< Thutan Vaihom Ho 20 >
1 Hiche jouhin Israel chate jouse Dan napat Beersheba, chuleh Gilead gam changeijin ahung kikhom uvin, mikhat seh seh tobang'in lungkhat tah in ading hom’un ahi. Mipite chu Pakai angsungah Mizpah munnah akikhomsoh keijun ahi.
Ndipo Waisraeli wote kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na wa kutoka nchi ya Gileadi wakatoka kama mtu mmoja wakakusanyika mbele za Bwana huko Mispa.
2 Israel phungho jouse leh mipiho jouse lah a lamkaiho chu Pathen mite kikhopna chun apangun chule chemjam lamthei sepaiho chu sang ail alhingun ahi.
Viongozi wote wa kabila za Israeli wakakaa kwenye nafasi zao katika kusanyiko la watu wa Mungu, askari 400,000 waendao kwa miguu wenye panga.
3 Alangkhat nah Benjamin mite chun Israel phungdang ho jouse chu Mizpah a akikhom taove tichu ajatauvin ahi. Hichun Israel mipichun hitobang thilmelse tah hi iti hung kipan ham tin adong tauvin ahi.
(Wabenyamini wakasikia kuwa Waisraeli wamepanda kwenda Mispa.) Ndipo Waisraeli wakasema, “Tuelezeni jinsi jambo hili ovu lilivyotendeka.”
4 Ajinu athapeh pau Levi pachun ahinseitai, “Kathaikemnu le keima hin jan-geh dinga Benjamin mite khopi Gibeah a kache lhonnin ahi.
Hivyo yule Mlawi, mume wa yule mwanamke aliyeuawa, akasema, “Mimi na suria wangu tulifika Gibea ya Benyamini ili tulale huko.
5 Hiche jan chun Gibeah mite chun kagena inchu aumkim vellun keima thading eigouvin ajonan kathaikemnuhi jankhovah in kichepnan aneiyun amanu athilotai.
Wakati wa usiku watu wa Gibea wakanijia na kuizingira nyumba, wakitaka kuniua. Wakambaka suria wangu mpaka akafa.
6 Hijeh chun keiman kathaikemnu tahsa hi boh somle bohni kaso’a Israel phung somleh phungni hi kahinthot ahi. Ajeh chu hiche mite hin melsetah a hitobang gitlou nahi atohdoh u ahi.
Ndipo nikamchukua suria wangu, nikamkatakata vipande vipande na kuvipeleka katika nchi yote ya urithi wa Israeli, kwa kuwa wametenda uasherati mkubwa na jambo la aibu katika Israeli.
7 Tun nangho nabonchaovin Israel mipite jousen iloding natiuvem geltauvin,” ati.
Sasa, ninyi Waisraeli wote, semeni na mtoe uamuzi wenu.”
8 Hichun mipite chu abonchaovin thakhat tah in adingdohsoh keijun asamtaove, “Eiho koimacha in na ikile theilou diu ahi!
Watu wote wakainuka wakasema, kama mtu mmoja, “Hakuna hata mmoja wetu atakayekwenda nyumbani. Wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.
9 Amavang eihon tuahi Gibeah mite hitia hi igabol diu ahi, koipennin ikisatpi masat diuham vang isandiu ahi.
Sasa hili ndilo tutakaloitendea Gibea: Tutaikabili jinsi kura itakavyotuongoza.
10 Iphung jouseuva hi somlah a khatcheh galsat ho nehle chah thah le a pangding, adangsen Gibeah chunga hi phu ilah teidiu ahi, ajeh chun Benjamin mite hin Israel insunga hibang tah a hi jumna atohdoh u ahitai” atiuve.
Tutatoa watu kumi katika kila 100 kutoka kwenye kabila zote za Israeli, watu 100 katika watu 1,000 na watu 1,000 katika 10,000, ili waende wakalete mahitaji kwa ajili ya jeshi. Basi wakati jeshi litakapofika Gibea ya Benyamini, watawatendea yale wanayostahili, kwa ajili ya uovu huu wa aibu waliotenda katika Israeli.”
11 Hitichun Israel pumpi chu abonchaovin akilungkhat un hiche khopi sat dingin akikhom sohtauvin ahi.
Hivyo wanaume wote wa Israeli wakakutanika pamoja na kujiunga kama mtu mmoja dhidi ya huo mji.
12 Israelten Benjamin mite komma chun thupole ho asol’un amaho chun, “Itobang lomma nangho hin hitobang thilsehi naboldoh u hitam?
Makabila ya Israeli yakatuma watu kwenda katika kabila la Benyamini lote na kuwaambia, “Ni uovu gani huu wa kutisha uliotendeka katikati yenu?
