< Thempu Dan 27 >

1 Pakaiyin Mose henga hiti hin asei peh in,
Yahweh akazungumza na Musa na akasema,
2 Israel chate henga chondan chengse hi asei peh in, kinop toh jeh a mihem khat chu Pakaiya dia kipeh dohna anei ding ahi, sum aki seijat hi apeh a kilhat doh thei ding ahi.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Iwapo mtu yeyote anatoa kiapo maalum cha kuwa mnathiri kwa Yahweh, tumieni tathmini zifuatazo:
3 Kitepna dungjui cheh le aki chepi bang banga pasal kum somni apat kumsom gup chan chu dangka somnga jaonan shekel jaonan sanaa kisem shekel somnga hichu muntheng laiya ding ahi.
Viwango vyenu vya thamani kwa mwanaume aliye na umri kati ya miaka ishirini na miaka sitini yaweza kuwa shekeli hamsini za fedha, kulingana na vipimo vya shekeli ya mahali pa patakatifu.
4 Chule numei ahileh amanu chun dangka somngaa kitepna anei ding ahi.
Kwa mwanamke wa umri uleule viwango vyenu vya thamani yapasa viwe shekeli thelathini vya fedha.
5 Hitia chu Pasal kum nga apat somni chan, dangka somni hiding, numei vang chu dangka somkhat hiding ahi.
Tangu wenye umri wa miaka mitano mpaka wa miaka ishirini viwango vyenu vya thamani kwa mwananume vitakuwa shekeli ishirini za fedha, na kwa mwanamke ni shekeli kumi za fedha,
6 Chule naosen kum nga apat noilam dangka cheng nga hi ding, numei ahileh dangka cheng thum hi ding ahi.
Kwa wenye umri wa tangu mwezi mmoja mpaka miaka mitano viwango vyenu vya thamani kwa mawanaume vitakuwa shekeli tano za fedha na kwa mwanamke shekeli tatu za fedha.
7 Amavang pasal kum somgup chunglam dangka somle nga hi ding, numei kum somgup chung lamse ahileh dangka somkhat a lhatdoh thei ahi.
Tangu wenye umri wa miaka sitini na zaidi kwa mwanaume viwango vyenu vya thamani vitakuwa shekeli kumi na tano, na kwa mwanamke ni shekeli kumi.
8 Ahinlah hitobanga kitepna nei dingpa chun, hiche chepi ding chu angaplal banga ahileh, ana kikat dohsa mihempa chu thempu lama apui ding, chuteng thempu pan aman ato khambep ateppeh ding, hiche mipan ajokham ding chu atep peh ding ahi.
Lakini kama mtu atoaye kiapo cha mnadhiri hawezi kulipa kiwango hicho cha thamani, kisha huyo mtu anayetolewa lazima atapelekwa kwa kuhani, naye kuhani atamthamanisha huyo atolewaye kwa kiasi anachoweza kutoa yule anayetoa kiapo cha mnadhiri.
9 Amavang hiche kitepna hi gancha peh ding toh kisaiya kitepna nei ding ahileh, Pakai lama santhei ding, hitia chu Pakaiya dia kipe dohsa chu atheng ahi.
Iwapo mtu anataka kutoa sadaka ya mnyama kwa Yahweh, na iwapo Yahweh ataikubali, kisha huyo mnyama atatengwa kwake.
10 Kitepna neipa chun gancha chu aphajo ding gelna jal'a adang khat a akhel thei lou ding, apeh khel dia aum jong leh, akatdoh masat le akhel dia akatdoh chu ania atheng ahi.
Mtu huyo hataruhusiwa kumtoa madhabahuni au kumbadilisha huyo mnyama, mzuri kwa mbaya au mbaya kwa mzuri. endapo atatoa mnyama badala ya mwingine, kisha wanyama hao wawili; yule anayetolewa na yule anayebadilishwa wanakuwa watakatifu.
11 Pakai lama katdoh theilou hichu gancha theng lou kitepna ahi vangleh, kitepna nei dingpa chun agancha chu thempupa heng lama akai ding ahi.
Hata hivyo, iwapo kile mtu amishaapa kumtolea Yahweh kwa uhalisia siyo kisafi, kwa hiyo, Yahweh hatakikubali, naye huyo mtu atalazimika kumleta huyo mnyama kwa kuhani.
12 Thempu pan aman lutdan le aman lut lou dan atetoh ding, thempu pan aphatsah dungjuiya hichu achaina hi ding ahi.
Kuhani atamthamanisha, kwa thamani ya soko la mnyama. Thamani yoyote kuhani atakayoiweka juu ya mnyama, hiyo ndiyo itakuwa thamani yake.
