< La Bu 26 >

1 O Yahweh Pakai themmo na bei kahihi phongdoh tan, ajeh chu keiman kitah na neitah in hinkho kamang in nungchonlou hel in Yahweh Pakai a tahsan na dettah kaneije.
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, nithibitishe katika haki, maana nimeishi maisha yasiyo na lawama; nimemtumainia Bwana bila kusitasita.
2 Yahweh Pakai neipatep inlang neikhol chil in, kachondan leh kalungthim hi vechen mongin!
Ee Bwana, unijaribu, unipime, uuchunguze moyo wangu na mawazo yangu;
3 Ajeh chu neingailutna longlouhi keiman kahejing e, chuleh keiman nathudih dung jui in hinkho kamange.
kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima, nami natembea siku zote katika kweli yako.
4 Keima mijouho tojong kakivop khompon, miphalhem ho deilam jong kachepipon ahi.
Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,
5 Keiman migiloute kikhop na kathet in thilphalou hojong kanuse ji e.
ninachukia kusanyiko la watenda mabaya na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
6 Themmona kaneilou vetsahna in kakhut kasil in namaicham kahin jon e O Yahweh Pakai,
Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7 Thangvah la sapum in nakidan na ho kaphong doh e.
nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
8 Na houin theng kangailui, Yahweh Pakai, naum pi na loipi tah kilan doh na mun chu.
Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi, mahali ambapo utukufu wako hukaa.
9 Michonse ho thoh ding neithoh sah hih in, tolthat hoto kibang in neithep mo sah hih in.
Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi, wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
10 Set bolnom nan akhutnu asuboh un, chuleh amahon phatseh in nehguh akilah un ahi.
ambao mikononi mwao kuna mipango miovu, ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
11 Keiman hitobang hinkho chu kamangpon, kitahna hinkhoa kading jinge. Hijeh chun neilhat doh inlang nami hepina chun neipuijin.
Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama; nikomboe na unihurumie.
12 Tun keima tolgo lai a dettah in kadinge chuleh keiman lhangphong tah a Yahweh Pakai kathang vahding ahi.
Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare; katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.

< La Bu 26 >