< Solomon Labu 5 >

1 Moulang: Keima ka kallha luttai ka honlei, kagoulu, kajidinu komah! Keiman Myrrh toh amuinam theiho ka chomkhom in, ka khoiphanga khoiju ka chop’e. Ka lengpitwi toh bongnoi ka don’e.
Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; nimekusanya manemane yangu pamoja na kikolezo changu. Nimekula sega langu la asali na asali yangu; nimekunywa divai yangu na maziwa yangu. Marafiki Kuleni, enyi marafiki, mnywe; kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.
2 Zailom: O goldei le ngai umte, neuvin lang, don un! Henge, ngailutna hi donkham vaset un.
Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho. Sikiliza! Mpenzi wangu anabisha: “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, asiye na hitilafu. Kichwa changu kimeloa umande, na nywele zangu manyunyu ya usiku.”
3 Mounu: Keima ka-ihmun, hinlah kalung alimgeh-e kangai penpan kot ahin kiuva eihin kou awgin: “Kot neihonin, O kagoulu, kangainu, kavakhu, kadinga chamkimpen; ka lujang daitwi akottan, ka jangsam daitwi alhopsoh tai,” tia ahinsei kajah chun keiman kadonbut in: “Keiman von kana kisutlhah man tan, kahung kivon kit ding ham? Ka keng kana kisop ngim tan, ka chotnen kit ding ham?”
Nimevua joho langu: je, ni lazima nivae tena? Nimenawa miguu yangu: je, ni lazima niichafue tena?
4 Kangai penpan kot chu ahin hong gotan, hichun ka lung thathou lheh jeng tai.
Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo; moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili yake.
5 Keiman ka dongmapa kot honpeh ding in thanom tah in ka chomdoh-in, ka khut chung ah jong gimnamtwi kavatnatsah-in ahi. Ka khut jung Myrrh gimtwija chun kotkil chu kahong tan ahi.
Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu, mikono yangu ikidondosha manemane, vidole vyangu vikitiririka manemane, penye vipini vya komeo.
6 Kangai penpa din kot kahonpeh tan, hinlah ama anaum tapoi! Kalung lhadah del jeng tai. Ama holnan kadahlen, hinlah kamu jouta poi. Ka koule-in hinlah adonbutna awgin akija tapoi.
Nilimfungulia mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu alishaondoka; alikuwa amekwenda zake. Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake. Nilimtafuta lakini sikumpata. Nilimwita lakini hakunijibu.
7 Janlaija khongah hon khosung avel le laijun eihung mudoh-un, eijep pop chetchut jeng un, ka ponlukhuh eihodoh peh-un ahi.
Walinzi walinikuta walipokuwa wakifanya zamu za ulinzi mjini. Walinipiga, wakanijeruhi, wakaninyangʼanya joho langu, hao walinzi wa kuta!
8 Vo Jerusalem chanute, katem nahiuve-kadongmapa na kimupi khah bang uleh, ama lhangai nan ka tahsa akem lheh jeng tai tihi neina seipeh tauvin.
Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza: kama mkimpata mpenzi wangu, mtamwambia nini? Mwambieni ninazimia kwa mapenzi.
9 Zailom: Idinga na dongma pachu midang jouse sanga dei um chomdeh hija ham, O melhoi kidang lanu? Ipin na dongma pachu atumbeh-a alulsah chom hija keihon nei temnau chu ka nun diu ham?
Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani, wewe uliye mzuri kupita wanawake wote? Je, mpendwa wako ni mzuri kuliko wengine, namna gani, hata unatuagiza hivyo?
10 Mounu: Kangai penpa chu donghoisel in avouso ajolsel in, aemsel jeng in, midang asang-aja sang in ahoijoi.
Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu, wa kuvutia miongoni mwa wanaume kumi elfu.
11 Alujang chu songmantam sang in ahoijon, asam jang va-ah vom bang in avom’e.
Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote, nywele zake ni za mawimbi na ni nyeusi kama kunguru.
12 Amit teni khaltwi panga tou vakhu bang in aval lheng in, sana khiba bongnoitwi-a kisop ngimsel tobang ahi.
Macho yake ni kama ya hua kandokando ya vijito vya maji, aliyeogeshwa kwenye maziwa, yaliyopangwa kama vito vya thamani.
13 Abengmai chu muinampah honlei, gimtwi hinlhut dohji tobang khu ahi. Ane geiteni jong Lily pah Myrrh gimtwi kichap khum tobang ahi.
Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo yakitoa manukato. Midomo yake ni kama yungiyungi inayodondosha manemane.
14 Abanjang jong sana pum kihehkol’a sana pahjema kijempol bangin alhanlhaije. Atahsa pum saiha kinotval lhenga, Sapphire songa ki tomjol toh abang’e.
Mikono yake ni fimbo za dhahabu iliyopambwa kwa krisolitho. Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyongʼarishwa iliyopambwa na yakuti samawi.
15 Akengteni jong sana khomtoa kon kitungdoh ngunsong khom abang’e. Atahsa gongso adingchah-in, Lebanon lhang bang in ahuikaijin, alhang lehvuma Cedar thing huikai abang’e.
Miguu yake ni nguzo za marmar zilizosimikwa katika vitako vya dhahabu safi. Sura yake ni kama Lebanoni, bora kama miti yake ya mierezi.
16 Akamsung alhum in, imalam jousea dei umtah chu ahi. Vo Jerusalem chanute, ka ngaipen; ka goldei chu hitobang chu ahi.
Kinywa chake chenyewe ni utamu, kwa ujumla yeye ni wa kupendeza. Huyu ndiye mpenzi wangu, huyu ndiye rafiki yangu, ee binti za Yerusalemu.

< Solomon Labu 5 >