13 Ahinlah akatdoh pa chun akile lhat noma ahileh, aman jat jaonaa jakhat lah a somni toh alepeh tha ding ahi.
Na kama mmiliki anapenda kumkomboa, kisha tano ya thamani yake itaongezwa kwenye gharama yake ya ukombozi.
14 Chule mi koi hileh a in atheng dinga Pakai henga apehdoh noma ahileh, in ahoi dan le ahoi loudan dungjuiya thempu pan jong atetoh chet ding, thempu pan atetoh bang banga chu achaina hi jeng ding ahi.
Mtu aitengapo nyumba yake iwe zawadi takatifu kwa Yahweh, kisha kuhani ataweka thamani yake ama iwe ni nzuri au mbaya. Thamani yoyote itakayowekwa na kuhani juu yake, ndiyo itakuwa thamani yake.
15 In pedoh pa chun akile lhatdoh noma ahileh, aman sum leh jakhat lah a somni chu toh ale peh tha jeng ding ahi. Hichea bouchu akitepna banga lechan thei ding ahi.
Lakini kama mmiliki wake anayeitenga nyumba yake anapenda kuikomboa, atalazimika kuongeza sehemu ya tano ya thamani yake kwenye gharama ya ukombozi wake, nayo nyumba itakuwa yake.
16 Chule koi ham khat chun Pakaiya dia agam beh khat tou apeh doh noma ahileh, hiche gambeh khat chu muchi kitu lutjat ding toh atetoh a, chuteng suhlou chang shekel somni ki tulutna thei gambeh chu sum somkhat man jat atepeh ding ahi.
Iwapo mtu anatenga sehemu ya ardhi yake mwenye, kisha tathmini yake itakuwa katika uwiano kwa kiwango cha kiasi cha mbegu inayotakiwa kuipanda katika ardhi hiyo—homeri moja ya mbegu za shairi ambayo itathamanishwa kwa shekeli hamsini za fedha.
17 Thil kile pehna kum kut kon chaa apeh doh khah ahile vang, aki tepehna banga aman jat jong lhingset a apeh ding ahi.
Na kama analitenga shamba lake katika mwaka wa Yubile, tathmini yake ya awali itabaki kuwa ileile.
18 Ahinlah agambeh chu apat a alhat doh jou louva ahileh, thil kile pehna kum kut ahung lhun kahsea dinga thempu pan aman jat atetoh peh ding, aman hichea chu lhat dohna anei thei ding ahi.
Lakini endapo atalitenga shamba hilo baada ya mwaka wa Yubile, kisha kuhani atalazimika kukokotoa thamani yake kwa idadi ya miaka inayobaki mpaka mwaka wa Yubile, na thamani yake lazima ishushwe.
19 Agam beh pedoh pa chun akile lhat noma ahileh, sum aman jat bang banga jakhat lah a somni toh alepeh tha ding, hichea bouchu lechan thei ding ahi.
Iwapo mtu anayelitenga shamba lake anapenda kuliko, mboa, naye atalazimika kuongeza sehemu ya tano kwenye thamani, nalo shamba litakuwa lake tena.
20 Pakai henga chodoh louva midang kom khat touva agam beh chu ajoh doh khah bang leh, hichu itih chan hijong leh akile lhatdoh thei talou ding ahi.
Iwapo halikomboi shamba, au iwapo amishaliuza shamba kwa mtu mwingine, haliwezi kukombolewa tena.
21 Amavang thil kile peh to kum ahung lhung ding, chuting leh imatih chana Pakai gambeh mong monga um ding, hitia chu thempu pan ama neiya akisim ding ahi.
Badala yake, shamba hilo litakapoachwa huru katika mwaka wa Yubile, litakuwa zawadi takatifu kwa Yahweh, kama lilivyo shamba lililotolewa kabisa kwa Yahweh. Nalo litakuwa mali ya kuhani.
22 Chule koi hileh aki chodohsa gambeh khattou Pakaiya dia apehdoh noma ahileh, hichu ama gambeh hilou ding ahi.
Iwapo mtu anatenga shamba alilolinunua, lakini hilo shamba siyo sehemu ya ardhi ya familia yake,
23 Hitia chu thempu pan thil man lepeh kum ahung lhun ding to kitoh a aman jat atepeh
kuhani atafanya tathmini yake mpaka mwaka wa Yubile, na mtu huyo lazima atalipa thamani yake katika siku hiyo hiyo kuwa zawadi takatifu kwa Yahweh.