13 Gibeah khoa konna hitobang mi engse miphalou hochu neihin pedoh un keihon amaho chu that uvingting Israel lah thilsehi suhthengna nei uvinge” atiuve. Ahinlah Benjamin ten anahsah pouvin ahi.
Basi watoeni hao watu waovu kabisa walioko Gibea, ili tupate kuwaua na kuondoa uovu katika Israeli.” Lakini Wabenyamini hawakuwasikia ndugu zao, Waisraeli.
14 Hiche enghot nachun, amaho akhopi cheh uva kon in Gibeah munnah Israel satdingin ahung kikhom tauvin ahi.
Wakatoka katika miji yao, wakakutanika Gibea ili kupigana na Waisraeli.
15 Abonchaovin chemjam lamthei cheh sangsomni le gup alhingun amaho chu Gibeah ahunglhung tauvin ahi. Amahohi khopi sunga ana umsa thepna giltah nei mi jasagi aum’un ahi.
Siku ile Wabenyamini wakakusanya watu 26,000 kutoka miji yao, waliojifunga panga, mbali na hao 700 waliochaguliwa miongoni mwa hao waliokaa Gibea.
16 Benjamin lah a thepna giltah nei epia jasagi hohi aveilang cheh ahiuvin, amaho hin songsena bomma song apeijuleh samjang jengjong sepka thei sepkhel lou hel cheh ahiuve.
Miongoni mwa hao askari wote kulikuwa na watu 700 bora waliochaguliwa watumiao mkono wa kushoto, kila mmoja wao aliweza kutupa jiwe kwa kombeo na kulenga unywele mmoja bila kukosa.
17 Israel langa Benjamin galmiho simlouvin chemjam kichoija galsat theicheh sangjali alhingun ahi.
Nao watu wa Israeli, mbali na hao wa Benyamini, wakakusanya watu waume 400,000, wenye kutumia panga, wote hao walikuwa mashujaa.
18 Galkisat masangin Israelte chu Bethel’ah acheuvin Pathen agadongun, “Benjamin mipite khu gasat dinga koiphung pen kache masat diuham?” atiuve. Pakaiyin ahin donbutnin “Judah masading ahi” ati.
Waisraeli wakapanda Betheli na kumuuliza Mungu, “Ni nani miongoni mwetu atakayetangulia mbele yetu ili kupigana na Wabenyamini?” Bwana akawajibu, “Yuda ndiye atakayetangulia.”
19 Hijeh chun Israelte chu matah in athouvun Gibeah kommah panmun asem taove.
Asubuhi yake Waisraeli wakaamka na kupiga kambi karibu na Gibea.
20 Hijouchun Benjamin mitechu sat dingin Gibeah ana jon tauvin ahi.
Waisraeli wakatoka kupigana na Wabenyamini, nao Waisraeli wakajiweka kwenye nafasi zao katika vita dhidi yao huko Gibea.
21 Ahinlah akhopiu ngah’a pang Benjamin galmi hochun ahungpot doh un hiche nichun galkisatna munna chun Israelte sangsomni le sang ni athat tauvin ahi.
Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua watu 22,000 wa Israeli siku ile.
22 Ahinlah Israelte chu khatle khat akitil touvin animasa a akisatnao mun mama achun pan alakit tauvin ahi.
Lakini Waisraeli wakatiana moyo kila mmoja na mwenzake, nao wakajiweka kwenye nafasi zao katika vile vita mara ya pili mahali pale walipokuwa wamejiweka mara ya kwanza.
23 Ajeh chu amaho anache uva Bethel’a Pakai angsunga nilhahgeija gakapmuva hitiahi Pakai agadoh u ahi, “Keiho kache kitnuva Benjamin tehi kagasat kitdiu ham?” aga tiuve. Pakaiyin “Cheuvin lang amaho khu gaki satpi kitnun” atipeh in ahi.
Waisraeli wakapanda mbele za Bwana na kulia mbele zake mpaka jioni, nao wakamuuliza Bwana wakisema, “Je, tupande tena kupigana vita na Wabenyamini, ndugu zetu?” Bwana akajibu, “Pandeni mkapigane nao.”
24 Hijeh chun amaho ajingchun apotdoh kitnun Benjamin mitechu agakisatpi kit un ahi.
Ndipo Waisraeli wakawakaribia Wabenyamini siku ya pili.
25 Ahin Benjamin mite chun chemjam choija galsatje themcheh Israelte chu sangsom le sang get anathat kit’un ahi.
Wakati huu, Wabenyamini walipotoka Gibea ili kupigana nao, wakawaua watu Waisraeli 18,000, wote wakiwa wamejifunga panga.
