< Luke 1 >

1 Mi tampin eiho lah'a ana guilhung thilsoh ho chungchang sutdoh agouvin ahi.
Kwa kuwa watu wengi wamekaa ili kuandika habari za mambo yaliyotukia katikati yetu,
2 Amahon amittah'a mu seijui masaho thulhut amangchauvin ahi.
kama vile yalivyokabidhiwa kwetu na wale waliokuwa mashahidi walioyaona na watumishi wa Bwana,
3 Thil jouse abul'a pat phatah'a kholchil ahitoh lhon'in, keiman jong chingthei tah'a nangma dinga jihdoh ding kakigel lhah ahitai, jana sangpen chang Theophilus,
mimi nami baada ya kuchunguza kila kitu kwa uangalifu kuanzia mwanzo, niliamua kukuandikia habari za mambo hayo, ewe mtukufu Theofilo,
4 chutia chu thutah nana kihil jouse chu ahimong nai ti nanop nading ahi.
ili upate kujua ukweli kuhusu yale uliyofundishwa.
5 Judea gam'a Herod leng ahi laiyin, Zechariah kiti Judah thempu khat ana um'in ahi. Ama chu Abijah thempu loi lah'a khat ahin chule a'inneipi Elizabeth jong chu Aaron thempu khailhah'a kon ahi.
Wakati wa Herode mfalme wa Uyahudi, palikuwa na kuhani mmoja jina lake Zekaria, ambaye alikuwa wa ukoo wa kikuhani wa Abiya. Elizabeti mkewe alikuwa pia mzao wa Aroni.
6 Zechariah le Elizabeth chu Pathen mitmun achonpha lhon'in, Pakai dan thupeh le chon na dan jouse chingthei tah'a jui ahilhon'e.
Zekaria na Elizabeti mkewe wote walikuwa watu wanyofu mbele za Mungu, wakizishika amri zote za Bwana na maagizo yote bila lawama.
7 Elizabeth in nao avop theilou jeh chun cha aneilhon pon, chule ani lhon'in hateh'in ateh gel lhon tai.
Lakini walikuwa hawana watoto, kwa sababu Elizabeti alikuwa tasa; nao wote wawili walikuwa wazee sana.
8 Nikhat Zechariah chun Hou'in sungah Pathen kin abolin, ajeh chu chuche hapta sunga chu mopohna chang ahi.
Siku moja ilipokuwa zamu ya kikundi cha Zekaria, yeye akifanya kazi ya ukuhani Hekaluni mbele za Mungu,
9 Thempuho chonna ngai banga, ama chu Hou'in muntheng sunga lut'a chule thil namtui hal dinga lhendoh hi ahi.
alichaguliwa kwa kura kwa kufuata desturi za ukuhani, kuingia Hekaluni mwa Bwana ili kufukiza uvumba.
10 Thil namtui akihal jing laiyin, mipi tamtah pamlangah ading'un taona amang uve.
Nao wakati wa kufukiza uvumba ulipowadia, wale wote waliokuwa wamekusanyika ili kuabudu walikuwa nje wakiomba.
11 Zechariah muntheng sunga aumpet in Pakai vantil khat ahengah ahung kilah in, maicham phung jetlam a chun adingin ahi.
Ndipo malaika wa Bwana, akiwa amesimama upande wa kuume wa madhabahu ya kufukizia uvumba, akamtokea Zekaria.
12 Zechariah in hichu amuphat in akithing'in hatah in akicha tan ahi.
Zekaria alipomwona huyo malaika, akafadhaika sana, akajawa na hofu.
13 Ahivangin vantil chun aseiyin, “Kicha hih'in Zechariah! Pathen in nataona asangtai. Na inneipi Elizabeth in chapa khat nahinpeh ding, chule amin John nasah ding ahi.
Lakini malaika akamwambia, “Usiogope, Zekaria, kwa maana Mungu amesikia maombi yako. Mkeo Elizabeti atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utamwita jina lake Yohana.
