< La Bu 122 >

1 Yahweh Pakai hou inn ah cheuhite tia kakom a asei u chun keima kakipahlheh jengin ahi.
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Nilishangilia pamoja na wale walioniambia, “Twende nyumbani ya Bwana.”
2 Vo Jerusalem tuhin keiho nakelkot sung langah kadingtao ve.
Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama malangoni mwako.
3 Jerusalem hi dettah'a kisa khopi ahin apal jonghi detchetna kigenbitna ahi.
Yerusalemu imejengwa vyema kama mji ambao umeshikamanishwa pamoja.
4 Yahweh Pakai mite Israel phungho jousen hicheahi kintheng bolla ahungnao ahi. Israelte chonna dan dungjui a Yahweh Pakai kom a thangvahna pedinga ahungnao ahi.
Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya Bwana, kulisifu jina la Bwana kulingana na maagizo waliopewa Israeli.
5 Hichea hin lengte thutanna laltouna hochu aum in David chilhah ho laltouna ahi.
Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
6 Jerusalem a cham lenna din taovun, hiche khopi ngailu jouse khangtouhen.
Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu: “Wote wakupendao na wawe salama.
7 Vo Jerusalem, nakulpi sunga chamleng hen chuleh nakhopi sung khangtou hen.
Amani na iwepo ndani ya kuta zako na usalama ndani ya ngome zako.”
8 Kainsung mite leh kagol kapaite khohsahna in keiman Jerusalem ah “Nanga chamna umhen” kati.
Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki, nitasema, “Amani iwe ndani yako.”
9 Yahweh Pakai, iPathen'u insung khohsah na'in, O Jerusalem nang dinga aphapen chu kahol ahi.
Kwa ajili ya nyumba ya Bwana Mungu wetu, nitatafuta mafanikio yako.

< La Bu 122 >