26 Hiche jehchun Israelte abonchaovin acheuvin Bethel’ah anngol pummin nilhah geijin Pakai angah agakap un ahi. Amahon Pakai angah pumgo thilto leh chamna thilto jong abol'un ahi.
Ndipo Waisraeli, watu wote, wakapanda Betheli, huko wakakaa mbele za Bwana wakilia. Wakafunga siku ile mpaka jioni na kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani kwa Bwana.
27 Israelte chu Pakai kommah acheuvin “I-katidiu hitam?” tin aga dongun ahi. ( Hichelai achu Pakai kitepna thingkong chu Bethel munna umma ahi
Nao Waisraeli wakauliza kwa Bwana. (Katika siku hizo Sanduku la Agano la Mungu lilikuwa huko
28 Chuleh Aaron thempupa tupa Eleazer chapa Phinehas chu thempu hija ahi) Israelten Pakai adongun keihon kasopiteu Benjamin mitehi kasat kit ding uham ahilouleh kasatda diu hitam?” atiuvin ahi. “Jingleh che kitnun Keiman amaho khu nangho khutna kapehdoh ding ahitai,” tin Pakaiyin aseijin ahi.
na Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa Aroni, alikuwa anahudumu mbele za hilo Sanduku.) Wakauliza, “Je, tupande kwenda vitani kupigana tena na Wabenyamini ndugu zetu, au la?” Bwana akajibu, “Nendeni, kwa kuwa kesho nitawatia mikononi mwenu.”
29 Hijeh chun Israelte Gibeah kimvel jouse ah chun chaang apang tauvin ahi.
Basi Waisraeli wakaweka waviziao kuizunguka Gibea.
30 Amaho chu anithum chan nin akondoh kit’un, chule masanga apansah namun uvah chun apansa kit un ahi.
Kisha Waisraeli wakapanda kupigana na Wabenyamini katika siku ya tatu na kujiweka kwenye nafasi zao dhidi ya Gibea kama walivyokuwa wamefanya hapo kwanza.
31 Benjamin mite chu amaho kisatpi dinga ahungkon doh phat’un akhopi uva konchun ajoldoh tauvin ahi. Hiti chun amasa anabolna bang bang uchun Israel techu tollhang leh lamlen chungah, khatchu Bethel lang jotna khatchu Gibeah langa akinunglenao munnah mi somthum tobang athat tauvin ahi.
Wabenyamini wakatoka ili kukabiliana nao, Waisraeli wakawavuta Wabenyamini watoke katika mji. Wakaanza kupigana na kuua watu wapatao thelathini wa Israeli, kama walivyofanya nyakati nyingine, katika njia kuu, moja iendayo Betheli na nyingine Gibea.
32 Hichun Benjamin epia hochun, “Eihon amasa bang bang chun ijoukit taove” tin asam’un ahi. Ahinla Israelte chu jamding chuleh Benjamin miten chun ahindel diu, chujongle hitia chu akhopi uva konna potdohsah nading thilgon amagon masat’u ahi.
Wabenyamini wakafikiri, “Wanapigwa mbele yetu kama hapo kwanza.” Waisraeli wakasema, “Sisi na turudi nyuma ili tuwavute wauache mji waende kuelekea barabarani.”
33 Israelte epia abulpi hochun Baal-tamar ahunglhun phat’un galsat nadingin panmun ahinlatoh tauvin ahi. Langkhat’ah Israelte Gibeah lhumlamma ana kisel hochu galsatdin akiselnaova kon in ahung chomdoh tauvin ahi.
Watu wote wa Israeli wakaondoka kwenye sehemu zao na kujipanga huko Baal-Tamari, nao wale waviziaji wa Waisraeli, wakatoka hapo walipokuwa kwenye uwanda wa magharibi ya Gibea.
34 Israel epia lah a galsatna thempen hochu mi sangsom Gibeah khopi nokhum dingin asollut taovin ahi. Galkisat chu akhoh lheh jengin Benjamin ten amanthah nadiu ahilam akihet pouvin ahi.
Ndipo watu 10,000 bora waliochaguliwa katika Israeli wote, wakaja kuishambulia Gibea. Vita vilikuwa vikali sana, hata Wabenyamini hawakutambua kuwa maangamizi yalikuwa karibu nao kwa kiasi hicho.
35 Hitichun Pakaiyin Israel mite chu Benjamin mite chungah gal ajosah in hiche nikho chun Israelten Benjamin sepaite chemjamma galsatje themcheh sangsomni le sang nga le jakhat athatnun ahi.
Bwana akawashinda Wabenyamini mbele ya Waisraeli na siku ile Waisraeli wakawaua Wabenyamini watu waume 25,100, wote wakiwa wenye kujifunga silaha za vita.