14 Nangman kipana lentah nanei ding, chule mi tampi ama pen a kipah ding ahi,
Yeye atakuwa furaha na shangwe kwako, nao watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake.
15 ijeh inem itile ama chu Pakai mitmua hung len ding. Aman ju kiti le khamna thei thil kiti atohkhah thei lou ding. Ama chu apen masang jenga jong Lhagao Theng dimset ding ahi.
Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele za Bwana, kamwe hataonja mvinyo wala kinywaji chochote cha kulevya, naye atajazwa Roho Mtakatifu hata kabla ya kuzaliwa kwake.
16 Chule aman Israel mi tamtah Pakai a-Pathen'u henga alehei ding ahi.
Naye atawageuza wengi wa wana wa Israeli warudi kwa Bwana Mungu wao.
17 Ama chun Elijah lhagao le thahat aken ding ahi. Aman mipiho chu Pakai hung na dinga agontup ding ahi. Mipa te lung achate chunga aheiya chule doudal lungput neiho michonphaho chihna akisan sah ding ahi,” ati.
Naye atatangulia mbele za Bwana katika roho na nguvu ya Eliya, ili kuigeuza mioyo ya baba kuwaelekea watoto wao, na wasiotii warejee katika hekima ya wenye haki, ili kuliweka tayari taifa lililoandaliwa kwa ajili ya Bwana.”
18 Zechariah chun vantil jah'a aseiyin, “Hitobang hi aso ding ken iti kahet thei ding ham? Tun keima kateh tan, chule ka inneipi jong kum tamtah alhing tai,” tin adong tai.
Zekaria akamuuliza malaika, “Jambo hilo linawezekanaje? Mimi ni mzee na mke wangu pia ana umri mkubwa.”
19 Chuin vantil chun aseiyin, “Keima Gabriel kahi! Pathen angsung tah a ding kahi. Ama ahi keima nahenga hiche kipana thupha podinga eihin sol ah;
Malaika akamjibu, akamwambia, “Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu, nami nimetumwa kwako ili nikuambie habari hizi njema.
20 Ahinlah tun, nangman kasei natahsan pon, chujeh'a nangma nathipbeh ding chule nao apen tokah'a paothei louva naum ding ahitai. Ajeh chu kathusei chengse hi aphat cha guilhung tei ding ahi,” ati.
Basi sasa kwa kuwa hujaamini maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati wake, utakuwa bubu hadi siku ile mambo haya yatakapotukia.”
21 Achutilai chun mipi hon Zechariah chu ahung potdoh ding angah jingun, ipi bol'a hibanga hi sot den hitam tin alungdong gam tauvin ahi.
Wakati huo watu walikuwa wanamngojea Zekaria nje huku wakishangaa kukawia kwake mle Hekaluni.
22 Achainakeiya ahung potdoh phat chun ama apaodoh thei tapon ahi. Chuin amahon amaiso le apaotheilouva kon chun Hou'in muntheng sunga chu mu anei hinte ti ahedoh un ahi.
Alipotoka akawa hawezi kusema nao, wao wakatambua kuwa ameona maono ndani ya Hekalu. Lakini kwa kuwa alikuwa bubu, akawa anawaashiria kwa mikono.
23 Zechariah in Hou'in a athempu natoh hapta alhin phat in inlam'a akile tan ahi.
Muda wake wa kuhudumu Hekaluni ulipomalizika, akarudi nyumbani kwake.
24 Phat chomkhat jouvin ajinu Elizabeth chu ahung gai paiyin chule lhanga jen potdoh louvin aum thipbeh tan ahi.
Baada ya muda usio mrefu, Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano.
25 “Pakai iti phat hitam!” tin aphongdoh in “Aman kacha neilou jeh'a jumna eilah mang peh tai,” ati.
Akasema, “Hili ndilo Bwana alilonitendea aliponiangalia kwa upendeleo na kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.”
