< Thempu Dan 23 >

1 Pakaiyin Mose henga thu aseiyin, hiti hin bolin, ati.
Yahweh akamwambia Musa:
2 Israel chate jouse jah a seipeh tan, Pakai dia phat tepsa kut na bonchauva atheng ahitia na phondoh cheh diu, keima dia hiche phat tepsa kut ho chu ahileh,
“Zungumza na watu wa Israeli, na uwaambie, 'Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo ni lazima mzitangaze kuwa makusanyiko matakatifu, ni sikukuu zangu za mara kwa mara.
3 Nigup sunga mihon na akitoh cheh ding, nisagi lhinni vang chu imacha bol louva ki choldo nikhoa nanei cheh diu, hichu thengsel'a kikhop nikhoa ding ahi, hiche nikho kitia hi natoh nabol thei louhel diu ahi. Hoilai chana cheng jong leu chun, hiche nikho hi kicholdo nikhoa nanit jing diuva thupeh ahi.
Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa. Usifanye kazi kwa sababu ni Sabato kwa ajili ya Yahweh mahali pote mnaposhi.
4 Hicheng hi Pakaiya dia phat ana kitepsa kikhop khomna theng chu ahin, hitobang nikho jousea hi aphat kitepsa dung juicheh a, nanghon mi nakou khom diu ahi.
Hizi ndizo sikukuu za Yahweh zilizoamriwa, Makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilioamriwa:
5 Lhamasa nisom le nili lhin nikho, hiche nilhah lam vang chu Pakai dia kalchuh kut hiding ahi.
Katika mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi kwenye mwanga hafifu wa machweo ya jua, ni Pasaka ya Yahweh.
6 Chule hiche lhasung nisom le ninga lhinni chu, Pakai dia cholsolou changlhah kut nikho ding ahin, ni sagi sung vang chun chol solou changlhah tang loua naneh diu ahi.
Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu ya mikate isiotiwa hamira kwa ajili ya Yahweh. Kwa muda wa siku saba mtakula mikate isiotiwa hamira.
7 Nikho masapen nileh na bonchauva khompi theng naman diu, lel nathei na natoh lou diu ahi.
Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja, hamtafanya kazi ya kawaida.
8 Ni sagi sungsea chu Pakai dia govam thil tang louva na katdoh diu, ni sagi lhin nikho vangleh khompi theng nikho ahitan, hiche nikho tengchu leh na bonchauva na kichol diu lelna thei na natoh lou diu ahi.
Kwa siku saba mtamletea Yahweh matoleo ya chakula. Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh, nanyi katika siku hiyo hamtafanya kazi yoyote ya kawaida.”
9 Pakaiyin Mose henga thu asei peh in, hiti hin bol in, ati.
Yahweh akamwambia Musa, akisema,
10 Israel chate henga ajah uva hiti hin seiyin, keiman kapeh nau gamsung nahin phah uva gamga soh nahin lo teng uleh, nachangphal gao masapen chu thempupa lama nachoi diu ahi.
“Sema na watu wa Israeli uwaambie, 'mtakapika kwenye nchi nitakayowapa nyinyi, na mtakapovuna mazao yake, nanyi yawapasa kumletea kuhani fungu la masuke ya nafaka ya matunda yake ya kwanza.
11 Hichea kona chu thempu pan nangho santhei dol nahi thei nadiuva nathenso diu, ajing nikho cholngah ni teng leh thempu pan thensona anei ding ahi.
Naye ataliinua hilo fungu la masuke ya nafaka mbele za Yahweh na kulileta kwake, kwa kuwa litakubalika kwa niaba yenu. Nalo litaletwa siku baada ya Sabato ili kwamba kuhani ataliinua na kulileta kwangu.
12 Hiche thensona kibol nikhoa changpal nakatdoh teng uleh, kelngoinou achal khat jong Pakaiya dia nolnabei hel chu nakat doh tha diu ahi.
Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwana—kondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
13 Hiche nikhoa lhosohga katdoh ding chu, suhlou changbong neldisel Ephah khat dim, hopsoma hopni kiso ding; hichu thaotwi toh kihal, Pakaiya dia gimnamtui sela govam ding, don ding lengpithei jong chu khon dimkhat hoplia kona hopkhat chu hichea ding chu ahi.
