< La Bu 128 >
1 Koi hileh Yahweh Pakai ging geh'a um a Ama lunglhaina lampia kalsongho chu anunnom ahiuve.
Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
2 Nangin nakhutsoh natohga naneh ding ahin, iti nakipading hitam na hinkho kiledoh ding ahitai.
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3 Nainsunga najinu jong lengpigui ga phatah banga phatthei punna hiding, ankong phunga an naneh khompi nachate melhoitah tah Olive thingbah lhoutah bangdiu ahi.
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
4 Veuvin, Yahweh Pakai gingte phatthei achandingu chu hitobang hi hiding ahi.
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
5 Yahweh Pakai in Zion a kon in phatthei nabohjing jinghen, nahinkho lhumkei in Jerusalem machalna mujing jingin.
Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
6 Natuson gei in jong hin munlang, Israel chungah chamleng hen!
nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.