< 1 Setouknae 18 >
1 Hathnukkhu hoi hettelah ao. Devit ni Filistinnaw a tuk teh a tâ. Gath hoi khotenaw hah Filistinnaw e kut dawk hoi a lawp.
Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka utawala wa Wafilisti.
2 Moabnaw bout a tuk teh, Moabnaw teh Devit e san lah ao awh teh, tamuk ouk a poe awh.
Pia Daudi akawashinda Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru.
3 Euphrates palang teng e a uknae caksak hanelah, a cei nah Devit ni Zobah siangpahrang Hadadezer hai Hamath totouh a tâ.
Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mfalme wa Soba, hadi Hamathi, wakati alikwenda kuimarisha utawala wake katika Mto Frati.
4 Devit ni rangleng 1, 000 hoi marangransanaw 7, 000, hoi ransa 20, 000 hah ahni koe e la a poe. Devit ni leng la sawn e marangnaw pueng hah be a raphoe pouh teh leng ka sawn e 100 touh dueng a pâhlung pouh.
Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100.
5 Damaskas, Assirianaw hah Zobah siangpahrang Hadadezer ka bawm hanelah a tho awh navah, Devit ni Sirianaw 22, 000 a thei.
Waaramu wa Dameski, walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.
6 Hatdawkvah, Devit ni Siria ram Damaskas khovah, ransanaw a ta. Sirianaw ni hai Devit tamuk ka poe e lah ao awh. BAWIPA ni Devit teh a cei na tangkuem koe tânae a poe.
Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski. Basi Waaramu wakawa watumwa wa Daudi, na kumlipa ushuru. Bwana akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.
7 Devit ni Hadadezernaw e sui saipheinaw a la pouh teh, Jerusalem vah a ceikhai.
Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.
8 Hadadezer khopui dawk e Tibhath kho hoi Kun kho dawk hoi, rahum moikapap a thokhai. Hote rahum hoi Solomon ni rahum tuiim, rahum khom, rahum puengcang aphunphun lah a sak.
Kutoka miji ya Tibhathi na Kuni, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Daudi akatwaa shaba nyingi sana, ambayo Solomoni aliitumia kutengenezea ile Bahari ya shaba, zile nguzo na vifaa mbalimbali vya shaba.
9 Hamath siangpahrang Toi ni Zobah siangpahrang, Hadadezer, ransanaw pueng Devit ni a tâ tie hah a thai awh torei teh,
Tou mfalme wa Hamathi aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri mfalme wa Soba,
10 Hadadezer hah a tuk teh a tâ dawkvah, kut man hanelah lunghawikhai hanelah, a capa Hadoram teh Devit koe a patoun. Bangkongtetpawiteh, Hadadezer ni Toi hah a tuk. Hahoi suingun rahum, hlaamnaw phunkuep hah a hni koe a patawn.
akamtuma mwanawe, Hadoramu kwa Mfalme Daudi ili kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Mfalme Hadadezeri, kwa kuwa alikuwa amepigana vita mara nyingi na Tou. Hadoramu akamletea Daudi vifaa mbalimbali vya dhahabu, fedha na shaba.
11 Hote hnonaw hoi miphunnaw pueng Edom, moab, Ammon, Filistin hoi Amaleknaw koe e sui ngun a la e naw hoi Devit ni BAWIPA koe a pathung.
Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa Bwana kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu aliyokuwa ameitwaa katika mataifa yote haya: Edomu na Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki.
12 Hothloilah, Zeruiah capa Abishai ni Edomnaw 18, 000 touh hah palawi tanghling dawk a thei awh.
Abishai mwana wa Seruya akawaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.
13 Edom hai ransa a ta teh, Edomnaw pueng teh Devit ni tamuk a cawngnae kho lah ao awh. BAWIPA ni Devit teh a ceinae tangkuem koe tânae a poe.
Akaweka kambi za askari walinzi huko Edomu, nao Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi. Bwana akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
14 Hottelah Devit ni Isarelnaw a uk teh, a taminaw dawkvah, kalancalah lawk a ceng.
Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.
15 Zeruiah capa Joab teh ransahu ka hrawi e bawi lah ao. Ahilud e capa Jehoshaphat teh kamthang kathutkung lah ao.
Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;
16 Ahilud capa Zadok hoi Abiathar capa Abimelek teh vaihma lah ao awh teh, Shavsha teh cakathutkung lah ao.
Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Shausha alikuwa mwandishi;
17 Jehoiada capa Benaiah teh Kerethnaw hoi Pheletnaw kahrawikung lah ao teh, Devit capanaw teh, siangpahrang thaw dawk kho kakhangkungnaw lah ao awh.
naye Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa maafisa wakuu katika utumishi wa mfalme.