< La Bu 84 >

1 O Yahweh Pakai hatchungnung nahou in hi iti kangailut hitam?
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora. Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, makao yako yapendeza kama nini!
2 Hiche a chu iti kaum nom hitam! Yahweh Pakai Hou inn chu kangaicha lheh jenge, kahina apumpin hingjing Elohim Pathen ah kakipana lan sange.
Nafsi yangu inatamani sana, naam, hata kuona shauku, kwa ajili ya nyua za Bwana; moyo wangu na mwili wangu vinamlilia Mungu Aliye Hai.
3 Inva jengin jong abuh akisah in, chuleh pengpalep injong intum akison e. Vo Yahweh Pakai hat chungnung, kalengpa le ka Pathen Elohim! Vachan jong namaicham kom a anou kicholdo nading abuh akisem ahi.
Hata shomoro amejipatia makao, mbayuwayu amejipatia kiota mahali awezapo kuweka makinda yake: mahali karibu na madhabahu yako, Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mfalme wangu na Mungu wangu.
4 Nahou inn'a chenghon ichangei a hinkho nopna anei'u hitam phat tin in nangma vahchoila asauve.
Heri wale wanaokaa nyumbani mwako, wanaokusifu wewe daima.
5 Athahatna Yahweh Pakai a kon a kimuho hinkho iti nop a hitam, alungsungun Jerusalem'ah akholjing jengun ahi.
Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako, na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.
6 Beca phaicham ajot tengu jongle, twisam putna twinah tampi umna bangin abol'un, gotwi hunglha masapen in jong twikul tampi ahinsemdoh pehjiuve.
Wanapopita katika Bonde la Baka, hulifanya mahali pa chemchemi, pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.
7 Amaho akalson chan uva ahetbe cheh chehjingdiu ahin, amahon Jerusalem a Yahweh Pakai chu amudiu ahi.
Huendelea toka nguvu hadi nguvu, hadi kila mmoja afikapo mbele za Mungu huko Sayuni.
8 O Yahweh Pakai, Ka Pathen Elohim hatchungnung kataona neingaipeh'in, O Jacob Elohim Pathen.
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu; nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.
9 O Elohim Pathen kalengpauhi phatthei boh'in, amahi kaluum u ahi, nathaonusa nalhen pahi khotona musah jingin.
Ee Mungu, uitazame ngao yetu, mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.
10 Munchom a ni sangkhat umsangin na Houin a nikhat um aphajoi. Miphalou inna chen sangin ka Pathen Elohim inn'a kotngah a pan aphajoi.
Siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu mahali pengine; afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu kuliko kukaa katika mahema ya waovu.
11 Ajeh chu Yahweh Pakai, Elohim Pathen hi eiho dia nisa le umpho ahi. Aman khoto nale loupina eipeuvin ahi. Yahweh Pakai in thildih jeng bol mihoa kon in thilpha alamang pon ahi.
Kwa kuwa Bwana ni jua na ngao, Bwana hutoa wema na heshima; hakuna kitu chema anachowanyima wale ambao hawana hatia.
12 Yahweh Pakai hatchungnung nangma tahsan mihohi iti kipa um a hitam?
Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.

< La Bu 84 >