26 Elizabeth naovop kal lhagup lhin'in, Pathen in Gabriel vantil chu Galilee gam Nazareth kho ah,
Mwezi wa sita baada ya Elizabeti kupata mimba, Mungu alimtuma malaika Gabrieli aende Galilaya katika mji wa Nazareti,
27 nungah theng Mary hengah asol'in ahi. Amanu chu Joseph kiti Leng David insung khailhah pasal khat toh kicheng dinga got'a um ahitai.
kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu mmoja jina lake Yosefu wa nyumba ya Daudi. Jina la huyu mwanamwali bikira ni Maria.
28 Gabriel chu amanu hengah akilah in aseitai, “Chibai, sahluttah nu! Pakaiyin naumpi,” ati.
Naye malaika akaja kwake akamwambia: “Salamu, wewe uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!”
29 Lungdong le lung kika lahlah pum in Mary'in vantil thusei chu ipi tina ahi agel tai.
Maria akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?”
30 “Kicha hih'in Mary,” tin vantil chun aseitan ahi, “Ajeh chu nangman Pathen lunglhaina nakimutai!”
Ndipo malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata kibali kwa Mungu.
31 “Nangma gaiyin natin chapa khat nahin ding chule amin Yeshua nasah ding ahi.
Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto mwanaume na utamwita jina lake Yesu.
32 Ama hung len ding chule Chungnung pen Chapa kiti ding ahi. Pakai Pathen in apu David laltouna apehding ahi.
Yeye atakuwa mkuu, naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
33 Chule Israel chunga tonsot'a vai apoh ding, alenggam in beitih aneilou ding ahi!” ati. (aiōn g165)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” (aiōn g165)
34 Mary'n vantil chu adongin, “Hinlah, hichu iti hithei ding ham? Keima nungah theng kahi,” ati.
Maria akamuuliza huyo malaika, “Maadamu mimi ni bikira, jambo hili litawezekanaje?”
35 Vantil chun adonbut in, “Lhagao Theng nachunga hung chu ding, chule chungnung pen thanei na in nalekhu ding ahi. Hijeh a chu naosen apeng ding chu atheng hiding chule ama chu Pathen Chapa kiti ding ahi.
Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, nazo nguvu zake Yeye Aliye Juu Sana zitakufunika kama kivuli. Kwa hiyo mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu, naye ataitwa Mwana wa Mungu.
36 Ipi aval um ding ham, nasopinu Elizabeth in jong ateh nungin nao avop tai! Mi hon aching'ah ahi atiuvin, hinlah tun chapa khat avop'in lhagup alhingtai.
Tazama, jamaa yako Elizabeti amechukua mimba katika uzee wake, na huu ni mwezi wake wa sita, yeye aliyeitwa tasa.
37 Ajeh chu Pathen dingin ima ahimo aumpoi” ati.
Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana.”
38 Mary'n adonbut in, “Keima Pakai sohnu kahi, kachunga lhungding nasei jouse hung guilhung hen,” ati. Chuti chun vantil chun amanu chu adalhatai.
Maria akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa Bwana. Na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kisha malaika akaondoka, akamwacha.
39 Ni phabep jouvin Mary jong Judea gam thinglhang lang,
Wakati huo Maria akajiandaa, akaharakisha kwenda katika mji mmoja kwenye vilima vya Uyahudi.
40 Zechariah chen na khoa chun acheloi chal'in ahi. Amanu insung alut in Elizabeth chu chibai aboh'e.
Akaingia nyumbani kwa Zekaria na kumsalimu Elizabeti.
41 Mary'n chibai aboh gin ajah chun Elizabeth naosen chu a-oisung a chun ahung kichom in, chule Elizabeth chu Lhagao Theng adimset tan ahi.
Naye Elizabeti aliposikia salamu ya Maria, mtoto aliyekuwa tumboni mwake akaruka. Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu,
42 Elizabeth in kipanan ka cheng ahinlon Mary jah'a chun aseitai, “Pathen in numei jouse chunga phatthei naboh ahitai, chule na cha jong anunnom'e.
akapaza sauti kwa nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe miongoni mwa wanawake, naye mtoto utakayemzaa amebarikiwa.