Matoleo ya nafaka yatakuwa sehemu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, uwe matoleo yaliyofanywa kwa moto kwa Yahweh, ili kutoa harufu nzuri ya kupendeza, pamoja na hiyo kutakuwa na matoleo ya kinywaji ya divai, moja ya nne ya hini.
14 Chule hiche nikho masang chun, na Pathen pa diuva thilto ding nahin pohlut kahseo vin, changlhah jong nehdao vinlang, chang kikang poh ahin changlhah kigou tho jong nehdauvin, hoilai chana cheng jong leuchun hicheng hi nakhang nakhang uva chonna dan in jui jing un.
Hamtakula mkate, wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya hata siku ile mliyoleta matoleo haya kwa Mungu wenu. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu, popote pale mnapoishi.
15 Cholngah nikho aki chai apat, changpal nahin choi uva, thensona thilto nabol nikho uva pat nikho nasim cheh cheh diu, hapta sagi chan nasim diu ahi.
Tangu siku iliyofuata baada ya Sabato—hiyo ilikuwa siku mlipolileta lie fungu la nafaka la matoleo ya kutikiswa—hesabuni majuma saba kamili.
16 Cholngah nikho vel sagi chan geiya nasim uva chule ajing nikho nisomnga lhin changeiya nasim tha diu, chujou tengleh Pakai heng lama lhosohga thilto nakatdoh diu ahi.
Mtahesabu siku hamsini, ambazo zingekuwa siku baada ya Sabato ya saba. Kisha mtaleta matoleo ya nafaka mpya kwa Yahweh.
17 Na inson cheh uva pat Ephah dim khat cheh hopsom lah a, hopnia kikhen thenso thilto dinga changlhah lhonsao ni jaona nahin choi diu ahi, hiche teni chu cholsosa ahin, Pakaiya dia lhohsoga masapen thiltoa pang ding ahi.
Mtaleta kutoka nyumbani mwenu mikate miwili iliyotengenezwa kutokana na mbili za kumi za efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira; zitakuwa matoleo ya kutikiswa ya malimbuko ya kwanza kwa Yahweh.
18 Chule hiche changlhah jaona chu kumkhat lhing tasa nolna beihel kelngoi sagi, bongchal golpai khat, kelngoi chal ni jaona nakat doh uva, hiche gancha ho chu Pakaiya dia pumgo thiltoa kimang ding gimnamtui sela meiya govam ding ahi.
Mtaileta hiyo mikate pamoja na wana—kondoo saba wa mwaka mmoja na wasiokuwa na dosari, fahali mmoja mchanga na dume wa kondoo wawili. Watakuwa matoleo ya kuteketezwa kwa moto kwa Yahweh, pamoja na matoleo yao ya nafaka na matoleo ya kinywaji, matoleo yaliyofanywa kwa moto na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
19 Chonset thilto ding in kelchal khat mang unlang, chamna thilto le gantha ki lhaina dinga kum khat a tah kelchal ni nahin kat diu ahi.
Ni lazima mtowe mbuzi dume mmoja kwa ajili ya matoleo ya dhambi, na wana—kondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu, wawe matoleo ya ushirika.
20 Chule hicheng ho chu thempu pan Pakai angsunga thensona anei ding, lhosohga masa thilto changlhah jaonaa, kelngoi chalteni jong chu athenso tha ding ahi, hiche hose hi thempu dia Pakai angsunga thil thengsel'a um ahi.
Ni lazima kuhani azitikise pamoja na mkate wa malimbuko ya kwanza mbele za Yahweh na kuzileta kwake kuwa matoleo pamoja na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka takatifu kwa Yahweh kwa ajili ya kuhani.
21 Hiche nikhoa hi khompi khat nanei diu, hichu khompi thengsel'a naman uva, lel nathei natoh nabol lou diu, na khang lhum keiyuva hoichana chejong leuchun, hiche hi chonna dan dungjuiya najui jing diu ahi.