24 Thil kilepeh na kum ahung lhun teng leh, hiche gambeh chu aneisa pa ahilouleh aki naipi henga lepeh kit ding ahi.
Katika mwaka wa Yubile, shamba litarejeshwa kwa mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa, kwa mmiliki wa ardhi.
25 Thilman ho aboncha chondan dungjuiya akiman dan bang banga ale teppeh cheh ding, hichu Gerah somni jaona shekel toh kitoh ding ahi.
Tathmani yote lazima ifanywe kwa uzani wa shekeli ya mahali pa patakatifu. Gera ishirini kwa shekeli moja.
26 Gancha masa jouse aboncha Pakaiya ding bou ahin, hicheng chu aboncha koima chan atum beh a apehdoh thei lou ding, bong nou hihen kelngoi nou hihen, kelnou hi jeng jong leh hichu aboncha Pakaiya bou ahi.
Asiwepo mtu atakayetenga mzaliwa wa kwanza miongoni mwa wanyama, kwa kuwa wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama tayari ni mali ya Yahweh; iwe ni maksai au kondoo, ni wa Yahweh.
27 Amavang gancha thenglou masa vang chu akile lhatdoh thei ding, amanjat chule jakhat lah a somni chutoh apehtha ding, ahinlah ale lhat dohtah louva ahile, chonna dan dungjuiya midang khat henga ajoh thei ding ahi.
Na kama ni mnyama aliye najisi, kisha mmiliki wake anaweza kumnunua tena sawasawa na thamani yake, na sehemu ya tano lazima itaongezwa kwenye thamani hiyo. Na kama mnyama hakombolewi, naye atauzwa kwa thamani iliyowekwa.
28 Hitia chun mihem ahin, gancha hihen, gambeh jeng jong, ajeh um louva Pakaiya dia kipeh dohsa chu koiman ale lhat thei lou ding ahi.
Hakutakuwa na kitu amabacho mtu anakitoa kwa Yahweh, kutoka katika vyote alivyonavyo, iwe ni mwanadamu au mnyama, au ardhi ya familia yake, ambacho chaweza kuuzwa au kukombolewa. Kila kitu kitolewacho ni kitakatifu sana kwa Yahweh.
29 Ajeh beihela Pakaiya kitoh doh chu mihem jeng jong kiledoh thei louva, thina chan sah jeng ding ahi.
Hakuna fidia inayoweza kulipwa kwa ajili ya mtu aliyetolewa ili kuangamizwa. Mtu huyo sharti auawe
30 Lhosohga chang ahin, thingga hihen, ipi chu hi jongleh gamga jouse chu hopsom lah a hop khat vang Pakaiya ding ahi.
Zaka yote iliyo ya ardhini, iwe nafaka ichipukayo juu ya ardhi au tunda kutoka kwenye miti, ni mali ya Yahweh. Ni takatifu kwa Yahweh.
31 Koi hileh thil somakhat kipeh dohsa le choh nom aum leh, chonna ngai banga aman jat jaonan jakhat lah a somni alepeh cheh cheh ding ahi.
Iwapo mtu anakomboa chochote cha zaka yake, atalazimika kuongeza sehemu ya tano kwenye thamani yake.
32 Hitobang chun gancha jouse som lah a khat chu Pakaiya ding ahin, hitia chu gancha kiti phot, som lhinna jouse aboncha khat chu Pakaiya ding ahi.
Na kwa kila mnyama wa kumi wa kundi la ng'ombe au la kondoo, yeyote anayepita chini ya fimbo ya mchungaji, atatengwa kwa ajili ya Yahweh.
33 Gancha neipan jong agancha hochu ahoi leh apha alhen chil lou ding, alhen kah le lou ding ahi. Gancha khat khela chu achom khat apeh khah bang leh ani tah a Pakai chang jeng ding. ale lhat thei lou ding ahitai.
Mchungaji hatatafuta wanyma waliobora au wabaya kabisa, na haruhusiwi kubadili mnyama mmoja kwa mnyama mwingine. Iwapo anambadilisha kwa namna yoyote ile, kisha wote wawili yule wa kwanza na huyo aliyebadiliwa watakuwa watakatifu. Mnyama huyo atolewaye hawezi kukombolewa.'”
34 Hiche thupeh chengse hi Israelte henga Pakayin Sinai molchunga Mose athupeh ahi.
Hizi ndizo amri ambazo Yahweh alimpa Musa kwenye mlima Sinai kwa ajili ya watu wa Israeli.

< Thempu Dan 27 >