hahoi siangpahrang ni Shimei a kaw sak teh, ahni koevah Jerusalem vah im sak nateh, hawvah awmh. Hote hmuen koehoi nahai tâcawt hanh.
Kisha mfalme akatuma ujumbe kwa Shimei na kumwambia, “Ujijengee nyumba huko Yerusalemu uishi huko, lakini usiende mahali pengine popote.
37 Bangkongtetpawiteh, na tâco hnin, Kidron palang na raka hnin roeroe vah na due han tie hah panuek. Na thipaling teh nama e na lû dawk ao han atipouh.
Siku utakayoondoka kuvuka Bonde la Kidroni, uwe na hakika utakufa; damu yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”
38 Shimei ni siangpahrang koevah, bokheiyah, siangpahrang ka bawipa ni na dei e patetlah na san ni ka sak han atipouh.
Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana wangu mfalme alivyosema.” Naye Shimei akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu.
39 Shimei teh Jerusalem vah ka saw hnawn lah ao. Kum thum touh a ro toteh, Shimei koe kaawm e sannaw thung hoi tami kahni touh teh, Gath siangpahrang Maakah capa Akhish koe a yawng. Thaihaw, na san teh Gath vah ao telah Shimei koe a dei pouh awh.
Lakini baada ya miaka mitatu, watumwa wawili wa Shimei wakatoroka kwenda kwa Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi, naye Shimei akaambiwa, “Watumwa wako wako Gathi.”
40 Shimei a thaw teh, la a rakueng teh a san tawng hanelah Gath vah Akhish koe a cei. Hahoi Shimei ni Gath kho e a san hah a thokhai.
Kwa ajili ya hili, Shimei akatandika punda wake, akaenda kwa Akishi huko Gathi kuwatafuta watumwa wake. Basi Shimei akaondoka na kuwarudisha watumwa wake kutoka Gathi.
41 Shimei teh Jerusalem kho dawk hoi a tâco teh Gath kho lah a cei teh, bout a ban telah Solomon koe a dei pouh awh.
Solomoni alipoambiwa kuwa Shimei ametoka Yerusalemu na kwenda Gathi na amekwisha kurudi,
42 Siangpahrang ni Shimei a kaw sak teh, ahni koevah na tâco hnin, ram louk lah na cei hnin vah na due roeroe han telah BAWIPA e min noe lahoi lawk kâkam teh na thaisak nahoehmaw. Hahoi nang ni hai na dei e ka thai e heh ahawi na ti.
mfalme akamwita Shimei na kumwambia, “Je, sikukuapiza kwa Bwana na kukuonya kuwa, ‘Siku utakayoondoka kwenda mahali pengine popote, uwe na hakika utakufa?’ Wakati ule uliniambia, ‘Ulilolisema ni jema. Nitatii!’
43 Bangkongmaw BAWIPA e lawkkam hoi kâlawknaw na tarawi hoeh atipouh.
Kwa nini basi hukutunza kiapo chako kwa Bwana na kutii amri niliyokupa?”
44 Siangpahrang ni Shimei koe, na hawihoehnae apa Devit koe na sak e hah na lungthin ni na panue. Hatdawkvah, BAWIPA ni na hawihoehnae patetlah nange lathueng vah a ban sak han.
Pia mfalme akamwambia Shimei, “Unajua katika moyo wako makosa uliyomtendea baba yangu Daudi. Sasa Bwana atakulipiza kwa ajili ya mabaya yako uliyotenda.
45 Hatei, siangpahrang Solomon teh yawhawi e lah ao vaiteh, Devit bawitungkhung teh BAWIPA hmalah yungyoe caksak lah ao han telah atipouh.
Lakini Mfalme Solomoni atabarikiwa, na kiti cha ufalme cha Daudi kitakuwa imara mbele za Bwana milele.”
46 Hat toteh, siangpahrang ni Jehoiada capa Benaiah koe kâ a poe teh a thei. Hat toteh, uknaeram teh Solomon kut dawk a caksak.
Kisha mfalme akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka nje, akampiga Shimei na kumuua. Sasa ufalme ukawa umeimarika kikamilifu mikononi mwa Solomoni.

< 1 Siangpahrang 2 >