< Micah 5 >

1 Tun galsat dingin sepai jalamkai ho kigong tauvin, Jeruslem khopi, ikimvelluvah galmiten eiumkimvel tauve, galsatdin sepai mihonpi hung kikhom loijun. Amaho Israel lamkaipa satdin ahung kon taove.
Panga majeshi yako, ee mji wa majeshi, kwa kuwa kuzingirwa kumepangwa dhidi yetu. Watampiga mtawala wa Israeli shavuni kwa fimbo.
2 Ahinlah nangma, O Bethlehem Ephrahthah, Judah phunga aneopen nahi, hijongleh nanga kona hi kei dinga Israel sunga vaihom ding khat hung peng doh ding, Ama chu akipatna ahung kona gollui laipeha ahitan, ni masalai, lha masalaija umjing sapeh ahitai.
“Lakini wewe, Bethlehemu Efrathi, ingawa u mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kwako atatokea kwa ajili yangu yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli, ambaye asili yake ni kutoka zamani, kutoka milele.”
3 Pakaiyin amite naosonat thohnu naonei kahsea chu donlouva akoija ahaisending ahitai, chuteng leh amoh ahing nalai chengse chu amite henga hung kile kitding ahi.
Kwa hiyo Israeli utaachwa mpaka wakati mwanamke aliye na utungu atakapozaa na ndugu zake wengine warudi kujiunga na Waisraeli.
4 Pakai thahat vanga ama chu dinga akelngoi hon chu avah ding ahiye. Hitia chu amite chu koiman asuhlong louding ahitai chule leiset kolmong geija atha’u ajeding ahitai chule amaho jong lungmonga chengdiu ahitai.
Atasimama na kulichunga kundi lake katika nguvu ya Bwana, katika utukufu wa jina la Bwana Mungu wake. Nao wataishi kwa usalama, kwa kuwa wakati huo ukuu wake utaenea hadi miisho ya dunia.
5 Chuleh ama chamkonna hung hiding, Assyria miten gamsunga gal ahin boltinguleh, kelngoi chinga mi sagi le mipi laha milen milal miget pang diu ahi.
Naye atakuwa amani yao. Wakati Mwashuru atakapovamia nchi yetu na kupita katika ngome zetu, tutawainua wachungaji saba dhidi yake, hata viongozi wanane wa watu.
6 Amahon Assyria gam'a chemjama vai ahopuva Nimrod gamsung jong vai ahop diu Assyria mite a kona hi amahon eihuhdoh diu ahi
Wataitawala nchi ya Ashuru kwa upanga, nchi ya Nimrodi kwa upanga. Atatuokoa kutoka kwa Mwashuru atakapoivamia nchi yetu na kuingia katika mipaka yetu.
7 Chuteng Israel amoh chengse mitin vaipi laha um uva, Pakaiya kona hungkumlha daitwi tobang ahilouleh hampa chunga go hung julha tobang hidiu ahitai.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa katikati ya mataifa mengi kama umande kutoka kwa Bwana, kama manyunyu juu ya majani, ambayo hayamngoji mtu wala kukawia kwa mwanadamu.
8 Israel amoh chengse chu namtin vaipi laha um uva, kithe thang soh diu, gammang laha keipi bahkai um banga, chule kelngoi hon laha keipi bahkai nou banga umdiu, kelngoi chu ahung potdoh tih tengule abotel teldiu koimachan ahuhdoh theilou tobang hiding ahi.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, katikati ya mataifa mengi, kama simba miongoni mwa wanyama wa msituni, kama mwana simba miongoni mwa makundi ya kondoo, ambaye anaumiza vibaya na kuwararua kila anapopita katikati yao, wala hakuna awezaye kuokoa.
9 Nagalmi, nakidoupite chunga Israel in nadinpi ding, chule nagal mite kithat gamding.
Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako, nao adui zako wote wataangamizwa.
10 Hiche nikho chuleh na sakolteu katha gamding, nakangtalai jouse jong ka suhset ding.
“Katika siku ile,” asema Bwana, “nitaangamiza farasi zenu katikati yenu na kubomoa magari yenu ya vita.
11 Nakhutna na tohdoh phunsan jouse jong kasuh mongsoh helding
Nitaiangamiza miji ya nchi yenu na kuziangusha chini ngome zenu zote.
12 Nakulpi jouse jong kasuhchim soh hel ding.
Nitaangamiza uchawi wenu na hamtapiga tena ramli.
13 Milim doihouna nasem jouse jong kasuh mong soh ding.
Nitaangamiza vinyago vyenu vya kuchonga na mawe yenu ya ibada yatoke katikati yenu; hamtasujudia tena kazi ya mikono yenu.
14 Nakoma kona asrins doi nahou jong ka suhmong ding chuleh nakhopi jouseu jong kasuh mongsoh helding ahi.
Nitangʼoa nguzo za Ashera katikati yenu na kubomoa miji yenu.
15 Lunghang taha namtin vaipi thungai louho chunga ka phulahna ka sunlhah ding ahi.
Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayajanitii.”

< Micah 5 >