< Solomon Labu 1 >

1 Zailom: Hiche hi Solomon la ho lah’a apipen, adang jouse sanga thupi ahi.
Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
2 Mounu: Neichop in lang, avel in neichop in, ajeh chu nei deibolna chu lengpitwi sang in jong alhumjoi.
O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
3 Gimnamtwi nakinu chu iti namtwija hitam, namin ngei hi agim namtwi kitungdoh tobang ahi. Akidang poi, khangdong nungah jousen hibang loma nahin deiju hi!
Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
4 Kei jong neipuijin, hung in; kijam ta hite! Lengpan ajalna pindan’ah ei puilut hen. Zailom: Iti kahin kipapiu hitam, O Lengpa. Na milungset dan hi lengpitwi sang in ka ngaisang jouve. Mounu: Nahin ngaisangnau hi adih tangeiye!
Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
5 Keima ka vouso avom vang'in kamelhoi nai, Vo Jerusalem Chanute-Cedar phaiya ponbuh kisongho banga vom, Solomon pondal banga vom chu ka hinai.
Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
6 Kavouso avom jeh-in, Neihin vehih-uvin-nisan ei kahdup jeh ahibouve. Ka sopi pasal ho ka chung ah alunghang uve, alengpi leiju vekol ding in eino uvin, hijeh chun kei le kei ka kijen joupoi; keima lengpilei ka kivet kol man poi.
Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
7 Nei seipeh-in, O goldei, tuni na kelngoi honho hoilama na puiding ham? Sun teng hoikoma na kol sah ding ham? Ajeh chu keima hi noti banga naloi-napaiho chule kelngoite lah’a iti ka vavai le jeng thei ding ham?
Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
8 Moulang: Na het loule, O nungah melhoipen nu; ka kelngoi ho kikaina nung juiyin lang, kelngoi chingho ponbuh vel’a chun na kelchate vah-in.
Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
9 O ka deinu, na nunnop dan hi Pharaoh sakol lagol lah-a khat toh nabang’e.
Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
10 Na bengmai alangtoa hi iti deium hitam! Na bilba tenin asal emsel jeng’e! Nangong jong iti dei um hitam, na sana bilba hung kailha chun ajem hoi be cheh-e.
Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
11 Zailom: Sanavui sempeh-ungting, kicheina ding dangkavui toh thosah-unge.
Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
12 Mounu: Lengpa jalkhun chung ah alum in, gimnamtwi ka kinu gimnam hi aki tunglut jel jeng’e.
Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
13 Ka goldeipa hi ka ang-a Myrrh gim namtwi theineo kikhai abangin ahi.
Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
14 Ama hi En-gedi lengpileiya henna pahcha-boh toh abange.
Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
15 Moulang: Iti hoiya hoi nahi hitam, O ka goldei nu! Namit teni hi vakho te abang jeng’e.
Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
16 Mounu: Nangma jong na hoi ngeije, O goldei, kam’a seidoh jou hoi hilouvin dei na um nalom’e! Hampa dong nem hiuheo khu i-jalkhun lhon ding in alom e.
Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
17 Namtwi tah Cedar thingbah ho jeng jong i-inkam lhon ding in apang uvin, chahthing ho jeng jong i-insun lhon ding in apang’uve.
Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.

< Solomon Labu 1 >