< La Bu 41 >

1 Mivaichate khoto ho chu anunnom ahi! Amaho chu Yahweh Pakai in boina ato nao a kon a ahuhdoh diu ahi.
Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
2 Yahweh Pakai in amaho chu ahoibit in ahinghoi jiu ve. Aman amaho chu gamsung ah phatthei aboh in galmiho akon na ahuhdoh ji e.
Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
3 Yahweh Pakai in adam mo naova panpin tin adamdoh sahding ahi.
Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
4 “O Yahweh Pakai”, katao ahi “eilungset in, neidamdoh sah in ajeh chu nangma dounan kachonsetai.”
Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
5 Ahinla kadougal ten keima dounan thilse jeng asei un ahi. “Itih tah le athin suhmil in aum tadem?” atiu ve.
Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
6 Kagol kapai bang in eihung vil jiuvin, hinla chomloukah in kachungchang guhthim thu asei khom leuvin, eidalhah tengu le muntin in aphonjal ji taove.
Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
7 Eihot bolten keichung chang a thilphalou ngan aseijun, kachung a thilse ahung lhun dingbou adei un ahi.
Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
8 “Amahi thina thei hiveija na ahi” atiuve. “Amahi damdoh joulou ding ahitai!” atiuve.
Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
9 Katahsan pen kagol phapen, an kaneh khom pipa jeng jong keima eidouvin apang tai.
Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
10 Yahweh Pakai neilungset in. Neidamdoh sah kitin amahohi kalethuh jou nadin!
Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
11 Yahweh Pakai nangma kachunga nalung lhaije ti kahei ajeh chu nangin kamelmate kachungah gal nalel sahtai.
Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
12 Nangin kahinkho neihing hoipeh tai, ajeh chu keiman lhamonna kaneipoi, chuleh nangin atonsot a din na-angsung a neipui luttai.
Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
13 Israel Elohim Pathen Yahweh Pakai chu thangvah in umhen, Tonsot tonsot a hingjing pa chu. Amen chule Amen!
Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili

< La Bu 41 >