Mtatoa tangazo siku iyo hiyo. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
22 Na bonchauva na gamsung uva kona chang na-at teng uleh, na lou jao uchu apam chin jousea na-at chai lou diu, nachang at na nung uva chang khai ho jong nachom thengsel lou diu ahi; vaichate leh kholjin hodia na koipeh diu ahi, ajeh chu keima nangho Pakai, Pathen kaum jing e, ati.
Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu, wala msivune mazazo ya mavuno yenu. Inawapasa kuyaacha kwa ajili ya masikini na mgeni. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.”
23 Pakaiyin Mose henga thu asei peh in hiti hin bol in, ati.
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
24 Israel chate jouse jah a hiti hin sei peh tan, lha sagi lhin teng, hiche lhasung nimasa nileh na bonchauva naki chol uva khompi theng nanei diu, sumkon mutgin tothoa naphon jal jidiu ahi.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza itakuwa siku ya pumzika makini kwa ajili yenu, kumbukumbu pamoja na kupigwa kwa tarumbeta na kusanyiko takatifu,
25 Thabeina thei natong hih un, Pakai henga pumgo thilto nahaimil lou diu ahi.
Hamtafanya kazi ya kawaida, na ni lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh.”
26 Pakaiyin Mose henga thu aseipeh in, hiti hin bolin, ati.
Kisha Yahweh akamwambia Musa, akisema,
27 Lha sagi lhin nikho nisom alhin nikho hi ki thoidamna ahin, hiche nikhoa hi thonlouva khompi theng khat nabol diu, an ngol tothoa Pakai dia pumgo thilto nato doh diu ahi.
“Sasa, siku ya kumi ya mwezi huu wa saba, ni Siku ya Upatanisho. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na ni lazima mjinyenyekeze na kuleta kwa Yahweh matoleo kwa moto.
28 Hiche nikhoa hi koima chan thabeina thei natoh nabol lou diu, ajeh chu kithoidamna nikho loupi khat ahin, na Pakaiyu leh na Pathenu henga thoidamna nanei diu ahi.
Hamtafanya kazi katika siku hiyo kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu mbele za Yahweh Mungu wenu.
29 Koi hijong leh hiche nikhoa an ngol lou aum leh, amite lah akona pampeiya um ding ahi.
Yeyote asiyejinyenyekeza siku hiyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.
30 Hitia chu koi hijong leu chun, hiche nikhoa hi thabeina thei natong aum khah leh, ama chu amite lah a kona kasuh mang ding ahi.
Yeye afanyaye kazi yoyote katika siku hiyo, Mimi, Yahweh, nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
31 Na bonchauva natoh thilbol akon na nakikangse cheh diu, hoilai muna hijong leh na chenna jouseuva chonna dan ahitia, najui cheh diu ahi.
Msifanye kazi ya aina yoyote katika siku hiyo. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
32 Hiche nikho hi na boncha diuva kicholdo nikhoa naman jing diu, hitia chu an ngol tothoa, hiche lhasung nikho ahung lhin niapat, ajing nilhah lam chana choldonaa naman cheh diu ahi, ati.
Siku hii itakuwa Sabato ya pumziko lenye utlivu, na ni lzima siku ya tisa ya mwezi mjinyenyekeze katika majira ya jioni. Tangu jioni hata jioni mtaishika Sabato yenu.”
33 Pakiyin Mose henga thu aseipeh in, hiti hin bol in, ati.
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
34 Israel chate jouse henga seipeh tan, lhasagi lhinna chule nisom le ninga lhin nikhoa pat, ni sagi sungse hi Pakaiya dia ponbuh kut a kimang ding ahi.
“Zungumza na watu ISraeli, uwaambie 'Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba kutakuwa na Sikukuu ya vibanda kwa Yahweh. nayo itadumu siku saba.
35 Kut akipat nikho chu khompi theng nikho ahin, hijeh chun thabei nathei natoh ima bolhih un, ati.
Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi ya kawaida.
36 Tanglou hela ni sagi sunga Pakaiya dia thilto nabol jom jing diu, niget alhin nikho tengleh khompi theng khat nabol diu, Pakai ansunga pumgo thilto nakat doh diuchu ahin, hichu khompi theng laitah ahijeh'in thabei nathei natoh akon nakikangse cheh diu ahi.