43 Ipi jeh'a hibanga jana kachan a ka pakai nu in eihung vil ham?
Lakini ni kwa nini mimi nimepata upendeleo kiasi hiki, hata mama wa Bwana wangu afike kwangu?
44 Nei lemna awcheng kajah chun kasunga naocha kipah in ahung kichom'e.
Mara tu niliposikia sauti ya salamu yako, mtoto aliyeko tumboni mwangu aliruka kwa furaha.
45 Anun nom nahi, ajeh chu Pakaiyin aseichu abol ding ahi ti natahsan e,” ati.
Amebarikiwa yeye aliyeamini kwamba lile Bwana alilomwambia litatimizwa.”
46 Mary'n adonbut in “Kalhagao vin Pakai achoi-an e.
Naye Maria akasema: “Moyo wangu wamwadhimisha Bwana,
47 Kalhagao eihuhhing pu Pathen chunga iti kipah thanom hitam!
nayo roho yangu inamfurahia Mungu Mwokozi wangu,
48 Ajeh chu aman asoh numei nu dinmun ave jingin, chule tua pat'a khang jousen nunnom eiti diu ahitai.
kwa kuwa ameangalia kwa fadhili unyonge wa mtumishi wake. Hakika tangu sasa vizazi vyote vitaniita aliyebarikiwa,
49 Ajeh chu Hatchungnungpa chu atheng ahi, chule aman keima din thil loupi abol'e
kwa maana yeye Mwenye Nguvu amenitendea mambo ya ajabu: jina lake ni takatifu.
50 Aman ahepina akhang akhang'in ama gingte amusah jinge.
Rehema zake huwaendea wale wamchao, kutoka kizazi hadi kizazi.
51 Abanthahat chun kichat um tahtah thil abol'e! Aman mikiletsah le hoitho ho athecheh ji'e.
Kwa kuwa ametenda mambo ya ajabu kwa mkono wake; amewatawanya wale wenye kiburi ndani ya mioyo yao.
52 Leng chapate alaltounau-vakon in aloilhan mi kineosah te adomsang ji'e.
Amewashusha watawala toka kwenye viti vyao vya enzi, lakini amewainua wanyenyekevu.
53 Aman agilkel te thil pha phan avah in chule ahao te khutgoh keovin asoldoh ji'e
Amewashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.
54 Aman asoh Israel akithopin khoto dingin ageldoh'e.
Amemsaidia mtumishi wake Israeli, kwa kukumbuka ahadi yake ya kumrehemu
55 Ajeh chu aman hiche kitepna hi iputeu, Abraham, chule achate dinga asem ahi.” (aiōn g165)
Abrahamu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.” (aiōn g165)
56 Mary chu Elizabeth koma lhathum tobang aum jouvin a'inlam ah akile tai.
Maria akakaa na Elizabeti karibu miezi mitatu, kisha akarudi nyumbani kwake.
57 Elizabeth chu anaoso phat alhin phat in amanun chapa khat ahingin ahi.
Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua, alizaa mtoto mwanaume.
58 Chuleh aheng akom le asopi chengin Pakaiyin akhoto naho ajahdoh phat un, mijouse amanu toh akipah khom cheh tauve.
Majirani zake na jamii zake wakasikia jinsi Bwana alivyomfanyia rehema kuu, nao wakafurahi pamoja naye.
59 Naosen chu niget alhin in, amaho abon'un cheptansah dingin ahung'un ahi. Amahon apa banga amin Zechariah sahding agouvin,
Siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto, wakataka yule mtoto aitwe Zekaria, ambalo ndilo jina la baba yake.
60 ahivangin Elizabeth in, “Ahipoi, amin John ahi,” atitai.
Lakini mama yake akakataa na kusema, “Hapana! Jina lake ataitwa Yohana.”
61 “Ipi natim?” tin amaho ahung eojah jengun “Na insung uvah hitobang min chu aum khapoi,” atiuve.
Wakamwambia, “Hakuna mtu yeyote katika jamaa yako mwenye jina kama hilo.”
