< La Bu 68 >

1 O Elohim Pathen hung kipat inlang namelmate hi thethang jeng in, Elohim Pathen doumah bolte jouse akihuhdohna diuvin jam uhen.
Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
2 Amaho khu meikhu bang in mut mang in, meisalah a khoilu ajollhah bang in jollhahsah in, Elohim Pathen ansung a kon in migiloute mangthah jeng uhen.
Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
3 Hinla miphaho chu kipah u hen. Amaho chu Elohim Pathen angsung'ah kipah u hen. Kipa thanopnan dimset u hen.
Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
4 Elohim Pathen le amin thang vah la saovin! Meibanglom puile pa thangvahla chohthet in sauvin. Amin chu Yahweh Pakai kiti ahi–a angsung a kipah un.
Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
5 Pa neilou te dia Pa nahin, meithaiho hoidam jing nahi-hiche hi Elohim Pathen ahin aumna chu muntheng ahi.
Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
6 Elohim Pathen in changkhatpu hinkho chu insungmi lhingtah in akoi in; Songkul a tangho chamlhat na apen akipa sah tai. Ahinlah thuanunglou ho chu nisan akahgepna neldigama achensah e.
Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
7 O Yahweh Pakai na mite Egypt gama kon a na hin puidoh a chun, gamgo lah'a na hin puigalkai chun,
Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
8 Israel Pathen Elohim, Sinai Pathen Elohim nangma masang'ah leiset akithing in vanhon go ahin juhlhahsah in ahi.
nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
9 O Elohim Pathen nang man leigo chapnousah din go nengchet in neihin peuvin ahi.
Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
10 Akhon nan hichea chun na mite na chensah in, neh le chah nengchetnin na pen, na mite ngaichat jouse jong na pe tai.
Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
11 Yahweh Pakai in thu chengkhat agahseileh mitamtah in hiche kipana thu chu apoleuvin ahi.
Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
12 Melmate lengho le asepaite ajamgam tauvin Israel numeiten athilkeo u achomgam peh taove.
Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
13 Kelngoi hong a chengho jeng in jong nei le gou tamtah-alhaving teni dangka le amul sana a kisem vapal akimu uvin.
Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
14 Hatchungnung chun Zalmon molchung'a buhbang kithejal bang'in melma lengho chu athejal gamtan ahi.
Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
15 Bashan a molho hi athupi thei lheh jeng uve, mol monghem tamtah'in vanthamjol a kilhungdoh jenge.
Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
16 O molsang gumtahho ibolba thangthip tah a navet uham, Zion molsang Elohim Pathen in alhen na mun, tonsot a achen nading chu?
Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
17 Sakol-kangtalai simjoulou hon akolkhum Sinai mol a kon a hung'a amuntheng a lut ding ahi.
Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
18 Nangma achung sang a na kaltou tengleh galhing a kiman tamtah na puitou ding, mipiho'a kon'a kipaman tamtah na san ding, nangma na douho a kon'a jong na san ding ahi. Hiche'a chu Yahweh Pakai eiho lah a cheng ding ahi.
Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
19 Yahweh Pakai chu thangvah in umhen; eihuh hingpau Elohim Pathen chu thangvah in umhen! Niseh a aman abanjang a eikai u ahi.
Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
20 Eiho Pathen hi mihuhhing Elohim Pathen ahi. Yahweh Pakai lengchungnung hin thina a kon a eihuhdoh u ahi.
Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
21 Elohim Pathen in amelmate luchangho asuhchip ding ahi, thilse jeng bolna a kipeho chu alugu u asuhchip ding ahi.
Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
22 Yahweh Pakai in asei e, “Bashan a kon'a ka melmate ka hinpui lhah ding ahi; twikhanglen lailung a kon'a ka hin puidoh ding ahi.
Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
23 Ka mite, nanghon athisan uva chu na keng u na kisoptheng diu, chuleh na uichahou jengin jong chan aneidiu ahi.”
ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
24 O Elohim Pathen gal nahin jaova na hung kijot u chu muthei in ahung kilangdoh tai, Elohim ka Pathen le ka lengpa muntheng a na kijotlut u chu.
Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
25 La saho amasang a aum un, tumging saiho a nung a aum ui; alai lunga chun nungah hon vohging theiho avouve.
Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
26 Israel mipite Elohim Pathen thangvah un; Israel hinkho hungkondoh naho Yahweh Pakai chu thangvah un.
Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
27 Ven phung neocha Benjamin in ahin lamkai e. aban'ah Judah a kon a vaihomho, chule Zebulun le Naphtali a kon in vaihom tamtah ahung uve.
Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
28 O Elohim Pathen, na ban thahat chu jedoh in. Achesa nikho ho bang chun na ban thahat chu nahat na hung kilangdoh hen.
Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
29 Jerusalem a na houintheng ah leiset lenghon na hunglutna u thilho ahinchoijuve.
Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
30 Na melma namtin vaipiho, pang lah'a kisel gamsaho, ahatmo bongnouho lah a bongchalho hi phohsal in. Kisunem tah a ahunglutnau thil in sumlhonho hinchoisah in. Galbol'a thanom namtin vaipiho thethang in.
Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
31 Egypt a kon'in kipa thilpeh ding'in thil mantamho hinchoi u hen, Ethiopia mite Elohim Pathen a akipehlutna uvin bohkhup uhen!
Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
32 Leiset gam lengho'n Yahweh Pakai, Elohim Pathen kom'ah vahchoila sauhen.
Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
33 Vanlaijol'a kon'a ogin hat tah hung kithongdoh a, masanglai vanho lah a ki tollepa vahchoila'n la sauvin.
Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
34 Elohim Pathen thuneina hi mijouse hetsah un, aloupina chun Israelte ahinsalvah in athahatna hi vanho chung'ah akilang jing'e.
Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
35 Elohim Pathen hi amuntheng'ah gimneitah in aumjing'e. Israel Pathen Elohim'in amite chu thuneina le thahatna ape'n ahi. Elohim Pathen chu thangvah in umhen!
Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.

< La Bu 68 >