< Thempu Dan 17 >
1 Pakaiyin, Mose henga hiti hin aseipeh in,
Yahweh akamwambia Musa,
2 Aaron le achapte chule Israel chate jouse henga aseipeh ding in, bannei chan dan hochu athupeh in ahi.
“Zungumza na Aroni na wanawe, na watu wote wa Israeli. Waambie mambo ambayo ameamru Yahweh:
3 Israel telah a koi hijong leh, Pakai, Pathen chenna ponbuh kot phung tailouva; Pakai adia kilhaina bong, kelngoi chule kelcha that pen pen in danthu apalkeh ahi.
Mtu yeyote wa Isreli anayeua fahali au mwana—kondoo au mbuzi kambini, au amuuaye nje ya kambi, ili kumtoa dhabihu—
4 Ama chun thisan asotah jeh a, Pathen miteh lah a kona kisimtha lou ding ahi.
kama hamleti katika ingilio la hema la kukutania ili kumtoa dhabihu kwa Yahweh mbele za hema lake la kukutania, mtu huyo ana hatia ya damu iliyomwagika. Amemwaga damu, na mtu huyo ni sharti akatiliwe mabali kutoka miongoni mwa watu wake.
5 Hiche thupeh in adeisah pen chu, gammang tollah a kithat gancha jouse chu, Pakai angsunga ahin kailut diuva thupeh ahi. Kotbul lama thempupa henga ahinkai lut diu, kiloikhomna thilto dia kithat ding ahi.
Kusudi la amri hii ni kwamba watu wa Israeli wataleta dhabihu zao kwa Yahweh kwenye ingilio la hema la kukutania, watazileta kwa kuhani ziweze kutolewa kuwa matoleo ya shukrani kwa Yahweh, badala ya kutoa dhabihu hadharani katika shamba.
6 Thisan chu thempu pan ki khop khomna ponbuh kot phung maicham kimvel jousea athe thang ding, Pakaiya dia sathao hochu gimnamtuiya agovam ding ahi.
Kuhani atainyunyiza damu juu ya madhabahu ya Yahweh kwenye ingilio la hema la kukutania; atayachoma mafuta yake ili kutoa harufu ya kupendeza mbele za Yahweh.
7 Israel chaten Pathen ajoulhep nauva kelcha limsemthu, doihou dinga gammang lah a gancha atha kitlou diu ahi. Hiche dan thupeh hi Israelten akhang akhanga ajui diu ahi.
Ni lazima watu wasitoe tena dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi, ambazo kwazo hutenda kama makahaba. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yao katika vizazi vya watu wao vyote.
8 Israel mite hihen amaho lah a cheng gamchom mi hijong leh pumgo thilto ahi.
Ni lazima uwaambie, 'Mtu yeyote wa Israeli, au Mgeni yeyote aishiye miongoni mwao, atoweye dhabihu
9 Kikhop khomna ponbuh kotphung tailouva Pathen adia kilhaina sem jouse, Pathen mite holah a kona kisim thalou ding ahi.
na asiilete kwenye ingilio la hema la kukutania ili kuitoa kwa Yahweh, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'
10 Israel hihen gamchom mi hijong leh, thisan lhoh lha theng louva sa toh neh tha aum le, hichu Pakai, Pathen toh kidou ahin, amite lah akona simtha lou ding ahi.
Na Mtu yeyote wa Israeli, au yeyote wa Wageni anayeishi miongoni mwao, ambaye hunywa damu; nitamkatilia mbali atoke miongoni mwa watu wake.
11 Ganhing jouse hinna hi thisan akon ahi, hiche jeh achu Pakaiyin mi jouse chonset suhmang ahitheina dinga, hichu maicham phunga asun lhah dinga thupeh ahi.
Kwa kuwa uhai wa mnyama yeyote umo katika damu yake. Nimeitoa damu yake kwenu kufanya upatanisho juu ya madhabahu kwa ajili ya uhai wenu, kwa sababu ni damu ndiyo ifanyayo upatanisho, kwa kuwa ni damu ipatanishayo kwa ajili ya uhai
12 Hijeh chun Pakaiyin Israel chate le alah uva cheng gamchom miho jaonaa, sa chu thisan jaonaa neh lou dia athupeh ahi.
Kwa hiyo Niliwaambia Watu wa Israeli kwamba hayupo miongoni mwenu impasaye kula damu, wala yeyote wa Wageni aishiye miongoni mwenu atakaye kula damu.
13 Israel mi hihen, gamchom mi alah uva cheng hi jong leh, gamlah a saham vacha ham, houtoh kitoh a atheng, hiche ho that pen pen chu thisanso ahitan, hichu leiset avuh khu ding ahi.
Na yeyote miongoni mwa watu wa Israeli, au yeyote wa Wageni aishiye miongoni mwenu ni lazima aimwage damu ya mnyama na kuifukia hiyo damu kwa mafumbi.
14 Ganhing hinna kiti hi thisan ahin, hibanga chu sa kiti phot Israel chaten thisan jaonaa nehlou dia Pakai thupeh ahi, koi hileh anetha chu amite lah a kona pampeiya um ding ahi.
Kwa kuwa uhai wa kila kiumbe umo katika damu yake. Ni kwa sababu hii niliwaambia watu wa Israeli, ni lazima msile damu ya kiumbe cho chote, kwa kuwa maisha ya kila kiumbe chenye uhai ni damu yake. Yeyeote ailaye ni lazima akatiliwe mbali.
15 Israel mi hihen gamchom mi hijong leh, gan thikam ahilouleh, sa hang ham in atha nekha aum le avon jouse akisop theng ding, ama jong kisil lha ding, nilhum keiya atheng louva um ding ahi.
Mtu yeyote alaye mnyama aliyekufa au ambaye amelaruliwa na wanyama pori, ama yule mtu ni mwenyeji wa kuzaliwa au ni mgeni aishiye miongoni mwenu, ni lazima atazifua nguo zake na kujiosha katika maji, naye atakuwa najisi hata jioni. Kisha atakuwa safi.
16 Hichu abol tah louva ahileh, themmo chang ding ahi.
Lakini kama hazifui nguo zake au kuosha mwili wake, ni lazima aichukue hatia yake”.