36 Hichun Benjamin ten gal aleldiu chu akimuchet tauvin ahi. Israelte chun Gibeah nokhum dinga changpanga akoihou chu akisonpi jeh un Benjamin epia hoa konchun anung chonnun ahi.
Hivyo Wabenyamini wakaona kuwa wamepigwa. Basi Waisraeli walikuwa wameondoka mbele ya Wabenyamini, kwa sababu Waisraeli waliwategemea hao waviziaji waliokuwa wamewaweka dhidi ya Gibea.
37 Hijouchun ana changpang ho jouse chu muntinna kon in ahungpot doh’un khopi sunga umjouse chu athat tauvin ahi.
Wale waviziaji wakafanya haraka kuingia Gibea, wakasambaa na kuwaua watu wote wa mji kwa upanga.
38 Amahon ana kihoutoh masat nao dungjuijin khopi sunga chun meikong khu lentah agah kondoh sah tauvin ahi.
Waisraeli walikuwa wamepatana na hao waviziaji kuwa wangefanya lipande wingu kubwa la moshi kutoka huo mji,
39 Israelten hiche meikhu chu amuphat un, amaho ahung kileheijun Benjamin sepaiten Israel te somthum tobang athat’un ahileh “eihon ina kisattonao masa tobanga chu tua jong ijokitnu ahitai tin kholhang asam tauvin ahi.”
ndipo watu wa Waisraeli wangegeuka kupigana. Watu wa Benyamini walikuwa wameanza kuwapiga na kuua watu wa Israeli (wapatao thelathini), hivyo wakafikiri, “Hakika tutawapiga, kama tulivyowashinda katika vita hapo kwanza.”
40 Ahinlah Benjamin epia hochu akinung hei uva avetnuva ahileh khopi sung muntinna konna meikhu kitungdoh jengchu amu uvin ahi.
Lakini wakati lile wingu la moshi lilipoanza kupanda kutoka ule mji, Wabenyamini wakageuka na kuona moshi wa mji mzima unapaa juu angani.
41 Israel mitechu akinung heijun akisatpi tauvin ahi. Hichephat chun Benjamin mite chun amanthah nadiu chu ahunglhunga ahitai ti ahedoh tauvin ahileh atija lheh taove.
Ndipo watu wa Israeli wakawageukia, nao Wabenyamini wakatiwa hofu, kwa kuwa walitambua kwamba maafa yamewajia.
42 Hijeh chun akinung heijun Israel mitea konchun ajam’un gammang lah adel tauvin ahi. Ahinla ajamdoh joupouvin ahi, chuleh akhopi vella konna hungdoh hojongchu aban thagam tauvin ahi.
Basi wakakimbia mbele ya Waisraeli kuelekea nyikani, lakini hawakuweza kukwepa vile vita. Nao watu wa Israeli waliotoka katika ile miji wakawaua huko.
43 Israel miten Benjamin mite chu aum kimvel’un, chuleh adellun Gibeah solanga apha paovin,
Wakawazingira Wabenyamini pande zote, wakawafuatia na kuwapata hapo walipopumzika katika viunga vya Gibea upande wa mashariki.
44 Hiche ni chun Benjamin mite lah a galhat penho sangsomle sang-get athat tauvin ahi.
Wakaanguka Wabenyamini 18,000 ambao wote ni mashujaa.
45 Ahoidoh hochu gammang la Rimmon songpi beldingin ajamtauvin ahi, ahinla Israelten amaho lah a sang nga chu lampiah athatpa tauvin ahi. Amahon adelpeh kit nalaijun Gidom kommah sangni anathat kit nalaijun ahi.
Walipogeuka na kukimbia kuelekea nyikani hata kufikia mwamba wa Rimoni, Waisraeli wakawaua watu 5,000 wakiwa njiani. Wakawafuata kwa kasi mpaka Gidomu huko wakawaua watu wengine 2,000.
46 Hiche nikho chun Benjamin phungmi chemjam mangcha a galsat hatcheh sangsomni le sang nga athiuvin,
Siku ile wakawaua Wabenyamini 25,000 waliokuwa mashujaa wa vita.
47 Amoh cheng mi jagup chu Rimmon songpi langah ajamlut un hichea chun lha li sungin achengun ahi.
Lakini watu 600 wakakimbia kuelekea nyikani katika mwamba wa Rimoni, na kukaa huko muda wa miezi minne.
48 Chuleh Israel techu ahung kile uvin khopiho sunga cheng jouse ahin ban thaovin, mipi ahin gancha ahin amu mang uchu abantha soh jengun ahi. Amahon ahunglut lutnao khopi jouse jongchu ahin ban hallhah jengun ahi.
Waisraeli wakarudi na kuua watu wote wa Benyamini, pamoja na wanyama na kila walichokikuta. Pia kila mji waliouona waliuchoma moto.