< Thempu Dan 1 >
1 Pakaiyin Mose chu houbuh akon in akouvin, ajah’a hiti hin asei peh tai.
Mungu alimwita Musa na alisema naye kutoka kweye hema la kukutania, akasema,
2 Hiche thupeh chengse hi Israelte hengah seipeh in, “Nang hon Pathen henga pumgo thilto nabol teng uleh, gamkol sung akon bong hon hihen kelcha hijong leh nato jing thei diu ahi.”
“Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mwanaume yeyote miongoni mwenu akileta sadaka kwa Bwana, aleta kama matoleo katika wanyama wako, iwapo mifugo au katika kundi.”
3 Nangman gancha nato ding chu pumgo thilto ding gancha akul sunga pat hiding, nolna bei thilto hi ding hichu Pathen in asan thei na dinga houbuh kotphunga todoh ding ahi.
Kama matoleo yake ni ya sadaka ya kutekezwa kutoka katika kundi, atatoa dume asiyekuwa na kasoro. Atamtoa katika mlango wa kuingilia katika hema ya kukutania, ili iwe imekubaliwa mbele za Bwana.
4 Hiche gancha pumgo thilto chu aluchunga nakhut ngamlhan, chuteng kithoidam nadia hiche thilto chu Pakai adia santhei dol hiding ahi.
Ataweka mikono yake kichwani pa sadaka ya kuteketezwa, na ndipo itakuwa imekubaliwa badala yake kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe.
5 “Chuteng leh Pakai Pathen ma sanga bongchal nou natha ding chule Aaron chapate leh thempu hon gancha thisan chu houbuh maiya maicham akimvel jousea athe khum diu ahi.”
Ndipo atapaswa kuchinja ng'ombe mbele ya Bwana. Watoto wa Aroni, makuhani wataleta damu na kuinyunyizia katika madhabahu iliyo katika mlango wa kuingilia katika hema la kukutania.
6 Chutengleh gancha chu avun nalip ding abong bonga nasat chen ding ahi.
Ndipo ataichuna sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande.
7 Hitia chu Aaron chapate thempu hon maicham chunga mei atikong diu, meikong chunga chu thing alom loma akoi diu ahi.
Kisha wana wa Haruni kuhani wataweka moto katika madhabahu na kuweka kuni ili kuchochea moto.
8 Amahon maicham kitonaa sa kisem ho chu, aluchang leh athao hochu maicham chung meikou lah achu aban bana akoi diu ahi.
Wana wa Haruni, makuhani wataweka vipande, kichwa na mafuta, watazipanga juu ya kuni zilizoko juu ya moto ulio madhabahuni.
9 Ama vang sasung jouse leh akeng ho jouse amasa pena twiya sop lhah ngimsel ding, hiche teng chule thempu pan pumgo thilto maicham chung meiya ahal vam ding, hichu Pakai, Pathen adia namtui tah thilto hi ding ahi.
Lakini matumbo yake na miguu lazima ataiosha kwa maji. Kisha kuhani atateketeza kila kitu kilicho juu ya madhabahu kama sadaka ya kuteketeza. Italeta harufu nzuri sana kwangu; itakuwa sadaka iliyotolewa kwa moto kwa ajili yangu.
10 Nangman pumgo thilto dinga gancha hon lah akon napeh teng, kelngoi ahilouleh kelcha hithei ahi; amavang hichu achal hitei ding chule nolna beihel hiding ahi.
Kama sadaka kwa ajili ya sadaka ya kuteketeza kutoka kundi, kondoo au mbuzi, lazima atoe dume asiye na kasoro.
11 Chuteng gancha chu maicham chunglama natha ding, Pakai angsunga Aaron thempu leh achapate hon, gancha thisan chu maicham phung anigli chunga achap kimvel soh diu ahi.
Lazima atamchinja juu ya madhabahu iliyo katika upande wa kaskazini mbele ya Bwana. Wana wa Haruni makuhani, watanyunyiza damu kila upande wa madhabahu.
12 Hiche teng chule thempu pan gancha maicham chu atum tum, alhang lhang nga asat khen ding, aluchang, alap leh athao jouse pumgo thilto maicham mei kong nga ahalvam ding ahi.
Kisha ataikata katika vipande, pamoja na kichwa na mafuta yake, kuhani atavipanga juu ya kuni zilizo katika moto ulio madhabahuni,
13 Ahinla sasung jouse chule akeng jouse chu amasa tah’a twiya asop theng ding ahi. Hiche teng chule thempu pan pumgo maicham pumpia maicham phung meiya ahal vam soh ding, hichu thilman lutah kipe, Pakaija dia gimnamtui kihal vam ahi.
lakini matumbo yake na miguu yake lazima ioshwe kwa maji. Kisha kuhani atatoa yote na kuiteketeza juu ya madhabahu. Ni sadaka ya kuteketezwa, italeta harufu nzuri kwa ajili ya Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
14 Nangman Pakaija pumgo maicham’a vacha napeh le, nalhen kah ding vakhu ahilou le vapal napeh ding ahi.
Kama sadaka yake kwa Bwana itakuwa ni sadaka ya kuteketezwa ni ndege, ndipo ataleta kama sadaka yake aidha ni huwa au kinda la njiwa.
15 Hiche teng chule thempu pan vapal leh vakhu ham chu maicham phunga akoi ding, chuteng aluchang chu maicham phung chunga atan lhah ding, thempupan amasa pena hiche thisan jouse chu maicham aning gol jousea achap khum ding ahi.
Kuhani ataileta madhabahuni, atamnyonga kichwa chake, na kuiteketeza juu ya madhabahu. Kisha damu yake itachuruzishwa juu ya pande za madhabahu.
16 Chule thempu pan achang-oi le amul jouse apaimang ding, niso lam maicham phung meivam lah’a ase lhah ding ahi.
Kisha atakiondoa kibofu chake pamoja na uchafu wake, na kukiweka upande wa mashariki mwa madhabahu, katika sehemu ya majivu.
17 Chuteng thempu pan vapal lha ving tenia amat a abojal ding; asat tel lou hel ding chule maicham chunga meiya ahal vam ding, hichu pumgo maicham, gimnamtui Pakai adia kikat doh ahi.
Kisha atapasua mabawa yake, lakini hatagawanya katika vipande viwili. Kisha Kuhani atamtekeza katika madhabahu, juu ya kuni amabazo ziko juu ya moto. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa, na italeta harufu nzuri sana kwa Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.