Kwa muda wa siku saba mtatoa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Siku ya nane kutakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mtato dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Hili ni kusanyiko lenye utulivu, nanyi msifanye kazi yoyote ya kawaida.
37 Achunga kimin phah chengse hi, Pakaiya dia phat tepsa kut hochu ahin, hiche nading chun Israel chate koukhom soh keiyun lang, khompi theng tothoa, thilto ding ho ahin, pumgo thiltonaa naman diu, anikho mama a abol ding dan jouse govam ding hihen, donthei lengpitwi hi jongleh, nabol diu ahi.
Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo mnapaswa kuzitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu ya kutoa dhabihu kwa moto kwa Yahweh, matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka, dhabihu na matoleo ya vinywaji, kila moja kwa siku yake.
38 Hiche ho jouse hi na bonchauva Pakaiya dia na thiltou hichu deilhen choma na thilto uva ahitan, chule athenso ho jouse jaonan, nathil pehdoh jouseu leh Pakaiya dia cholngah nikho le adang dang nanit kimsel hou kisim tha lou ahi.
Sikukuu hizi zitakuwa nyongeza kwa Sabato za Yahweh na zawadi zenu, viapo vyenu vyote, na sadaka zenu zote za hiari mzitoazo kwa Yahweh.
39 Lhasagi chan nisom leh ninga lhin nikho leh, na bonchauva gamsung lho sohga nachop kimsoh niuva pat nasim uva Pakaiya dia ni sagi sungsea kut tang louva nabol jom jing diu, hiti chun kut akipat nichu choldo nikho theng hiding, niget lhin nichan chu choldo nikhoa naman diu ahi.
Kuhusu Sikukuu ya vibanda, siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya ndani matunda ya nchi, ni lazima muitunze sikukuu hii ya Yehweh kwa muda wa siku saba. Siku ya kwanza itakuwa ya pumziko lenye utulivu, na siku ya nane pia itakuwa ya pumziko lenye utulivu.
40 Kut kipat nikho teng thingga ahoilai nalo lhah diu, lusuna tampi jaona, thingboh phatah tah na helhah diu, vadung pang lah a tomdo he tohthoa, hicheng chu na kichoi uva, na Pakaiyu leh na Pathenu angsunga tang louva nakipa jing diu ahi.
Siku ya kwanza mtachuma tunda lililobora kutoka kwenye miti, mtakata makuti ya mtende, na matawi ya miti minene yenye majani mengi, na majani ya mierebi kutoka chemchemi za maji, nanyi mtashangilia mbele za Yahweh Mungu wenu kwa siku saba.
41 Kumkhat seh le Pakai heng lama ni sagi tang louva kut khat nabol jing diu, hichu nakhang lhumkei uva chonna dan ngaiya naman chah jing diu, lhasagi lhinna lhasung achu naman diu ahi, ati.
Kwa muda wa siku saba kila mwaka, mtaisherehekea sikukuu hii kwa Yahweh. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali potepote mtakapoishi. Mtaisherehekea sikukuu hii katika mwezi wa saba.
42 Ni sagi sunga na bonchauva lhambuh a nachen diu, Israel sungkon agammi cheng aboncha lhambuh sunga cheng ding ahiuve.
Mtaishi kwenye vibanda vidogovidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogovidogo kwa siku saba,
43 Hichea kon chun nachilhah teuvin keima tah in Egypt gam'a kona, Isarel chate jouse kahin puidoh chun lhambuh sung a bou kachen sah ji'e ti, ahin hetdoh thei diu ahi, ajeh chu keima hi na Pakaiyu leh na Pathenu kahi, ati.
ili kwamba wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza nilivyowafanya wana wa Israeli kuishi kwenye vibanda kama hivi nilipowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.'”
44 Mose’n Pakai dinga phat tepsa kut ho jouse chu, Israel chate jouse lah a aphondoh peh ahi.
Katika njia hii Musa akazitangaza kwa watu wa ISraeli sikukuu zilizoamria kwa ajili ya Yahweh.

< Thempu Dan 23 >