62 Hijeh chun naosen min chu apan ipi akisah nom am ti mit-heiyin adongun ahi.
Basi wakamfanyia Zekaria baba yake ishara ili kujua kwamba yeye angependa kumpa mtoto jina gani.
63 Aman lekhasutna pheng athum'in, mijouse lungdong in alhan “Amin John ahi” tin ahinjih e.
Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yohana.”
64 Chutah chun Zechariah jong ahung paothei tan chule Pathen avahchoi pan tai.
Papo hapo kinywa chake kikafunguliwa na ulimi wake ukaachiwa, akawa anaongea akimsifu Mungu.
65 Akimvel'a cheng chengse din kichatna alhung tan chule Judea thinglhang gam sungse ah thilsoh umchan chu akithejal soh tai.
Majirani wote wakajawa na hofu ya Mungu, na katika nchi yote ya vilima vya Uyahudi watu walikuwa wakinena juu ya mambo haya yote.
66 Chuche thilsoh jajouse chun athilsoh hochu alungin aching geh'un, “Hiche chapang hi ipibep ahungsoh tadem?” atiuvin ahi.
Kila aliyesikia habari hizi alishangaa akauliza, “Je, mtoto huyu atakuwa mtu wa namna gani?” Maana mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
67 Chuin apa Zechariah chu Lhagao Theng adimset tan chule hiche gaothu hi aphongdoh in ahi:
Zekaria, baba yake, akajazwa na Roho Mtakatifu, naye akatoa unabii, akisema:
68 Vahchoiyun Pakai, Israel Pathen chu; ajehchu aman amite avil'in alhatdoh tai
“Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajilia watu wake na kuwakomboa.
69 Aman huhhing hattah khat asoh David khailhah a kon in eipeuve.
Naye ametusimamishia pembe ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake,
70 Athemgao thengte henga malaiya akitepna banga (aiōn g165)
kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani, (aiōn g165)
71 Tua eiho igalmiteu vakon le eihotbolteu va kona huhdoh a umding ihitauve.
kwamba atatuokoa kutoka kwa adui zetu, na kutoka mikononi mwao wote watuchukiao:
72 Aman ipu ipateu khotonan akitepna thengho ageldoh jingin–
ili kuonyesha rehema kwa baba zetu na kukumbuka Agano lake takatifu,
73 Akitepna ipuluiyu Abraham koma anakitepna bangtah in
kiapo alichomwapia baba yetu Abrahamu:
74 i-galmiteuva kon in eihuhdoh uve, Pathen kichatna beihel'a ijen thei nadiuvin
kutuokoa kutoka mikononi mwa adui zetu, tupate kumtumikia yeye pasipo hofu
75 Then na le chondihna a ihin laiseuva dingin
katika utakatifu na haki mbele zake, siku zetu zote.
76 “Chule kachapa, nangma chungnung pen themgao kiti ding nahi; ajeh chu nangman Pakai lampi semtoh sa nakoi ding ahi.
“Nawe mtoto wangu, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana; kwa kuwa utamtangulia Bwana na kuandaa njia kwa ajili yake,
77 Nangman amite, achonset nau ngaidam na'a kona huhhingna akimudoh nadiu naseipeh ding ahi.
kuwajulisha watu wake juu ya wokovu utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,
78 Pathen mikhotona nemheo vanga jingkhovah chu van'a kona eiho chunga hung kisukeh go ahitai.
kwa ajili ya wingi wa rehema za Mungu wetu, nuru itokayo juu itatuzukia
79 Muthim'a touho le thina lim'a touho vah pedinga, chule chamna lampi komu peh dinga ahi,” ati.
ili kuwaangazia wale waishio gizani na katika uvuli wa mauti, kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.”
80 John chu ahung khanglen in chule lhagaovin ahung hatdoh in ahi. Chule Israel koma lhangphonga natoh apat kahsen ama gamthip lah dungah aumin ahi.
Yule mtoto akakua na kuongezeka nguvu katika roho; akaishi nyikani hadi siku ile alipojionyesha hadharani kwa Waisraeli.

< Luke 1 >